Rivers utd wadai kupuliziwa sumu na kuibiwa pesa

Unampulizia mtu dawa huku ulishamfunga bao 2 kwao?
Hiyo dawa unaipuliza zaidi ya masaa 24 kabla ya mechi ni dawa gani hiyo?
Pengine walitaka wawaue kabisa na sio kuwadhoofisha tu, manaake haileti sense muda wote huo kabla ya mechi.
 

29 April 2023
Dar es Salaam, Tanzania

Rivers United FC Official claims that the bus was burgled, sprayed with toxic chemical

CAFCC: Rivers United FC Bus Burgled, Sprayed With Toxic Chemical Barely 24 hours to the kick-off of the TotalEnergies CAF Confederation's Cup quarter final 2nd leg tie in Dar es Salam, Rivers United’s team bus has been burgled and valuables worth thousands of dollars stolen.
The Pride of Rivers while completing their final training session ahead of the clash against Young Africans of Tanzania noticed that their team bus has been broken into and sprayed with toxic chemicals and a sum of $5,250 is missing.

On ground to witness the horrible incident are CAF General Coordinator, Ali Nwebe (Uganda), CAF Head of Security, Jamil Bawalaggana Mpagi (Uganda) who have confirmed that a toxic chemical was sprayed in the bus.

Rivers United have petitioned CAF as they await further action from the football ruling body.

(C) Rivers United Media 29th April, 2023

Source : Rivers United FC
 
Muonekano wa ndani wa bus la kisasa na kifahari maalum kuhudumia timu ya Rivers United wakiwa Dar es Salaam, Tanzania

 

Wa Nigeria ni washamba walipoona bus la kisasa na kifahari walilopewa jijini Dar es Salaam bila kusahau uwanja

Benjamin Mkapa stadium in Dar es Salaam, Tanzania where Young Africans will play against Rivers United FC today at 18:00 hrs local EAT.
 
Pengine walitaka wawaue kabisa na sio kuwadhoofisha tu, manaake haileti sense muda wote huo kabla ya mechi.
Wale wa Nigeria ni wapuuzi kwelikweli mtu alishakufunga halafu akuwekee dawa how! Halafu ina maana walipoingia uwanjani walienda wote how! Na hawa waandishi wanaosambaza huu uvumi mbona hawatuoneshi Hta picha za hilo basi!
Dawa gani inafanya kazi masaa 24
Watuache bhana
 
Kuna kiasi cha juu mtu kuwa nacho anapopita Airport hotel checkout ni mtandao waache maigizo
Kitengo cha Ant Money Laundering kamata hao wahalifu
 
Figisu zimeanza
 
Kuna kiasi cha juu mtu kuwa nacho anapopita Airport hotel checkout ni mtandao waache maigizo
Kitengo cha Ant Money Laundering kamata hao wahalifu
Sijaangalia Sheria lakini bila shaka itakuwa inazuia mtu sio timu. Na kama mtu sirahisi kwa sababu hicho kiasi kisichoruhusiwa kinaweza kugawanywa kila mtu akapita na kiasi kinachoruhusiwa wakifika wanapoenda zinakusanywa.
Kama zile kilo 20 au 30 za kwenye ndege mkisafiri kwa kikundi.
 
Kwahiyo umeconfirm alieiba ni shabiki wa Yanga? Maana kwenye umati wa watu kuna mengi ndani yake.
 
Unafikiri wana akili za kufikiria hivyo basiii?
 
Wachawi wakubwa haooo...
 
Hivi vinaijeria vipuuzi kweli kweli kwa hiyo na dereva na yeye akaenda kufanya masoesi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji24]
 
Hivi vinaijeria vipuuzi kweli kweli kwa hiyo na dereva na yeye akaenda kufanya masoesi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji24]
Dereva siyo mlinzi. Mnatakiwa muwapatie na watu wa kulinda usalama wao na mali zao, acheni kufanya mambo kienyeji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…