Ritz uko wapi.. FaizaFoxy nitoe mashaka - Je, pacha wako yuko wapi?

Mag3

Platinum Member
Joined
May 31, 2008
Posts
13,413
Reaction score
23,592
Alikuwepo Rais Jakaya Mrisho Kikwete na walikuwepo mapacha wawili, [B]Ritz[/B] na [B]FaizaFoxy[/B]. Ilifikia pahala ukimchoma Rais Kikwete, ni hawa wawili walivuja damu.

Kwa sasa tunaye Rais John Pombe Magufuli na kama ilivyotegemewa wanaovuja damu Rais Magufuli akichomwa mkuki wapo tele mojawapo akiwa [B]Nyani Ngabu[/B].

Wakati [B]FaizaFoxy[/B] bado anachunguliachungulia, [B]Ritz[/B] kapotea na juhudi zangu zote za kumtafuta zimegonga mwamba na hivyo nimelazimika kutoa ombi...

Mkuu [B]Ritz[/B], uko wapi? Au nawe umepotea/umepotezwa kama mdogo wetu [B]Ben Saanane[/B]. Kwa wana JF (sio hawa viwavi vya sasa) nisaidieni kumtafuta mtani wangu [B]Ritz[/B].

Na kwa [B]FaizaFoxy[/B], naomba kama una habari yoyote na kilichomsibu [B]Ritz[/B] tafahamishe tafadhali, I miss mtani na mdogo mdogo wangu [B]Ritz[/B]...!
 
Abbasmzee egyptian nae pia hayupo, na mzee wangu said, ila watarudi humu dau atakapofikishwa kisutu ili wamuombee dhamana
 
Inawezekana wametumbuliwa walikuwa na vyeti feki!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…