Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Ni taasisi niliwahi kuiamini sana sana ila nahisi imevamiwa na vijana wasiojua majukumu yao.
Vijana wakikupokea wanahaha kama vile wanapewa mshahara kesho mpaka unapenda.
Shida unapoanza kupewa tarehe njo siku fulani wapendwa inachosha mbadilike.
Jana nilikuwa na ndugu mmoja tunafwatilia cheti yaani wamama wa pembeni wote walikuwa wanalaani mateso wanayopata.
Sasa umetaka info zote umeletewa, shida nini kumpa mtu cheti chake!
Tupunguze urasimu haya mambo ya kushikana mikono ndiyo tupate vyeti yalishapitwa na wakati.
Mameneja token maofisini nendenen kwenye mabench ulizen wenye shida za msingi muonee kelele zake ....
Mungu awape hofu yake vijana wa leo
Vijana wakikupokea wanahaha kama vile wanapewa mshahara kesho mpaka unapenda.
Shida unapoanza kupewa tarehe njo siku fulani wapendwa inachosha mbadilike.
Jana nilikuwa na ndugu mmoja tunafwatilia cheti yaani wamama wa pembeni wote walikuwa wanalaani mateso wanayopata.
Sasa umetaka info zote umeletewa, shida nini kumpa mtu cheti chake!
Tupunguze urasimu haya mambo ya kushikana mikono ndiyo tupate vyeti yalishapitwa na wakati.
Mameneja token maofisini nendenen kwenye mabench ulizen wenye shida za msingi muonee kelele zake ....
Mungu awape hofu yake vijana wa leo