Mr Cu
JF-Expert Member
- Jun 3, 2016
- 1,289
- 974
Kama nywele za albino.....kukaa siku tatuu tuu mikonon mwao.......zikatolewa nywele za mwana sesele[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Duuu.., kweli Wazungu wametuacha mbali sana, yani Mayai yanahifadhiwa miaka 20 na bado yanakuwa productive? Ingekuwa Bongo baada ya hiyo miaka 20 unakuja kabidhiwa Mayai ya Kwale!!!