KERO RITA Lindi Mjini wamekosea majina yangu sahihi wakati wa marekebisho mara mbili mfululizo, inanigharimu zaidi

KERO RITA Lindi Mjini wamekosea majina yangu sahihi wakati wa marekebisho mara mbili mfululizo, inanigharimu zaidi

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

muximba

Member
Joined
Oct 24, 2024
Posts
14
Reaction score
26
Katika harakati za kurekebisha majina ya cheti cha kuzaliwa yafanane na yale yaliyo kwenye vyeti vya taaluma nilikwenda RITA wilaya ya LINDI Mjini, mara ya kwanza nikalipia na kuacha MAJINA SAHIHI lakini ajabu majina yalikosewa.

MARA YA PILI vivyo hivyo nililipia na kuacha MAJINA SAHIHI pia wamekosea.

Nchangamoto ni nini kwa hawa watumishi wetu au umakini ni mdogo ikizingatiwa natumia pesa yangu au niwahtaki?
Screenshot_20241221_104947_WPS Office.jpg
 
huku ndo kwenye msaada? au ofisini kule ndo ungepeleka malalamiko huku sio kila siku unakimbilia mtandaoni
 
Uli lipia shingapi na inachukua mda gani kubadilisha
 
huku ndo kwenye msaada? au ofisini kule ndo ungepeleka malalamiko huku sio kila siku unakimbilia mtandaoni
Umesoma alichoandika? Wamekosea mara mbili. Infact kafanya vizuri sana kuleta malalamiko hapa kwa sababu huu umekuwa kama utamaduni wa sehemu nyingi Tanzania. Watu anajiandikia maneno na majina wanavyotaka wao.
 
Ilitokea kwenye Cheti Cha kuzaliwa Cha Mwanangu, Rita walikuja kwenye ofisi ya Serikali wa Mtaa wangu... nikaandika Majina kwenye karatasi na Taarifa muhimu zote, nikampa Mama ake na pesa ya kulipia, ilikua kama 8,000 Kwa Mtoto kama sikosei.

Baada ya siku 3 Mama mtu anafata Cheti ananipigia kuniambia wamekosea kuandika Jinsia, na kwamba kurekebisha safari hii tunatakiwa kulipia 20,000... Nikamuuliza hukuwapa ile karatasi niliyoandika taarifa zote ..!? Akasema aliwapa, nikasema Sasa sio Makosa yangu, wao ndo wamekosea na warekebishe wenyewe....!

Baada ya siku 3 nikaona Cheti Nyumbani.
Katika harakati za kurekebisha majina ya cheti cha kuzaliwa yafanane na yale yaliyo kwenye vyeti vya taaluma nilikwenda RITA wilaya ya LINDI Mjini, mara ya kwanza nikalipia na kuacha MAJINA SAHIHI lakini ajabu majina yalikosewa.

MARA YA PILI vivyo hivyo nililipia na kuacha MAJINA SAHIHI pia wamekosea.

Nchangamoto ni nini kwa hawa watumishi wetu au umakini ni mdogo ikizingatiwa natumia pesa yangu au niwahtaki?View attachment 3181517
 
Katika harakati za kurekebisha majina ya cheti cha kuzaliwa yafanane na yale yaliyo kwenye vyeti vya taaluma nilikwenda RITA wilaya ya LINDI Mjini, mara ya kwanza nikalipia na kuacha MAJINA SAHIHI lakini ajabu majina yalikosewa.

MARA YA PILI vivyo hivyo nililipia na kuacha MAJINA SAHIHI pia wamekosea.

Nchangamoto ni nini kwa hawa watumishi wetu au umakini ni mdogo ikizingatiwa natumia pesa yangu au niwahtaki?View attachment 3181517
Ni kufanya kazi kwa mazoea tu serikalini Kuna ujinga mwingi sana
 
Back
Top Bottom