Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
AahhaaaàaYaani mwizi anapuliza sumu kwenye basi ambalo Alina watu na kuiba Dola 5000/= !!
Allegations zingine ata ao CAF watakua Wanacheka, Maana Kwa ukanda uu wa Africa timu yenye michezo iyo ya kipuuzi wanaifahamu.