loh mpaka mipovu inakutoka, wivu tu huo
loh mpaka mipovu inakutoka, wivu tu huo
nani kawambia kila mwanamke anahitaji mume
Bilashaka we ni housegil wake. Kuwa mpole huo ndo ukweli unaopewa kuhusu boss wako. Usiogope kusema ukweli kuhofia kibarua, akikutimua kazi ntakuajiri kwenye baa yangu uje uburudishe wateja wangu kwa huduma yako.
Kila mwanamke anahitaji mume na kila kila mwanamme anahitaji mke,lakini sio kila mwanamke anataka mume na sio kila mwanaume anataka,nimeona nikurekebishe lugha,lakini tupo kurasa moja zury,wewe bila shaka ni mzuri.
pamoja sana mkuu. Kwenye uzuri kweli nalipa.lol
Bilashaka we ni housegil wake. Kuwa mpole huo ndo ukweli unaopewa kuhusu boss wako. Usiogope kusema ukweli kuhofia kibarua, akikutimua kazi ntakuajiri kwenye baa yangu uje uburudishe wateja wangu kwa huduma yako.
pamoja sana mkuu. Kwenye uzuri kweli nalipa.lol
msonyoo.ndo maana hauendelei kwa roho mbaya yako na hautamfikia
watuwache tupumuwe n waume zetu! Kama ingekuwa rahisi kuwa na mume na ye angekuwa na wake ndani! Tena watuwacheeeeeeeee..........!!! Ebo!kichwa cha mwendawazimu kila mtu hujifunzia kunyoa. Pole mwanamke kaumbwa apate mwenza wa jinsia tofauti. Wengi kama wewe wenye tabia za kunguru msofugika huwa jamvi la wageni. Utajifariji kuwa kuolewa so dili endapo wewe ni msagaji na si vinginevo. Pole kwa frustration, we endelea kujisaga.
The beutiful one is not yet born, mzuri haendi choo. U are not zuri rather 'Baya' of all.
Hujui kuwa roho nzuri yako ndo imekufanya ukawa "kunguu"? We mwenye roho nzuri endelea kukarimu vijana wetu.
kha! ninyi vijana mnaongelea kitu gani hicho? mbunye au?ishakuwa na mikunjo kibao haimetimeti tena
watuwache tupumuwe n waume zetu! Kama ingekuwa rahisi kuwa na mume na ye angekuwa na wake ndani! Tena watuwacheeeeeeeee..........!!! Ebo!
JF place of Great Thinkers??????????????????????????????????????????????!!!
Kila mwanamke anahitaji mume na kila kila mwanamme anahitaji mke,lakini sio kila mwanamke anataka mume na sio kila mwanaume anataka,nimeona nikurekebishe lugha,lakini tupo kurasa moja zury,wewe bila shaka ni mzuri.
kichwa kibovu
Wivu ni kidonda ukishiriki unakonda, ona povu linavyomtoka jaman.....huyu atakuwa kyln si bure, ya nini kutokwa povu hvo kwa mtu kutajwa na kusifiwa tu??loh mpaka mipovu inakutoka, wivu tu huo