changaule
JF-Expert Member
- Jan 10, 2020
- 6,039
- 10,151
Sina muelekeo aiseeni mpya mkuu, umekula lakini au hauna hata mwelekeo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sina muelekeo aiseeni mpya mkuu, umekula lakini au hauna hata mwelekeo?
🤣 😀Sina muelekeo aisee
Toa matokeo? Wanaume wamefanya comebackSina muelekeo aisee
Ni mechi ya mazoezi ya pre season hiyo. Hakuna timu inayopata point
Shsbiki mwenzio wa Msimbazi ametupa jibu hapo awali kabisa kuwa ni mechi ya kirafiki tu. Je unabishana nae?Toa matokeo? Wanaume wamefanya comeback
simba pale kwa mkapa huwa tunampagata ndo waje river tutawainamisha kabisa
Yaani nicheka sana, umeeleweka, huko Morroco Mnyama 2 na Far Rabbat 2, Dilunga na Ousmane Sakho wametikisa nyavuHabari njema kwetu mashabiki wa Rivers utd ya Nigeria, tumemsajili striker refu linalotisha liitwalo Nyimwa Nagua kutoka klabu kubwa ya kano pillars
hili jamaa liliwahi kupiga kona na kuiwahi kabla hajafika kwenye six yard likapiga kichwa lilishawahi kupiga shuti likavunja goal post, kuna kipa wa palteau utd alijifanya mbishi kudaka shuti lake akavunjika mkono na figo iliharibika kabisa. KARIBUNI TZ RIVERS UTD
Tarhe 11 pale uwanja wa taifa Rivers utd tuna jambo letu. GOD BLESS NIGERIA GOD BLESS RIVERS UTD
View attachment 1901598
Kwa njemba hizi utopolo ataishi getiniHabari njema kwetu mashabiki wa Rivers utd ya Nigeria, tumemsajili striker refu linalotisha liitwalo Nyimwa Nagua kutoka klabu kubwa ya kano pillars
hili jamaa liliwahi kupiga kona na kuiwahi kabla hajafika kwenye six yard likapiga kichwa lilishawahi kupiga shuti likavunja goal post, kuna kipa wa palteau utd alijifanya mbishi kudaka shuti lake akavunjika mkono na figo iliharibika kabisa. KARIBUNI TZ RIVERS UTD
Tarhe 11 pale uwanja wa taifa Rivers utd tuna jambo letu. GOD BLESS NIGERIA GOD BLESS RIVERS UTD
View attachment 1901598
Far rabat 3-2mikia fc. Mpira umeishaYaani nicheka sana, umeeleweka, huko Morroco Mnyama 2 na Far Rabbat 2, Dilunga na Ousmane Sakho wametikisa nyavu
unaumwa akiliFar rabat 3-2mikia fc. Mpira umeisha
Jina lako ndicho ulichoandikaFar rabat 3-2mikia fc. Mpira umeisha
Halafu huyu banda mmepigwaunaumwa akili
Huyu ni mbeba mizigo, mule hakuna mpira.Habari njema kwetu mashabiki wa Rivers utd ya Nigeria, tumemsajili striker refu linalotisha liitwalo Nyimwa Nagua kutoka klabu kubwa ya kano pillars
hili jamaa liliwahi kupiga kona na kuiwahi kabla hajafika kwenye six yard likapiga kichwa lilishawahi kupiga shuti likavunja goal post, kuna kipa wa palteau utd alijifanya mbishi kudaka shuti lake akavunjika mkono na figo iliharibika kabisa. KARIBUNI TZ RIVERS UTD
Tarhe 11 pale uwanja wa taifa Rivers utd tuna jambo letu. GOD BLESS NIGERIA GOD BLESS RIVERS UTD
View attachment 1901598