Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
AahhaaaàaYaani mwizi anapuliza sumu kwenye basi ambalo Alina watu na kuiba Dola 5000/= !!
Allegations zingine ata ao CAF watakua Wanacheka, Maana Kwa ukanda uu wa Africa timu yenye michezo iyo ya kipuuzi wanaifahamu.
AahaaaaaWameingia kwenye basi kukagua bila kuvaa mask!
Wanigeria wanachekesha sana.
AahahaaaaaKwa Hilo Acha niwe mzalendo Kwa Muda, waache uhuni. Walisema hawana hela za kuwawezesha kuja Tanzania mapema, Leo wameibiwaje millions of dollars au walikuja kulangua dagaa?
AhahaaaaHao wanaigeria urojo mtupu, wanataka pointi za mezani tu za uwanjani zimeshawashinda..
Mfanane na nani nyinyi kenge utopolo maluza?Ilimradi tifanane tu?
Ifike mahali janja janja isitupotezee Muda. Wydad walipokuja wakasema uwanja wa mzoezi ni mgumu, nikaomba watandikiwe magodolo juu yake.Aahahaaaaa
Ndo tushangae wote
Katibiwe akili hauja chelewa badoutopopolo mmeshaanza vituko vyenu. mnaongoza magoli mawili lkn bado mnapulizia sumu wapinzan..
Psychological effects huwa inaamua mechi mapema sana kiushindi au kufungwa.Mbona waliwafungia nyumbani sasa siyo ugenini
Habari za Mtwara?Mfanane na nani nyinyi kenge utopolo maluza?
Tumia akili dunia ya sasa watu bado wanatembea na mabungurungutu ya pesa ?Nina uhakika yanga mumeiba hiyo pesa...
Kuhusu sumu huenda mnasingiziwa, maana haimake sense...
So rudisheni pesa za watu maana watanzania tumechoka na hizo tabia zenu.
Kwahiyo wakitembea nayo mnawaibia?Tumia akili dunia ya sasa watu bado wanatembea na mabungurungutu ya pesa ?
Thd inasema thousands of dollars stollen sio millions of dollars.Kwa Hilo Acha niwe mzalendo Kwa Muda, waache uhuni. Walisema hawana hela za kuwawezesha kuja Tanzania mapema, Leo wameibiwaje millions of dollars au walikuja kulangua dagaa?
Uwezo wa akili yako ya kufikiria inazidiwa na mtoto mchanga.Hii ndiyo maana ya kivumbi na jasho kumbe vumbi lenyewe la sumu!
Acheni uoga na kutafuta sifa enyi wapenda sifa
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Acha ukurupukaji hivi unaijua millions $ au unaongea tu?Kwa Hilo Acha niwe mzalendo Kwa Muda, waache uhuni. Walisema hawana hela za kuwawezesha kuja Tanzania mapema, Leo wameibiwaje millions of dollars au walikuja kulangua dagaa?