Rivers waifunga Enyimba, Yanga nendeni mkatalii tu

Enyimba ya siku hizi ni sawa na ihefu haina kitu ni vibonde kuliko hata yale magarasha ya plateau united
 
Unajua ipo namba ngapi ktk rank za CAF?
Boss hizo rank ni namba tuu hazina uhalisia wowote , siku hizi kila timu inaju kuupiga mwingi kufanya vizuri kunategemea usajili mzuri na sio records za nyuma. Ona mazembe ilivyoboronga mwaka jana na rank zake watu walikuwa wanajipigia tuu machezaji yameshazeeka akina mputu
 
Haelewi chochote huyo Mbumbumbu. Rank zina maana zaidi Kwa timu za taifa lakini si Kwa Klabu inayoweza kupoteza hata Wachezaji 10 muhimu ndani ya msimu mmoja na ikashindwa kupata wengine Kama hao.
 
Enyimba ya siku hizi ni sawa na ihefu haina kitu ni vibonde kuliko hata yale magarasha ya plateau united
Jipeni faraja sisi tunawasubiri hiyo jumapili tuone kama Enyimba ni sawa na Ihefu yani timu ambayo kwenye ranking za CAF kakupita unasema sawa na ihefu?🐸🐸
 
Jipeni faraja sisi tunawasubiri hiyo jumapili tuone kama Enyimba ni sawa na Ihefu yani timu ambayo kwenye ranking za CAF kakupita unasema sawa na ihefu?🐸🐸

Mwambie ligi ya nigeria enyimba amemaliza wa ngapi? Na je anajua huyo rivers nafasi ya kucheza caf kaipata kwa kupewa point za mezani.. ila enyimba ndie alimaliza msimu mbele yake
 

Mazembe na ubovu wake ila alifika hatua ya makundi msimu uliopita. Ambayo hiyo hatua ni ndoto ya yanga kufika . Unajua goal ya yanga ni hatua gani kufika? Sasa mazembe anafika kila msimu. Why useme ni mbovu kuliko yanga
 
Mwambie ligi ya nigeria enyimba amemaliza wa ngapi? Na je anajua huyo rivers nafasi ya kucheza caf kaipata kwa kupewa point za mezani.. ila enyimba ndie alimaliza msimu mbele yake
Yani hapa nimekaa kwa kutulia nawasubiri hiyo jumapili maana mwisho wa safari unaonekana wazi sasa ndo atakuja kujua Enyimba ni nani hapa Africa nachojua kwa sasa West Africa ukitoa Horoya nadhani Enyimba ndo anatamba huko sasa sijui mwenzetu anawaza nini
 
Tuambie kwenye ranking UTO na Enyimba mpo nafasi ya ngapi
Subiri matokeo ndio uje na hizo rank zao. Kama hapa walitufunga kamoooja kwa mbiiiiinde tena tukawakosa ya wazi zaidi ya 5 unaleta habari za enyimba hapa?
 
Jumapili jioni uje tena kuandika haya
 
Jipeni faraja sisi tunawasubiri hiyo jumapili tuone kama Enyimba ni sawa na Ihefu yani timu ambayo kwenye ranking za CAF kakupita unasema sawa na ihefu?[emoji196][emoji196]
Tena kwa rank wamepitwa na Enyimba kwa tofauti zaidi ya 40 hivi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…