mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,897
- 18,477
Rivers United wana advantage ya kisaikologia dhidi ya Yanga! Hiyo hutoa nguvu sana zisizo za kawaida kwenye mchuano wowote! "Wananchi" jiandaeni kisaikologia kuangukia pua!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
messge sent and delivered! Mdomoni mwa Rivers united!!CCM inapenda hv kwa vijana wa Tanzania.
Hiyo furaha yao, muda si mrefu itageuka na kuwa huzuni kubwa.Rivers United wana advantage ya kisaikologia dhidi ya Yanga! Hiyo hutoa nguvu sana zisizo za kawaida kwenye mchuano wowote! "Wananchi" jiandaeni kisaikologia kuangukia pua!
Wana rainbow utawajua tu.Rivers United wana advantage ya kisaikologia dhidi ya Yanga! Hiyo hutoa nguvu sana zisizo za kawaida kwenye mchuano wowote! "Wananchi" jiandaeni kisaikologia kuangukia pua!
Wanaiogopa sana simba hasa baada ya kumsikia Raja akisema hapendi akutane na simba!
wapuuzi yanga tunajipanga na kujitayarisha sawasawa,ili tuwapige nje ndaniRivers United wana advantage ya kisaikologia dhidi ya Yanga! Hiyo hutoa nguvu sana zisizo za kawaida kwenye mchuano wowote! "Wananchi" jiandaeni kisaikologia kuangukia pua!
Anajua lolote linaweza kumtokea bingwa kama Zamalek ilivyomtokea.
Hata Mazembe walikuwa na hiyo 'advantage'. Kilichowapata unakijuaRivers United wana advantage ya kisaikologia dhidi ya Yanga! Hiyo hutoa nguvu sana zisizo za kawaida kwenye mchuano wowote! "Wananchi" jiandaeni kisaikologia kuangukia pua!
Hata Township dollars waliifunga yanga,msimu unaofata yanga ya kina balinya walilipiza kisasiRivers United wana advantage ya kisaikologia dhidi ya Yanga! Hiyo hutoa nguvu sana zisizo za kawaida kwenye mchuano wowote! "Wananchi" jiandaeni kisaikologia kuangukia pua!
Kwanini aende kuhangaika mbali kote huko wakati ana notice za mdogo wake Raja CasablancaAnajua lolote linaweza kumtokea bingwa kama Zamalek ilivyomtokea.
Anajua kuwa Timu namba moja Afrika na iliyokuwa ya 3 duniani mwaka huo,ilipoteza mchezo dhidi ya Simba kwa Mkapa.
Mengine jifurahisheni tu
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Wako wapi hao rivers wanaoshangilia!?Rivers United wana advantage ya kisaikologia dhidi ya Yanga! Hiyo hutoa nguvu sana zisizo za kawaida kwenye mchuano wowote! "Wananchi" jiandaeni kisaikologia kuangukia pua!