RIWAYA: Am not a Doctor

RIWAYA: Am not a Doctor

AM NOT A DOCTOR 44


ILIPOISHIA
Ni wa..
Kabla sijamalizia sentensi yangunikajikuta nikif unga breki kali baada mbele yangu kuona vif aru sita vya kijeshi vikiwa vimesimama, hewani kukiwa na helicopter mbili za kijeshi na zote zimeelekeza mitutu yao kwangu. Kupitia kioo cha pembeni yangu nikaona vif aru vingine vya jeshi vikisimama nyuma ya gari langu na kuniweka katikati na kunif anya nibaki nikiwa nimeshikwa na bumbuazi kwani nikif anya ujinga wowote wanakwenda kunilipua mimi na garilangu.
ENDELEA
Nikajikuta nikishusha pumzi taratibu huku nikitazama vif aru hivi vya kijeshi. Nikamuona mwanajeshi mmoja akishukakwenye kif aruhicho, akaanza kutembea hukuakiwa ameishikilia
bunduki yake mkononi. Kila alivyo zidi kuf ika karibu ndipo nikagundua kwamba mwanajeshi huyuni mtumishi wa jeshi la Tanzania kwa maana kwenye bega lake kombati lake lina bendera ya Tanzania.
Erick Erick
Nili sikia sauti ya Jackline ikini ta kupitia simuiliyopopembeni yangu
Ndio
Mbona kimya?
Kuna wanajeshi wamenizunguka, wana vifaru
Umeweza kuwatambua hata yunif omo zao?
Ndio, wamevaa nguoza jeshi la Tanzania
Unaweza kushuka na kuwaeleza kwa maana sasahivi jeshi linaendesha msakowamagaidi haonchi mzima
Sawa sawa
Taratibunikaf ungua mlangowagari langu, nikashuka huku nikiwa nimenyoosha mikonoyangujuu.
Lala chini
Jamaa aliniambia kwa sauti yaukali, kwa haraka nikalala chini hukumikonoyanguniki rudisha kwa nyuma.
Ninaitwa Erick Erick Alemdia
Nilizungumza huku nikiendelea kulala chini.
Tumempata
Jamaa alizungumza hukuakiwa ameishika simuya upepoiliyopo mkononi mwake. Wanajeshi baadhi wakaanza kushukakwenye vif aru vyao na kunif wata sehemu nilipo lala chini.
Nyanyuka
Mzee mmoja aliye valia nguo za kijeshi alizungumza na kunif anya ninyanyukejuu.
Unaf ahamuni sehemugani ambayoulikuwa umeshikiliwa? Nimetokea huku
Niliwaambia wanajeshihawa.
Inabidi kwa sasa tukurudisheikulu
Sawa
Helicopter moja ya jeshi ikashuka taratibu, nikapanda na kuondoka hili eneona kuwaacha wanajeshi hawawakiendelea na oparesheni hi ya kuwasaka magaidi hawa. Hatukuchukua muda mref utukaf anikiwa kuf ika ikulu. Nikapokelewa na mama pamoja na Zari wakiongozana na dokta Wiliam. Mama kwa haraka akanikumbatia hukumachoziyakimwagika usoni mwake.
Pole mwanangu
Asante sana mama
Nikamuachia mama na kumkumbatia Zari ambaye nayemuda wote machozi yanamwagika, tukajikuta tukishindwa kuzuia hisia zetu na kuanza kunyonyana denda.
Nimerudi mke wangu
Zari hakunijibu chochote zaidi ya kuendelea kuanguka kilio.
Nikamuachia mkono Zari na kumpa mkono dokta Benjamini.
Karibunyumbani
Shukrani dokta
Tukaanza kutembea kueleka ndani hukunikiwa nimemshika mkonoZari.
Baba amef anikiwakurudi?
Bado hajarudi?
Muliweza kuwasiliananaye?
Hapana ila walinzi wake ndiotunaweza kuwasiliana nao
Unaweza kuwapigia simu?
Ndio
Dokta Benjamini akatoa simuyake mf ukoni, akampigia mmoja wa walinzi wababa.
Vipi?
Nilimuuliza dokta Wiliambaada ya kumuona sura yake kidogo inamabadiliko. Hapatikani
Hapatikani?
Mama aliuliza huku akimtazama dokta Wiliamkwamshangao.
Labda itakuwa ninetwork
Ilinibidi kuzungumza manenoya kumf ariji mama kwani ninaielewa hali yake ya kiaf ya. Dokta Wiliamakapiga simutena.
Fredy zoezi limefanikiwa?
Ohooo asanteMungu
Dokta Wiliamalizungumza na kutuf anya sote tujisikie f araja kwenye mioyoyetu.
Asante Fredy
Dokta Wiliamakakata simuhukuusoni mwake akiwa amejawa na f uraha kubwa sana.
Wamef anikiwa kuwakamata magaidiwote
Wapohai auwamekufa?
Baadhi wapo hai na wengine wapokuf a, ila raisi tupo salama Tukaingia sebleni huku sote tukiwa na f uraha, kwa mara nyingine nimef anikiwa kuingia ikulu, kwani mara ya kwanza nilikuja kama mwanaf unzi daktari kutoka chuo cha NSS, ambapoikuluilivaniwa katika uongozi waraisi K2. Hapakuwa na mtu alite weza kupatwa hata na lepe la usingizi kwani sote tunamsubiria baba kuweza kuf ikaikulu.
Haukupita muda mwingi sana gari za ikuluzipatazosita zikasimama katika magesho baba na walinzi wake wakashuka kwenye gari. Baba aliponiona akanikumbatia kwa f uraha sana.
Kazi imeishamwanangu
Kweli baba?
Yaaa ninauwezohata wakusimama mbele ya wananchiwangu
na kuwahakikishia kwamba amani ipoTanzania
Shukrani sanababa
Kesho alf ajiri na mapema itabidi nihutubie taif a
Itakuwa vizuri baba yangu, je Rose na mumewe imekuwaje?
Nimewaangamiza kwa mkonowangumimimwenyewe
Jibu alilonipatia baba likanif anya nibaki nikiwa nimemkodolea macho, ila nikatabasamuili hisia za mapenzi ambazokwa muda f ulani huwa zinanitesa moyoni mwangu, zisionekane mbele ya baba.
Sasa hivi nitaiongoza nchi kwa amani, Fredy na wezake
wameweza kuif anya kazi hi vizuri sana
Baba alizungumza hukuakinionyesha vijana wake waliovalia nguo zakawaida. Shukrani jamaani
Nilimuambia Fredy huku nikimpa mkono
Asante na pole kwa kasha kasha ulizozipata
Asanteni
Furaha ikaanza kuf uf uka tena kwenye f amilia yetu, madaktari wahapa ikuluwakaanzakunifanyia uchunguzi wamwiliwangu. Huna tatizo kubwa tutakupa dawa za kutuliza maumivu na
baada ya sikumbili tatu utakuwa salama
Shukrani dokta
Unatakiwa ukapumzike sasa mumewangu
Zari alizungumza huku akinitazama jinsi nilivyo lala kwenye hichi kitanda cha wagonjwa, taratibunikanyanyuka na kukaa kitako.
Saa ngapi saahizi?
Saakumi na mbili asubihi sasa
Ohooimekuwa sikungumukwangukusema kweli sijapata ona Ndiohivyomume wangu, ila hongera sana, umejitahidi kwa kweli
Asante baby
Taratibu Zari akanisogelea, akanibusu mdomoni mwangu. Nikashuka kitandani na tukaelekea chumbani kwetu. Maumivu ya kif ocha Rose kama alivyo nizibitishia baba hayakusita kuniumiza moyoni mwangu, ila sikuta kuendelea kuomboleza kwa maana ni maisha ambayoamejichagulia na alichokipata ni haki yake. Erick
Naam
Harusi yetu unahitaji iwe lini?
Mmmmmsikuyoyote
Sema bwana iwe sikugani kwa manaa ukisema iwe sikuyoyote unanipa wakatimgumu
Usijali Zari wangu, visa na visasi kwa sasa vimekwisha ni muda wa kula maisha, ngoja baba achague baraza lake la mawaziri,
naamimi baada ya serikali sasa kushika kasi ya utendaji wake
wakazi na sisi tutaf unga ndoa
Kweli mumewangu
Ndiobaby
Zari kwa f uraha akanikumbatia na kuanza kunibusumdomoni mwangu. Uhuuuuuuu
Vipi mumewangu
Kifua kinaniuma umeniminya sana
Ooohooo samahani mume wangu
Usijali
Tukagoge basi
Zari alizungumza hukuakianza kunivua nguozangutaratibu.
Baada ya muda tukabaki tukiwa hatuna nguo, kusema kweli uzuri waZari umezidi kuongezeka tof auti na hata alivyokuja akiwa mf anyakazi wandani katika nyumba ya wazaziwangu.
Mmmmmmmm
Nilijikuta nikitoa migunoya kimahaba baada ya Zari kuanza kumchua jogoowangukwa povula sabuni.
Una hamuna mimi?
Ndiomke wangu, japo ninaumwa ila.
Shi i i i i
Zari taratibuakageuka na kuninama kidogohukumkonommoja ukishika sinki la kuogea na mkono mwengine ukimshika jogoo wangu na kumzamisha kwenye kitumbua changu, nikataka kuanza kumshuhulikia, ila Zari akanizuia.
Tulia nimle mwenyewe
Zari alizungumza na kunif anya nimeze f umba la mate huku nikigema. Taratibuakaanza kukata kiunochake na kuyaf anya makalio yake makubwa kunipiga piga kwenye kwenye kiuno changu. Kwa raha ninayoipata nikajikuta nikichekelea kwa f uraha sana, hadi warabuweupe nikashindwa kuwazuia.
Umekuwa mtamu mkewangu
Kweli?
Yaaa
Utamuwote huuni kwa ajili yakomume wangu
Nashukurusana
Tukaoga taratibi, kisha nikatoka baf uni hukunikiyumba kwa kuchoka, moja kwa moja nikajitupa kitandani bila hataya kujif utamaji mwilini mwangu.
*** Miezi ikazidi kwenda mbele hukunchi ikiwa imetawaliwa na amani na ulinzi mkali ukiendelea kuboreshwa sikuhadi siku.
Furaha yangu ikazidi kuongezeka baada ya Zari kupata ujauzitona kwa maalezoya madaktari wameniambiakwamba mtotoaliyopotumboni ni mtotowakike.
Dokta achakunitani?
Kweli mtotoni wa kike, naaminiutakuwa na mtotomzuri kama mama yake
OhooMunguni mwema, ninapenda sana mtotowakike
Muangalie vile, mimi wa kwangua atakuwa ni Brian
Hahaaa wewe nizalie mama yangu
Tulizungumza kwa utani mbele ya daktari na kujikuta sote tukicheka sana.
Ila dokta hi mimba imemf anya mke wangukunichukia sana Hilo ni jambo la kawaida mbona baada ya hapo atakupenda kweli kweli
Nitashukurusana, kwa maana mama kijachoana kelele kweli kweli
Dokta huyomuongooo
Hahhaaaa
Kwenye maisha yangusijawahikupata f uraha kubwa kama hi , tukaagana na daktari na kutoka of isi kwake. Walinzi wa serikali wakaendelea kutulinda, sikutaka kuwapigia simu baba na mama kuwalezaujiowamjukuuwaowakike kwanininataka kuwaf anyia suprize.
Tukaf ika ikulu, maandalizi ya ujio wa raisi wa China yanaendelea kupamba moto, kwanibaada ya sikumbili raisi huyoataf ika kuf anya ziara ya sikumbili.
Usimuambie mama kama mtotowakoni wakike sawa
Namuambia
Usimwambie bwana
Wewe ngoja utaona tu
Ole wakoumuambie sintokuoa
Utanioa na tena ingekuwa siohili tumboungenioa
Hahaaaaa haya kapumzike mke wangu
Zari akaondoka sebleni na kuelea chumbani. Mudawa usiku ulipo wadia, katika wakati wa chakula nikawaleza baba na
mama juu ya ujiowamtotoambaye tunamtegemea kwamba ni
wa kike. Kila mmoja akajawa na f uraha kubwa sana, hata mwanangu Brian, naye akaf urahi sana juu ya ujio wa mdogo wake.
Utampa jina langu
Mama alizungumza hukuakinyanyuka kwenye kiti alichokikalia. Taratibuakalishika tumbola Zari na kuanza kusali sala iliyo tuf anya sote kuf umba machokwa maana mama anapenda sana maombi.
Amen
Sote tukaitikia baada ya sala kuisha.
Tena nilikuwa nimesahau, Erick nahitaji sikuya kumpokea raisi wa China twende sote uwanjawa ndege
Sawa baba hilohalina tabu
Babuna mimi?
Usijali na wewe utakwenda mjukuuwangu
Sawa
Mimi nitabaki na mkwe wangukwa manaa naona
munajipendelea wenyewe
Wewe ni mke wa raisi hutakiwi kubaki hapa, utakwenda.Zari mwananguumekasirika? Wala mimi ninawasikilizatu
Umeona hajakasirika
Siku ya kumpoke raisi wa nchi ya China ikawadia, tukajiandaa alf ajiri na mapema kwa maana raisi anaf ika uwanja wa ndege majira ya saa nne asubuhi. Ulinzi umezidi kuboreshwa huku wapelelezi wa Kichina wakiwa wametangulia kuja nchini wiki mbili kabla hata raisi wao hajaf ika. Majira ya saa tatu tukaingia kwenye gari ya raisi, na saf ari ya kuelekea uwanja wa ndege ikaanza.
Ziara ha raisi Cheng itatueletea maendelea makubwa snaa nchini kwetu
Baba alizungumza hukuakimtazama mama.
Kikubwa ni kumuomba Mungu mume wangu, kila jambo linawezekana ndiomanaa kila sikuninaf unga na kuomba kwa ajili ya maf anikioya nchi pamoja na f amilia yetu, sintoitaji yale yaliyo jitokeza kipindi unaingia madarakani yajitokeze tena.
Amen
Erick unahitaji naf asi yoyote serikalini?
Hapana baba yangu, mimi nitaendelea kuongozakampuni zangutu Kwa ninihutaki?
Sipendi maneno ya Watanzania na waandishi wa habari, wataanza kuiona serikali yakoni ya ubinaf si, wewe unatosha kuishuhulikia jami ”
Shukrani sana
Tukaf ika uwanja wa ndege na kukuta vikundi mbali mbali vya ngoma vikiwa vimejiandaa katika kuhakikisha vinatoaburudani kubwa kwa kiongozi kutoka chini. Tukaanza kutembea kwenye kapeti jekundu huku nikiwa nimemshika Brian mkono wake, huku baba na mama wakiwa wametangulia mbele na walinzi wametuzunguka. Mngurumo wa ndege kubwa ya raisi wa China ukaanza kusikika masikioni mwawatuwengi tuliof ika eneo hili, hukuwaandishiwahabari wakiwana kazi ya kuhakikisha
kwamba warekodi utuaji wa ndege hi . Kwa kasi ndege hi
ikaanza kutua katika ardhi ya Tanzania, taratibu ikaanza kupunguza kasi yake hukuikizunguka katika barabara maalumu zilizopo hapa uwanja wa ndege. Taratibu ndege ikasimama katika usawa wa zulia jekundu, ngazi maalumu zikawekwa, wakaanza kutoka walinzi wa kichina ambao ukiwatazama kwa haraka haraka sura zao zinaf anana, akatoka raisi Cheng akiwa ameongozana na mke wake, akaanza kupunga mkono kwa watu walipo eneo hili, wakanza kushuka taratibu na wakakutana na baba, wakapena mikono huku wakif urahi sana. Wakaanza kutambulishana wake zao kisha wakanif wata mimi. Baba akanitambulisha kwa raisi huyu huku akinipa mkono, nikasalimiana naye, akamtambulisha kwa Briankisha akaaf wata kwa viongozi wengine wa kijeshi namkoa. Simu yangu ikaanza kuita taratibu, nikamtazama baba na raisi
Cheng, nikawaona wapombali kidogo. Nikaitoa simumf ukoni na kukuta ni namba ngeni ndio inayo nipigia, taratibu nikaipokea na kuiweka sikionimwangu.
Haloo
Nilizungumza hukunikiendelea kuwatazama baba na raisi mwenzake.
Erick sina muda wakutosha katika kuzungumza hili ila baba yako na raisi Cheng wapo kwenye hatari ya kuuliwa, hapo uwanja wa ndege kuna gaidi ametumwa kwa ajili yakuwaua
Rose
Nili ta kwa mshangao, kwanisauti ni ya Rose, nikatazama watu hawa wanacheza cheza ngoma, wala sikuona mtu yoote wa kumtilia mashaka jambolilonif anya kumuachia mkonoBrianna kuanza kutembea kwa haraka nikimf wata baba huku macho yangunikiendelea kuwatazama watuhawa waliokuja kumpokea
raisi Cheng, kwa bahati nzuri nikamuona mtu mmoja akiwa ameshika bastola yake tena kwa siri sana.
Bababa..
Nili ta kwa sauti ya juuu ila nikajikuta nikiwa nimechelewa kwaninikamshuhudia baba yanguakianguka chini, jambolililo waf anya walinzi wote kuchomoa bastola zao huku wengine wakimuweka katikati raisi Cheng kwa kumzunguka pasipo kuacha naf asi yoyote ya yeye kuonekana.
ITAENDELEA
 
AM NOT A DOCTOR 45


ILIPOISHIA
Rose
Nili ta kwa mshangao, kwanisauti ni ya Rose, nikatazama watu hawa wanacheza cheza ngoma, wala sikuona mtu yoote wa kumtilia mashaka jambolilonif anya kumuachia mkonoBrianna kuanza kutembea kwa haraka nikimf wata baba huku macho yangunikiendelea kuwatazama watuhawa waliokuja kumpokea raisi Cheng, kwa bahati nzuri nikamuona mtu mmoja akiwa ameshika bastola yake tena kwa siri sana. Bababa..
Nili ta kwa sauti ya juuu ila nikajikuta nikiwa nimechelewa kwaninikamshuhudia baba yanguakianguka chini, jambolililo waf anya walinzi wote kuchomoa bastola zao huku wengine wakimuweka katikati raisi Cheng kwa kumzunguka pasipo kuacha naf asi yoyote ya yeye kuonekana.
ENDELEA
Nikakimbilia hadi eneo alilo angukia baba, walinzi wake wakanisogeza eneo alilo angukia baba na wala sikuweza kumuona kama emejeruhiwa au laa. Nikawaona walinzi wengine wakimchukua mwanangu, pamoja na mama na kuanza kuwatoa katika eneo la uwanja wa ndege, wacheza ngoma nao wametawanyika kila mtu anajiaribukuyaokoa maisha yake kwa maana ni hali ya kutisha kwa kweli. Walinzi wengine wakanza kunishika kwenye mikono yangu na kuanza kunikimbiza, sikuweza kuf anya chochote zaidi ya kubaki kuf wata wanacho kif anya. Wakaningiza kwenye gari, nikamkuta Brian akiwa analia dereva akaondoka eneo hili la uwanja wa ndege. Dereva unatupelekawapi?
Muheshimiwa unatakiwa kuelekea eneosalama nje na uwanja huu wandege
Mama yanguna baba yangunaovipi?
Ni ngumukuzungumza kwa sasa kwa maana jukumulanguni kukupeleka wewe eneosalama
Nikaitoa simuyangumf ukoni, nikampigia msichana ambaye sauti yake inaf anan akabisa na Rose, ambaye baba yangu alinihakikishia kwamba amesha fariki. Kwa bahati mbaya simu yake haipatikani, nikajaribu kurudi zaidi ya mara sita ila haipatikani.
Shiti i
Nilizungumza hukunikikunja ngumi mkonowanguwa kushoto.
Nikamnyanyua Brian na kumpakata mapajani mwangu.
Usilie mwanangu nisalama
Simuyanguikaita na kukuta ni Zari ndioanaye piga simu, nikaipokea na kuiwekasikioni.
Erick ni nini kinachoendelea mbona watuwanatawanyika na cheneli zimekata? Hakuna kitumke wangu
Erick acha uongo, nimemuona baba akianguka, niambie nikitu
gani kinachoendelea na mbona Briananalia?
Zari tumevamiwa, baba sijajua kama amepigwa risasi au hajapigwa, na walasielwei
OhooMunguwangu, nikasikia kishindokizito
Zari, Zari, Zari
Nili takwa nguvu, ila sikusikia chochote.
Dereva twende moja kwa mojaikulu
Sawa mkuu
Ongeza mwendobasi
Nilimsisitizia dereva, akati amri yangu, akili yangu ninahisi
kuchanganyikiwa. Dereva akajitahidi kupita njiaanazo zif ahamuyeye hadi tukaf anikiwa kuf ika ikulukwa muda mf upi tu. Nikamuweka Brian kwenye siti ya pembeni na hata kabla gari halijasimama vizuri, nikashuka kwa kuruka na kuanza kukimbilia ndani.
Zari
Nili ta kwa nguvu, moja kwa moja nikapitiliza hadi chumbani kwangu, nikamkuta Zari akwia amelala chini hukudamuzikiwa zimesambaa chini. Zari, Zari, Zarii i i i
Nili ta kwa nguvuila Zari hakuitikia, nikamchunguza na kukuta damu zinatoka kwenye sehemu zake za siri, kwa nguvu nikamnyanyua na kutoka naye chumbani.
Jamani msaadaaa
Nilita, wafanyakazi waikulukwa haraka wakaanzakunisaidia, tukamkimbiza Zari hadi kwenye hospitali ndogo iliyopo hapa ikulu. Madaktari kwa haraka wakaanza kumpatia hudumu. Muheshimiwa tunakuomba utusubirie nje ya chumba hichi
Sawa dokta hakikisha unaokoa maisha yamke wnagu Usijali tutaf anya kila liwezekanalona kama kutahitaji msaada wako basitutakujulisha
Nakushukuru sana dokta, nikatoka nje ya chumba hichi na mlangoukaf ungwa, nikamuona Brianaliletwa sehemunilipona dereva aliye tuf ikisha hapa ikulu. Kwa haraka nikamkumbatia mwanguhukumachoziyakinimwagika. Furaha ambayotulianza nayo siku imebadilika gaf la na kwa sasa imekuwa ni majonzi.
Dany, mama yupowapi?
Swali la Brianlikanif anya nikae kimya kwa sekunde, nikajif uta machoziyanguhukunikitaf uta sehemuya kukaa. Nikaka kwenye kiti cha pembeni ya hi chumba, nikampakatatena Brianhukunikimtazama usoni mwake.
Mama ameenda sokoni kidogokukununulia soda
Mbona soda baba zipokwenye f riji?
Wageni wamezinywazimeisha
Mbona babuameanguka pale amejikwaa?
Nikashusha pumzi hukunikimtazama mwananguhuyumwenye uwezo mkubwa wa kuelewa matukio japo ni mtoto mdogo. Ahaa babu yako uzee kidogo unamsumbua ndio maana akaanguka
Akija nitamuambie tuf anyemazoezi
Yaa utakimbia naye kule gymsawa mwanangu
Sawa
Mlango ukafunguliwa kwa haraka akatoka daktari, nikasimmaa hukunikimbeba Brian, dokta akamtazama Briannikajua ni kutugani anamaanisha.
Briannenda na ankoukacheze naye game kwenye videoehee
Sawa nataka kuchela ile cal of duty
Sawa mwanangu, mutacheza ehee sawa. Hakikisha unawaua majambazi Sawa Dany
Brian akanipa tano kisha akaanza kuongozana na dereva huyu aliye tuleta, nilipohakikisha wapifika mbali nikamtazama dokta. Muheshimiwa tunatakiwa kumuwahisha mke wako hospitali kwa maana, tusipo angalia tunaweza kumpoteza mama na mtoto wa tumboni
I.ina maaana ame angukia tumbo?
Ndioila ninachokumba hivi sasa, tupate msaada wahelicopter, tumuwahishe hospitali
Sawa dokta
Nikatoa simuna kumpigia dokta Benjamini, simuyake ikaita
kwa muda kisha ikapolekewa.
Dokta upowapi?
Nipo chumba chamawasililiano
Dokta mke wangu amaengukia tumbo na yupo katika hali mbaya, ninakuomba unisaidie kupata helicopter tumuwahishe hospoutali kubwayoyote
Erick ina maana..ahaaa ngoja ninakuja sasa hivi waambie wamuandae
Sawa dokta
Simu ikakatwa, nikamtazamadokta.
Ninaweza kumuona mke wangu?
Bado yupokatika uangalizi wamadaktari?
Dokta hata mimimwenyewe nilisomea udaktari kwa mbali japo
siupendi, ila ninakuomba nimtazame mke wangu
Nilizungumza kwa msisitizo, dokta akanipisha mlangonina nikaingia ndani. Nikakuta manesi wakiwa wamesimamapembeni ya kitanda hichi, hata kabla sijamgusa, mlango ukaf unguliwa, akaingia dokta Wiliam, kwa haraka akasimama pembeni ya kitanda na kuanza kumtazama tazama Zari kwa jinsi anavyo weza yeye.
Kuna uwezekanowakuwakoa wote wawili pasipomtotokutoka
Kweli dokta?
Ndio, helicopter ipo uwanjani, mpelekeni huko, nimezungumza na uongozi wa Agakhan na watampokea haraka iwezekanavyo
Ohoooshukrani sana baba yangu?
Kitanda kinza kuwekwa sawa na hawa manesi, kishawakaanza kukisukuma. Tukatoka katika chumba hichi hukunikiwa tumeongozana na doktaWiliam. Muheshimiwa raisi yuposalama
Kweli dokta?
Yaa risasi imeweza kutua kwenye bul et proof aliyoivaa ndani ya suti yake, kwa hiyousiwe na wasiwasi
OhoooMunguni mwema?
Yaa
Ila dokta huyuameniambia kwamba tunaweza kumpoteza mke wangua aumtoto?
Amesomea maswala ya viungo, mamboya uzazi hayawezi
Shukrani dokta
Zari akingizwa kwenye helicopter hi ya raisi, taratibu tukaanza kuondoka eneohili la ikuluna kumuacha dokta Wiliam kuendelea na majukumu ya kikazi yanayo takiwa kuendelea hapa ikulu.
Tukapokelewa katika hospitali ya Agakhan,Zari akakimbizwa katika chumba maalumu, na madaktari bingwa kwa haraka wakaanza kumpatia huduma kuhakikisha kwamba wana yaokoa maisha yake. Nikatoa simu yangu mf ukoni na kumpigia mama. Mama uposalama?
OhooonashukuruMungutuposalama sote, hapa tunajiandaa kurudi ikulu Poleni bwana
Asante, tumeambiwa kwamba mupoikulu?
Ndiomama
Sawa tutawakuta hapomuda si mref u
Sawa
Nikakata simu, sikuhitaji kumueleza mama chochotekilicho mpata mkwe wake.
Pole
Nikaisikia sauti ya kike pembeni yangu, nikageuka na kumkuta msicha amevalia baibui lililof icha sura yake na kumbakisha
macho yaketu.
Asante
Nilizungumza kwa unyonge, sishangai sana kwani kwenyehi hospitali watuwenye asili ya uarabuni wengi na kuvaa baibui zilizof unika hadi sura zaoni jambola kawaida sana.
Baba yakoanaendeleaje?
Msichana huyualivyozungumza manenohaya, kidogondio akanistua kwanisauti yake ni Rose kabisa.
Rose
Nilizungumza hukunikitaka kumfunua sura yeke ila akaniwahi kunizuia kwa mkonowake.
Usijaribukunifunua sura yangukwa maana ninaweza kuuwawa?
Ila nasikia kwamba umekufa?
Hapana sijakuf a, baba yakoaliweza kunisamehe mimibaada ya kumf anikishia kumkamata mume wangu na kumuua Nikabaki nikiwa nimeshikwa na bumbuazi kubwasana.
Kama hutojali ninakuomba tukazungumze sehemunje ya hapa
Siwezi kuondoka hapa kwa sasabusikuamini
Niamni Erick, mimisiogaidi kama mwanazonimeweza kutubu dhambi zangu, na ninahitaji kuishi maisha ya amani na utulivu,
ninahitaji kuisaidia serikali ya baba yako, kwa maana
amenitendea makubwasana
Kwa nini umesema kwamba wanatakakukuua?
Kwa sababu, wanahitaji kuf anya hivyoili kulipiza kisasi cha
kuuwawa kwa mume wangu
Sasa wewe wamejuaje kwambauliwasaliti?
Erick hi ni habari ndef usana, ninakuomba tutaf ute sehemu tuzungumze
Sijamaliza maswali yangu, na kwa nini uliamua kuzimasimu
baada ya kukupigia?
Ni kweli imenibidi kuf anya hivyokwa usalama wanguna hata
laini yenyewe niliyo itumia nilisha ivunja vunja na kuitupilia mbali. Erick ninaishi kama kunguru kwa sasa, maisha yangu yameharibika, nimekuwa ni mtu wakukimbia hovyohovyo, sina msaada wowote
Rose yaani akili yangusijui utaif anya nini hadi ikuamini, mke wangukwa sasa yupohapa, ngoja akiaka nijue hali yakobasi nawe ndio ninaweza kukufikiria
Hilohalina shida Erick, natambua kwamba huna mapenzi na mimi, japoulijaribukuf anya mengi kwa ajili yangu
Hayoyamesha pita Rose
Nahitaji kuondoka, ninahisi watanikuta hapa,samahani kwaheri
Sasa nitakupataje?
Mimi nitakutafuta
Rose akanyanyuka na kuondoka, ukiachilia sauti yake tu iliyo nif anya nimuaminikwamba ni yeye ila hata tembea yake ni ile ile haijabadilika kabisa.
Nikamsindikiza Rose kwa machohadi akakunja kona kulia, taratibu nikasimama na kuanza kutembea kuuf wata huu mlangoalioingizwa Zari, nikachungulia kwenye kioona kuona madaktari wanavyo endelea kumapatia huduma Zari. Simu ikaita na kukuta ni mama ndioanaye nipigia. Erick upowapina huyumkeombona siwaoni?
Mama
Vipi mbona unazungumza kinyonge, vipi upowapi?
Nipohospitali
Hospitali?
Ndiomama
Erick usitake kuniambia kwamba mkwe wanguanajif ungua kabla ya mudawake?
Ni mstukotu mama ila haliyake madakatari wanaishuhulikia
Ngoja nije?
Hapana mama wewe endelea na sherehe nitahakikishakila jambo linakwendavizuri
Una uhakika na unachokizungumza?
Ndio mamaniamini
Ngoja nimuambie baba yako
Hapana mama kaa nalotu moyoni utamuambia badae mambo yatakapo kaavizuri
Sawa
Nikakata simu na kuirudisha mf ukoni. Masaa yakazidi kwenda huku nikisubiria majibu kutoka kwa madaktari hawa wanao mshuhulikia mke wangu. Mlango ukaf unguliwa, akatokadaktari mwenye miwani kubwa kiasi usonimwake.
Hali ya mke wanguina endeleaje?
Tunamshukuru Mungu tumeweza kuhakikisha kwamba tunamlinda mama na mwanaye na baada yamasaa kadhaa atazinduka kutoka usingizini
Kwa hiyodamuzilizotoka, unataka kuniambia hazijamdhuru mke wangu wala kiumbe kilichopo tumboni? Ndio tuna uhakika na tunacho kizungumza
Shukrani sanadokta
NikamuonaCesilia akija katika kordohi , akanikaribia na kunikumbatia kidogohukuakinipiga busula shavuni.
Za masiku?
Salama tu niambie
Saf i pole kwa matatizo, mume wanguamenipigia na kuniomba nije kuwaf ariji hospitalinihuku
Yaa vipi mbona siwaoni walinziwako?
Nimewaacha kwenye gari si unajua kwamba sipendi kulindwa lindwa
Lindwa bwana hali ya usalama sionzuri
Ahaaa nitajilinda mwenyewe, ehee mamakijacho anaendeleaje?
Dokta hapa alikuwa ananieleza kwamba hali yake ipovizuri kwa sasa na anaweza kuzinduka baada ya muda mf upi Ahhaaa sawa, tutaweza kutoka kidogona kuzungumza?
Hakuna shaka
Tukaanza kuongozana na Cesilia hadi sehemuiliyotulia kwenye hi kordohukumachoyangumara kwa mara nikiyaelekezea kwenye mlangowachumba alicholazwa Zari. Erick ninakukumbuka sana sikuile chumbani?
Taf adhali Cesilia kama mazungumzo ni hayo ninakuomba basi uyasitishe kwa sasa taf adhali kichwa changu hakipo sawa Natambua kwamba hakipo sawa, ila ninakuomba basiunisikilize hisia zangu, nimekuwa ni mtu wa kujitia vidole kila siku ninachoshwa na hi hali kwa nini usinipatie japo kidogo kwa siku ya leo hi ambayoupof ree
Cesilia una takakunionyesha picha gani lakini, ikiwa unatambua wazi siku ile tulif anya kimakosa tuehee? Erick mimi ni mwanamke nina jiamini, mwanamkeninaye tamaniwa na watukila kukicha, iweje wewe leoninakupa naf asi kama hi na unaikataa. Leomume wangu harudi nyumbani twende basi sehemuukanipa jepo baomoja tu
Siwezi, pi ninamkosea mke wanguna kiumbe changukilichopo tumboni mwake. Ninacho kuomba wewe enda nyumbanikama umeshindwa kuja kunif arijihapa
Nilizungumza kwa msisitizona kuondoka eneo hili. Nikiwa ninakaribia kuf ika katika kiti nilichokuwa nimekalia simuyangu ikaita, nikaitoa mf ukoni na kukuta namba mpya, nikaipokea na kuweka simuyangusikioni.
Halooo
ERICK WANANIUAWANAJIU WATUHAWANAOMBA MSAADA
WAKOTAFADHALIII
Nili sikia sauti ya Rose akilalamika kwa kulia, jambolililo nif anya nihisi msukumowakwenda kumsaidia na kuyasahau yote mabaya aliyoyaf anya kwenye maisha yake.
ITAENDELEA
 
AM NOT A DOCTOR 46

ILIPOISHIA
Erick mimi ni mwanamke nina jiamini, mwanamke ninaye tamaniwa na watukila kukicha, iweje wewe leo ninakupa naf asi kama hi na unaikataa. Leo mume wangu harudi nyumbani twende basi sehemuukanipa jepo baomoja tu
Siwezi, pi ninamkosea mke wanguna kiumbe changukilichopo tumboni mwake. Ninacho kuomba wewe enda nyumbanikama umeshindwa kuja kunif arijihapa
Nilizungumza kwa msisitizona kuondoka eneo hili. Nikiwa ninakaribia kuf ika katika kiti nilichokuwa nimekalia simuyangu ikaita, nikaitoa mf ukoni na kukuta namba mpya, nikaipokea na kuweka simuyangusikioni.
Halooo
ERICK WANANIUAWANANIUWATUHAWANAOMBA MSAADA
WAKOTAFADHALIII
Nili sikia sauti ya Rose akilalamika kwa kulia, jambolililo nif anya nihisi msukumowakwenda kumsaidia na kuyasahau yote mabaya aliyoyaf anya kwenye maisha yake.
ENDELEA
Upowapi?
Niiponipokwenye gari languwananifukuzia kwa nyuma
Unaelekea wapisasa
Naelekea maeneoya mbezi
Wanaokuf ukuza wapowangapi?
Zipo garimbili
Poa ninakuja
Nikakata simuna kuanza kuf wata Cesilia sehemua aliyo simama.
Cesilia ninaomba uniazime garilako
Gari langula nini?
Kuna sehemuninahitaji kuwahi
Hahaa unamuacha mke wakopeke yake si ndio? Cesilia alizungumza kwa nyodo, nikamtazama kwa sekunde kadhaa usoni mwake. Taratibu nikamshika mkono wake na kuanza kuuminya minya.
Taf adhalimpenzi naomba gari lako, leotukipata muda
nitakupa raha hadi wewe mwenyeweuchoke
Kweli Erick
Ndio mpenzi wangu, naombaunisaidie
Cesilia akaka kimya kwa muda hukuakinitazama usoni mwangu.
Ok
Cesilia alizungumza hukuakianza kutangulia kwenda nje na mimi nikaanza kumf wata kwa nyuma. Tukaf ika kwenye maegesho ya magari na kuwakuta walinzi wake wakiwa wamesimamanje ya gari aina ya BMWX6.
Jery mpe f unguohuyu
Habari yakomuheshimiwa?
Salama
Jey akanipatia f unguo, nikaf ungua mlangowahili gari kabla ya kuingia nikamtazama Jery Nisaidie silaha yako
Erick silaha ya nini tena?
Cesilia aliniuliza hukuakiwa amenitolea macho.
Ninahitaji kujilinda, samahani Jery nipatie silaha Jery taratibu akachomoa bastola yake kiunoni mwake na kunipatia. Nikaingia ndani ya gari, nikaliwasha na kugeuza kwa haraka. Nikaondoka eneo hili kwa kasi, nikaipiga namba ya simu ya Rose,ikapokelewa. Umef ikawapi?
Niposehemunimewapoteza
Sehemu gani, miminiponjiani ninakuja?
Nimesimama hapa triple H, kwa ndani
Ninakuja sasa hivi nisubiri hapo hapo
Sawa
Rose alizungumza kwa sauti yawoga sana. Kwa uhadari wangu wakuendesha nikabafanikiwa kuf ika Triple H, haraka sana, nikatoa simuyanguna kumpigia Rose.
Upowapi?
Nipondani ya gari hi ISST rangi nyekunduumeniona?
Ndio
Nilizungumza huku nikianza kulisogela garihilo, nikasimamisha gari pembeni ya gari hili. Nikashuka kwenye hili gari na kuchunguza eneo zima, kila mtunikaona anaendelea na shuhuli zake, kwa ishara nikamuomba Rose kushuka kwenye gari. Kwa haraka akashuka na kuingia kwenye gari nililo kuja nalo, nikaingia na kuondoka eneohili.
Vipi wamekudhuru?
Hapana, ila kusema kweli ninaishi kwa shida Erick yaani sijui hata nif anyenini? Usijali nitakulinda
Nilizungumza hukunikimtazama Rose usoni mwake,hata baibui alilo kuwa amejif unika usoni mwake amelivua. Ukimya ukatawala ndani ya gari huku nikif ikiria ni sehemu gani ninaweza kumepelea Rose. Samahani kwakukusumbua
Rose alizungumza kwa sauti ya unyonge hukuakishusha pumzi
Usijali
Natambua kwamba nilijaribu kuwa mjinga sanawa kujawa na chuki moyoni mwangudhidi yako. Ila sikuwa ni mimi Hukuwa ni wewekivipi?
Ni yule shetani alijaribukunitumia na kuningiza katika kazi
zake ambazo zilizidi kunipa chuku siku hadi siku
Ulimpenda?
Hapana sikumpenda, ila aliniahidi kwamba atanisaidia katika
kulipiza kisasi na hayo ndio yalijitokea
Ilikuwa sasa mtuakakupeleka kama hivyo?
Umasikini mbaya Erick, baada ya wewe kunitoroka,nilishindwa kabisa kuyahimili maisha mimi na mama yangu, nasikutaka kuwa malaya wa kujiuza
Rose alizungumza hukumachoziyakimlenga lenga machoni mwake.
Nitakuchukulia chumba hapo Serena, nitakuomba ukaehapo hadi pale nitakapokutaf utia nyumba ambayounaweza
kujif icha kwa miakamingi
Nitashukuru sanaPeter
Tukaf ika katika hoteli ya Serena, nikaitazama vizuri hoteli hi ambayo nakumbuka ilisha wahi kutupa sekeseka siku ambayo magaidi waliwezakuf anya shambulizila bomukatika mkutano wa kisiasi wa baba yangu.
Erick, Erick
Naaa
Mbona hatushuki?
Rose aliniuliza hukuakinitazama usoni mwangu.
Hamna
Nikaf ungua mlangowagari, nikaicha bastola ndani ya gari kwa
maana katika hi hoteli kuna ulinzi mkali. Moja kwa moja tukaf ika hadi mapokezi hukuRose akijitahidi muda wote kuto watazama watu usoni mwake, kwani sura yake nina imani sio ngeni kwenye machoya watuweni.
Ninahitaji chumba
Sawa kaka unaweza kuf anyamalipo
Hapa sina pesa dada yanguna wala sina kadi yoyote ya kibeki, kama unaweza kuniamini nipatie chumba kisha nitakueletea pesa yako
Samahani kaka yangu, hapa hatuna huduma kama hiyoya
kuamini ana bila ya kutokuf anya malipo?
Meneja wakoyupo?
Ndio
Wasiliana naye nitazungumza naye mimimwenyewe
Sawa, ila samahani kwa usumbufu
Hakuna tabudada yangu
Sikutaka kujitambulisha kwamba mimini mtotowaraisi kwa maana sipendi kujikweza kabisa mbele zawatu.
Anakuja
Dada huyualizungumza mara baada ya kuurudisha mkonga wa simu yamezani.
Nashukuru
Munaweza kukaa hapokwenye masofa
Asante
Nikamshika mkonoRose na kukaa kwenye moja ya sof a.
Naona hakuna mtu hata mmoja ambaye amekustukia. Yaaa baba yakokipindi kile kwenye hotuba yake alitangaza kwamba mimina mume wangutumeuwawa nahisi ndiomaana watuhawana habari na mimi Sasa hapa hakikishi hutokindani
Sawa
Nikamuona mzee mmoja aliye valia suti nyeusi akisimama usawa wa msichana huyu wa mapokezi akazungumza naye kidogona kutunyooshea kidole sisi. Nikasimamamhuku
nikimtazama mzee huyuusoni mwake, akaonekana kama kunifahamuila hana uhakika na mimi.
Habari yakokijana
Salama shikamoo muheshimiwa
Marahaba, ndio nikusaidienini?
Ninahitaji chumba mzee wangu, ila sina pesakwa sasa, ninahitaji uaminif u wenukatika hili
Kijana kusema kweli siwezikuruhusuhilojambokwa maana ni nje ya taratibuya hoteli na kumbuka hi ni hoteli kubwa tof auti na hoteli nyingine.
Nalitambua hilomzee ndiomaananikaja kwenye hoteli yako, ninakuomba uweze kunipatia chumba, hata mukinipa masaa machache nitarudi ikuluna kuhukuchua kadi yanguya malipo na mutakuja kuf anyamalipo
Ngoja kwanza umesemaikulu!!?
Mzee huyualiniuliza kwa mshangaokidogo.
Ndioikulu, mimini Erick Almeida
Ohoosijajua aisee, ndiomaana nilikuwa ninakuf ananisha
kwamba wewe ndiomwenyewe aulaa
Ndiomimi mzee
Samahani bwana kwa usumbufu
Ritha hembumpatie chumba cha hali ya juu, huyuni mtotowa raisi bwana
Mzee huyualizungumza na kuwafanya watuwengine ambao wapokatika hili eneokunitazama. Watubaadhi wakaanza kunongonezana huku wakininyoosheakidole.
Funguo hi hapa
Ritha alinikabidhi f unguohukuakitabasamutof auti kabisa na nilivyof ika hapa. Asante dada
Tuongozane aisee
Kwa ishara nikamkonyeza Rose, akaanyanyuka alipokaa na kuanza kutuf wata kwa nyuma. Tukaingia kwenye lf ti wote watatu.
Unajua watuwengi tunampenda sana baba yakojapo anakutana na changamotonyingi ila Watanzani badotutazidi kumuombea na ninaimani wale waovu wote wanao muwinda watachukuliwa sheria kali
Kweli mzee
Ila kwa kile kilichotokea leouwanja wa ndege vipi kuna hatua zozote ambazozimechukuliwa?
Kwa kosa kama lile ni lazima muhisikaatashuhulikiwa?
Ni nini huyoaliye f anya hivyo?
Sijaf ahamumzee wangu
Rose akanikanyaga kidogokwenye mguuwanguna kunifanya nimtazame, akanitingisha kichwa akiniomba nisiendelea kumjibumaswalimzee huyukwa maana anaonekana ni mdadisi sana wamambo.
Naona hatujapata tena ya raisi waChina kulala hapa, vipi
amelala sehemu nyinginenini?
Samahani mzee wangu, mambomengini hayoni ya usalama wa
taif a kusema kweli mimiu wala sif ahamu hata atalala wapi Samahani kijana kwa maswali yangu mengi, si unajua f uraha niliyonayokukutana na wewe
Nashukurumzee wangu, sikukabla haijaisha nitahakikisha kwamba ninawaletea pesa yenu
Hapana kijana wewe unaweza kukaa hadi wiki mzima bilahata ya kulipa na huduma zote za chakula itakuwa juu ya hoteli Usijali mzee wangu ila nitahitaji nikulipe kama watu wengine wanavyof anya malipo
Hapana bwana nanivile
Erick
Erickusijali katika hilo
Nashukuru
Lif ti ikaf unguka tukatoka wote watatu tukatembea hadi chumba kilipo, akatukaribisha na yeye akaondoka kablahata ya kuingiandani.
Erick nina mawazomabaya na huyumzee
Mawazogani?
Simuamini kabisa, inakuwaje anahiji hoji maswalimengi sana
kama vile anahitaji kuf anya jambof ulani Rose alizungumza hukutuki ngia ndani.
Usijali nitalichukuliauangalizi
Nikauf unga mlangokwa ndani na kukaa kwenye moja ya sof a, Rose akaka kwenye sof a linalotazamana na hili langu. Kwa nini wanakuwinda, sababuni hiyoya kumsaliti aliyekuwa mume wakoaua kuna nyingine tof auti na hiyo?
Sababu nyingineipo?
Sababugani?
Rose akaka kimya kwa sekunde kadhaa hukuakinitazama usoni mwangu. Akasimama wima na taratibu akaanza kuvungu nguo moja baada ya nyingine jambo lililo nif anya nisimame kwa haraka nikitaka kumzuia asif anye hivyo kwani kwa sasa sipo katika utayari wakuf anya naye mapenzi kabisa.
ITAENDELEA
 
AM NOT A DOCTOR 46

ILIPOISHIA
Erick mimi ni mwanamke nina jiamini, mwanamke ninaye tamaniwa na watukila kukicha, iweje wewe leo ninakupa naf asi kama hi na unaikataa. Leo mume wangu harudi nyumbani twende basi sehemuukanipa jepo baomoja tu
Siwezi, pi ninamkosea mke wanguna kiumbe changukilichopo tumboni mwake. Ninacho kuomba wewe enda nyumbanikama umeshindwa kuja kunif arijihapa
Nilizungumza kwa msisitizona kuondoka eneo hili. Nikiwa ninakaribia kuf ika katika kiti nilichokuwa nimekalia simuyangu ikaita, nikaitoa mf ukoni na kukuta namba mpya, nikaipokea na kuweka simuyangusikioni.
Halooo
ERICK WANANIUAWANANIUWATUHAWANAOMBA MSAADA
WAKOTAFADHALIII
Nili sikia sauti ya Rose akilalamika kwa kulia, jambolililo nif anya nihisi msukumowakwenda kumsaidia na kuyasahau yote mabaya aliyoyaf anya kwenye maisha yake.
ENDELEA
Upowapi?
Niiponipokwenye gari languwananifukuzia kwa nyuma
Unaelekea wapisasa
Naelekea maeneoya mbezi
Wanaokuf ukuza wapowangapi?
Zipo garimbili
Poa ninakuja
Nikakata simuna kuanza kuf wata Cesilia sehemua aliyo simama.
Cesilia ninaomba uniazime garilako
Gari langula nini?
Kuna sehemuninahitaji kuwahi
Hahaa unamuacha mke wakopeke yake si ndio? Cesilia alizungumza kwa nyodo, nikamtazama kwa sekunde kadhaa usoni mwake. Taratibu nikamshika mkono wake na kuanza kuuminya minya.
Taf adhalimpenzi naomba gari lako, leotukipata muda
nitakupa raha hadi wewe mwenyeweuchoke
Kweli Erick
Ndio mpenzi wangu, naombaunisaidie
Cesilia akaka kimya kwa muda hukuakinitazama usoni mwangu.
Ok
Cesilia alizungumza hukuakianza kutangulia kwenda nje na mimi nikaanza kumf wata kwa nyuma. Tukaf ika kwenye maegesho ya magari na kuwakuta walinzi wake wakiwa wamesimamanje ya gari aina ya BMWX6.
Jery mpe f unguohuyu
Habari yakomuheshimiwa?
Salama
Jey akanipatia f unguo, nikaf ungua mlangowahili gari kabla ya kuingia nikamtazama Jery Nisaidie silaha yako
Erick silaha ya nini tena?
Cesilia aliniuliza hukuakiwa amenitolea macho.
Ninahitaji kujilinda, samahani Jery nipatie silaha Jery taratibu akachomoa bastola yake kiunoni mwake na kunipatia. Nikaingia ndani ya gari, nikaliwasha na kugeuza kwa haraka. Nikaondoka eneo hili kwa kasi, nikaipiga namba ya simu ya Rose,ikapokelewa. Umef ikawapi?
Niposehemunimewapoteza
Sehemu gani, miminiponjiani ninakuja?
Nimesimama hapa triple H, kwa ndani
Ninakuja sasa hivi nisubiri hapo hapo
Sawa
Rose alizungumza kwa sauti yawoga sana. Kwa uhadari wangu wakuendesha nikabafanikiwa kuf ika Triple H, haraka sana, nikatoa simuyanguna kumpigia Rose.
Upowapi?
Nipondani ya gari hi ISST rangi nyekunduumeniona?
Ndio
Nilizungumza huku nikianza kulisogela garihilo, nikasimamisha gari pembeni ya gari hili. Nikashuka kwenye hili gari na kuchunguza eneo zima, kila mtunikaona anaendelea na shuhuli zake, kwa ishara nikamuomba Rose kushuka kwenye gari. Kwa haraka akashuka na kuingia kwenye gari nililo kuja nalo, nikaingia na kuondoka eneohili.
Vipi wamekudhuru?
Hapana, ila kusema kweli ninaishi kwa shida Erick yaani sijui hata nif anyenini? Usijali nitakulinda
Nilizungumza hukunikimtazama Rose usoni mwake,hata baibui alilo kuwa amejif unika usoni mwake amelivua. Ukimya ukatawala ndani ya gari huku nikif ikiria ni sehemu gani ninaweza kumepelea Rose. Samahani kwakukusumbua
Rose alizungumza kwa sauti ya unyonge hukuakishusha pumzi
Usijali
Natambua kwamba nilijaribu kuwa mjinga sanawa kujawa na chuki moyoni mwangudhidi yako. Ila sikuwa ni mimi Hukuwa ni wewekivipi?
Ni yule shetani alijaribukunitumia na kuningiza katika kazi
zake ambazo zilizidi kunipa chuku siku hadi siku
Ulimpenda?
Hapana sikumpenda, ila aliniahidi kwamba atanisaidia katika
kulipiza kisasi na hayo ndio yalijitokea
Ilikuwa sasa mtuakakupeleka kama hivyo?
Umasikini mbaya Erick, baada ya wewe kunitoroka,nilishindwa kabisa kuyahimili maisha mimi na mama yangu, nasikutaka kuwa malaya wa kujiuza
Rose alizungumza hukumachoziyakimlenga lenga machoni mwake.
Nitakuchukulia chumba hapo Serena, nitakuomba ukaehapo hadi pale nitakapokutaf utia nyumba ambayounaweza
kujif icha kwa miakamingi
Nitashukuru sanaPeter
Tukaf ika katika hoteli ya Serena, nikaitazama vizuri hoteli hi ambayo nakumbuka ilisha wahi kutupa sekeseka siku ambayo magaidi waliwezakuf anya shambulizila bomukatika mkutano wa kisiasi wa baba yangu.
Erick, Erick
Naaa
Mbona hatushuki?
Rose aliniuliza hukuakinitazama usoni mwangu.
Hamna
Nikaf ungua mlangowagari, nikaicha bastola ndani ya gari kwa
maana katika hi hoteli kuna ulinzi mkali. Moja kwa moja tukaf ika hadi mapokezi hukuRose akijitahidi muda wote kuto watazama watu usoni mwake, kwani sura yake nina imani sio ngeni kwenye machoya watuweni.
Ninahitaji chumba
Sawa kaka unaweza kuf anyamalipo
Hapa sina pesa dada yanguna wala sina kadi yoyote ya kibeki, kama unaweza kuniamini nipatie chumba kisha nitakueletea pesa yako
Samahani kaka yangu, hapa hatuna huduma kama hiyoya
kuamini ana bila ya kutokuf anya malipo?
Meneja wakoyupo?
Ndio
Wasiliana naye nitazungumza naye mimimwenyewe
Sawa, ila samahani kwa usumbufu
Hakuna tabudada yangu
Sikutaka kujitambulisha kwamba mimini mtotowaraisi kwa maana sipendi kujikweza kabisa mbele zawatu.
Anakuja
Dada huyualizungumza mara baada ya kuurudisha mkonga wa simu yamezani.
Nashukuru
Munaweza kukaa hapokwenye masofa
Asante
Nikamshika mkonoRose na kukaa kwenye moja ya sof a.
Naona hakuna mtu hata mmoja ambaye amekustukia. Yaaa baba yakokipindi kile kwenye hotuba yake alitangaza kwamba mimina mume wangutumeuwawa nahisi ndiomaana watuhawana habari na mimi Sasa hapa hakikishi hutokindani
Sawa
Nikamuona mzee mmoja aliye valia suti nyeusi akisimama usawa wa msichana huyu wa mapokezi akazungumza naye kidogona kutunyooshea kidole sisi. Nikasimamamhuku
nikimtazama mzee huyuusoni mwake, akaonekana kama kunifahamuila hana uhakika na mimi.
Habari yakokijana
Salama shikamoo muheshimiwa
Marahaba, ndio nikusaidienini?
Ninahitaji chumba mzee wangu, ila sina pesakwa sasa, ninahitaji uaminif u wenukatika hili
Kijana kusema kweli siwezikuruhusuhilojambokwa maana ni nje ya taratibuya hoteli na kumbuka hi ni hoteli kubwa tof auti na hoteli nyingine.
Nalitambua hilomzee ndiomaananikaja kwenye hoteli yako, ninakuomba uweze kunipatia chumba, hata mukinipa masaa machache nitarudi ikuluna kuhukuchua kadi yanguya malipo na mutakuja kuf anyamalipo
Ngoja kwanza umesemaikulu!!?
Mzee huyualiniuliza kwa mshangaokidogo.
Ndioikulu, mimini Erick Almeida
Ohoosijajua aisee, ndiomaana nilikuwa ninakuf ananisha
kwamba wewe ndiomwenyewe aulaa
Ndiomimi mzee
Samahani bwana kwa usumbufu
Ritha hembumpatie chumba cha hali ya juu, huyuni mtotowa raisi bwana
Mzee huyualizungumza na kuwafanya watuwengine ambao wapokatika hili eneokunitazama. Watubaadhi wakaanza kunongonezana huku wakininyoosheakidole.
Funguo hi hapa
Ritha alinikabidhi f unguohukuakitabasamutof auti kabisa na nilivyof ika hapa. Asante dada
Tuongozane aisee
Kwa ishara nikamkonyeza Rose, akaanyanyuka alipokaa na kuanza kutuf wata kwa nyuma. Tukaingia kwenye lf ti wote watatu.
Unajua watuwengi tunampenda sana baba yakojapo anakutana na changamotonyingi ila Watanzani badotutazidi kumuombea na ninaimani wale waovu wote wanao muwinda watachukuliwa sheria kali
Kweli mzee
Ila kwa kile kilichotokea leouwanja wa ndege vipi kuna hatua zozote ambazozimechukuliwa?
Kwa kosa kama lile ni lazima muhisikaatashuhulikiwa?
Ni nini huyoaliye f anya hivyo?
Sijaf ahamumzee wangu
Rose akanikanyaga kidogokwenye mguuwanguna kunifanya nimtazame, akanitingisha kichwa akiniomba nisiendelea kumjibumaswalimzee huyukwa maana anaonekana ni mdadisi sana wamambo.
Naona hatujapata tena ya raisi waChina kulala hapa, vipi
amelala sehemu nyinginenini?
Samahani mzee wangu, mambomengini hayoni ya usalama wa
taif a kusema kweli mimiu wala sif ahamu hata atalala wapi Samahani kijana kwa maswali yangu mengi, si unajua f uraha niliyonayokukutana na wewe
Nashukurumzee wangu, sikukabla haijaisha nitahakikisha kwamba ninawaletea pesa yenu
Hapana kijana wewe unaweza kukaa hadi wiki mzima bilahata ya kulipa na huduma zote za chakula itakuwa juu ya hoteli Usijali mzee wangu ila nitahitaji nikulipe kama watu wengine wanavyof anya malipo
Hapana bwana nanivile
Erick
Erickusijali katika hilo
Nashukuru
Lif ti ikaf unguka tukatoka wote watatu tukatembea hadi chumba kilipo, akatukaribisha na yeye akaondoka kablahata ya kuingiandani.
Erick nina mawazomabaya na huyumzee
Mawazogani?
Simuamini kabisa, inakuwaje anahiji hoji maswalimengi sana
kama vile anahitaji kuf anya jambof ulani Rose alizungumza hukutuki ngia ndani.
Usijali nitalichukuliauangalizi
Nikauf unga mlangokwa ndani na kukaa kwenye moja ya sof a, Rose akaka kwenye sof a linalotazamana na hili langu. Kwa nini wanakuwinda, sababuni hiyoya kumsaliti aliyekuwa mume wakoaua kuna nyingine tof auti na hiyo?
Sababu nyingineipo?
Sababugani?
Rose akaka kimya kwa sekunde kadhaa hukuakinitazama usoni mwangu. Akasimama wima na taratibu akaanza kuvungu nguo moja baada ya nyingine jambo lililo nif anya nisimame kwa haraka nikitaka kumzuia asif anye hivyo kwani kwa sasa sipo katika utayari wakuf anya naye mapenzi kabisa.
ITAENDELEA
 
AM NOT A DOCTOR 47


ILIPOISHIA
Rose alizungumza hukutuki ngia ndani.
Usijali nitalichukuliauangalizi
Nikauf unga mlangokwa ndani na kukaa kwenye moja ya sof a, Rose akaka kwenye sof a linalotazamana na hili langu. Kwa nini wanakuwinda, sababuni hiyoya kumsaliti aliyekuwa
mume wakoaua kuna nyingine tof auti na hiyo?
Sababu nyingineipo?
Sababugani?
Rose akaka kimya kwa sekunde kadhaa hukuakinitazama usoni mwangu. Akasimama wima na taratibu akaanza kuvungu nguo moja baada ya nyingine jambo lililo nif anya nisimame kwa haraka nikitaka kumzuia asif anye hivyo kwani kwa sasa sipo katika utayari wakuf anya naye mapenzi kabisa.
ENDELEA
Hata kabla sijamf ikia Rose nikabaki nikiwa nimeshikwa namshangao kwani mwili wake umejaa michoro ambayo sikuweza kuif ahamu hata mmoja kama ina maanisha nini. Hichi ndichowanachokihitaji kutoka kwangu, ndiomaana
wananisaka kila niendapoErick
Hiyomichoroni ya nini?
Ina siri kubwa sana, siri hizi nina uhakika wakizipata basi nchi yetu inakwenda kuwa katika hali ngumukwaniwataweza kuf anya ugaidi wakila aina wakitokea hapa Tanzania
Ngooja kwanza Rose, unasema wakijua nchi itakuwakatika hali ngumu?
NdioErick, humukuna michoroambayowanawezakuitumia kuunga bomu za nyuklia, tazamakwa nyuma
Rose alizungumza na kunionyesha mchoro ulipo mgongoni mwake. Na kwa jinsi alivyo mweupe wa rangi ya mwili basi ninaweza kuiona michoro hiyo vizuri sana. Ni michoro iliyo chorwa kiana aina jamboambalokusema kweli lina ogesha sana. Humu kuna michoro ambayo ina namba za siri za kijeshi za kuendeshea makombora ya kijeshi kwa compyuta na wakizipata namba hizi za siri wanaweza kushambulia nchi kama Kenya, Unganda, Rwana, Brudi. Yaani nchi zilizo tuzunguka wanaweza kuzivamia kwa makombora hayo na nchi hizo nilazima zitarudisha mashambuliza yake zikiamini kwamba sisi ndiotulio wavamia
Maneoya Rose yakanif anya nijikute nikichoka mimimwenyewe. Kusema kwelibaba yanguana kazi kubwa katika kuiongoza hi nchi.
Erick ninakuomba usiwaruhusuwanichukue, sihitaji kuwa mtenda dhambi tena, sihitaji kuona damu ya Watanzania wezangu zinamwagika na wengine kutawaliwa na vilema ambavyo kusema kweli hawajavikusudia kwenye maisha yao Rose alizungumza huku machozi yakimwagika, taratibu nikamsogela na kumkumbatia kwa nguvu, japo hana nguo yoyote kwenye mwiliwake ila kwa hichi nilichokiona hata hisia za mapenzi hazijapanda kabisa, kwani wamemchora hasi kwenye makalioyake.
Ni watuwanchi gani ambayowalikuchora hivi?
Warusi wakishirikiana na Pakistani?
Ni serikalizao?
Hapana ni magaidi ambaomume wangualijiunga naoili kuf anya uhalifu waoTanzania, ndiomaana hata Jihad John aliwezakuja Tanga na kuf anya lile shambulizikupitia wewe Watuhaotutawapataje kwa hapa Tanzania?
Sif ahamukwa maana sina mawasilianonao, ila waondio wanaweza kunitaf utamimi
Na hi michoro ulivyo kuwa unachorwa uliweza kujijua? Hapana walinichomasindanoya usingizi, ndiomaana wakaweza kunichora bila ya mimikujijua
Aliye kuchora ni mume wakoaualikuwa ni nani? Mdogo wa mume wangu, ndio mtaalamu wa kuf anya hi michorona ametoroka na mama yangu, hadi sasa sif ahamu wapowapina wanamahusianoya kimapenzi
Nikajikuta nikishusha pumzi zangu taratibuhuku nikimtazama Rose usoni mwake. Taratibunikainama na kuanza kuokota nguo zake.
Vaa nguo
Nilizungumza hukunikimabidhi nguozake, taratibuRose akaanza kuvaa nguozake.
Unakumbuka ni gari gani iliyokuwainakuf ukuzia
Ni benzinyeusi
Ilikuwaje uliwatoka?
Foleni ndio ilinisaidia, kagari kangu niliweza kukapitisha
pembeni pembeni ya barabara na waowalishindwa, ndiomaana niliwezakuwapoteza
Rose alizungumza huku akivaa skintait yake, japo bado ni mzuri, ila kwa michoro hi ninayo iona itanichukua mudasana hadi hisia zanguza kimapenzi kurudi dhidi yake.
Nitakuacha hapa hakikisha kwamba hutoki humuchumbani na wala humf unguli mlangomtuyoyote hadi nirudi sawa
Sawa
Ngoja nikaangalie hali ya mke wanguinaendeleaje Sawa, ila Erick ninakuomba unisamehe sikuwezakuipata namba yako karibu na nikashindwa kukuoa taarif a
Usijali kwahilo
Tukatazamana na Rose kwa sekunde kadhaa, kishanikatoka katika chumba hichi nakumuacha akiuf unga mlango kwa ndani, nikaanza kutembea kwenye hi kordohadi nikaf ika kwenye lif ti, nikaminya kituf e cha kuf ungulia milangohi , haikuchukua hata sekunde mbiliikaf unguka, taratibunikaingia na kuf unga. Ikaanza kushuka chini, akili yanguikaanza kuf ikiria michoroya Rose iliyopomwilini mwake.
Mmmm
Mlangowalif ti ukaf unguka na kuanza kutembea kueleka nje, baadhi ya waf anyakazi wa hi hoteli wakabaki wakinitazama huku wengine baadhi wakiwa na kazi ya kunongonezana, sikutaka kujali hili, nikatoka nje na kutembea hadi nilipo simamisha gari langu, nikaf ungua mlango na kuingia. Kabla sijawasha gari gari aina ya benzi lenye rangi nyeusi ikasimama pembeni yangu.
Wakashuka watu wanawake wawili wenye asili ya kiarabu, kila mmoja ameshika kibegi chake mkononi, nikatamani kushukaila nikasita kidogo kwani sina wasiwasi nao mkubwa. Nikaichukua bastola yangu na kutoa magazine, nikakuta risasi zikiwa zimejaa. Nikairudisha magazine na kuichomeka kiunonina kuf unika na shati langu. Nikajipapasa mifukoni mwangu, sikukuta simuyangu, nikatazama kwenye siti ya pembeni ila pia
sijaikuta. Nikashuka kwenye gari na kuanza kurudindani, kwani sehemuya pekee ambayoninaweza kuiona simuyanguitakuwa ni chumbani ambapo ndiponitakuwa nimeiacha simu yangu. Nikaingia kwenye lif ti taartibuikaanza kupanda juu, nikaf ika gorof a husika, lif ti ikaf unguka, nikatoka ila nikakutana na
wasichana ambaoniliowaonawakishuka kwenye magari wakiwa wamesimama kwenye mlango wa chumba alipo Rose. Kitu kilicho nishangaza ni f unguo wanayo tumia kuf ungua mlango huoikiwa f unguoanayoRose ndani, nikataka kuanza kukimbia ila nikajif anya nami ni kama mgeni wachumba cha jirani. Wasichanhawa walivyoanza kuingia ndani ya chumba cha Rose, nikaimbia kwa haraka hata kabal mlangohawajaufunga nikawa nimeusukuma kwa haraka na kumf anya aliye kuwa akihitaji kuuf unga kuanguka chini kwani kikumbo cha mlango kilicho mpata ni kikubwasana.
Msichana aliye simama akajaribukutoa
bastola kwenye kipochi chake, ila kwa haraka nikampigamtama mkali na kuanguka chini kama mzigo. Msichana mwingine akasimama na kuanza kujaribu kurusha mateke mf ululizo, ila nikajitahidi kuyazui kwa mikono yangu. Rose akatoka chooni kwa haraka hukuakiwa amejif unga taulo.
Rose kwa haraka akamvamia msichana mmoja nakuanza
kupambana naye, hapa ndipo nikajukuta na mimi kidume
Napata nguvuya kumshushia binti huyumakonde mazito. Huyu binti anajiweza katika kupambana kwa miguu na mateke, ila nikimbahatisha kumpiga ngumi moja lazimaanapesuka. Rose bila yahuruma nikamshuhudia akimpiga kabali binti huyu aliye jaribu kujitahidi kuweza kutoa kabali hi ila anashindwa kabisa, hadi nguvu zikamuishia. Nikamshika binti huyu ninaye pambana na kumuangusha kwenye meza ya kioo iliyomo humu ndani hadi ikavunjika vipandevipande.
Sote tukabaki tukiwa tunahema, kwani
mparanago huu umetukuta sote hatupo vizuri kwenye maswala ya kupambana. Rose taratibu akaf unga taulo lake, nikachukua kipochi kimoja cha huyumsichana.
Mbona umerudi?
Rose alizungumza huku akinitazama usoni mwangu.
Nilisahausimuyangu, hawa ndiowaliokuwa wakikukimbiza? Ndio
Msichana huyuambaye nilimtupa kwenye meza ya kioobado
ana hema taratibu akisikiliza maumivu makali anayoyapata.
Unataf utanini?
Ninataf uta simuyake, simuzaozitaweza kutusaidia kuweza kuf ahamuwanapata wapiamri ya kuf anya kazi ya kukutaf uta wewe
Huyu inabidi kumfikisha kwenye vyomba vya kisheria kwa maana anaweza kutaja ni wapialipomkuuwao.
Sawa ngoja nimpigie mkuuwa NSS
Unataka kuwaleta NSS humundani?
Hapana nahitaji kuzungumza na mkuuwaotu peke yake Sawa
Hakikisha unavaa nguoharaka kwa maana mazingira ya hapa siosalama tena
Sawa
Nikaichukua simuyanguiliyopokwenye sof a, nikampigia Jackline, simuyake ikaita kwa muda kidogokisha ikapolewa.
Erick
Nimbie
Saf i, pole kwa kile kilicho tokea, tunajitahidi kuhakikisha kwamba tunamuhoji mtuhumiwa na atatueleza ninani aliye tuagiza
Nina imani kuna mwengine munatakiwakumuhoji
Umempata wapi?
Naomba unisikilize kila nitakachokueleza
Sawa
Kwanza ninaomba mupeleke askari katika hospitaliya
Agakhna, mke wangu amelazwahapo
Anasumbuliwa na nini?
Ni mstukotu, ila hakikisha kwamba munamuwekea ulinzi wa uhakika
Kwani upowapi Erick?
NipoSerena hoteli, nitakuhitaji uje hapa na Laptopyakoya kuf anyakazi
Erick unajua hilohaliwezekani, na mimihapa ndiomkuuna hali yenyewe ndiokama hi ya leoiliyojitokeza
Ninakuomba Jackline uweze kuf ika kwa maana siosalama kwa mimi na hawa wahusika kuweza kutoka, kuna mambo makubwa unatakiwa kuja kuyaona. Wewe ndiomtu pekee ninaye kuamini kwenye hichokitengo, taf adhali ninakuomba uje Sawa nitakuja na timuyangukwa maana siwezi kutembea peke yangukwa sasa
Wewe njoonayo, ukif ika hapa waimarishe ulinzi na
nitakuambia tupo gorof a namba ngapi Sawa Erickdakika kumi nitakuwa hapO
Nashukururaf iki yangu
Poa
Nikakata simu na kuirudisha mf ukoni, Rose tayari amesha vaa nguo zake na kuchukua bastola za wasichana hawa na kuzishika vizuri mikononimwake. Mkuu wa NSS anakujahapa
Jackline?
Ndio
Kwa nini hukuniambia kama ni yeyeanakuja hapa?
Rose alizunngumza kwa kugadhabika hukuakinitazama usoni mwangu.
Kwani kuna ubaya katiyenu?
Mimi na Jackline ni sawa na paka na Panya
Usijali hakuna chochote kitakacho tokea
Erick wewe uf ahamutu kinachoendelea
Zungumza hichokinachoendelea kati yakowewe na Jackline? Rose akanitazama kwa muda usoni mwangu, kisha taratibu akaka kwenye moja ya sof a huku akimtazama msicha huyu ambaye amenyonga usoni mwake. Kisha akanyanyua usowake na kunitazama.
Nilimua mama na mdogo wa Jacklinekwa kuwanyonga na Jackline analitambua hilokwamba mimindionimehusika katika mauaji yao, sasa akinikuta hapa ni kutu gani kitakacho tokea kati yetusisi?
Nikajikuta nikishusha pumzi nyingi hukunikimtazama Rose usoni mwake kwani kwa dhambi hi aliyo if anya hata mimi mwenywe sijui ni kitu gani kitakachotokea wakikutana usokwa uso.
ITAENDELEA
 
AM NOT A DOCTOR 48


ILIPOISHIA
Rose akanitazama kwa muda usoni mwangu, kisha taratibu akaka kwenye moja ya sof a huku akimtazama msicha huyu ambaye amemnyonga usoni mwake. Kisha akanyanyua usowake na kunitazama.
Nilimua mama na mdogo wa Jacklinekwa kuwanyonga na Jackline analitambua hilokwamba mimindionimehusika katika mauaji yao, sasa akinikuta hapa ni kutugani kitakachotokea kati yetusisi?
Nikajikuta nikishusha pumzi nyingi huku nikimtazama Rose usoni mwake kwani kwa dhambi hi aliyo if anya hata mimi mwenywe sijui ni kitu gani kitakachotokea wakikutana usokwa uso.
ENDELEA
Anatambu kwamba umef ariki?
Hilo ninaimani kwambaanalitambua
Basi nitahitaji ukae baf uni humoJackline atakapof ika hapa Sawa, ila hakikisha kwamba haingi hukubaf uni kwa maana kuf anya hivyodamuinaweza kumwagika
Nimekuelewa
Nikaitazama simu ya huyu msicha aina ya iphone six, nikakuta imef ungwa kwa namba za siri na ili kuweza kuf unguka ni lazima mtuuweze kuf ahamunamba ya siri.
Hi simu ina namba za siriunaweza kuzif ahamu?
Hembu
Nikamkabidhi Rose simu hi niliyo ishika, nikaokota kipochi cha binti wa pili, nikaif ungua ndani nikakutana na noto za dola mia pamoja na pesa zaOman.
Huyuhana simu
Nilizungumza huku nikizitoa noti hizi zilizo jipanga vizuri. Simu imekataa kuf unguka, wakija hao watu wako nahisi wataweza kuif ungua
Rose
Nili ta hukunikimtazama usoni mwake.
Bee
Ilikuwaje ukamuua mama Jackline na mdogowake Jackline?
Rose akatazama pembeni hukuaki kunja kunja midomoyake
kwa upande, taratibu nikamsogelea na kuchuchumaa mbele yake hukumikonoyangunikiwa nimeiweka kwenye mapaja yake.
Niambie
Simuyanguikaita, nikaitoa mf ukoni na kukuta ni namba ya Jackline ndioinayopiga, nikamtazamaRose usoni mwake kisha nikaipokea
Erick tumesha f ika hapa Serena upochumba namba ngapi? Nikawatajia namba ya chumba nilichopokisha nikakata simu. Rose akasimama na kuanza kutembea kueleka baf uni.
Rose?
Bee
Rose akageuka na kunitazama, kwa jinsi pozi la usowake alivyo liweka, likanikumbusha kipindi akishuja kwenye gari langu, akielea ndani kwao na akif ika karibu na ngazi za kibarazani huwa nilikuwa ninapenda kumuita na hugeuka kama alivyo geuka hivisasa.
Ahaa basi
Nilizungumza na kumf anya atabasamuna kuingia baf uni na kuuf unga mlango, hazikupita hata dakika mbili mlango ukagongwa.
Ingia
Nilizungumza hukunikiwa nimeichomoa bastola yangukiunoni na kuishika kwa mkono wa kushoto. Jackline akaingia huku akiwa ameongozana na kijana mmoja, kila mmoja akaonekana kushangaa kwa hichi alichokikuta humundani.
Upo salamaErick?
Jackline alizungumza kwa shaukuhukuakinitazama usoni mwangu kwa wasiwasimwingi.
Ndiposalama
Hembutazama tazama eneohili kama lina usalama
Sawa mkuu
Jamaa akaanza kuchungulia madirishani, kisha akafungua kabati kabla hajaelekea baf uni ikabidi kumzuia.
Hakuna kitu hukoeneo zima liposalama
Kijana huyuakanitazama usoni mwangu, Jackline akamkonyeza akimuashiria kwamba ache kuingia humondani.
Imekuwaje?
Nahitaji kuzungumza nawewe
Sawa, nisubiri hapomlangoni na usiruhusumtukuingia ndani humu Sawa mkuu
Kijana huyu akatoka, taratibu Jackline akachuchumaa kwa msichana wa kwanza aliye uwawa na Rose, akampima kwenye shingoyake akakkuta amekufa.
Huyu yupohai, inabidi kumsaidia apate huduma ya kwanza? Hili litaf anyika baada ya kuf anya baadhi ya vitunitakavyo vihitaji kwa maana hi ni kazi nje ya of isi yako sawa
Nakusikiliza
Kwanza nahitaji simuya huyubinti aliye f ariki hapoiweze kuf unguliwa na nitahitaji niweze kupata kila kitu kilichomo ndani ya hiyosimuyake
Ipo wapihiyosimu?
Nikajipapasa, na kukumbuka kwamba mtuwa mwisho kushika simuni Rose, na katika kochi alilokuwa amekaa haipo. Mliowa simu kutokea baf uni ukanif anya nisimame wima kwa haraka hadi Jackline akashangaa, nikaanza kupiga hatua kuelekea bafuni, Jackline naye akaanza kunif wa
Kaaa naye huyo asije akaondoka wala kijiuaa bado tunamuhitaji
Nilizungumza kwa ukali kidogona msisitizojuu yake. Jackline
akanitazama kwa machoya kunichunguza kisha akamtazama na
msicha aliye lala chini, taratibu akatingisha kichwa na kuirudi alipo msichanahuyu.
Mmmm
Nikaguna kidogo huku nikishika kitasa cha mlango, nikakizungusha mara mbili hukunikijaribukuusukuma ila umef ungwa na simubadoinaendelea kuita. Hei
Nili ta kwa sauti ya chini kidogo, mlango ukaf unguliwa na nikaingia ndani na kumkuta Rose akiwa amenyooshabastola yake mlangoni hukusimuakiwa ameiweka pemeni ya sinki la kunawia maji. Tukatazamana kwa sekunde kadhaa kisha nikaichukau simu hi na kutoka na kumuacha Rose akif unga mlangowake.
Simu ilikuwaje ukaicha baf uni ikiwa tukiolenyewe limetokea hapa?
Kwa nini wamenivamia hapa hotelini nahawakunivamia barabarani?
NilimjibuJackline kimzaha ili kumkatisha maswaliyake ya kipelelezi kwani tayari nimesha muona anaanzakunitilia mashaka.
Erick badohujanieleza imekuwaje kuwaje hawa wasichana wawili wakakauvamiawewe?
Jackline naomba unisikilize, siku ya leo laiti kama baba yangu asinge vaa bul et proof basi nchi ingepata msiba wa raisi. Mimi sio NSS, ila nimeamua kuhakikisha kwamba ninataf uta vyanzo vyangu vya taarif a ili kuhakikisha kwamba ninaweza kuf ahamu ni nani ambaye yupo nyuma ya hili tukio na kama unavyo ona hapo wasichana hao wawili wamenivamia na kuhitaji kunia so utambue kwamba raisi na f amilia yake badoinawindwana wauaji
Nilizungumza kwa msisitizo huku nikimtazama Jackline usoni mwake. Jackline akamtazama binti huyu aliye lala juu ya vipande vya meza iliyo pasuka kisha taratibu akajaribu kunyanyua, ila damu zinzo mtoka mgongoni zikamf anya Jacklienamrudishe chini na kumlaza kama alivyokuwa amelala.
Umemueleza muheshimiwa raisi juu ya hili?
Wewe ndiomtuwakwanza kuf ahamu, hata wahudumuwahi hoteli hawafahamu
Sasa hapa hotelini ulikuja kuf anyaje ikiwa mke wakoyupo hospitalini?
Jackline mbona una maswali mengi, niambie unanisaidiaau nif anye kazi hi mimimwenyewe?
Nilizungumza kwa jazba kidogo na kumf anya Jackline kukaa kimya kwa dakika kadhaa hukuakitaf akari jambola kuniambia.
Tutaf anya kazipamoja
Shukrani, sasa unaweza kuita watuwakowakamchukua huyu binti na kuitoa hi maiti hapa. Simundiokama hiyohapokama munaweza kuif ungua if ungueni ili tuweze kujua ni kitu gani kilichopo humo ndani na kama kuna namba zinapiga na zinaandika private tu
Sawa
Jackline akatoa simu yake na kwuasiliana na watu wake alio kuja nao, hazikupita hata dakika tano wakawa tayari wameingia kwenye chumba hichi, wakaanza kumpa huduma ya kwanza binti huyuwa kiaruabu. Muheshimiwa kimrtokea kitugani?
Meneja wa hi hoteli alizungumza huku aki ngia ndani ya chumba hichi, akanitazama usoni mwangu, akatazama damu zizilopojuu ya vipande vya kiooiliyovunjika na akabaki akiwa ameduwaa.
Muheshimiwa upo sawalakini?
Ndioniposawa
Nampenzi wako je?
Nikatamani hata kumzabua makofi huyumeneja ila nikajikuta nikishindwa kabisa kunyanyuka, kwani huku kupayuka kwake kunaweza kukamuweka matatani Rose.
Yupo salama
OhoooMunguashukuriwe
Erick sikukama hi umekuja na mwanamke hotelini, hukumke wako akiwa amelazwa kwa ninilakini?
Jackline aliuliza kwa upole ila akiwa na msisitizof ulani usoni mwake.
Hilohalikuhusuhaya ni maisha yangu
Mtoe basi huyomwanamke nimuone kwa maana ninaimani umemf icha bafuni
Jackline sijakuita ili ujekuchunguza maisha yangu, nimekuita uje kutazama ushahidi wawatuwanaoendelea kuiwinda f amilia yangu, kama utakuwa umechoka kunisaidia ni bora uende Ahaa samahani jamani, ninaona mazungumzo hayahayanihusu Meneja alizungumza huku akiwa ameikusanya mikono yake kwa pamoja akiombamsamaha.
Tena mzee wangumambomengine sioya kuyaingilia, ninakuomba utoke humundani usije ukaf a
Sawa sawamuheshimiwa
Meneja huyuakaanza kutembea kuelekea mlangoni.
Hembu ngojameneja
Nilizungumza huku nikinyanyuka taratibu nikaanza kumf wata huku nimemkazia macho. Nikasikia vishindo nyuma yangu vya mtuanaye tembea, nikageuka kwa haraka na kumkuta Jackline
akizidisha mwendokueleka mlangowabaf uni.
SimamamhapohapoJackline
Nilizungumza huku nikiwa nimemnyooshea bastolayangu, Jackline akanitazama huku akiwa amenikazia macho.
Ukipiga hatua moja ninaapia kwa jina la mama yangumzazi nitakuua Jackline
Erick huwezikuf anya hivyo
Nikapiga risasi moja kwenye kopola maua lililopokaribuyake na kumfanya Jackline kustuka sana.
Sitani Jacky, usiniudhi
TaratibuJackline akaanza kurudi nyuma hukuakinitazama usoni mwangu.
Mzee rudi pale kwenye sofa
Nilizungumza hukunikimnyooshea mzee huyurisasi. Taratibu akaanza kurudi kwenye sof a huku mwili wake wote ukimtetemeka kwa woga, taratibu akaka kwenye sof a huku akinitazama usonimwangu.
Huwa siogopi kuua kwanisiomara yanguya kwanza kuua mzee, nitakuomba unieleze kila kitu ambachounakif ahamukuhusiana na hilitukio
M.i.i.si.jui choch..ote jamani
Mzee alizungumza kwa kigugumizi kizitohukuakiendelea kutetemeka.
Erick unachokif anya siohaki lakini, kumbuka huyuni raisi wa kawaida, huruhusiwi kumnyooshea silaha, kwa mimi ni kawaida ila kwake lazimaatetemeke
Jackline alizungumza hukuakinitazama kwa machoya upole.
Nina maana yanguya kuweza kuf anya hivi
Maana ipi?
Mzee funguo nilipewa pale mapokezi, imekuwaje hawa wasichana wakawana f unguoya kuingilia humundani, walipata wapina walijuaje tupohapa?
Swali langukikazidi kumf anya mzee huyukuzidi kutetemeka kwa woga, mdomo unaf unguka ila sautihaimtoki.
Zungumza kwasauti
Nilizidi kuzungumza kwa ukali na kumf anya mzee huyukuzidi kubaika kwawoga.
Eti mzee ilikuwaje, naomba uzungumze na mimi sasa. Erick amesha changanyikiwa katika hili, na kuomba uzungumze na mimi mwaye eheee
Jackline alizungumza hukuakimshika shika bega mzee huyu.
Mzee wanguzungumza tu miminipo, ni mkuuwakitengocha NSS, ninatambua una jambo unahitaji kuzungumza ila unashindwa kwa sababu ya kuogopa. Taf adhali ninakuomba uniambie mzee wangu
Jackline alizungumza hukuakiendelea kumshika shika mzee huyubegani mwake.
Leo.
Mzee alizungumza kisha akaka kimya na sotetukabaki tukimtazama.
Ndioleo kulikuwa na nini baba yangu?
Jackline aliendelea kuzungumza kwa upole kabisa.
Leo, leo, leo nilipokea simu. Simuyaa..ya..ya..
Ya nani?
Babbaa.aabaabaaaa..
Baa ndio nini sasa, Jackline ngoja nimtandike chuma huyu mzee naamini akipata maumivu ataweza kuzungumza naona anatupotezea muda
Balozii i wawa.wachina alinipigia
Akasemaje huyobalozi?
Mi.na yule balozi ni marafiki
Eheee
Sasa akaniuliza nimfanyie kazi na badaye akitoka kwenye
sherehe atanipa kif uta jasho
Kazi ganihiyo?
Alinitumia picha ya mpenzi wa huyu muheshimiwa, akaniambia kwamba, eti i.
Eti ninisasa?
Nilimuuliza kwa ukali hadi Jackline akaninyooshea mkonona kuniomba nitulize jazba yangu.
Eti nimemuona sehemu yoyote. Mimi nikamuambia kwamba nimemuona kwenye hoteli yangu. Basi akaniambia, kwamba, ndioooooonimemuona
Kwa hiyoumemuona msichana waErick hapa?
Muache aendelee kuzunguza, swali lakolina majibutayari Jackline
Eheee, nimemuona, basi akaniambia kwamba kunamabinti wanakuja, wakija niwapatie f ungua za chumba alichopobinti huyona atanipatia dola elf u kumi
Kwa hiyounauza maisha ya msicha ninaye mpenda kwa dola elf u kumi si ndio?
Nilizungumza kwa hasira huku nikiwa nimeishika bastolayangu, mzee huyu akajikunyata mwili wake huku akiomba msaha kwa kulia kwa uchungusana.
Erick tuliabasi?
Nitulie nini, ujinga wa kula rushwa za kipumbavu. Unaweza kuona jinsi baba yangualivyoshambuliwa pale ndani ya wageni haoyupomsaliti anaye lamba wezake visogo
Tulia Erick, taf adhali hembushusha silaha yakochini. Mzee mzee, nyamaza, Erick hawezi kukua. Nimbieunaweza kunionyesha hiyopicha
Kwa haraka hata kabla sijazungumza chochote menejaakatoa simu yake na kumkabidhi Jackline aliye kaa karibu yake, taratibu Jackline akaitazama picha ya msicha ambaye ninitambua f ika kwamba ni Rose. Nikaiona sura ya Jackline
ikibadilika taratibu, akasimama huku jazba ikiwa imempanda, akachomoa bastola yake kiunoni na kuutazama mlangowa
baf uni kwa machomakali hukuakiwa amenyangata menoyake kwa hasira, kisha akaanza kutembea kwa hasirakuelekea kwenye mlangohuowabaf uni ambapondipoalipoRose.
ITAENDELEA
 
AM NOT A DOCTOR 49


ILIPOISHIA
Erick tuliabasi?
Nitulie nini, ujinga wa kula rushwa za kipumbavu. Unaweza kuona jinsi baba yangualivyoshambuliwa pale ndani ya wageni haoyupomsaliti anaye lamba wezake visogo
Tulia Erick, taf adhali hembushusha silaha yakochini. Mzee mzee, nyamaza, Erick hawezi kukua. Nimbieunaweza kunionyesha hiyopicha
Kwa haraka hata kabla sijazungumza chochote menejaakatoa simu yake na kumkabidhi Jackline aliye kaa karibu yake, taratibu Jackline akaitazama picha ya msicha ambaye ninitambua f ika kwamba ni Rose. Nikaiona sura ya Jackline ikibadilika taratibu, akasimama hukujazba ikiwa imempanda, akachomoa bastola yake kiunoni na kuutazama mlangowa baf uni kwa machomakali hukuakiwa amenyangata menoyake kwa hasira, kisha akaanza kutembea kwa hasirakuelekea kwenye mlangohuowabaf uni ambapondipoalipoRose.
ENDELEA
Hata kabla Jackline hajaf ika kwenye mlango, nikastukia mlango ukif unguliwa na Rose akatoka huku akiwa ameshika bastola zote mbili huku amezielekeza kwa Jackline ambaye amekutana nazokaribuna usowake. Mapigoya moyoyakaanza kunienda mbio kwa maana wasichana hawa kwa maalezo ya Rose ni kwamba wana kisasi cha muda mref u. Macho yakanitoka huku nikisikilizia ni nani atakwenda chini kwani Jackline ana bastola moja ambayo hajaielekezea kwenye mwili wa Rose zaidi yakuielekezea chini kwani amewahiwa kabla ya kuf ika katika sehemuya tukiohukuRose akiwa na bastola mbili ambazo zote zipo mita chache kutoka ulipo uso wa Jackline ambaye akif anya ujinga wa aina yoyote ubongo wake unakwenda kumwagwa nje.
Kama ni mwanamke kweli weka silaha yakochini tuonyeshane Jackline alizungumza hukuaki tupa bastola yake pembeni, Rose kwa jicho la pembeni nikamuona aki tazama bastola hiyo ilipo angukia, akajishauri kwa sekunde kadhaa kisha na yeye akazitupa bastola zake sehemuilipobastola ya Jackline. Nikashuhudia ngumi nzitoikitua kif uani kif uani mwaRose hadi mlio wake ukasikika huku tulipo na kumf anya meneja kutoa mimacho huku akijif uta machozi yake akishuhudia mtanange huu. Rose hakukubali kuwa mnyonge mbele ya Jackline, akarusha konde zito lililo mpiga Jackline shingoni mwake na kumf aya Jackline apepesukue, akasindikizwa na teke la tumbo lililo muangusha chini Jackline. Mzee akataka kusimama akaamue wasichana hawa, ila nilipomtazama kwa machomakali akarudi taratibusehemualipokuwa amekaa.
Jackline kwa haraka akanyanyuka, akajiweka sawahuku akijipangusa nguozake, akaanza kurusha ngumi ambazobaadhi zilimpata Rose ila nyingine Rose alizikwepa na kujibu kwa mashambulizi ya ngumi. Sikutaka kuamua chochote kwa maana ninahitaji waonyeshane nani ni mbabe kati yao na akipatikana nina imani msamaha utapatikana kati yao. Ili kudhibitisha kwamba sihitaji mpambao huu uamuliwe na mtu yoyote nikapiga hatua hadi mlangoni na kuuf unga kwa ndani na ndani ya chumba tukabaki watuwanne tu.
Kwa sekunde hizi nilizotembea hadi mlangoni, tayari nimeangushana chini na kuanza kuviringishanahuku wakivutana nywele.
Watauana hawamabinti
Koma mzee
Jibu langulikamf anya mzee huyukutulia kwenye sof a tu, tukaendelea kushuhudia mpambanohuuambaokusema kweli hadi sasa hivi sijaona nani ni mkali kwa mwenzake.
Wakananyuaana hukuwamekiwa ameshikana nguozaowakanza kusukumana na hadi kitandani, na kutuf anya mimi na meneja kubadilisha uelekeowamachoyetu.
Nitakuua malayawewe
Jackline alilalamika huku akiwa amekkaba Rose koo lake, Rose akautoa mkono wa Jacklie na kumlaza chini na kumkaba koo lake kwa nguvu. Ili kushuhudia vizuri ikanibidi kusogea karibuili kama kuna mwenye dalili ya kuf a basi niweze kuokoa jahazi lisije likazama.
Kroo.ooooo
Jackline alitoa mliohukuhukijitahidi kuutoa mkonowaRose, ila akawa anashindwa kabisa. Kwa haraka nikamuona meneja akija kitandani naamini lengo lake kubwa ni kuamua mtanange huu,
hata kabla hajawaf ikia nikampiga mtama mzitouliomuangusha chini kwa kishindo kizito hadi Jackline na Rose wakageuzia machokwetu.
Endeleeni
Nilizungumza huku nikiwatazama. Wote wanaonekanakuchoka kwani hata Jackline mwenyewe ameshindwa kabisa kuutoa mkono waRose.
Nitakuua mwehuwewe unahisi kuwa NSS, ndiounauwezowa kupambana nami?
Rose alizungumza huku akiutoa mkono wake shingoni mwa Jackline, Rose akashuka kitandani huku akipepesuka, jasho jingi likimwagika usoni mwake. Jackline akabaki kitandanihuku
akihema kwa nguvuakijaribukuingiza pumzi aliyoipotena kwa dakika takribani mbili. Rose akazif wata bastola zake na
kuziokota akarudi kitandani alipolala Rose
Rose unataka kuf anyanini?
Laiti ingekuwa sijatubu dhambi zangu, ningekuua leo. Ila sihitaji kumwaga damu zaidi ya leo sawa wewe changudoa? Rose alizungumza huku akiwa amemuelekezea Jacklinebastola ya kichwa.
Nitahakiksha kwamba sheria inachukua mkondona unakwenda jela maisha yakoyote
Rose alizungumza kwa kujikaza tu ila kwa upande wa kupigana amezidiwa.
Sasa miminitakupeleka kuzimukabla ya wewe hujachukua hiyo sheriayako
Rose kausha rafiki yangu
Ilinibidi kuungilia mazungumzoyao kwanihasira ambayoanayo Rose muda wowote anaweza kuf yatua risasi mwilini mwa Jackline ambaye haitajikushindwa.
Ukirudi ikulumuambie baba yako, malaya kama hawa hawawezi kuongoza vitengo vikubwa kama vile vyausalama, tazama wanavyofeli kiseng** kiseng**
Rose alizungumza hukuakiondoka eneo hili la hapa kitandani. Nikamtazama meneja nikamkuta akiwa amekaa kitakohuku akiugulia maumivuya kiunochake. Mzee nyanyuka badosijamalizana na wewe
Nilizungumza huku nikimtazama mzee huyu, taratibu akanyanyuka na kuanza kutembea kuelekea kwenye sof a
sehemua lipo kaa Rose anaye jif uta f uta damu zinazo toka pembeni yamdomowake. Nikampa Jackline mkonona kumvuta kutoka kitandani. Sote tukarudi na kukaa kwenye sof a hizi
hukunikicheka kimoyomoja jinsi Jackline alivyovimbishwa jicho la kushoto, ujanja woteumemuishia.
Unatabasamunini?
Rose aliniuliza huku akiwa amekasirika, ikanibidi kunyamaza kidogo kwani ninaweza kuibua ugomvi mwengine,nikajikohlesha kidogohukunikiwatazama.
Mzee tunaendelea pale tulipoishia, ulisema kwamba balizowa chini ndioaliye kupa dili la wewe kuwapa f unguowasichana walio taka kumuaRose?
Ndiomkuu, yeye ndioaliye nipa kazi hiyo?
Ulimuuliza wasichana haowanafwata nini kwenye hoteli yako?
Kusema kweli sikuwezakumuuliza?
Jackline huyuinabidiumchukue kwa ajili ya kumpeleleza zaidi, kwa sasa ninacho kihitaji ni kupata ushahidi wa sauti ya maelezo yote ambayo balozi wa china akimpa mzee huyu maelekezo
Si wezi kuf anya kwa sasa ninahitaji matibabu
Jackline alizungumza huku akinitazama, ikanibidikucheka kimya kimya.
Waambie timuyakobasi wakupe matibabu
Jackline akajipapasa, akatoa simukweye mf ukowasuruali yake, akaitazamakidogo.
Imevunjika kioo
Jackline alizungumza hukuakinigeuzia simuyake.
Ngoja niwaite
Nilizungumza hukunikielekea mlangoni, nikaf ungua mlangona kutoka kabisa nje japo ninamuona mtumishi wa NSS akiwa amesimama pembeni ya huumlangoila sikuhitaji kumsemesha chochote. Nikaanza kucheka kichokocha chini chini hadi jamaa huyu akawaananitazama.
Vipi kaka?
Nikamuonyeshea kwa ishara tu kwamba aingine ndani. Jamaa huyuakaif ungua mlangotaratibuna kuingia ndani. Simuyangu mf ukoni ikaanza kuita nikaitoa na kukuta ni Cesilia ndio anaye nipigia, taratibu nikaipokea nakuiweka sikioni.
Upowapiwewe, nasubiri gari languniondoke bwana walinzi wamefika hapa kumlinda mke wakomuda mref u
Cesilia alizungumza kwa ukali huku akif oka.
Ninakuja jamani
Unakuja unakuja upowapibwana, ninapigwa na jua tu hapa hospitali, mtumwenyewe hueleweki kama..
Nikajukuta nikianguka kichekopale sura ya Rose iliponijia kwenye kumbukumbuzangu.
Unacheka nini kamaunatekenywa
Ehee Cesilia tuheshimiane sawa, maswala ya kutekenywa
yametoke wapiauni hizonyege zako
Ikanibidi kuzungumza kwa ukalikidogo
Sio hivyo Erick, wewe hujui ni jinsi gani nilivyo na nyege na wewe, alaf u wewe unachukulia kawaida yaani sijui kwannini?
Kuna maswala ninayaf watlia yakikamilika nitakuja kukutomb** sawa? Sawa mpenziwangu
Agizia gari jengine kama unahitaji kuondoka hapohospitalini
Sawa nitaelekea hotelini kukusubiriabasi?
Usiende hotelini, nenda kwako. Na mke wanguanaendeleaje?
Hakuna mabadiliko
Basi nenda kwakonitakupigia simu
Sawa
Nikakata simuyanguna kuirudisha mf ukoni, nikaingia ndani na kuwakuta madaktari wawili kutoka NSS, wakimshuhulikia Jackline. Rose akanifwata sehemuniliposimama na kwa ishara akaniomba tuzungumze nje, tukatoka nje ya chumba hichi na kusimama kwenye hi kordo.
Erick huyumwehuamesha gundua mimikwamba nipohai, itanibidi kuondoka hapa Tanzaniakwa sasa, hata nikienda kuf ia
mbele hukokwanguitakuwa poa
Rose alizungumza kwa jazba kidogo.
Rose usiseme hivyo?
Sio nisiseme hivyo, huyumalaya akiamua kuf aya kitu anaf anya kwa juhudi zake zote, wewe kwa umri huunani aende jela, ni bora nitimkie nchi za mbali huko nitajua mwenyewe nitakwenda kufanya dili gani
Nikamshika Rose mkonowake na kumvuta karibuyangu taratibuhukunikimtazama usoni mwake.
Unataka kuniacha peke yangu?
Nilimuuliza Rose kwa sauti ya mahaba hukumkonowangu mwingine nikiupitisha kiunoni mwake.
Erick sasa hivi sio muda wa mapenzi, una f amilia unakwenda kupata mtoto wa pili sasa, ninakuomba niacheniondoke zangu.
Tanzaniahapa rohoyanguhaina amani kabisa Rose kuna kazi kubwa ambayotunahitaji kuif anya, kazi
ambayo ninaimani bila wewe haiwezikwenda
Erick acha ngonjerazak.
Kabla Rose hajamalizia sentenzi yakenikanza kumnyonya denda kwa nguvu. Kitendo hichi kikamf anya Rose kuanza kulegea viongovyake, nikazidi kumvutia karibuyanguhuku nikizidi kumnya midomoyake.
Ee..rick watuwanakuja
Rose alizungumza hukua akijitoa mikononi mwangu, akatoka Jackline hukuakiwa ameziba jicholake. Akatutazama kwa sekunde kadhaa kisha akaanza kutembea kueleka kwenye lif ti huku nyuma yake akif watiwa na watu wake pamoja na meneja wahi hoteli.
Subiri
Nilizungumza hukunikianza kumf wata Rose kwa nyuma.
Rose, Rose
Nini?
Ninahitaji ushahidi wasauti
Erick hembuniache, laiti ingekuwa si kuja hapa wala haya yasinge nikuta?
Wewe mwenyewe si ulisema unataka kupigana kikike,sasa imekuwaje hapa unalalamikajamani.
Nilizungumza hukunikitamani kucheka ila ikanibidi kukaa kimya tu.
Kama unahitaji huoushahidi njoomakaomakuuya NSS
Nitumie ushahidi huokwenye simuyangusawa
Erick usiniamrishe kumbua mtu anaye weza kuniamrisha ni
raisi si wewe, nitaf anya pale nitakapo jisikia.
Nikamsogelea Jackline taratibuna kumtazama usoni mwake hukunikikazia machoutani nikauweka pembeni. Endapo mtuyoyote kwenye f amilia yanguikatokea akaudhurika, nitahakikisha kitengo chenu kinaf utwa kwenye ramani ya nchi hi na nyinyonyote mutataf uta kazi za kuf anya Baada ya kuzungumza maneno hayo nikamucha Jackline na watuwake wakiondoka eneohili.
Itabidi tuondoke kwenye hi hoteli Erick
Sawa, ndiojambonililotaka kukuambia sema umeniwahi
Sasa tutaelekeawapi?
Nitajua kwakukuepelea
Sawa
Hakuna kitu ulichokisaundani?
Hakuna kila kitu ninacho, vipi simuyakounayo?
Ndioninayo
Tukaelekea sehemuilipolif ti, tukaingia ndani na taratibu tukaanza kuelekea chini. Tukatoka nje na kukuta kudi kubwa la NSS, cha kushangaza wote wakatunyooshea sihala zao.
Nyoosheni mikonoyenu juu
Jamaa mmoja alizungumza huku akitutazama, nikatakakupiga hatua mbele ila jamaa akarudia kwa msisitizokwamba niweke mikono yangujuu.
Nilijua huyumseng** ataf anya ujinga kama huu, hapa
hawakutaki wewe wananitaka mimi
Rose alizungumza hukumikonoyake ikiwa juu.
Hakuna wakukuamata
Nilizungumza na mimi mikonoyangunikiwa nimeinyoosha juu.
Erick usif anye chochote hawa watuwenyewe wamelishwa pilipili
Mimekuambia hakuna wa kukamata, nilikuahidi kutokuingia mikononi mwaserikali
HapanErick acha nijisalimishe?
Ngoja kwanza
Nilizungumza hukunikimtazama jamaa mmoja kati ya hawa wana NSS, kitu kilicho nishangaza kwa jamaa huyu wezake wote wamevaa viatu vyeusi ila ni yeye tu ndio amevaa viatu vya kaki. Nini?
Unamuona jamaa aliye vaa viatuvya kaki?
Ndio
Nina mashaka naye
Mbona kama ninamjuaa
Unamjua?
Ndioni miongonimwawatuwaliokuwa chini ya mume wangu
Unahisi amekuja kuf anyajehapa?
Hawa kazi yao waliyopewa ni kuniua mimi, na ninaimani
kwamba amekuja kuniua mimi
Shiti
Tulizungumza kwa sauti ya chini hukutukiwatazama askari hawa waNSS, waliotuzunguka hukuwawili wakitusogelea taratibuhukuwakiwawametonyooshea bunduki zao.
ITAENDELEA
 
AM NOT A DOCTOR 50


ILIPOISHIA
Unamuona jamaa aliye vaa viatuvya kaki?
Ndio
Nina mashakanaye
Mbona kama ninamjuaa
Unamjua?
Ndioni miongonimwawatuwaliokuwa chini ya mume wangu
Unahisi amekuja kuf anyajehapa?
Hawa kazi yao waliyopewa ni kuniua mimi, na ninaimani kwamba amekuja kuniua mimi
Shiti
Tulizungumza kwa sauti ya chini hukutukiwatazama askari hawa wa NSS, walio tuzunguka huku wawili wakitusogelea taratibuhukuwakiwawametonyooshea bunduki zao.
ENDELEA
Tutulie tuone mwishowake
Rose aliendelea kuzungumza huku tukiwatazama askari hawa wanavyo tusogeleakwa umakini sana.
Ila.
Sikuweza kuimalizia sentensi hi tayari askari hawa walisha tuf ikia, kwa haraka wakaishika mikonoyetu hukuwakitufunga pingu kwa nyuma, wakachukua sila bastola zetu na kuanza kutemeba na sisi kielekea nje. Watu wote ndani ya hi hoteli wakabaki wakitazama tukio hili huku wengine wakipiga picha kupitia simu zao. Sikuhitaji kuzungumza chochote kwa maana sitambu ni nani aliye toa amri ya sisi kukamatwa. Tukamkuta
Jackline akiwa nje amesimama, hata kukamatwakwetu
kukaonyesha dhairi kwamba si yeye ambaye ametoa amri hi.
Hei hei hei hei, muna f anya nini?
Jackline alizungumza huku akiwazuia askariwake walio tukamata.
Mkuu tumepewa amri
Amri kutokawapi?
Kutoka moja kwa mojaikulu
Ikulu!!?
Jackline aliuliza hukuakinitazama mimi, hata mimi mwenyewe ninashangaa kwa amri hi ambayo imetolewa.
Unajua kwambahuyumuliye mkamata ni nani?
Ndiomkuutunajua ni mtotowaraisi ila amri hi imetoka kwa nini hukoikulu?
Imetoka kwa muheshimiwa raisi na hi ndio amri yamaandishi tuliyopewa
Askari huyualizungumza hukuakitoa karatasi aliyotuonyesha na ina maelezoya kukamatwa kwetuhukukukiwa na muhuri wa raisi pamoja na saini ya baba yangu ambayo hata nikiwa usingizini nikiamshwa galf a na kuulizwa ni lazima niweze kuitambua kwamba ni sainiyake.
Muheshimiwa raisi?
Ilinibidi kuuliza na mimihukunikishangaa kwa maana baba yanguhawezikutoa amri kama hi .
Ndio
Ninaomba munipe japo dakika moja niweze kuzungumzanaye? Muheshimiwa haturuhusiwi kuf anya hivyo, jukumu letu ni kukukamata wewe na hilondiolililotuleta hapa
Askari huyualizungumza kwa msisitizohukuakinitazama usoni mwangu.
Tafadhali nina omba munipe dakika moja nizungumze na baba
yangu
Mpeni kama kuna maswali basi nitayajibu mimi
Jackline alizungumza na kumf anya kijana wake huyu kutulia kidogoakanifungua pinguza mikononi mwangu. Nikatoa simu yangu mf ukoni na kuanza kuitaf uta namba ya baba, nilipo hakikisha kwamba nimeipata nikapiga simuna kuiweka sikioni mwangu. Simuya baba ikaita hadi ikakata, nikajaribukupiga tena, ila simuiakatwa ikiwa katika taki ya kuita.
Dakika moja imeisha tunakuomba tukuingize kwenyegari muda umef ika sasa inabidi kuondoka?
Askari huyualizungumza sikuwa na jinsi zaidi ya kurudisha mkonowangunyuma na akaufunga pingu.
Munawapeleka makaomakuu?
Hapana mkuumambomengine yaponje ya uwezowetu hatupaswi kuzungumza
Baada ya askari huyukuzungumza manenohayowakatuingiza kwenye gari lenye vioovyeusi na tukaondoka eneohili.
Erick unahisiwanatupeleka wapi
Sijajua kusema kweli kwa maana ninampigia simubaba naona anakata simu
Mmmmbasi kuna kutu kitakuwa kinaendelea
Ila nahisi baba atakuwa anatupeleka eneo jengine ili kuf icha siri ya uwepowakoduniani
Unamuamini baba yako?
Ninamuamini sana ni babayangu
Hata mimi ninamuaminikwa asilimia kadhaa japosi mia Saf ari ikazidi kuendelea, hukugari hizi zikiwa zinatoka nje ya jiji la Dar es Salaamna kuelekea Bagamoyo, saf ari ikazidi kusonga mbele hukugari hizi zikizidi kwenda kwa kasi sana. Hatuwezikumuuliza dereva wala askari aliye kaa mbele ya gari
hili kutokana na kiookigumukilichotutengenisha katikati yetu.
Erick mwenzakonina wasiwasimwingi katika hili
Wasiwasigani?
Hatuf iki na hukutunapoelekea mimiwala sijui ni wapi? Tusubiri tuone mwishowake
Tukaingia kwenye msitummoja ambaokwangundiomara yanguya kwanza kuweza kuf ika. Gari zikasimama kwenye moja ya kiwanja ambachokidogokina uwazimkubwa. Mlango ukaf unguliwa na tukashushwa kwenye hizi gari na askari wote wakaonekana kuwa makini sana.
Oya ni kutugani kinachoendelea?
Nilimuuliza askari mmoja, hakunijubukitu chochote zaidi ya kukaa kimywa na kuendelea kutulinda. Hazikupita hatadakika tano tukaanza kusikia milio ya helicopter ikikaribi kuf ika katika eneohili.
OhoooMunguwangu!!
Rose alizungumza hukuakitazama helicopter hizi jinsi zinavyo shuka taratibu.
Nini?
Tumef anya kazi bure mpenzi wangu
Kwa nini?
Baba yakoameamua kutuuza kwa watuwanaonitaf uta
Nikahisi mwili mzima ukinitetemeka kwa woga kwani sijui ni wapi tunapo kwenda. Helicopter hizo zikatua kwenye kiwanja hichi, wakashuka wanajeshiwenye asili ya kiarabu. Hapondipo nikajua nikiamini kabisa kwamba baba yangu ametuuza.
Samahani mkuu, haya ni maamuziya baba yako
Askari huyuambaye anaonekana ndiomkuuwakikosi hichi alizungumza huku akitusindikiza kwa wanajeshihawa ambao hadi sasa sif ahamuwametokea nchi gani. Sikujibukitu chochote zaidi ya kukaa kimya huku nikiwa nimesongwa na mawazomengi kichwanimwangunikishindwa kuelewa ni kwa nini baba yanguamemamua kuf anya maamuzikama haya. Wakatukagua na kuchukua simuzetu kisha wakatukabidhizikwa wanajeshi hawa wa kiarubu. Tukaingizwa ndani ya helicopter hizi na kuondoka eneo hili, wanajeshi hawa hapakuwa na hata mmoja aliye weza kuzungumza nasi.
Kwa hili sintomsamehe baba yanguhadi kuingia kaburini kwangu
Nilizungumza kwa sauti nzitohukunikimtazama Rose aliye kaa kimya muda wote. Helicopter hizi zikazidi kusongambele.
Masaa kadhaa yakapita tukiwa hewani. Helicopter hizi zikaanza kutua chini. Taratibu milango ya helicopter hizi ikaf unguliwa tukashushwa kwenye eneo hili lililo jaa ndege nyingi za kivita pamoja na wanajeshiwengi. Mitunilichokuja
kugundua ni kwamba tupokwenye meli kubwa ya kivita ambayo
inakidhi kubebe ndege nyingi za kivita. Wanajeshi hawa wakazidi kutuongoza kuelekea ndani. Tukaingia kwenye mojaya chumba tukaf unguliwa pingutulizof ungwa kisha wakatufungia ndani ya chumba hichi na waowakatoka.
Erick?
Naam
Hapa tumekuja kuuwawa?
Rose alizungumza kwa sauti ya upole na unyonge ndani yake.
Usizungumze hivyo mpenziwangu
Unahisi nia ya baba yakokutuleta hapa ni nini, tumekuja kuf a hapa mpenzi wangu. Ona sasa watuwenyewe wanazungumza kiarubutu. Hakuna hata anaye zungumza kingereza Rose alizungumza huku akilia taratibu nikajikuta nikimshika mkonowake na kumvuta karibuyanguna kumkumbatia. Mlango wa chumba hichi ukaf unguliwa na kutuf anya kuachiana na Rose, mwanajeshi mmoja akasimama mbele yetu huku akiwa ameshika simuya mkononi. Akanikabidhi kisha akatoka ndani ya hichi chumba. Simu ikaita na ninakipokea kisha ninaiweka sikionimwangu.
Erick
Nili sikia sauti ya baba jambolililonif anya nikae kimya kwa sekunde kadhaa huku nikijitahidi kuzuia kinywa changu kuzungumza jambololote baya dhidi ya baba yanguambaye tunaheshimiana na kupendanasana.
Erick
Ndiobaba
Natambua kwama utakuwa na maswali mengi sana kichwani
mwakoni kwa nini nimeamua kuf anya mamauzikama hayoya kukukabidhi kwenye jeshi laPakistani
Nimef anya hivyomwananguili kuiokoa nchi yetu, kuokoa maisha ya mamilioni ya Watanzani ambaokwa sasa wamepoteza amani kwa ajili ya maisha yao. Walio potea inatosha sasa acha nikutoe sadaka wewe mwanangu, nina imani nitawaendeleza wajukuu wangu na watakuwa kielelezo pekee maishani kwangu kama nilikuwa na kijana mkakamavu, aliye jitoa maisha yake kwa ajili ya wengine
Baba alizungumza kwa sauti yaunyonge na upole, nikajikuta machozi yakinimwagika usoni mwangu, huku nikiendelea kuyaf umba macho yangu. Nikahisi nikishikwa mkono na kujikuta nikiyaf umbua machoyanguna kumkuta Rose akiwa amesimama mbele yangu.
Baba kwa nini unashindwa kujiamini katika uongoziwako, kwa nini unashindwa kuwa na mipango dhabiti ya kuhakikisha kwamba unapambana na ugaidi hadi umeamua kunitoasadaka mimi?
Erick mwanangu sikuwa na jinsi ya kuf anya, mambo yamenif ika koonimwanangu, mamboyamekuwa ni magumu mwanangu
Ulishindwa kunifahamisha mapema kama kuna kitu kama hichi kinakwenda kutokeaehee?
Nisamehe mwanangu
Ok mimiumenitoa sadaka je Rose katika hili anahusika vipi?
Rose!?
Ulihisi kwamba sintof ahamukwamba yupohai na haukumuua. Nimekamatwa naye sasa na yeye ana siri kubwa sana ambayo waki gundua hawa watu watakugeukia wewe na kukupiga nchi yako. Kwa nini usi f anye nchi yakokubwa ni nchi kubwa, kua ni nchi inayojiamini kama nchi nyingine duniani
Nilizungumza kwa kuf oka hukunikimtazama Rose usoni mwake. Baba akaka kimya nikisikilizia jisni anavyoshusha pumzi nyingi sana. Erick
Nakusikia
Hakikisha kwamba haufi
Hivi baba wewe ni chizi eheee. Sif i kwa namna gani, hivi unajua
ni wapi tulipo letwa. Hivi hili swala mama anaf ahamu, mke wanguana f ahamueheeee?
Niliendelea kuzungumza kwa kuf oka hadi mlangoukaf unguliwa,
akaingia mwanajeshi aliye leta simu hi ninayo itumia kuzungumza na baba. Akanionyeshea mkono kwa isharaili
nikabidhi simu, nikamtazama kwa macho yalio jaa hasira,
Baba nitakuchuk
Kabla sijamaliza kuzungumza sentensi yangu, mwanajeshihuyu akanipokonya simu, nikajukuta nikimsukua kwa nguvu, akarudi nyuma kidogo huku akipepesuka, nikataka kumf wata kwa haraka achoa bastola kiunoni mwake na kujikuta kitu chenye ncha kali kiki ngia kwenye paja la mguu wangu wa kulia na kunif anya nianguke chini na kumf anya Rose kutoa ukelele mkali wa kulia huku akininiwahi kunitazama hapa chini.
Baba ninakuf a kwa ajili ya upuuzi wako
Nilizungumza kwa sauti iliyojaa maumivukwanininatambua simu bado ipo hewani na baba anasikia kila kitu ambacho kinaendelea eneo hili. Mwanajeshi huyu akatokana ndani ya hichi chumba na kuuf unga mlango kwa nje na damu nyingi zikaendelea kunimwagika kwenye jeraha languna nisipopata
msaada wowote basi damu nyingi ikitoka ninaweza kujikuta nikipoteza maisha yangumbele ya mwanamke ninaye mpenda Rose.
ITAENDELEA
 
AM NOT A DOCTOR 51

ILIPOISHIA
Baba ninakuf a kwa ajili ya upuuzi wako
Nilizungumza kwa sauti iliyo jaa maumivu kwani ninatambua simu bado ipo hewani na baba anasikia kila kitu ambacho kinaendelea eneo hili. Mwanajeshi huyu akatokana ndani ya hichi chumba na kuuf unga mlango kwa nje na damu nyingi zikaendelea kunimwagika kwenye jeraha languna nisipopata msaada wowote basi damu nyingi ikitoka ninaweza kujikuta nikipoteza maisha yangumbele ya mwanamke ninaye mpenda Rose.
ENDELEA
Baby, baby
Rose alini taa huku machozi yakimwagika usoni mwake. Kwa haraka akachana kipande cha baibui lake na kunif unga sehemu ya juu ya paja langu kwa ajili ya kuzuia damu inayo mwagika kuto kuendeleakunimwagika.
Tunakuf a mkewangu
Nilizungumza hukunikiyasikilia maumivuya mguuwangu yanazo zidi kuongeza kadri muda unavyo zidi kwenda.
Nilazima nif anye jambo
Rose alisimama akaanza kutembea kuelekea mlangonihuku machozi yakimwahika. Akaanza kuugonga mlango kwanguvu hukuakipiga makele. Mlangobaada ya muda ukaf unguliwa
akaingi mwanajeshi aliye nipiga risasi ya mguu. Rose bila hata
ya kuzungumza chochote akamvamia askari huyu, nikajaribu kusimama ili kwenda kumsaidia, ila maumivuya mguu yakanif anya nirudi chini na kukaa. Rose sikujua hata nguvuza kupambana na huyu mwanajeshi amezipatia wapi kwani nilishuhudia mwanajeshi huyu akimshindilia ngumi zisizo na idadi hadi mwanajeshi huyu akatulia kimya, hata kablaRose hajaf anya kitu chochote, wanajeshi zaidi ya kumi wakawa wameingia huku wakiwa na bunduki mikononi mwao.
Roseeeee
Nili ta kwa sauti ya juu baada ya kumuona Rose akitolewa ndani ya chumba hichi hukuakiburuzwa kwa nguvu. Sikuwa na uwezo wa kuf anya chochote kwani hali ya maumivu ya mguu wangu yanazidikutawala mwili wangu.
Mlangoukaf unguliwa tena, wakaingiawanajeshiwanne, wakaanza kuniburuza na mimi.
Munanipeleka wapii
Nililizungumza kwa sauti hukunikiwatazamawanajeshi hawa ambaohapakuwa na hata mmoja ambaye aliweza kunijibuswali langu. Wakaendelea kuniburuza hadi ukingoni mwa mwa meli hi kubwa na kumkuta Rose akiwa amepigishwa magoti huku sura yake ikiwa imejaa damu nyingi sana. Nikapigishwa magoti na mimi huku wanajeshi hawa wakiwa wametuelekezea bunduki zao.
Muna machaguomawali
Mwanajeshi mmoja alizungumza Kiswahili kizurihuku akitutizama kwenye nyusozetu.
Moja ni kujitosa nyinyi wenyewe kwenye hi baharina kumaliwe na papa. Mbili tuwapige risasi na mi li yenutuitupe kwenye maji ikaliwe na Papa? Muna sekunde kumi kuf ikiria Mwanajeshuhuyubaada ya kumaliza kuzungumza manenohaya, akaanza kuesabu kidole kimoja baada ya kingine, nikamuangalia Rose ambaye bado anamwagikwa na damu kwenye usowake na hata nguvuanaonekana kuishiwa kabisa. Nikamuangalia mwajeshi huyukwenye mkonowake anaohesabu sekunde hizi kwa vidole na kukuta amebakiza sekunde tatu, kwa haraka nimkumbatia Rose na kujitosa naye kwenyemaji haya ya bahari. Umbali wa kutoka juu hadi kuingia ndani ya maji umetugarimusekunde zaidi ya kumi na tano.
Tukazidi kusonga chini ya maji hukunikiendelea kumkumbatia Rose ambaye kadri muda unavyo zidi kwenda ndivyojinsi anavyozidi kuishiwa na nguvuza mwiliwake. Cha kumshukuru Mungu kwamba kidogo nina ujuzi wa kuogelea, nilicho kif anya kuanza kumpulizia Rose pumzi yangu kwenye mdomowake hadi kidogoakaf umbua machoyake vizuri kwani yalilegea hata katika kuonakwake.
Japopumzi inakaribia kuni shia mwilinimwanguila nikajikaza hivyo hivyo, nikaanza kuogelea huku nikiwa nimemshika Rose kwa mkono mmoja nikitazama ni sehemu gani kwenye hili meli ina uwazikidogoambaotunaweza kuingia na kujisitiri japokwa muda kidogokwanimaisha yetu kwa sasa yapomikononi mwetu na ninacho kikumbuka ni kwamba hili eneo lina samaki wakali sana wanao itwa Papa ambao endapo watakukamata ni sekunde chache sana kuachanisha viungovya mwiliwako. Kardi muda ulivyozidi kwenda ndivyojinsi nilivyozidi kuishiwa nguvu, tukaf anikiwa kuona sehemu yenye muniko wa chuma ambao kif unguliaji chake kimekaa muundo wa duara kama mskani wa gari. Taratibutukaanza kuuzungusha ila kutokana na pumzi kuni shia hata uzungushaji ukazidi kutuwia ugumu. Kwa ishara nikamuaga Rose na kuanza kupandisha juu ambapo kuna kina kiref usana. Ila nikajikaza hivi hivi. Nikaf anikiwa kuf ika usawa wa bahari, na kujikuta nikihema sana kwani ningechelewa kidogotu basi ningejikuta ninakuwa marehemu. Nikavuta pumzi nyingi sana na kuanza kurudi chini kwa kasi kwani ninatambua kwamba Rose pumzi yake naye itakuwa inakaribia kumuisha, uzuri wetuni kwamba kipindi tulipokuwa ni wapenzituliutumia muda mwingi sana kuogelea na kujif unza mafunzokadhaa ya kukaa chini ya maji kwa kipindi kiref u kiasi.
Nikamkuta Rose akijitahidi kuzungusha mf uniko huu, nikamsogelea na kuikutanisha midomo yetu na kuanza kumpulizia pumzi yakutosha, nilipo hakikisha kwamba amepata pumzi ya kutisha, tukaanza kuusukuma mf unikohuukwa nguvu zetu. Rose akaanigusa mkononi mwanga na kwa ishara akanionyesha kwa nyuma. Nikageuka nikaona vituf ulani vikija kwa kasi katika eneotulilipo.
Munguwanguweee
Nil izungumza hukunikizidisha kasi ya kuzungusha mf unikohuu, taratibu ukaanza kuf unguka, tukazidisha juhudi hadi ukaf unguka Rose akawa wakwanza kuingia, nilipogeuka nyuma ndiponilipogundua kwamba wanaotuf wata kwa kasi ni papa ambaowamebakisha mita chache sana kuweza kutuf ikia, kwa haraka nikaingia katika upenyomdogowahuumf unikokisha tukaurudishia kwa nguvu japo kuna kiwango cha maji kiasi kimeingia ndani ya eneohili.
Sehemutuliyof ikizia tukakuta mapipamengi sana, kwa nguvutukakumbatia na Rose hukutukimwagikwa na machozi mengi kwenye nyusozetu.
Tumepona mke wangu
Nilizungumza hukunikiendelea kumkumbatia Rose, japobado tupomikononi mwa hawa wanejeshi wa Kipakistani ila kidogo kuna unaf uu wa kujif icha katika hili eneo hili kwa kipindi kisichojulikana. Tukajukuta tukianza kunyonya midomoyetu hata maumivuya paja languyamekata gaf la.
Nakupenda sana Erickwangu
Ninakupenda pia Rosewangu
Kweli mumewangu?
Ndio, naomba yaliyopita yapite tuunde maisha yetu mapya
Asante sana mumewangu
Tukakumbatia kwa muda kisha tukaachiana, nikaanza kuzunguka katika hili eneo la chumba hichi kikubwa kilichojaa mapipa. Nikakichunguza vizuri na sikukuta kamera ya aina yoyote japokuna mlangommoja tu wakutokea.
Haya mapipa sijui yatakuwa nanini?
Nilizungumza huku nikilisukua sukuma pipamoja.
Sijui yananini?
Ila katika kuyachunguza haya mapima nikaona yana vitobo vinne kwenye mif unikoyake, nikajaribukuchungulia kwa ndani ila sikuweza kuona chochote kwani kuna giza. Tukiwa katika kuchunguza chunguza mapipa haya tukasikiamlango ukif unguliwa, kwa haraka tukajif ichapembezoni mwa moja ya pipa hukutukiwa na wasiwasi mwingi kwanininavyohisi hawa wanajeshiwatakuwawamegundua uwepowetuhumundani.
Wakaingia wanajeshi wawili wenye bunduki mikononimwao.
Wanajeshi hawa wakasogelea moja ya pipa na kulif ungua. Wakaanza kuongea kwa ukali sana, sote tukabaki kushangaa hichokinachoongeleshwa kwa ukali ni kitu gani ikiwa wamekuja wakiwa wanazungumza kawaida. Wote macho yakatutoka baada
ya kuona msichana wa kitanzania akitolewa ndani ya hili pipa na mbaya zaidi ni msichana mwenye umri usiof ika hata miaka ishirini. Wakanza kumvua nguo zake hukuwakimzima mdono wake kwanibinti huyuanalia sana akiombamsaada na kulita mama. Nikataka kujitokeza kwa hasira, ila Rose akanizuia.
Ngoja kwanza
Wanajeshi hawa pasipona huruma, naowakanza kuvua nguozao na kumlaza chini binti huyuna kuanza kumuingilia kimwili.
Rose acha nikawashuhulikie
Nilizungumza kwa hasira sana, kwanikitendokama hichi kina niuma kwa kweli na inavyoonekana kwenye mapipa yote haya kuna wasichana wa Kitanzania wamef ungiwa humu ndani.
Pita huko
Rose aliniambia hukutaratibutukaanza kutembea kwa kunyata sana huku tukuwa tumeinama usawa wamabo wanajeshi hawa hawawezi kutuona. Tukaf anikiwa kuwaf ika huku Rose akiwa upande wa pili cha kumshukuru Mungu wanajeshi hawa wote wapo uchi na silaha zao wameziweka pembeni pamoja na nguo zao. Mmoja kazi yake ni kumchua jogoo wake huku akimtazama mwenzake jinsi anavyo mshuhukia binti huyu, Uzuri tumetokea nyuma yao, Rose akahesabu kwa ishara ya vidole moja hadi inatimia tatu tukawavuamia kwa pamoja hawa wanajeshi huku Rose akimshuhulikia mwanajeshi aliyopo kwenye kiuno cha huyu binti huku mimi nikiwa ninamkabili huyu mwanjeshi aliyekuwa aki subiria zamuyake ya kula kitumbua.
Kwa hasira niliyo kuwa nayo kusema kweli sikuwana huruma kabisa na huyu mwanajeshi, nilocho kif anya ni kuhakikisha kwamba ninampiga mapigoyaliyomlewesha kwa kizungu zungu, kala jogoowake hajalala doro, nikamshika, na kunza kumvunja kwa hasira huku nikiwa nimeyangata meno yangu kwa jazbakubwa.
Unajisikiaje?
Nilizungumza huku nikiendelea kuhakikishakwamba ninavuja
uume wake. Nikaachia uume wake na kuupeleka mkono wangu kwenye makend** yake na kuyazungusha kwa huku nikiyaminya kana kwamba ninakamua kipande cha limao. Mwanajeshi huyu alijitahidi kujitoa mikononi mwangu ila hakuweza kabisa na kujikuta aki shiwa nguvu. Nikamvunja shingo yake na kumuangusha chini, nikageuka nyuma yangu na kumkuta Rose na binti huyu wakinitazama huku mwanajeshi aliye kuwa akimbaka huyubinti akiwa amelala chini na tayari emesha kuf a.
Vipi?
Nilizungumza hukunikiwatazama.
Tayari tumewashuhulikia
Unaitwa nani?
Nilimuuliza huyubinti hukunikimsogelea.
Zena
Binti huyualizungumza hukumachoziyakiendelea kumwagika usoni mwake.
Umetokea nchigani?
Mbagala
Kwa kiwewe alicho nacho huyu binti hata swali langu nililo muuliza limekuwa tete kichwani mwake, hadi Rose akabaki akiwa anatabasamutu. Nguozaozitatusaida
Nilizungumza huku nikivua shati langu jeupe, ambalo bado limelowana na maji, nikachukua nguo za mwanajeshi mmoja na kusimama nyuma ya moja ya pipa, nikavua suruali yangunyeusi pamoja na viatu vyangu kisha nianza kuvaa nguo hizi za wanajeshi waKipakistani. Rose na wewe vaa hizonguo
Sawa mume wangu
Dogokwa hiyokwenye hizi pipa kuna watu?
Hata mimisijui nimejikuta nikiwa humutu
Umejikuta tu, unakumbuka dakika ya mwishoulikuwa wapi? Sasa Erick mtu hakumbuki hata mchi yake unahisi atakumbuka hata mara ya mwishoalikuwa wapi?
Rose alizungumza hukuakivua nguozake, akabakiwa na nguoya ndani na kuanza kuvaa nguohizi za kijeshi.
Nakumbuka nilikuwa gesti
Gesti ulikuwa nanani?
Mwanaume mmoja wa kiarabu
Baada ya hapo?
Sijajua kilichotokea ndionilijikuta nipohapa
Wewe gesti ulikwenda kufanyanye
Ehee Erick maswali mengi yaache bwana, tutazame ni jinsi gani ya kusaidia hawa watuwalimondani ya haya mapima kama kweli wapo Vaa nguozako
Nilizungumza huku nikichukua moja ya bunduki ya hawa wanajeshi, nikaitazama vizuri, nikachomoa magazine ya bundiki hi na kukuta ina risasi za kutosha, nikairudisha, nikajipasa mif ukoni mwa manajeshi huyu, nikakuta simu, nikaitoana kuitazama vizuri, cha kumshukuruhaijawekwa namba za siri kwa hiyo ikaniwia uraisi sana kuf ungua baadhi ya huduma zinazopatikana kwenye simuhi .
Ina mtandaowa Voda bwana
Voda, kwa hiyobadotupousawa waTanzania?
Ndio
Kwa haraka nikaingiza namba za kutazama hudumaya kuangalia saliona kukuta ikiwa na saliola shilingi laki moja na sabini.
Erick usipige kwanzasimu?
Kwa nini?
Inabidi kuweza kuf ahamumf umomzima wahi meli
Itatuchukua muda bwana
Bora iwe hivyona tuweze kuwaokoa hawa watanzania wezetu kulikotukakurupuka na kujikuta tukiwa katika wakati mmbaya
ikitegemea na wewe una jeraha kwenye mguu wako
Tutaanzia wapi?
Itatubidi tutoke ndani ya hichi chumba na kwenda kuchunguza huko. Binti wewe baki ndani humu, mtu yoyote akija tof auti nasi hakikisha kwamba hakuoni na akikuona tambua kwamba tumekuf a
Sawa dada
Binti huyualizungumza hukumwilimzima ukimtetemeka.
Hizi maiti tuzi ngize humu ndani ya hili pipa
Watatosha
Tuwaingize hivyohivyo
Tukasaidiana na Rose kuingiza mi li ya maiti hizi ndani ya hili pipa, tulipo hakikisha tumeweka vizuri tukaf unga mf uniko wa hili pipa, tukachukua kof ia ngumuza hawa wanajeshina kuzivaa vichwanimwetu. Taratibutukaanza kupandisha ngazi za kuelea kwenye mlango wa hichichumba.
Erick unachehemeajikaze
Rose alizungumza huku akiwa nyumayangu.
Sawa
Nikauf ungua mlangowahichi chumba taratibu, nikachungulia nje, nikaona kodromoja ndef u, taratibunikatoka kisha Rose akaf wata. Tuelekee huku
Tukaanza kutembea hukusura zatutukiwa tumezif icha chini cha kumshukuruMungukatika hi meli kubwa ya kivita kuna wanajeshi wengine ni weusi. Tukiwa katika mlangowa chumba kimoja amao nusu yake ni kioo kinacho ruhusu kuona ndani, Rose akasimama.
Vipi?
Ngoja kwanza
Ikanibidi na mimi kutazama ndani, wote tukabaki tukiwa tumeshikwa na mshangao baada ya kumuona mama Rose akiwa amevalia suti nyeusi huku akiwasimamia wapishi wengi waliomo ndani ya chumba hichojambolililomf anya Rose kushika kitasa cha mlangohuuna kuhitaji kuingia ndani ila nikamzuia kuf anya hivyokwa kuushika mkonowake ulioshika kitasa.
ITAENDELEA
 
AM NOT A DOCTOR 52


ILIPOISHIA
Tukaanza kutembea hukusura zatutukiwa tumezif icha chini cha kumshukuru Mungu katika hi meli kubwa ya kivita kuna wanajeshi wengine ni weusi. Tukiwa katika mlangowa chumba kimoja amao nusu yake ni kioo kinacho ruhusu kuona ndani, Rose akasimama.
Vipi?
Ngoja kwanza
Ikanibidi na mimi kutazama ndani, wote tukabaki tukiwa tumeshikwa na mshangao baada ya kumuona mama Rose akiwa amevalia suti nyeusi huku akiwasimamia wapishi wengi waliomo ndani ya chumba hichojambolililomf anya Rose kushika kitasa cha mlangohuuna kuhitaji kuingia ndani ila nikamzuia kuf anya hivyokwa kuushika mkonowake ulioshika kitasa.
ENDELEA
Nini?
Nikatingisha kichwa hukunikimuonyesha Rose walinzi kadhaa walimo ndani ya hicho chumba kinacho tumika kama jiko. Tuendelee kusonga mbele mke wangu, inagwa tumegundua mama yupohumubasi tunaweza kurudi kwa muda mwingine Nilizungumza huku nikimkazia macho Rose usoni mwake, akamtazama mama yeke kwa mara ya mwisho mwisho kisha tukaendelea katika kuchunguza meli hi kubwa ya kivita iliyo kusanya wanajeshiwengi sana, kila sehemuambayotunapita tunajitahidi kuhakisha kwamba tunaikumbuka ili hatawakati wa kurudi iwe rahisi kwetu.
Kuna mpangoambaounaendelea
Rose alizungumza baada ya kuona wanajeshi kadhaa wakiwa wamesima katika kundi na wanapokea maelekezo kutoka kwa mkuuwao. Kitu nilichokiweze kusikia katika manenoya mkuu wao huyu ni Tanzania na sikujua wanazungumzia nini.
Nahitaji kuwasiliana na baba
Nilizungumza kwa sauti ya chini hukunikiwa nimemsogele Rose.
Una wazimuwewe?
Rose alizungumza kwa hasira hukuakitangulia kurudi tulipo toka hatukuzungumza kitu chochote zaidi ya kuendelea kumf wata Rose kwa nyuma hadi tukaf ika katika chumba kilicho hifadhiwa mapima mengi.
Kwa nini sasa umerudihuku
Nimerudi hukukwa ajili ya ujinga wakounaohitaji kuuf unya. Hivi unahisi kwamba baba yako anakupenda wewe eheee Rose alizungumza kwa ukali huku akinitazama usoni mwangu. Hivi baba yakokama angekuwa ni mwanaume halisi angeweza kukutoa sadaka wewe kwa hawa watuambaohawakutupa hata
siku moja ya kuweza kuishi na kile kile lilicho tokea sihitaki kukuambia kwa maana unakifahamu
Rose aliendelea kuzungumza kwa uchunguhadi machozi yakaanza kumlenga lenga. Binti tuliye muacha humundani akanyanyuka kutoka sehemu aliyo jif icha na kutuf anya tumtazame kwa sekunde kadhaa.
Erick ninakupenda wewe, ila sintokuja kukaa kuipenda f amili yako. Baba yako mama yako wanaonyesha wana ubinaf si wa maisha yao kweli leo hi unataka kuwajulisha kwamba upo hai mume wangu. Hembu tutaf ute njia ya kujiokoa misha yetu kama Mungu akitujalia tukaishi maisha yetu. Taf adhali mume wangu ninakuomba usif anye mawasiliano na mtu yoyote Tanzania na pia huwezi kujua kama simu za hawa watu humu zimeunganishwa na chumba chao cha mawasiliano na ukipiga simu tu basi mazungumzo yako yataikiwa, je wakitukamata kwa mara ya pili unahisi tutapewa tuchague kujitosa baharini au kupigwa risasi?
Mswali yote ya Rose yakanif anya kukaa kimya pasipo kuzungumza kitu cha ina yoyote. Taratibu nikamkumbatia, kwani sikutegemea kama anaweza kunipa ushari wa ainakama hi .
Kama baba aliweza kunitoa sadaka nikiwa hai basi hata sasa hivi anaweza kunitoasadaka
Nilizungumza kimoyomoyohukunikiendelea kumkumbatia Rose. Ninakuamini Erick ndio maana kwa mara nyingi tulipo kutna nilishindwa na wewe ukashindwa kuniua
Ni kweli mke wangupenzi letu halizwezikuf a kirahisi mke wangu.
Taratibu tukaachiana, nikiampiga busu la mdomo kisha nikasogelea moja ya pipa, nikalif ungua, napo tukakuta msichana akiwaamelala.
Asha
Binti huyualimuita msichana huyubaada ya kuchungulia ndani ya hilipipa.
Unamf ahamu?
Ndioninamfahamuni raf iki yanguwakaribu
Naye imekuwaje?
Tulipata wateja wakiarabusikuhiyo?
Wateja wa nguoau?
Hapana kakayangu
Ila ni nini?
Tunajiuza mili yetu
Munguwanguna una umri gani?
Mikaa kumi nasita
Hi ndio nchi yababa yako anayo iongoza, tazama wasichana
wadogo kama hawa wameingia kwenye biashara hi wakiwa na umri mdogona yaha ndiomadhara yake
Hilosi la kulijadili kwa sana, niambie tunaf anyaje kwa maana kichwa changuhakif anyi kazi kabisa na mguunimesha anza kuyasikia maumivu Hembunione hichokidonda
Rose alizungumza, taratibu nikavua suruali hi ya kijeshi sikujali msichana huyuanayweza kuniona nguoyanguya ndani. Mmmmmrisasi badoipondani, inabidi kuitoa, ikiendelea kukaa
ndani sumuinaweza kutawala mwilimzima na ukaf a Rose alizungumza hukuakitazama kidonda hichi.
Tunaitoa na nini?
Ngoja niende huko juu,nikaangalie kama ninaweza kupata vif aa vya matibabuya huduma ya kwanza
Nikamatazama Rose usoni mwake kwa sekunde kadhaakisha nikatingisha kichwa na kumkubalia kutoka katika hichichumba tulicho jificha.
Kuwa makini mke wangu
Shukrani mume wangu, jif icheni
Sawa
Rose akatoka katika chumba hichi, tukajibanza kwenye mojaya
pipia na huyubinti mbaye kwa mara kadhaa aliyatupia macho yake mbele ya boksayangu.
Nini?
Hamna kaka
Sasa mbona unanitazama tazama mbele ya boksa yangu
Mmmmmm
Alijibuhukuakitasamu.
Dogo kwa nini unajiuza?
Kaka ugumi wa maishatu
Haya sasa ugumuwamaisha umehamia humu, una jua hapa upowapi?
Hapana?
Ukipata naf asi ya kutoka hai humu, hiyokazi yakouachane nayo sawa
Sawa kaka
Binti huyualizungumza kwa sauti ya upole. Haukupita muda mref u mlango ukaunguliwa, nikachungulia kidogo nikamuona Rose akishuka katika ngazi za kuingia humu ndani. Taratibu nikanyanyuka na kuanza kujikongoja hadi sehemualiposimama Rose.
Hujaipandisha tu hiyosuruali
Ahaa nitaipandisheje wakati sijapata huduma ya kidonda changu
Sasa unataka huyo binti aitamani naniliuyanguau? Rose alizungumza kwa sauti ya chini hukuakimtazama binti huyu aliye simama kwenye pipa alilo wekwa mwenzake.
Ujaacha wivuwakotu?
Ahaa wivuhaujif ichi mbona
Rose alizungumza huku akif ungua kisanduki kidogo chenye msalaba mwekundu, akatoa gloves kwenye kisandukuhichi na kuzivaa mikononi mwake. Akatoa dawa ya maji akaisoma maelekezoyake kisha akaanza kunimwagika kwenye kidonda changu, jambo lililo nif anya niugulie maumivu ya ndani kwa ndani kwani dawa hi inanipa maumivu makalisana.
Jikaze mumewangu
Rose alizungumza hukuakikaza kipande cha baibui alicho nif unga kwenye mguuwangukipindi nilipopigwa risasi, Rose akashukua vituviwili vyenye kali.
Dogo kama unaogopausiangalie
Rose alizungumza hukuakimtazama binti huyu.
Hapana, siogopi
TaratibuRose akaanza kuingiza vif aa hivyona kunza kuivuta risasi taratibu, kwa jinsi maumivu ninayo yapata nikajikuta nikitaka kupiga kelele, ila binti hutu akachukua shati langu jeupe nililo livua, akanisokomeza nalo mdomoni na kuif anya sauti yanguisitoke nje kabisa.
Inatoka
Rose alizungumza hukuakiendelea kunisokomeza vif aa hivi hadi risasi ikatoka. Rose akachukua dawa hi ya maji na kunimwagia kwenye kidonda changu na kuanza kukisaf isha kwa kutumia pamba. Zoezi hili likachukua takribani dakika kumi likakamilika. Akanif unga kidonda changu na bandeji nzito kidogo kisha nikaipandisha suruali yangutaratibu.
Inabidi kuf ungua haya mapipatuangalie ndani?
Kwa sasa hatuwezikuf ungua?
Kwa niniErick
Tukikuta kuna watuhumundani je tutawapeleka wapiikiwa sisi wewenyewe tumejificha
Rose akaka kimya kwa sekundekadhaa. Huyomwenzako amezinduka
Hapana ila anahema kwambali?
Ngoja
Rose akasogea hadi lilipopipa la binti huyumwengine wakasaidiana na kumtoa, wakalaza chali na kumpima mapigoya moyokwa kutumia kiganja cha mkono.
Ni lazima tutokehumu
Nilizungumza hukunikikiutazama mlangowakutokea katika hichi chumba.
Tutakwenda wapiikiwa hukonje ulinzi umejaa
Tutajua ila ni lazima kutoka na kuyaokoa maisha yetu humu ndani sawa
Erick muda mwengine tutumie akili hata ya kuzaliwa, wewe umeona hali halisi, unataka tutoke na hawa mabiti nao itakuwaje?
Sasa Rose unahitaji tukae humukwa muda gani, je tunajua ni wapitunapoelekea, je unajua ni lini hichi chumba kitaf anyiwa ukaguzi?
Nilizungumza kwa msisitozona kumf anya Rose akae kimya akinitazama.
Siwezi kukubali kuja kujingia mikononi mwa hawaWapakistani, niahitaji kurudi nyumbani Tanzania,unanielewa
Sawa kama ndiomaamuziyakomume wangu
Ndio muda mwingine inabidi uf anye maamuzi ambayo ni magumu, maamuziambayohaijalishi matokea yake yatatokea kwa namna gani ila ni lazima kuweza kuyaf anya
Sawa
Jif icheni na huyo biti, hizi damuzidaf isheni kisha mimi ninatoka humundani ninaelekea juu Unakwenda kuf anyanini?
Nitanjua cha kwenda kufanya?
Hapana wewe utabaki hapa na haomabinti
Erick
Rose sio ombi, jeunaniamini?
Ndio ninakuamini mumewangu
Basi ninakuomba uniaminikatika hili ambalonitakwenda kulifanya
Sawa
Nikampiga busu la mdomo Rose kisha nikanza kupandiksha hizi ngazi za kuelekea mlangoni, japonina maumivumakali ya mguu
wanguila ni wakati wa kujikaza kiume na sina jinsi ya kuf anya zaidi ya kuendelea kuf anya hichi nilicho kidhamiria kutoka moyoni mwangukwanini lazima kuondoka katika hili eneo. Nikf ungua mlango, nikachugulia kwenye kordohi , hapakuwa na mtu, nilichokif anya ni kuanza kutembea hukubunduki yangu nikiwa nimeishika, cha kushangaza kila sehemu ninayo pita haina watujambolililonishangaza sana.
Hei
Nilisikia sauti nyuma yangu jambo lililo nif anya nisimame taratibu nikageuka huku nikiwa nimeishika bunduki yangu, nikakutana na mwanajeshi mmoja wa kipakistani, akanitazama kwa umakini hukuakionekana kuwa na wasiwasimwingi na mimi. Akaanza kuniongelesaha kiarubu jambo lililo nif anya nimkazie macho huku sauti moja niki sikia masikioni mwangu ikinihitaji nimpige risasi mwanajeshihuyu.
ITAENDELEA
 
AM NOT A DOCTOR 53

ILIPOISHIA
Nikampiga busu la mdomo Rose kisha nikanza kupandiksha hizi ngazi za kuelekea mlangoni, japonina maumivumakali ya mguu
wanguila ni wakati wa kujikaza kiume na sina jinsi ya kuf anya zaidi ya kuendelea kuf anya hichi nilicho kidhamiria kutoka moyoni mwangukwanini lazima kuondoka katika hili eneo. Nikf ungua mlango, nikachugulia kwenye kordohi , hapakuwa na mtu, nilichokif anya ni kuanza kutembea hukubunduki yangu nikiwa nimeishika, cha kushangaza kila sehemu ninayo pita haina watujambolililonishangaza sana.
Hei
Nilisikia sauti nyuma yangujambolililonif anya nisimame
taratibu nikageuka huku nikiwa nimeishika bunduki yangu, nikakutana na mwanajeshi mmoja wa kipakistani, akanitazama kwa umakini hukuakionekana kuwa na wasiwasimwingi na mimi. Akaanza kuniongelesaha kiarubu jambo lililo nif anya nimkazie macho huku sauti moja niki sikia masikioni mwangu ikinihitaji nimpige risasi mwanajeshihuyu.
ENDELEA
Mwanajeshi huyu alivyo gundua kwamba mimi sio mwenzao, akataka kuniwahi kunipiga risasi na bunduki yake ila kwa sekunde chache alicho chelewa, nikajikuta nikimpiga risasi.Mlio wa bunduki yangu nina imani kwamba utakuwa umesikika
katika eneo kubwa la hi meli. Kwa haraka nikaichukua bunduki ya mwanajeshi huyuna kuanza kuiondoka katika eneo hili haraa iwezekavyo huku nikiwa makini sana kuhakikisha kwamba
sikutwi eneo la tukio, nikazidi kukatika katiza katika vyumba hadi nikaf ika katika chumba kimoja kilichochorwa picha ya f uvula binadamukwenye mlango.
Taratibu nikausukuma mlango huuu, kwa bahati nzuri nimeukuta ukiwa upo wazi, nikaingia ndani ambapo mwanga wa taa katika hichi chumba ni rangi nyekundu. Nikaanza kuangaza angaza macho yangu, ndani ya hichi chumba, nikaona mitungi mikubwa ya gesi. Taratibu nikaisogelea huku nikiwa makini sana kutazama baadhi ya maeneo ya hichi chumba ambapo kuna mambomba makubwa yaliyo katizakatika.
Nikaanza kusoma maelezoya vikaratasi iliyobandikwa kwenye hi mitungu, nikagundua kwamba hi ni mitungi ya gesi ya sumu kali ambayokipindi nilipokuwa chuoni nilisha wahikuisoma. Madhara ya hi gesi inatumika kama silaha ya kivita na endapo binadamuatavuta gesi hi basi nilazima atakuf a ndani ya sekunde zisizo zidi hamsini. Nikashusha pumnzi nyingi huku nikiendelea kutazama mitungi hi ambayoni miref u kulikohata kimo chamwili wangu.
Nikaachana na mitungi hi na kuanza kutazama baadhi ya vitu vilivyof ungiwa katika chumba hichi, na kila nilichokisoma maelezoyake ni silaha ya sumu.
Itanisaidia kutoroka
Nilizungumza kimoyomoyohukunikitazama mitungi hi , nikaona sehemukukiwa na nguotatu maalumuza lailoni ngumuambazo
hutumiwa na watu kuzivaa endapo mojawapo ya gesi hizi za sumuzinaf unguka, na mtu huyohatoweza kupata madhara kwa maana nguo hizo zinamf unika mwili mzima na zina gesi maalumuya oksijeni ambayomtuanaweza kuivaa na itamsaidia kwa kipindi chote ambachogesi hiyoitakuwa imesamba. Nikaanza kutembea kuelekea mlangoni, nikaf unguamalango taratibu na kuchungulia nje, nikawaona wanajeshi wakikatiza kwa haraka katika hili eneo, nina imani kwamba mlio wa risasi umewapa wakati mguumu wa kutaf uta ni kitu gani kinacho endelea ndani ya hi meli yao. Kutokana na mimi nimevalia mavazi ya kijeshi sikuwa na wasiwasi mwingi sana, na mimi nikatoka na kuanza kutembea kwa mwenda wa harakakuelekea katika chumba nilicho waacha Rose na binti tuliye muokoa.
Hei
Nilizungumza mara baada ya kuuf unga mlangokwa ndani, nikashuka kwenye ngazi na kuwaonaRose na msicha huyo wakisimamakwenye moja ya kona walipojif icha.
Njooni
Niliendelea kuuzngumza kwa sauti ya chini, Rose na binti huyu wakanif wata kwa haraka huku wakiwa na shahuku kubwa ya kuf ahamunimef ikia wapikatika mpangowanguwakutoroka humundani.
Nimeingia katika chumba ambachowanahifadhia silaha za
sumu, ninaimani silaha hizo zinawezakutuzuia?
Silaha za sumu?
Msichanhiyoaliniuliza hukumachoyakiwa yametoka. Kwa sasa huwezikuf ahamu, kikubwa kwa sasa ni kuhakikisha kwamba tunatakiwa kutoka humundani
Tumesikia mlio wa bunduki naninaimani kwamba wewe ndio utakuwa umesababisha?
Ndioni mimiila sikuwa na jinsi ya kuf anya zaidi ya kutumia njia hiyo
Sasa unataka kutumia gesi hizoza saumukuua watuwaliomo humundana?
Ndio
Unanitania Erickina maana wasichana wote hawa walio fungiwa kwenye haya mapipa unataka kuwaua?
Hakuna jinsi ya kuf anya na nguoza kujikinga na gesi hiyoni tatu tu
Erick kumbua kwamba mama yanguyupohumundani ya hi meli
Rose..
Nikajukuta nikiatisha sentensi yanguhi ni baada ya kusikia mtingishikomkubwa uliotuf anya sote kustuka, Mtingishikohuu ukaendelea na kutuf anya sote tuanze kuchanganyikiwa. Binti huyu akataka kuingia kwenye pipa ambalo lipo wapi, ila nikawahikumshika.
Wamevamiwa
Rose alizungumza huku bunduki yaki wakia emeishika vizuri. Watoeni watuwote kwenye mapima ninakwenda kuchunguza sawa
Sawa
Nikanza kupandisha ngazi huku nikichechemea. Mtingishiko mwingine ukanikuta nikiwa mlangoni na kujikuta nikianguka chinikwanini mtingishikomkubwasana.
Nenda
Rose alizungumza kwa sauti ya juu huku naye akinyanyuka akitokea chini alipo anguka na yeye. Nikasimama na kufungua mlango huu, katika kordo ya hi ambayo nimeizoe kuona ina mwanga wa taa, nimeikuta tof auti kwani kuna giza kiasi na ni taa chache za ukutani ndizozinazowaka.
Milioya risasi na milipukoya mabomuinazidi kuongezea, kweli hapa nikaamini kwamba kuna kitu kinachoendelea. Nikaanza kusonga mbele na kila nilipo kutana na mwanajeshi wa Kipakistani, nikahakikisha kwambaninamuua.
Nikiwa katika kukatiza kwenye moja yachumba nikamuona mama Rose akiwa amelala chini ya meza, imekuwa kumgundua ni kutokana na suti yake aliyoivaa kwa haraka nikaingia katika chumba hichi ambachomlangowake umevinjika.
Mama mama
Nili ta huku nikimvuta mama Rose kutoka chini ya meza, akanitazama machoni mwangu, akaonekana kunishangaa, ikanibidi kuvua kof iaa hi ya kijeshi na kumtazama. Erick?
Hakuna muda wa kupoteza mama tunatakiwa kuondokahumu
Umef wata nini hukuwewe mtoto?
Nimekuambia hakuba muda wa kuulizana maswali nyanyuka Mama Rose akanyanyuka akaokota bunduki moja ya mwanajeshi ambaye tayari amesha uwawa kwa kupigwarisasi.
Unaweza kutumia silaha?
Utaona
Mama Rose alizungumza huku akinitazama usoni mwangu, akavaa kof ia ya kijeshi ambayo nimeivua mimi. Tukaanza kutoka katika chumba hichi, na kazi yetu ikawa ni kushambulia wanajeshi hawa wakipakistani.
Rose yupohumu?
Rose?
Ndioniponaye
Erick acha kuota mwanangualisha uwawana baba yakosiku nyingi
Niamini kwa kile ninachokizungumza
Tupo wapisasa?
Katika chumba cha mapima chini kabisa ya hi meli
Tukaf ika sehemu ya juu na hi meli huku tukiwa makini sana. Eneo hili la juu limechanguliwavibaya sana, tof ati hata na pale mwanzoni tulivyo lilete. Ndege za kijeshi zinaendelea kupambana angani huku ndege nyinine zikwa zinatekezwa kwa kulipuliwa
Hi ndege ya Tanzania
Nilizungumza huku niki tazama moja ya ndege ya kivita iliyo pita kwa kasi karibu na eneo letu ilipoa f ika mbele kiasi ikaangusha bomulililotua kwenye sehemunyingine ya hi meli na kusababisha mtingishikomkunbwa.
Baba yanguamekuja kuniokoa
Nilizungumza huku nikiwa na f uraha sana. Nikajipapasa mif ukoni mwanuna kuikuta simuya mwanajeshi ambaye nilimuu, kwa haraka nikaitoa na kuanza kuingiza namba ya baba kisha nikaiweka simuyangusikioni. Simuikatia kwa sekunde kadhaa kisha ikapokelewa.
Haloo
NIli sikia sauti ya dokta Benjamini
Dokta ni mimiErick
Nilizungumza kwa sauti ya juu kwa maana mingurumoya ndege hizi za kijeshi zinavyo katiza zinaimeza kabisa sauti yangu.
Erick!!?
Ndiodokta baba yupowapi?
Yupo katika chumba na wakuuwajeshi, ngoja ninampatia usikate simu
Nikamuonamama Rose akiwapigarisasi mf ulizowanajeshi kama sita walio kuwa wamesimama akishambulia ndege hizi zinazo zidi kuf anya maangamizi ya jeshi hili la wapakistani.
Muheshimiwa raisi simuyakokutoka kwa Erick?
Erick
Erick
Ndiobaba
OhoooMunguwangu, uposalama mwanangu
Ndiobaba, naona ndege za kijeshi za Kitaanzania zinaf anya mashambulizi
Ndionimeamua kuingia kwenye vita sikutaka kuwa mnyonge mwangu kama ulivyo niambia na hapa ninavyo zungumza kuna manuari mbilizinakaribia kuf ika kwenye hiyomeli, zimebakisha kama dakika tanona zikifika hapozitaimalizia kabisa hiyomeli Baba usif anya mashambulizi kwanza kwa maana kuna wasichana wadogo sana wa Kitandani nimewakuta ndani ya mapipa humu ndani ya hi meli
Wapowapi?
Kuna moja ya chumba chini ya habari katika hi meli ndipo walipo f ungiwa
Basi usikate simu, nitawatumia signal ya simuyakowanajeshi walipondani ya manuari hizoikiwezekana kuwe na uwezekano wa kuwakomboa wasichana hao
Sawa baba.
Nikairudisha simumf ukoni pasipokuikata, nikaishika bunduki yaguvizuri na kuendelea kumsiaidia mama Rose katika kuf anya mashambulizi. Kusema kweli isikie vita kwa masikioila usikutene nayokwaniwanajeshi wengi wakipakistani wanakufa vif o vibaya, wengine wanachanguliwa na mabomu.
Twende twende
Nilizungumza hukunikuanza kushuka kwneye ngazi hizi, mama Rose akanif wata kwa nyuma huku naye akiendelea kushambulia kila mwanajeshi anaye muona na kwake ni raisi kuwagundua maadui zake kwani tumemkuta humu ndani japo sijajua naye amef ikajehuku.
Tukazidi kusonge mbele hukutukiwa makini. Tukafanikiwa kuf ika katika chumba nilipo muacha Rose, sikuamini macho yangubaada ya kukuta wasichana wadogowasiopungua zaidi ya sabini wakiwawamejicha ndanuhumuhukuRose akiwa ndio kiongozi wa kuwalinda. Nikakuta maiti za wanajeshi wanne zikiwa zimelala chini hukuzimechanguka vichwa vyao.
Rose
Mama Rose ali ta huku akimtazama mwanaye, kwa haraka wakakimbiliana na kukimbiliana huku wote wakiwa wanamwagikwa na machozi kwenye nyuso zao. Mtindishiko mkubwa ukaigonga hi meli, mf uniko wa ambao tulitumia
kuingia humundani ukaf unguka na kusabahisha maji mengi kuanza kuingia kwa f ujo humu ndani jambo lililo pelekea wasichana hawa kuanza kupiga kelele za woga hukuwengine wakiombamsaada.
ITAENDELEA
 
AM NOT A DOCTOR 54


ILIPOISHIA
Tukazidi kusonge mbele huku tukiwa makini. Tukaf anikiwa kuf ika katika chumba nilipo muacha Rose, sikuamini macho yangubaada ya kukuta wasichana wadogowasiopungua zaidi
ya sabini wakiwawamejicha ndanuhumuhukuRose akiwa ndio kiongozi wa kuwalinda. Nikakuta maiti za wanajeshiwanne zikiwa zimelala chini huku zimechanguka vichwa vyao.
Rose
Mama Rose ali ta hukuakimtazama mwanaye, kwa haraka wakakimbiliana na kukimbiliana huku wotewakiwa
wanamwagikwa na machozi kwenye nyuso zao. Mtindishiko mkubwa ukaigonga hi meli, mf uniko wa ambao tulitumia kuingia humundani ukaf unguka na kusabahisha maji mengi kuanza kuingia kwa f ujo humu ndani jambo lililo pelekea wasichana hawa kuanza kupiga kelele za woga hukuwengine wakiombamsaada.
ENDELEA
Hali ikazidi kuwa tete kwanimaji yanazidi kuongezeka kadri muda unavyo zidi kwenda. Nikaitoa simu yangu mf ukoni na kuikuta badoikiwa ipohewani.
Baba unanisikia
Nilizungumza kwa sauti ya juu kwanimabinti hawa bado wanendelea kupiga kelele.
NdiondioErick
Hizi manoari hazif iki tuu, hili meli limeanza kuingiza maji sasa baba yangu
Tayari wapokwenye eneomulipowanajaribukunganisha njia ya nyinyikuweza kutoka
Waharakishe baba kuna mabinti wadogosana humuwatakufa Sawa
Nikairudisha simumf ukoni, nikapanda kwenye moja ya pipi nikaanza kuminyana na mf uniko huu ambao unaingiza maji. Taratibu maji yakaanza kupungua kasi na baada ya muda kidogo yakakatika kabisa jambo lililo nishangaza. Rose na mama yake kazi yao kubwa ni kuwasaidia wasichana waf upi waf upi na wadogo, wasiweze kuzama kwenye maji yaliyomo katika chumba hichi kwani hali imezidi kuwa hatari.Wakaingia wanajeshiwawili waliovalia nguoza kuogelea, niliweza kuwatambua haraka ni kutokana na bendera ndogoya Tanzania
iliyopokwenye nguozaoupande wamabega yao ya kushoto.
Poleni
Asante
Sasa njia ni hi , itabidi wote muweze kupita na moja kwa moja mutapokelewa kwenye manoari, hili bomba tulilo unganisha ni lazima mtu utambae na kwani haliwezi kumpitisha mtu akiwa amesimama.
Sawa
Maelezo ya mwajeshi huyu naamini kila mmoja aliweza kuyasikia. Tukaanza kuwasaidia wasichana hawa kuwapitisha katika mbomba hili hukunikiwa makini sana katika kuimarisha ulinzi kwani hatujua kama tutavamiwa ama laa. Zoezi likachukua dakika kama nane kuwaingiza wasichana wote kwenye manoari ya kijeshi.
Kuwa makini
Nilimuambia Rose huku nikimtazama anavyo jiandaa kupita katika bomba hili. Akatabasamu kisha akaanza kutambaa, akaf watia mama yake kisha nikaf watia mimi na wakamalizia wanajeshi hawa wawili. Tukaingia kwene manuari hi ambayo ni kubwa na ina wanajeshi wengi wanao endelea kuhakikisha kwamba wanapambana na jeshi hili la Pakistani.
Muheshimiwa raisi tumeweza kuwaokoa wote tunahitaji amri yako
Mkuuwahichi kikosi alizungumza hukuakiwa ameishika simu mkononimwake.
Lipueni
Sawa.
Mkuuhuyuakakata simu, akawatazama vijana wake waliokaa katika mitambo ambayo ndio mara yangu ya kwanza kuweza kuiona. Akawapa ishara ya macho, vijana hawa ambaowapokasi sana katika utendaji wakazi yao, wakaanza kuif anya kazi waliyo agizwa. Ndani ya sekunde kadhaa tukapatwa na mtikisikomdogo.
Vipi!?
Niliuliza hukunikiwa nimemtumbulia machomkuuhuyuwahichi kikosi
Tuposalama ni mabomuyamekwenda kuilipua meli hiyona huo ndiomlipukowake
Aahaa sawa
Moyoni mwangunikajikuta nikijawa na f uraha sana, kwani sikuwa na mategemeo kabisakama ninaweza kukombolewa kutoka mikononi mwa hawawaarabu.
Erick ninakuombatuzungumze
Rose alizugumza kwa sauti ya chini huku akinitazama usoni mwangu. Tukaseogea pembeni kidogona walipowatuili hata mazungumzo yetuwasiyasikie.
Erick nina uheshimusana msaada wababa yako, ila kuna kitu ninahitaji kuzungumzanawe
Zungumza tu
Mimi sihitaji kurudi Tanzania, na hata nikirudi basi tambua sintokaa tena Tanzania, ila mradi nina mama yangu, ni bora kuishi maisha kama yale ya awaliila si hapa Tanzania Rose alizungumza kwa sauti iliyojaa unyonge hukuakinitazama usoni mwangu. Nikaitoa simumf ukoni, nikaitazama vizuri kwa bahati mbaya nikakuta ikiwa imeingiamaji.
Nini?
Imeingia maji
Sawa ila ninakuomba Erick uniruhusukatika hilokwa mana kwa sasa sina thamaniyoyo.
Sikujali kuna wanajeshiwangapi ndani ya hili eneo, sikujali
kuna wasichana wangapi, na wala sikujali kama mama yake yuponikaanza kumnyonya denda Rose jambolililowafanya watu wote ndani ya hi manuari ya kujeshi kushangilia.
Erick huogo.
Tulia mke wangu
Nikaendelea kumnyonya denda hadi sotetukajikuta tukiridhika kwa hichi tunachokif anya.
Jamani tunaf anikiwa kuf ika karibuna nchi kavu tunamshukuruMungukwa kuweza kutuf anikisha kuf ika salama. Mutachukuliwa moja kwa moja na kitengo maalumu kwa ajili ya mahojianozaidi na baada ya hapomutasaidiwa kuzitaf uta f amiliazenu
Mkuu huyu wa hi manuari alizungumza huku akiwatazama wasichana hawa. Hatukuchukua muda mwingi tukataaf itiwa kwamba tumef ika kandokandoya bahari ya bahari. Baada ya manuari hi kusimama, wasichana hawa wakaanza kutolewa humundani hukuwakiwasaidia na hawawanajeshi.
Erick
Mama Rose alini ta nikamsogelea ili kumsikiliza.
Natambua unampenda mwanangu, na hilo ndio jambo ambalo ninahitaji kukuomba kwa sasa. Rose umri wake unazidikwenda, umri wake unazidi kuwa mkubwa. Anahitaji mtoto sasa, nina
hitaji mjukuu na mimi. Mengine sihitaki kukuf undisha kwa
maana unajuani nini cha kuf anya
Ndiomama
Kazi ni kwakomzigohuosasa ni wakwako, ukileta maharisawa, usipo leta yote heri kikubwa ni kumshukuru Mungu mwanangu
amepata mwanamke wa ndotozake
Mama Rose baada ya kumaliza kuzungumzamaneno akapandisha ngazi za kuelekeanje.
Mama amekuambia nini?
Rose aliniuliza hukuakinisogelea.
Amenipa pongezi kwa juhudi nilizozionyesha kuyaokoa maisha ya hawawasichana
Sawa
Rose akatangulia kutoka, ila kabla ya kutoka mkuu wa hichi kitengoakanikonyeza na kuni ta. Nikamsogelea na kumsikiliza. Natambua kwamba wewe ndiomtu wapekee ambaye unaweza
kuuf ikisha ujumbe huu kwa raisi moja kwa moja pasipo
kukwepeshwa kwepeshwa?
Ujumbe gani mkuu
Nchi kwa sasa ipo katika hali ya hatari sana, hili tukio tulilo lif anya leo, sidhani kama nchi za bara la Asia zinaweza kuiacha hi nchi salama
Muheshimiwa raisi anatakiwa kuwa na maamuzi yaharaka, anatakiwa kuwa mkakamavu wa maamuzi la sivyo jeshi
litamsaidia kuongoza nchi kwa manaa katika kipindi cha madaraka yake. Nchi imekuwa siosehemuya f uraha na amani kama ilivyo kuwa paleawali
Maenohaya anayoyazungumza mkuuhuyuyana ukweli kabisa ndani yake.
Nakuagiza muambie baba yako, ajipange la sivyoTanzania inakwenda kuf utwa kwenye ramani ya dunia
Nimekuelewa mkuu
Yanguni hayo
Shukrani
Nikaondoka eneo hili na kutoka nje. Nikakuta vikosivya jeshi la polisi, jeshi la ulinzi wa taif a, NSS, NPS vikiwa vimeimarisha ulinzi katika eneo hili. Nikawatazama wasichanahawa wanavyo patiwa huduma hususani ya vyakula kwa manaa sitambui
wamekaa kwa muda gani katika melihiyo.
Wanatia huruma kwakweli
Nili sikia sauti ya Rose nyuma yanguna kujikuta nikigeuka, akanikabidhichupa moja ya maji hukuakisimama pembeni yangu.
Kweli wanatiahuruma
Huwezi amini kwamba hawa wote walikuwa wanajiuza mi li yao
Mmmmhata yule mdogopale?
Yaaa tena yule nilimuhoji mida hi ameniambia ana uwezohata wa kulala na wanaume wanne kwa siku
Yesu wangu!!?
Sasa ajabujua mri wake
Ana miakamingapi?
Kumi namoja
Wee
Ndiohivyo
Inabidi kuf anywe msako nyumba hadi nyumba wa kubaini ni wasichana gani ambaowanaji ngiza kwenye mahusianowakiwa na umrimdogo
Hilohaliwezekani
Kwa nini?
Wote unaowaonahaohawana maisha mazuri, wanaji ngiza kwenye biashara hiyokwa maana hawana cha kula. Sasa ni
juhudi za serikali ya baba yakokuhakikisha kwamba inatoa vyanzo bora vya ajira ili f amilia kama hizo zinuf aike
Nimekuelewa mke wangu
Kwa sasa nipoTanzaniaErick wewe ni mume waZari sina naf asihiyo
Hapana wewe ni mke wanguZari ali ngilia kati mahusianoyetu na sikutarajia kama kunaweza kutokea matatizomakubwa namna ile
Ndioimesha tokea una kwenda kuitwa baba na mtotowakowa pili sasa mimihaponina lipi la maana
Rose alizungumza kwa sauti iliyojaa unyonge, nikaushusha mkonowanuwakulia na kumshika mkonowake wakushotona kuanza kukiminya minya kiganjachake.
Nitabaki kuishi ndani ya moyowakona huondioukweli wangu
kwako. Sinto kuacha uende popote na nitakuf a kwa ajili yako Rose, nipo tayari kupoteza chochote ila si kukupoteza wewe Nilizungumza kwa hisia kali na kumf anya Rose kumwagikwa na machozi, taratibu akanigeuki na kunikumbatia huku akilia kwa uchungu sana. Machozi na mimi yakaanza kunilenga lenaga, uvumilivu ukanishinda na kujikuta nikimshika mashavu yake kwa viganja vyangu na kuanza kumnyonya mdimo yake taratibuhukumachozi yakiendelea kutububujika kwa hisia kali.
Erick
Nili sikia pembeni yetu, ikanibidi kuf umbua machoyanguniliyo kuwa nimeyaf umba, sikuamini macho yangu kumkuta Zari akiwa amesimama huku amevalia dera lake kutokana na mimba yake. Zari machozi yakaanza kumtoka machoni mwake akajaribu kupiga hatua moja nyuma ila nikamshuhudia akianguka mzima mzima kambolililonif anya nimuachie Rose na kumuwahi Zari asif ike chini kwani kunaweza kuhatarisha tena ujauzitowamtotowangualiye mbeba tumboni mwake.
ITAENDELEA
 
AM NOT A DOCTOR 55

ILIPOISHIA
Erick
Nili sikia pembeni yetu, ikanibidi kuf umbua machoyanguniliyo kuwa nimeyaf umba, sikuamini macho yangu kumkuta Zari akiwa amesimama huku amevalia dera lake kutokana na mimba yake. Zari machozi yakaanza kumtoka machoni mwake akajaribu kupiga hatua moja nyuma ila nikamshuhudia akianguka mzima mzima kambolililonif anya nimuachie Rose na kumuwahi Zari asif ike chini kwani kunaweza kuhatarisha tena ujauzitowamtotowangualiye mbeba tumboni mwake.
ENDELEA
Nikaf anikiwa kumuwahiZari kutoangukia kwenye ardhi. Msaadaaa
Nili ta kwa sauti ya nguvu, Rose naye hakutaka kusimama na
kuniangalia, akapicha magoti chini na kuanza kumf unika Zari dera lake kwenye mapaja kwani kidogo lilisogea kwa juu na kumuacha mapaja yake wazi. Wanajeshi wawili wakaf ika eneo hili hukuwakiwawamebeba machela, wakamuwekaZari juu ya machela hi na kuanza kukimbia naye kuelekea katika eneo la lenye hema la kutolea huduma yakwanza.
Atakuwa salamakweli?
Ndioamepoteza f ahamutuu kwa ajili ya mstuko Datari alizungumza hukuakimtazama Zari na kumpima kwa kutumia kipimomaalu.
Erick yote hi ni kwa ajiliyangu
Rose alizungumza hukuakianza kutoka katika hema hili huku machozi yakiendelea kumwagika usonimwak.e
Rose, Rose, Rose
Nilimuita mara tatau ila Rose hakugeuka kwa haraka nikakimbia na kumshika mkonona kumzuia asitembee. Erick najua mamumivuya mapenzi, Tazama kilichomkuta Zari pale yote ni kwa sababuyangu. Taf adhali Erick mimi na wewe hatuwezikuwa kitu kimoja. Una mke wakoana kupenda.
Usimrudishe hospitalini tena mpende taf adhali
Rose alizungumza huku akiendelea kububujikwa na machozi usoni mwake. Nikajikuta nikipata kigugumizi chakuzungumza. Erick acha niondoke kabla Zari ajazinduka, ninatambua kwamba atanichukia kuniona hapa. Taf adhali
Machoziya Rose yakaanza kuf uf ua machoziyanguambayo nayohayakuchukua sekunde nyingi yakaanza kububujika usoni mwangu. Rose akautoa mkonowake taratibukwenye kiganja changu na kuanza kutembea kwa mwendo wa taratibu huku mara kadhaa akitazama nyuma. Nikatamani kumf wata ila nikakumbuka kiumbe alicho kibeba Zari tumboni mwake ni muhimusana kulikohaya mapenzi yanayoendelea kuunyanyasa moyowangu.
Taratibunikaanza kurudi kwenye hema anaposhuhulikiwa Zari nikakuta akiwa ametundikiwa dripu la maji.
Inabidi tumpeleke lugalo
Hali yake imekuwa mbayakwani?
Hapana, hapa hatuna vif aa vingi vya huduma
Apelekwe ikulukwaniamekuja na nini?
Sijajua, ila kuna helicopter hapa ya huduma ya kwanza inaweza kutumiwa kwa yeye kuwahishwahospitalini.
Sawa tuf anyehivyo
Zari akaingizwa kwenye helicopter hi ya jeshi namimi nikapanda hukunikijaribukuangaza machoyanguhukuna kule ili niweze kumuona Rose ila sikufanikiwa kumuona.
Hatukuchukua muda mwingi helicopter ikatua katikakiwanja maalumu hapa ikulu, nikashuka na Zari akapakizwa kwenye kitanda maalumucha wagonjwa na kuwahishwa kwenye chumba cha matibabu.
Baba yanguyupowapi?
Nilimuuliza mmoja wa walinzi wa baba aliye kuja kunipokea
Yupo of isini kwake ana kikaobado
Nipeleke
Nilizungumza huku nikichechemea, kwani maumivu ya miguu yameanza upya, sikulijali hilo zaidi ya kuanza kujikaza kiume. Tukafika of isini kwake na wala sikuhitaji kubisha hodi kwenye mlango, kwa haraka nikausukuma na kuwaf anya watu wote waliomondani ya hi of isi kunitokea machokwa mshangao. Erick!!
Baba alizungumza hukuakinishangaa, taratibuakanyanyuka huku akiwa na tabasamu usoni mwake. Hasira kali ikaanza kukibana kif ua changu huku nikiwa nimekazia macho baba yangu. Ile f uraha ya kuokolewa na jeshi la Tanzania yote imeyayuka moyonimwangu. Karibunyumbani mwanangu?
Baba alizungumza huku akijaribu kuitanua mikono yake, nikatamani hata kumpiga kof i la usoila nikashindwa kutokana ni baba yanguna pili ni raisi anaheshimika na watuwote humu ndani.
Ninakuchukia na ninajutia kuzaliwa na baba kamawewe Nilizungumza kwa sauti yakumnongoneza baba ambaye tayari amesha nikumbatia.
Nalijua hilomwanangundiomaana nimeamua kuingia garama ili uwehai
Walio kuchagua wamekosea baba, wewe ni jasiriwa kuongoza f amilia yakona si nchi
Ni manenogani hayounayoyazungumza kumbuka mimini baba yako
Huo ndio ukweli huna sif a ya kuongoza nchi hi . Ninacho kuambia tangaza kujiudhuru mapema, kabla jeshihalijaichukua nchi
Baada ya kuzungumza manenohayonikamuachia baba yangu na kumuacha akishangaa, nikatoka of isini humu na kuanza kutembea kuelekea kwenye chumba cha hospitali ya hapa ikulu. Nikamkuta mama akiwa nje ya chumba hicho alipo niona akanikumbatia kwa nguvu huku machozi yakimwagika usoni mwake.
Pole sana mwanangu
Mama alizungumza huku akiendelea kububujikwa namachozi usonimwake.
Asante
Nilimjibumama kif upi kisha nikamuachia, kwanihasira niliyo kuwa nayobadohaijaisha kabisa moyoni mwangu.
Erickmwanangu mbona hivyo?
Nini mama?
Huna f uraha kabisa na ikiwa uposalama
Salama, salama kwa kunitoa sadaka?
Nilizungumza kwa hasira hukunikimtazama mama usoni mwake. Sema nyinyi ni wazazi wangu, sina cha kuwaf anya. Laiti mungekuwa ni mtu baki basi ningejua nini cha kuwaf anya Niliendelea kuzungumza kwa hasira na kumshangazamama. Nikaf unua mlango na kuingia katika chumba hichi cha matibabu. Anaendeleaje?
Yupo saf i tu baada ya muda kidogoatazinduka
Shukrani
Nikatoka chumbani hapa na kumkuta mama akiwaamekaa kwenye kiti hukuakiwa amejawa na mshangaobado. Erick
Mama alini ta baada ya kuniona ninatembea kuondoka katika hili eneo. Nikasimama huku nikishusha pumzi nyingi, nikageuka na kumtazama. Mama akanyanyuka na kuanza kutembea huku akinif wata sehemuniliposimama.
Erick natambua kwamba utakuwa umekasirika katikahili, ila nilijaribu kulizuia baba yako asiweze kuf anya alicho kif anya Mama alizunguzma huku machozi yakimwagika usoni mwake. Ulikuwa unajua kwamba nitakamatwa na kukabidhiwamikononi mwa wanajeshi wakipakistani?
Mama akaka kimya hukumachoziyakiendelea kumwagika. Ukimya wake ni jibu tosha kwamba mama na baba walishirikiana na baba katika kulipangahili.
Kweli wewe ni mama yanguuliye nibeba tumboni mwakomiezi tisa eheee?
Nilizungumza kwa uchungusana
Erick tulif anya hivi kwa ajili ya nchi iwe salama
Nchi iwe salama, je mpangowenuumekwenda sawa na mulivyo
panga. Munajua jeshi linaf ikiria nini kwa ujinga wa mawazo yenu muliyoamua? Sasa endeleeni kungangania madaraka na huyo mume wako. Ninaondoka na musinitaf ute kwenye maisha yenu yote
Baada ya kumaliza kuzungumza manenohaya nikageuka na kuanza kundoka na kumuacha mama akiangua kiliokikali sana pasipo kujali kama wapo walinzi wanao shuhudia tukio hilo.
ERICKKKKKKKKKKKK..
Mama alini ta ila sikuhitaji kugeuka zaidi ya kuendelea kusonga mbele hukunikiwanimejawa na maumivumakubwa sana moyoni mwangu kuona f amilia yangu ambayo siku zote nilikuwa ninahakikisha kwamba ninaipigania iwe salalama iweje leo hi
kirahisi wananitoa sadaka pasipo kunif ahamisha sababu ya msingi ya waokuf anya hivyo
Nikaingia chumbani kwangu, nikaf ungua kabatina kuanza kutoa nguo zangu moja baada ya ngine, nikachukua begi dogo la mgongoni na kuanza kuzishindilia nguo kadhaa. Nilipo hakikisha nimekamilisha zoezihili, nikavua nguohizi za jeshi, na kuvaa nguo nyingine japo jeraha langu la risasi linamwagika damu kidogo ila sina hamu kabisa ya kuishia hapa ikulu na kuendelea kuwaona watu nilio dhani wananipenda kumbe wao ndiowa kwanza kunisaliti na yule ambaye walinilazimisha kumuona ni adui kumbe ndio mtu anaye nithamini. Nikachukua pesa kiasi katika kisandukumaalumucha chuma kilichopohapa ndani kisha nikatoka cuhmbani humu.
Dany
Nili sikia sauyi ya Brianakini ta, nikageuka na kumuona Brian
akija kwa kasi katika eneo nilipo simama, taratibu nikachuchumaa na kumkumbatia kwanguvu.
Dady I missyou
I miss youmy son
Ulikuwa wapi mbona sikukuona jana
Nilikuwa kazini mwanangu, vipi umekula?
Ndiodady
Saf i kakae na mama kule hospitali, umelala akiamuka muambia kwamba baba anasemaanampenda
Sawa dady, wewe unakwenda wapi?
Ninakwenda kazini tena mwanangu
Ilinibidi kumdanganya mwanangu, kwani ninatambua kwamba hastahili kuuf uhamuukweli unaoendela kati yanguna babu yake pamoja na bibiyake. Utaniletea zawadibaba?
Ndio mwanangu, usome kwa juhudiehee
Sawa baba nakupenda
Nakupenda piamwanangu
Brianakanibusukwenye paji la usowangu, kisha na mimi nikambusukwenye paji la usowake.
Nenda sasakule hospitali ukakae na mama
Sawa dady
Brian akaondoka huku akiwa amejawa na f uraha, nikabaki nikimtazama mwananguhuyu. Nilipohakikisha Brianamendoka nikasimama na kuanza kutembea kuelekea nje.Sikutaka kuzungumza na mtu yoyote zaidi ya kuendelea kutembea kuelekea kwenye geti la kutokea hapa ikulu. Nikasimama na kuitazama ikulu hi , kisha nikaendelea kutemeba huku begi langu likiwamgongoni.
Nikatoka nje ya geti la ikuluhuku nikitembea nikiwa na maumivumengi moyoni mwangu, kwa sasa sipotayari kuweza kuendelea kuishi na f amilia yangu, japo giza limetawala ila sikuhitaji kukaa karibukabisa na mji huuwaDar es Salaam. Nikiwa njiani gari mbili nyeusi zikafunga breki kali mbele yangu nikasimama kwa umakini huku nikitazama ni kina nani wanao simama mbele yangu. Cha kushangaza watu waliomo ndani ya gari hizi hawakushuka zaidi ya kuendelea kunimulika na mwanga mkali wa taa za garizao.
Wakashukawatusita waliovalia mavai meusi, sikuweza kuziona sura zao kutokana na mwanga mkali unao edele kunimulika usoni mwangu. Cha kushangaza watu hawa wote wakapiga magoti yao chini huku wakiwa ameinamisha vichwa vyao chini ikiwa ni ishara ya heshima kubwa sana kwangujambolililozidi kunishangaza sana na sikujua ni kwa nini wananiheshimumimi. ITAENDELEA
 
AM NOT A DOCTOR 56

ILIPOISHIA
Wakashukawatusita waliovalia mavai meusi, sikuweza kuziona sura zao kutokana na mwanga mkali unao edele kunimulika usoni mwangu. Cha kushangaza watu hawa wote wakapiga magoti yao chini huku wakiwa ameinamisha vichwa vyao chini ikiwa ni ishara ya heshima kubwa sana kwangujambolililozidi kunishangaza sana na sikujua ni kwa nini wananiheshimumimi.
ENDELEA
Nikiwa katika wakati wa kuwashangaa wasichana hawa, akashuka msicha mmoja ambaye kwa haraka haraka sikuweza kuiona sura yake, msichana huyu akazidi kutembea taratibu kunifwata sehemuniliposimama. Alipokaribia ndiponilipoweza kugundua kwamba msichana huyuni Mariana mf anyakazi niliye weza kumuachia kampuni yangu. Taratibu Mariana akanipatia mkono wake wa kulia kwa ajili ya kunisalimia, nikauangalia kwa sekunde kadhaa kisha nikaupokea na kukumbatiananaye. Bosi ninaomba ufwatane nasi
Mariana alizungumza kwa sauti ya unyonge hukuakinitazama usoni mwangu.
Ni kitu gani kinachoendele?
Tutazungunmza tukiwa katika gari
Mariana aliendelea kuzungumza kwa upole hukuakinitazama usoni mwangu.
Ninaweza kukuaminiMariana?
Ndiobosi unaweza kuniamini, ndiomaana ukanipatia kampuni yakoni ongoze
Nikashushua pumzi taratibuhukunikimtazama Mariana usoni mwake, kisha taratibu nikaanza kuongoza kuelekea kwenye
gari walizo kuna nazo, nikawatazama vijana hawa walio piga magoti chini kwenye nyusozao, ila sikuweza kuwatambua hata mmoja kwani wote niwageni usonimwangu.
Na hawa ni kinanani?
Utawajua tu bosi
Nikaingia kwenye gari hili na Mariana naye akaingia kwenye hili gari na saf ari ya kwenda nisipo pajua ikaanza.
Tunaelekea wapi?
Dodoma mkuu
Dodoma kuf anya kitu gani ikiwa mimisina mpangowakwenda
Dodoma
Bosi kuna kitu kikubwa sana ambachonimekuandalia utahitaji kuweza kukiona kwani kinaweza kukusaidia kwenye maishayako ya sasa nabadae
Ni kitu gani hichounachosema kinaweza kunisaidia kwa maisha yanguya sasa na badae
Tukuf ika mkuundioutaweza kugundua muheshimiwa
Mariana una mabadiliko
Nilizungumza hukunikimtazama Mariana kwa jichola kuiba.
Mabadiliko ganimuheshimiwa?
Umekuwa mstarabu, msikivu kwa kipindi cha miezi hi kadhaa
niliyokuacha umeupatia wapiusikivuhuo?
Sio miezi kadhaa ni mwaka sasa mkuu
Yaa huohuomwaka umejif unzia wapiheshima hi uliyonayo? Kuna mabadiliko mengi yameweza kutoka kwenye maisha yangu na nina imani kwamba kila kitu kina makusidi yake kwenye maisha na hata kunikabidhi kwako kampuni yako kumeweza kunipa hi heshima
Na ulijuaje kwamba ninaweza kuondoka Ikuluusikuhuuikiwa huna mawasilianona mimina wala sikuwahi kuwasiliana nawe kuanzia sikunilipokuacha Soni?
Tukif ika mkuuutaweza kugundua na nina imani kwamba
utapenda kila kitu nitakachokuonyesha
Kwa nini usiniambie sasa?
Mkuusiwezi kuzungumza pasipovitendoninakuomba unisamehe katika hilo
Mariana alizudi kuzungumza kwa upole jambolililoanza kunipa wasiwasi, ila usoni mwake anaonekana kujawa na f uraha sana. Nikatazama nje hapa ndipo nikagundua kwamba gari hizi zinakimbia sana
Kuwa na amani, kama niliweza kukuokoa mikononi mwaHussein, raf iki uliye weza kumuamini kwa asilimia kubwa, nina imani kwamba siwezikukuf anyia kitu chochote kibaya kwenye maisha yako
Mariana aliendelea kuzungumza kwa upole na hekimakubwa. Nikamtazama kwa sekunde nyingine zilizo nif anya nizidi kujiridhisha kwamba Mariana hawezikunif anyia ubaya wowote kwenye maishayangu. Pole kwa yaliyo kukutamkuu
Umejuaje?
Ninatambua hilomkuu, pokea pole yangukwanza
Asante
Mariana akatabasamukwanihata hiyopole yangunimeitikia hiyobasi, kwanikila ninachomuuliza kuhusiana na hichi anacho nif anyia hawezi kunijibu. Hatukuchukua muda mwingi tukawa tumef ika Morogoromjini, madereva hawa wakasimamisha gari kwenye hoteli mojakubwa.
Mbona meme simama
Wananunuachakula na tuna endelea na saf ari kwa maana nina imani tangu unywe yale maji basi sidhani kama umeingiza kitu chochote tumbonimwako Mariana hihiviumekuwaje?
Nipovizuri bosi wangu, jukumulanguni kuhakikisha kwamba unakuwa salama katika kila hali maishani mwaako
Hujanijibu maswali yangu na unasema unahiji niwe salama kwenye maisha yangu, ikiwa sijajua umepanga kitu gani juu yangu
Erickniamini, mimi nitakuwa ni mwanake wa aina gani ambaye nitamletea mabaya mwanaume aliye yabadilisha maishayangu kwa ujumla. Hivi unatambua ni jinsi gani ulinipa thamani kwenye maisha yangu, mimi nitakuwa ni nani haswa hadi nienende kinyume nawe, ikiwa baba na mama yako wamenda kinyume nawe?
Mariana alizungumza kwa uchunguhukuakinitizama usoni mwangu, nikajikuta nikipatwa na kigugumizi kwani sijuiMariana amepata pata vipi hizi taarif a za mimi kusalitiwa na f amilia yangu
Kama wao waliweza kukutoa sadaka mikononi mwa serikaliya
Pakistani mimi siwezi kukusaliti ikiwa unatambua f ika kwamba nina kupenda
Mariana alizungumza huku machozi yakimwagika usoni mwake. Nikabaki kimya huku nikimtazama usoni mwake, saf ari ikaendelea, huku nikiwa nimetawaliwa na mawazo mengi kichwani mwanagu na kujiuliza mambo mengi sana kichwani mwake. Hatukuzungumza kituchochote ndani ya gari hadi lisaa zima likakata ndiponikaisikia sauti ya Mariana.
Chakula
Mariana alizungumza huku akiwa ameshika kikontena kidogo cha kuhifadhia chakula, nikakitazama kidogokisha nikakipokea na kuanza kula chipsi na miskaki iliyoandaliwavizuri.
Ni kweli unaninipenda?
NdioErick ninakupenda sana na wala sijaf ikiria hata siku moja kukusaliti Kwa niniunanipenda?
Erick ni mengi sana nimejif unza kutoka kwako, kauli yako ya kuniambia kwamba kuna kitu kikubwa ndani yangu na endapo kikiwezeshwa kinaweza kuwa thamani kubwa nwangu, na hichi ninachokwenda kukuonyesha ndiokile ambachoumekiona ndani yangu
Nini hicho
Subiri utakiona
Saf ari yetu ikazidi kusonga mbele, hadi inaf ika majira ya saa saba usiku tukaf anikiwa kuingia mkoa wa Dodoma, saf ari
ikazidi kusonga mbele hadi tukaf ika kwenye jumba moja kubwa
la kif ahari, gari hizi zikaingia kwenye uzio wa hili jumba kisha geti likaf ungwa. Tukashuka kwenye gari huku nikitazama hili jumba ambalo limejengwa kwa ubora mkubwa huku walinzi wakiwa ni wengisana.
Karibuhapa ni kwakomkuu
Kwangu, umejenga leni?
Karibundani na hiloswali nitalijibuhukundani
Mariana akaongoza na kuingia ndani, huku nikiwa bado siamini kama pesa yangu ndio imejenga hili jumba ambalo sijakua ni jumba la kuisha aulaa. Kila mtu aliyomondani ya hi seble alipo niona akainama na kunisujudia jambo lililo nif anya nizidi kushangaa. Katika moja ya ukuta nikakuta picha yangu kubwa ikiwa imebandikwa hukuimechorwa.
Mkuuhichi ni kikosi kipya ambayonimekianzisha kazi yake ni kukulinda wewe, taif apamoja kwa maana ninaona serikali inashindwa kulilinda hili taifa
Mariana alizungumza kwa msisitizohadi nikajikuta mwili mzima ukinisisimka kwani sikuwazia siku hata moja kwamba Mariana anaweza kuf anya kitu kama hichi kwenye maisha yangu haya ambayotayari yametawaliwa na shida na misukosuko. ITAENDELEA
 
AM NOT A DOCTOR 57
ILIPOISHIA
Nikamuona baba akishika kichwacheka.
Na kitu kingingene muheshimiwa raisi kuna bomu za nyuklia zipohewani zimetumwa kuja Tanzania zikitokea nchini Pakistani Mlango wa of isini kwangu ukaf unguliwa gaf la na akaingia kijana ninaye mtegemea katika swala la mitando, hakuzungumza kitu chochote zaidi ya kuanza kuminya batani za hi computure yangu, alipo maliza sote tukashuhudia bomu mbili za nyukilia zilipohewanizikija kwa kasi nchini Tanzania na ndani ya muda wowotekuanzia hivi sasa nchi inakwenda kubadilika muonekano wake na masikitiko na vilio vitakwenda kutawala kwa Watanzania wengi watakao salia katika shambulizila mabomuhaya mawiliya nyukilia ambayoni hatari sana duniani.
ENDELEA
Ndani ya dakika arobaini na tano kuanzi hivi sasa haya mabomuyatakuwa yametua nchini katika ardhi ya Tanzania
Kijana huyu alizungumza huku akitutazama usoni mwetu
Samweli..uuu..naweza kuf anya kitu ji ya hili?
Mariana alizungumza huku mwili mzimaukimtetemeka
Uwezekanoupowakuweza kuyazuia haya mabomuyasitue
Tanzania
Yatatua wapi?
Tutataf uta nchi ambayo ni nyonge tuweze kuwashushia dhahama hi . Ila hatari itakayokuweponi lazima signal za nchi hiyozitasoma kwamba bomuhizozimetokea Tanzania kwa hiyo tunanunua vita bilakupenda
Samweli alizungumza kwa haraka haraka huku akitutazama. Nikaka kimya kwa sekunde kadhaa hukunikitazama mabomu haya yaliyopo angani jinsi yanavyo kwenda kwa kasi huku dakika zilizopo pembeni ya video hi zikizidi kwenda kwa kasi zikipungua.
Humuof isini kuna mtuyoyoye ambaye anaf ahamujuu ya hili tukio?
Hapana ni sisi watatu mkuu, na nimeweza kuzima system nzima ya internet ili kusijitokeze uvujishwaji wa taarif a kwenye mitandao ya kijami ikaleta taharuki kwawananchi Kazi nzuri, hembukalete laptopyakona hi kazi nina hitaji if anyiwe humuof isini kwangu
Sawa mkuu
Samweli akatoka na nikageuka na kumtazama Marianaaliye pigwa na bumbuazi kubwa usonimwake.
Hei , heei i
Nilimuuita Mariana hukunikimshika mkonowake.
Eheee
Mariana alistuka hukuakinitazama usoni mwangu.
Usiogope kama Samweli amesema anawezakuyakwepesha haya mabomu na yasitue nchini mwetu basi nitamruhusu kuweza kuf anyahivyo
Yatakwenda kutua wapiErick?
Hata baharini?
Kweli inawezekana?
Samweliatatuambia
OhooMunguwanguni nini hichi jamani
Mariana alizungumza huku akishika kichwa chake,akionyeshani jinsi gani alivyochanganyikiwa. Samweli akaingia na laptop
yake ina ya Mac Book, nikanyanyuka kwneye kiti nilichokalian a kumpishaakae.
Hembuturudishie kule kwenye kikaonione hawa wazee wanaamuanini
Sawa
Samweli alizungumza hukuakianza kuminya batani za computer yangu, akarudisha kikaokinachoendelea of isi ya raisi.
Samweli mpenzi kweli unaweza kuf anya hivyo?
Mariana alizungumza kwa sauti ya woga, Samweliakamtazama Mariana huku aki weka sawa miwani yake kisha akatingisha kichwa akimaanisha kwamba anaweza. Kwenye kikao hichiwatu wote ninawaonawapokimya hukuwakiendelea kushuhudia jinsi bomu hizo zinavyo zidi kuja kwa kasi nchini mwetu.
Muheshimiwa tunasubiria jibulako?
Mkuummoja wajeshi alizungumza hukuakimtazamababa.
Zimesalia daki ngapi kabla ya bomuhizi kutua nchini hapa?
Dakija thelathini natatu?
Mleteni balozi waPakistani ndani ya dakika kumi nahitaji awepo hapa
Sawa mkuu
Akatoka mwanajeshi mmoja, wakabaki wenginehuku wakiendelea kutazamana na Jackline anaye onekena kwenyetv ya pili.
Jackline vipi watuwakowameweza kuf ikia wapi? Mkuuhadi sasa hivi tunajaribukuzuia bomuhizoila hatujaf anikiwa
Nikamtazama Samweli nikamuona akiwa kasi katikakuminya minya batani za laptopyake na anachokif anya walasikielewi kwa maana sina utaalamu wa mambo ya kimtandao. Muheshimiwa raisi hi ni vita tunatakiwa kuandaa vikosivya kuweza kujibumashumbulizi
Mashambulizi gani ikiwa unaona haya ni mabomu lutenati. Hapa kitu ninachohitaji kukisikia ni jinsi gani mabomuhaya yanazuiwa
Baba alizungumza kwa ukali hukuakimtazama lutenati.
Jackline umef ikia wapi?
Mkuuwanajaribukuyazuia
Samweli umef ikiawapi?
Ilinibidi na mimikumuuliza Samweli kwani hili ni tatizosi la kif amili bali ni tatizola kitaifa.
Bado mkuuninajaribukutaf uta code za kuongoza mabomu hayotukizipata basi ninaweza kuyaongoza
Code hizozitachukua muda gani?
Dakika kumi na tanohadi ishirini
Samweli alizungumza na kujikita nikitazama kweye computer yanguinayoonyesha kikaocha of isini mwaraisi na Tvnyingine inayo onyesha mabomu hiyo inaonyesha zimesalia dakika ishirini na nane.
Samweli f anya f anya mpenzi jitahidi jamani i ahahaaa
Mariana alizidikuzungumza kwa sauti ya kukata tamaa huku
akimtazama Samweli.
Ninaomba Pk
Pk?
Niliuliza, ila Mariana hakuzungumza kitu chochota zaidi yakunyanyuka kwa haraka na kutoka of isini kwangu, baada ya muda akarudi akiwa ameshika bablishi zilizomo kwenye mf uko wake wenye rangi ya njano, akamtolea bablish moja Samweli aliye if ungua kwa haraka na kuanza kutaf una bablish hiyo.
Hapa sasa kichwakinachanagmka
Samweli alizungumza hukukiendelea kushuhulikia hili tatizo.
Mkuubalozi waPakistani yupohapa
Muingize
Akaingia mzee mmoja mf upi kiasi na mwenye tumbokubwa kiasi, akakaribishwa kwenye kiti akaka hukuakiwa katika mshangao.
Baada ya hizodakika ishirinina tanomimi, wewe na watu waliomohumuof isini pamoja na wananchiwangutunakwenda kuf a kwa hizobomuunazoziona hapozinavyokuja kwa kasi Baba alizungumza huku akiwa amemtolea macho balozi huku aliye patwa na kigugumizi cha hatakujibu.
Sasa niambie una f ahamunini juu ya hayomabomu
Muheshimiwa raisi kusema kweli sif ahamuchochote juu hayo mabomu
Pumbavuuuhujiui nini wakati ndani ya muda mchache mabomu hayo yanatua katika ardhi yangu na unasema hujui? Baba alizungumza kwa hasira hukua ki piga piga meza yake hadi balozi huyukastuka.
Kweli muheshimiwa raisi sifahamu
Muonyeshe video yameli
Jamaa mmoja akamonya romoti na kumonyesha bolizi huyu meli yetuya kijeshi ilivyoteketea kwa kulipuliwa na mabomu. Zungumza na hilo kama ujui. Mimi na nchi yako tulisha malizana kwa kuingia mikataba sasa inakuwaje wanaruditena na kushambulia?
Kusema kweli sif ahamumuheshimiwa raisi na kila kitu ninacho kiona hapa ni kigenimachoni mwangu
Jackline f anya mawasilianoya video kwa raisi waPakistani sasa hivi
Sawa muhehimiwaraisi
Nikamtazama Mariana na kumuona jinsi alivyojikunyata.
Muheshimiwa raisi. Raisi wa Pakistani yupohewani Tvinayomuonyesha Jackline, picha zake zikajigawa katika sehemu mbili na sehemu ya pili ikamuonyesha raisi wa Pakishatani.
Muheshimwa Almeida nimepokea simuyakonimeambiwa ni ya dharura?
Ndio muheshimiwa raisi, hivi sasa kuna bomu mbili zanyuklia zimetoka nchini mwako zinakuja nchini Tanzania na hadi sasa hivi ninavyozungumza zimebakisha dakika ishirini na nne je ni wewe uliye ruhusu hayamashambulizi?
Bomu zanyuklia?
Raisi wa Pakistani alizungumza hukuakionekana kujawa na mshangao mkubwa sana usonimwake.
Ina maana hujaruhusumashambuliziyoyote ya nyuklia? Sijaf ungulia vinuvyanguvya nyuklia, na siwezi kuf anya hivyo ikiwa sisi ni nchi raf iki
Jibu la raisi waPakistani likatushusha wote hadi Mariana aliye shika tamaa akaka vizuri na kutazama kikaohichi kinacho endelea.
Nina imani utaona kuna videombili zimetumwa kwako, moja inaonyesha bomuhizi jinsi zinavyokuja Tanzania na nyingine zinaonyesha shambulizila meli yanguya kivita
Ndiomuheshimiwa raisi Almeida hapa ndioninazitazama video hizina mimininashangaa kuona kitu kama hichi
Sasa atakuwa ni nani kama si yeye?
Mariana alizungumnza kwa ukali huku akinyoosha kidolechake kwenye compture hi .
Hawawezikukusikia
Tunaf anyaje muheshimiwa raisikwa maana siwezi kukuamini ikiwa bomuzipoangani na zinakuja kutushambulia sisi Tanzania?
Ngoja nijadiliane na wakuuwanguwa jeshi na kuuliza juu ya haya mashambulizi?
Muheshimiwa raisi nina kuheshimusana tena sana ila kwahili siwezi kuvumulia kwa maana haya mabomu yanakuja kuteketeza wananchiwanguwasiona hatia na hawaelewi kitu chochoe kusiana na vita
Muheshimiwa raisi, ninakuomba utilize jazba tunadakiak kadhaa hapa za kuweza kulitatua hilitatizo
Muheshimiwa raisi hakikisha kwamba hilotatizolinatatuliwa ndani ya dakika hizokumi
Sawa muheshimiwaraisi
Vidoe inayomuonyesha raisi waPakistani ikaondoka kwenye Tv iliyokuwa inamuonyesha na akabaki Jackline.
Jackline umef ikia wapina watuwako?
Mushimiwa raisi bado tunaendelea kulishuhulikia tatizo
Mushimiwa raisi tunaweza kumuamini vipi kwamba raisi wa Pakistan hajahusika na hili shambulizi ikiwa bomu linatokea nchini kwake? Isije akawa anatupumbaza hapa na bomuhilo litatua nchinikwetu
Lutenati alizungumza hukuakimtazma raisi.
Tusubirinihizodakika kumi, Jackline waambie watuwako waendele kuyahuhulikia haya mabomu
Sawa mkuu, nitakuf ahamisha baada ya dakika tano
Nikamgeukia Samweli, japo kuna aircondition humu ndaniya of isi yangu ila Samweli anamwagikwa na jasho usoni mwake. Nikamuona Mariana akif umba macho yake huku akionekana akiomba kwa juhudi kubwa.
Wasiwasi na mimi ukaanza kuninngia nikatamani kumsemesha jamboSamweli ila nikajikuta nikishindwa kuzungumza chochote.
Nimepata code mbili za mwanazo, bado code mbili za mwisho
Manenoya Samweli yakatuf anya sote tmgeukia na kumtazama.
Zitachukua muda gani ilikuweza kupatika?
Dakika tano
Nikatazama dakika zilizobaki na kukuta zikiwa zimebaki dakika kumi na saba. Jitahidi Samweli
Ninajitahidi mkuu
Munguwangutusaidie
Mariana alizungumza hukumachoziyakimlenga lenga usoni mwake hapa ndiponikagundua kwamba kif o ni kibaya sana na kinaogopesha pale unapo f ahamu kwamba muda f ulani uhai wako unakwendakutolewa.
Nimepata code ya tatu
Samweli alizungumza na kujikutta sote tukimsogelea karibuna macho yetutukayatupia kwenye laptop yake inayo onyesha namba nyingi zinazokwenda kwa mwendokasi sana.
Jitahidi mdogowangu
Nilizungumza hukumdomomzima ukinitetemeka. Kwa kasi ya vidole vya Samweli katika kuminya minya batani laptopyake kusema kweli kubwa. Jasho linaendelea kumgwagika usoni mwake.
Muheshimiwa raisi
Nili sikia sauti ya raisi waPakistani nakujikuta kwa haraka nikitizama computer yangu.
Mumef ikiawapi?
Ni kweli muheshimiwa raisi Almeida mabomuhayoyametoka
nchini mwanagu, ila si mimi niliye idhinisha hilo swala la mashambulizi
Mumef ikia wapi katikakuyazuia?
Mabomu hayo kwa sasa yanaongozwa na magaidi wa kikosi cha Al- quida na hadi sasa hatujaf ahamu wana lengo gani la kuweza kuf anya shumbulizi katika nchi yako
Sote tukakaa kimya kwanikila mmoja wetuhumuanaelewa na kuf ahamukundi hili la Al- quida.
Imekuwaje hadi wakayaiba?
Muheshimiwa raisi sif ahamuna kama ngingef ahamubasi ningeweza kuzuia uibaji wake
Jacklien umeweza kupata namna ya kutatua hilotatizo? Hapana mkuu inaonyesha uongozaji wa haya mabomu ni mkubwa sana na wakitaalamusana
Muheshimiwa raisi Al- Meida hata watuwanguwameshindwa kuyazuia mabomu hayo kwani code zake ni ngumu kuzipata Mapigoya moyoyakazidi kuniaenda kasi kwanizimebaki dakika saba, nikamgeukia Samweli. Samvipi umefikia wapi?
Bado mkuu,najitahidi
Samweli alizungumza huku mikono ikimtetemeka. Mariana taratibu akaka kwenye sof a huku machozi yakimtiririka, dakika zikazidi kwenda kupungua hadi zikabakia dakika mbili.
Samweli vipi mdogowangubadooo
Samweliakanitazama kwa machoyaliyokata, taratibuakavua miwaniyake.
Mkuusijawahikushindwa tukiololote ila hili si
Samweli hakumaliziasentensi yake laptopyake ikatoa mlioulio tuf anya sote tugeuke na kuitazama.
Yes
Samweli alizungumza kwa f uraha akavaa miwani yake kubwa kwa haraka akaminya minya batani za laptop na kunigeukia. Mkuutunaweza kubadilisha muelekeowamabomukuna nchi mbili ambazotunaweza kuzishushushia mabomuhaya amua sasa kati ya Kenya na Somalia mabomu haya niyashushe wapi? Mariana akakurupuka na kunyanyuka kwenye sof a na akunitazama usoni mwangu akisubiria jibu langu ambalo litaokoa maisha ya Watanzania na kwenda kuwamiza maisha ya Wakenya auWasomalia.
ITAENDELEA
 
AM NOT A DOCTOR 58


ILIPOISHIA
Nikamuona baba akishika kichwa cheka.
“Na kitu kingingene muheshimiwa raisi kuna bomu za nyuklia zipo hewani zimetumwa kuja Tanzania zikitokea nchini Pakistani” Mlango wa ofisini kwangu ukafunguliwa gafla na akaingia kijana ninaye mtegemea katika swala la mitando, hakuzungumza kitu chochote zaidi ya kuanza kuminya batani za hii computure yangu, alipo maliza sote tukashuhudia bomu mbili za nyukilia zilipo hewani zikija kwa kasi nchini Tanzania na ndani ya muda wowote kuanzia hivi sasa nchi inakwenda kubadilika muonekano wake na masikitiko na vilio vitakwenda kutawala kwa Watanzania wengi watakao salia katika shambulizi la mabomu haya mawili ya nyukilia ambayo ni hatari sana duniani.
ENDELEA
“Ndani ya dakika arobaini na tano kuanzi hivi sasa haya mabomu yatakuwa yametua nchini katika ardhi ya Tanzania”
Kijana huyu alizungumza huku akitutazama usoni mwetu “Samweli…..u…uu..naweza kufanya kitu jii ya hili?” Mariana alizungumza huku mwili mzima ukimtetemeka
“Uwezekano upo wa kuweza kuyazuia haya mabomu yasitue Tanzania” “Yatatua wapi?” “Tutatafuta nchi ambayo ni nyonge tuweze kuwashushia dhahama hii. Ila hatari itakayo kuwepo ni lazima signal za nchi hiyo zitasoma kwamba bomu hizo zimetokea Tanzania kwa hiyo tunanunua vita bila kupenda” Samweli alizungumza kwa haraka haraka huku akitutazama. Nikaka kimya kwa sekunde kadhaa huku nikitazama mabomu haya yaliyopo angani jinsi yanavyo kwenda kwa kasi huku dakika zilizopo pembeni ya video hii zikizidi kwenda kwa kasi zikipungua.
“Humu ofisini kuna mtu yoyoye ambaye anafahamu juu ya hili tukio?” “Hapana ni sisi watatu mkuu, na nimeweza kuzima system nzima ya internet ili kusijitokeze uvujishwaji wa taarifa kwenye mitandao ya kijamii ikaleta taharuki kwa wananchi” “Kazi nzuri, hembu kalete laptop yako na hii kazi nina hitaji ifanyiwe humu ofisini kwangu” “Sawa mkuu” Samweli akatoka na nikageuka na kumtazama Mariana aliye pigwa na bumbuazi kubwa usoni mwake.
“Heii, heeiii” Nilimuuita Mariana huku nikimshika mkono wake.
“Eheee” Mariana alistuka huku akinitazama usoni mwangu.
“Usiogope kama Samweli amesema anaweza kuyakwepesha haya mabomu na yasitue nchini mwetu basi nitamruhusu kuweza kufanya hivyo” “Yatakwenda kutua wapi Erick?” “Hata baharini?” “Kweli inawezekana?” “Samweli atatuambia” “Ohoo Mungu wangu ni nini hichi jamani” Mariana alizungumza huku akishika kichwa chake, akionyeshani jinsi gani alivyo changanyikiwa. Samweli akaingia na laptop yake ina ya Mac Book, nikanyanyuka kwneye kiti nilicho kalian a kumpisha akae.
“Hembu turudishie kule kwenye kikao nione hawa wazee wanaamua nini” “Sawa” Samweli alizungumza huku akianza kuminya batani za computer yangu, akarudisha kikao kinacho endelea ofisi ya raisi.
“Samweli mpenzi kweli unaweza kufanya hivyo?” Mariana alizungumza kwa sauti ya woga, Samweli akamtazama Mariana huku akiiweka sawa miwani yake kisha akatingisha kichwa akimaanisha kwamba anaweza. Kwenye kikao hichi watu wote ninawaona wapo kimya huku wakiendelea kushuhudia jinsi bomu hizo zinavyo zidi kuja kwa kasi nchini mwetu.
“Muheshimiwa tunasubiria jibu lako?” Mkuu mmoja wa jeshi alizungumza huku akimtazama baba.
“Zimesalia daki ngapi kabla ya bomu hizi kutua nchini hapa?” “Dakija thelathini na tatu?” Mleteni balozi wa Pakistani ndani ya dakika kumi nahitaji awepo hapa” “Sawa mkuu” Akatoka mwanajeshi mmoja, wakabaki wengine huku wakiendelea kutazamana na Jackline anaye onekena kwenye tv ya pili.
“Jackline vipi watu wako wameweza kufikia wapi?” “Mkuu hadi sasa hivi tunajaribu kuzuia bomu hizo ila hatujafanikiwa” Nikamtazama Samweli nikamuona akiwa kasi katika kuminya minya batani za laptop yake na anacho kifanya wala sikielewi kwa maana sina utaalamu wa mambo ya kimtandao.
“Muheshimiwa raisi hii ni vita tunatakiwa kuandaa vikosi vya kuweza kujibu mashumbulizi” “Mashambulizi gani ikiwa unaona haya ni mabomu lutenati. Hapa kitu ninacho hitaji kukisikia ni jinsi gani mabomu haya yanazuiwa” Baba alizungumza kwa ukali huku akimtazama lutenati.
“Jackline umefikia wapi?” “Mkuu wanajaribu kuyazuia” “Samweli umefikia wapi?” Ilinibidi na mimi kumuuliza Samweli kwani hili ni tatizo si la kifamili bali ni tatizo la kitaifa.
“Bado mkuu ninajaribu kutafuta code za kuongoza mabomu hayo tukizipata basi ninaweza kuyaongoza” “Code hizo zitachukua muda gani?” “Dakika kumi na tano hadi ishirini” Samweli alizungumza na kujikita nikitazama kweye computer yangu inayo onyesha kikao cha ofisini mwa raisi na Tv nyingine inayo onyesha mabomu hiyo inaonyesha zimesalia dakika ishirini na nane.
“Samweli fanya fanya mpenzi jitahidi jamaniii ahahaaa” Mariana alizidi kuzungumza kwa sauti ya kukata tamaa huku akimtazama Samweli.
“Ninaomba Pk” “Pk?” Niliuliza, ila Mariana hakuzungumza kitu chochota zaidi yakunyanyuka kwa haraka na kutoka ofisini kwangu, baada ya muda akarudi akiwa ameshika bablishi zilizomo kwenye mfuko wake wenye rangi ya njano, akamtolea bablish moja Samweli aliye ifungua kwa haraka na kuanza kutafuna bablish hiyo.
“Hapa sasa kichwa kinachanagmka” Samweli alizungumza huku kiendelea kushuhulikia hili tatizo.
‘’Mkuu balozi wa Pakistani yupo hapa” “Muingize” Akaingia mzee mmoja mfupi kiasi na mwenye tumbo kubwa kiasi, akakaribishwa kwenye kiti akaka huku akiwa katika mshangao. “Baada ya hizo dakika ishirini na tano mimi, wewe na watu waliomo humu ofisini pamoja na wananchi wangu tunakwenda kufa kwa hizo bomu unazo ziona hapo zinavyo kuja kwa kasi” Baba alizungumza huku akiwa amemtolea macho balozi huku aliye patwa na kigugumizi cha hata kujibu.
“Sasa niambie una fahamu nini juu ya hayo mabomu” “Muheshimiwa raisi kusema kweli sifahamu chochote juu hayo mabomu” “Pumbavuuu hujiui nini wakati ndani ya muda mchache mabomu hayo yanatua katika ardhi yangu na unasema hujui?” Baba alizungumza kwa hasira hukua kiipiga piga meza yake hadi balozi huyu kastuka.
“Kweli muheshimiwa raisi sifahamu” “Muonyeshe video ya meli” Jamaa mmoja akamonya romoti na kumonyesha bolizi huyu meli yetu ya kijeshi ilivyo teketea kwa kulipuliwa na mabomu.
“Zungumza na hilo kama ujui. Mimi na nchi yako tulisha malizana kwa kuingia mikataba sasa inakuwaje wanarudi tena na kushambulia?” “Kusema kweli sifahamu muheshimiwa raisi na kila kitu ninacho kiona hapa ni kigeni machoni mwangu” “Jackline fanya mawasiliano ya video kwa raisi wa Pakistani sasa hivi” “Sawa muhehimiwa raisi” Nikamtazama Mariana na kumuona jinsi alivyo jikunyata.
“Muheshimiwa raisi. Raisi wa Pakistani yupo hewani” Tv inayo muonyesha Jackline, picha zake zikajigawa katika sehemu mbili na sehemu ya pili ikamuonyesha raisi wa Pakishatani.
“Muheshimwa Almeida nimepokea simu yako nimeambiwa ni ya dharura?” “Ndio muheshimiwa raisi, hivi sasa kuna bomu mbili za nyuklia zimetoka nchini mwako zinakuja nchini Tanzania na hadi sasa hivi ninavyo zungumza zimebakisha dakika ishirini na nne je ni wewe uliye ruhusu haya mashambulizi?” “Bomu za nyuklia?” Raisi wa Pakistani alizungumza huku akionekana kujawa na mshangao mkubwa sana usoni mwake.
“Ina maana hujaruhusu mashambulizi yoyote ya nyuklia?” “Sijafungulia vinu vyangu vya nyuklia, na siwezi kufanya hivyo ikiwa sisi ni nchi rafiki” Jibu la raisi wa Pakistani likatushusha wote hadi Mariana aliye shika tamaa akaka vizuri na kutazama kikao hichi kinacho endelea.
“Nina imani utaona kuna video mbili zimetumwa kwako, moja inaonyesha bomu hizi jinsi zinavyo kuja Tanzania na nyingine zinaonyesha shambulizi la meli yangu ya kivita” “Ndio muheshimiwa raisi Almeida hapa ndio ninazitazama video hizi na mimi ninashangaa kuona kitu kama hichi” “Sasa atakuwa ni nani kama si yeye?” Mariana alizungumnza kwa ukali huku akinyoosha kidole chake kwenye compture hii.
“Hawawezi kukusikia” “Tunafanyaje muheshimiwa raisi kwa maana siwezi kukuamini ikiwa bomu zipo angani na zinakuja kutushambulia sisi Tanzania?” “Ngoja nijadiliane na wakuu wangu wa jeshi na kuuliza juu ya haya mashambulizi?” “Muheshimiwa raisi nina kuheshimu sana tena sana ila kwahili siwezi kuvumulia kwa maana haya mabomu yanakuja kuteketeza wananchi wangu wasio na hatia na hawaelewi kitu chochoe kusiana na vita” “Muheshimiwa raisi, ninakuomba utilize jazba tuna dakiak kadhaa hapa za kuweza kulitatua hili tatizo” “Muheshimiwa raisi hakikisha kwamba hilo tatizo linatatuliwa ndani ya dakika hizo kumi” “Sawa muheshimiwa raisi”
Vidoe inayo muonyesha raisi wa Pakistani ikaondoka kwenye Tv iliyo kuwa inamuonyesha na akabaki Jackline.
“Jackline umefikia wapi na watu wako?” “Mushimiwa raisi bado tunaendelea kulishuhulikia tatizo” “Mushimiwa raisi tunaweza kumuamini vipi kwamba raisi wa Pakistan hajahusika na hili shambulizi ikiwa bomu linatokea nchini kwake? Isije akawa anatupumbaza hapa na bomu hilo litatua nchini kwetu” Lutenati alizungumza huku akimtazma raisi.
“Tusubirini hizo dakika kumi, Jackline waambie watu wako waendele kuyahuhulikia haya mabomu” “Sawa mkuu, nitakufahamisha baada ya dakika tano” Nikamgeukia Samweli, japo kuna aircondition humu ndani ya ofisi yangu ila Samweli anamwagikwa na jasho usoni mwake. Nikamuona Mariana akifumba macho yake huku akionekana akiomba kwa juhudi kubwa.
Wasiwasi na mimi ukaanza kuniinngia nikatamani kumsemesha jambo Samweli ila nikajikuta nikishindwa kuzungumza chochote.
“Nimepata code mbili za mwanazo, bado code mbili za mwisho” Maneno ya Samweli yakatufanya sote tmgeukia na kumtazama.
“Zitachukua muda gani ili kuweza kupatika?” “Dakika tano” Nikatazama dakika zilizo baki na kukuta zikiwa zimebaki dakika kumi na saba.
“Jitahidi Samweli” “Ninajitahidi mkuu” “Mungu wangu tusaidie” Mariana alizungumza huku machozi yakimlenga lenga usoni mwake hapa ndipo nikagundua kwamba kifo ni kibaya sana na kinaogopesha pale unapo fahamu kwamba muda fulani uhai wako unakwenda kutolewa. “Nimepata code ya tatu”
Samweli alizungumza na kujikutta sote tukimsogelea karibu na macho yetu tukayatupia kwenye laptop yake inayo onyesha namba nyingi zinazo kwenda kwa mwendo kasi sana.
“Jitahidi mdogo wangu” Nilizungumza huku mdomo mzima ukinitetemeka. Kwa kasi ya vidole vya Samweli katika kuminya minya batani laptop yake kusema kweli kubwa. Jasho linaendelea kumgwagika usoni mwake. “Muheshimiwa raisi” Niliisikia sauti ya raisi wa Pakistani nakujikuta kwa haraka nikitizama computer yangu.
“Mumefikia wapi?” “Ni kweli muheshimiwa raisi Almeida mabomu hayo yametoka nchini mwanagu, ila si mimi niliye idhinisha hilo swala la mashambulizi” “Mumefikia wapi katika kuyazuia?” “Mabomu hayo kwa sasa yanaongozwa na magaidi wa kikosi cha Al-quida na hadi sasa hatujafahamu wana lengo gani la kuweza kufanya shumbulizi katika nchi yako” Sote tukakaa kimya kwani kila mmoja wetu humu anaelewa na kufahamu kundi hili la Al-quida.
“Imekuwaje hadi wakayaiba?” “Muheshimiwa raisi sifahamu na kama ngingefahamu basi ningeweza kuzuia uibaji wake” “Jacklien umeweza kupata namna ya kutatua hilo tatizo?” “Hapana mkuu inaonyesha uongozaji wa haya mabomu ni mkubwa sana na wakitaalamu sana” “Muheshimiwa raisi Al-Meida hata watu wangu wameshindwa kuyazuia mabomu hayo kwani code zake ni ngumu kuzipata” Mapigo ya moyo yakazidi kuniaenda kasi kwani zimebaki dakika saba, nikamgeukia Samweli.
“Sam vipi umefikia wapi?” “Bado mkuu, najitahidi” Samweli alizungumza huku mikono ikimtetemeka. Mariana taratibu akaka kwenye sofa huku machozi yakimtiririka, dakika zikazidi kwenda kupungua hadi zikabakia dakika mbili.
“Samweli vipi mdogo wangu badooo” Samweli akanitazama kwa macho yaliyo kata, taratibu akavua miwani yake.
“Mkuu sijawahi kushindwa tukio lolote ila hili si……” Samweli hakumalizia sentensi yake laptop yake ikatoa mlio ulio tufanya sote tugeuke na kuitazama.
“Yes”
Samweli alizungumza kwa furaha akavaa miwani yake kubwa kwa haraka akaminya minya batani za laptop na kunigeukia.
“Mkuu tunaweza kubadilisha muelekeo wa mabomu kuna nchi mbili ambazo tunaweza kuzishushushia mabomu haya amua sasa kati ya Kenya na Somalia mabomu haya niyashushe wapi?” Mariana akakurupuka na kunyanyuka kwenye sofa na akunitazama usoni mwangu akisubiria jibu langu ambalo litaokoa maisha ya Watanzania na kwenda kuwamiza maisha ya Wakenya au Wasomalia. ITAENDELEA
 
AM NOT A DOCTOR 59


ILIPOISHIA
Samweli akanitazama kwa macho yaliyo kata, taratibu akavua miwani yake.
“Mkuu sijawahi kushindwa tukio lolote ila hili si……” Samweli hakumalizia sentensi yake laptop yake ikatoa mlio ulio tufanya sote tugeuke na kuitazama.
“Yes”
Samweli alizungumza kwa furaha akavaa miwani yake kubwa kwa haraka akaminya minya batani za laptop na kunigeukia.
“Mkuu tunaweza kubadilisha muelekeo wa mabomu kuna nchi mbili ambazo tunaweza kuzishushushia mabomu haya amua sasa kati ya Kenya na Somalia mabomu haya niyashushe wapi?” Mariana akakurupuka na kunyanyuka kwenye sofa na akunitazama usoni mwangu akisubiria jibu langu ambalo litaokoa maisha ya Watanzania na kwenda kuwaumiza maisha ya Wakenya au Wasomalia.
ENDELEA
“Erick amua” Mariana alizungumza kwa shauku huku akinitazama usoni mwangu. Nikameza fumba la mate huku jasho likinimwagika usoni mwangu.
“Somalia” Samweli kwa haraka akaminya moja ya batani katika laptop yake, muelekeo wa mabomu haya ukabadilika, kwa haraka nikatazama kwenye computure yangu inayo onyesha kikao kinacho endelea kwenye ofisi ya raisi. Sote tukashuhudia mabomu haya yakitua katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu jambo lililo nifanya niyafumbe macho yangu kwani sihitaji kuona mlipuko huu jinsi unavyo badilisha twasira ya nchi hiyo.
Ukimya ukatawala ofisini kwangu, hata sauti inayo toka kwenye computer yangu sikuweza kuisikia kabisa. Taratibu nikayafumbua macho yangu nikawaona watu walipo ofisini ya raisi wakiwa wamesimama huku wakionekana kushangaa mlipuko huo. Nikajikuta machozi yakinimwagika usoni mwangu.
“Erick umefanya jambo lililo salama kwa ajili ya nchi yako” Mariana alizungumza kwa sauti ya upole huku akinitazama usoni mwangu. Sikuzungumza kitu chochote zaidi ya machozi kuendelea kunimwagika usoni mwangu. “Erick usilie” “Hivi unahisi ni kitu gani kitakwenda kutokea baada ya hili?” “Nilizungumza kwa ukali huku nikimtazama Mariana usoni mwake.
“Hivi ni watoto wangapi wamekufa kwa ajili ya huu mlipuko?” “Mkuu” Samweli aliniita kwa sauti ya upole huku akinitazama usoni mwangu.
“Kuna hii video unatakiwa kuiona” Samweli alizungumza huku akinigeuzia laptop yake, nikaona mwanaume mmoja akiwa amesimama huku amefiacha uso wake kwa kitambaa cheusi na kubakisha macho yake tuu, huku nyuma yake kukiwa na kitambaa cheusi kilicho andikwa maandishi ya kiarabu.
“Hii ni aibu kubwa na uhasama mkuubwa kwa nchi ya Tanzania kushambulia nchi inayo jiaendela kama Somalia na kusababisha mauaji ya maelfu ya wasomalia” Sauti ya mwanaume huyu ikatufanya mimi na Mariana kutazamana kwa muda.
“Hii si sauti ya Hussein?” Mariana aliniuliza huku akinitazama usoni mwangu.
“Ndio” “Hivi dunia ni kweli hii ni haki kwa nchi kama Somalia kushambuliwa na mabomu ya nyuklia tena na nchi ya Tanzania ambayo inajitangaza ni nchi ya amani na upendo kwa mataifa majirani” “Samweli unaweza kutafuta hiyo video inatokea wapi?” “Ndio mkuu” “Fanya hivyo kwa maana anapandikiza chuki kwa watu. Mariana panga kikao ninahitaji kuonana na raisi” “Erick umechanganyikiwa?” “Hili tatizo mimi ndio chanzo na siwezi kuacha nchi yangu kuingia kwenye kashfa kubwa kama hii ni laizma kupanga mipango ya kujitetea” “Siwezi kukurushusu uonane na raisi kwa kipindi kama hichi, acha baba yako ajipange yeye mwenyewe. Yeye ndio raisi na kama atashindwa kukabiliana na hili tatizo ni bora akaachia madaraka” Mariana alizungumza kwa ukali huku akinitazama usoni mwangu. Nikamtazama Samweli anaye shuhudia mabishano kati yetu.
“Mkuu ninaomba niwaache” Samweli alizungumza huku akinyanyuka kwenye kiti alicho kalia na kuanza kutoka nje.
“Siku nyingine sinto penda unipande juu yangu sawa” “Sawa nimekuelewa Erick ila kwenye ukweli siwezi kukaa kimya ukiwa unawathamini watu wambao wao hawakuthamini.” “Sasa niambie ni nini ninatakiwa kukifanya katika hili” “Umesha maliza jukumu lako, cha kufanya wewe kaa kimya tutasikiliazia ni kitu gani baba yako atakiamua” Nikajikuta nikishusha pumzi nyingi, taartibu nikakaa kwenye kiti changu.
“Mariana” “Bee” “Ulianiambia lengo la kikundi hichi ni kulinda nchi hii inakuwaje unakataa nisishirikiane katika hili?” “Lengo ni kukulinda wewe na kulinda nchi ila si kushirikiana na baba yako, ambaye uhai wako alichukulia kama kitu cha kawaida.”
Nikatpia macho yangu kwenye computer yangu na kumuona baba na wakuu wake wa majeshi wakiwa wapo kimya. Marina akasogelea computer yangu na kuizima, kisha akanikalia mapajani mwangu huku akinitazama.
“Erick kwa sasa ninakuomba utulie, ulicho kifanya ni kwa ajili ya nchi yetu na watanzania”
“Ila ninajisikia vibaya sana” “Usijali nipo kwa ajili yako nitakufanya ujisikie vizuri mpenzi wangu”
Taratibu Mariana akaanza kunizinyonya lipsi zangu, sikuwa na hiyana ya kujizuia kunyonya naye lipsi zake kwani ni kwa kipindi kirefu sasa sijakutana kimwili na mwanamke. Mariana akavua suruali yake ya mazozi iliyo mshika vizuri mwili wake.
Mariana akafungua kamba za suruali yangu na kumtoa jogoo wangu na kuanza kumnyonya taratibu huku sote tukiwa tumejisahau kama tupo ofisini kwetu. Gafla mlango ukafunguliwa na akaingia Samweli aliye jikuta akishangaa kwa kile anacho kiona jambo lililo mfanya kurekebisha miwani yake vizuri ili kushuhudia uchafu wetu.
ITAENDELEA
 
AM NOT A DOCTOR 60


ILIPOISHIA
Marina akasogelea computer yangu na kuizima, kisha akanikalia mapajani mwangu huku akinitazama.
“Erick kwa sasa ninakuomba utulie, ulicho kifanya ni kwa ajili ya nchi yetu na watanzania”
“Ila ninajisikia vibaya sana” “Usijali nipo kwa ajili yako nitakufanya ujisikie vizuri mpenzi wangu”
Taratibu Mariana akaanza kunizinyonya lipsi zangu, sikuwa na hiyana ya kujizuia kunyonya naye lipsi zake kwani ni kwa kipindi kirefu sasa sijakutana kimwili na mwanamke. Mariana akavua suruali yake ya mazozi iliyo mshika vizuri mwili wake.
Mariana akafungua kamba za suruali yangu na kumtoa jogoo wangu na kuanza kumnyonya taratibu huku sote tukiwa tumejisahau kama tupo ofisini kwetu. Gafla mlango ukafunguliwa na akaingia Samweli aliye jikuta akishangaa kwa kile anacho kiona jambo lililo mfanya kurekebisha miwani yake vizuri ili kushuhudia uchafu wetu.
ENDELEA
“Samahani” Samweli alizungumza na kutoka ofisini humu haraka na kutuacha mimi na Mariana tukwa na taharuki kubwa. Tukalikatisha zoezi hili na kila mmoja akaanza kuvaa nguo zake taartibu, hatukusemeshana kitu chochote zaidi ya kujawa na aibu kwa kufumwa. Nilipo hakikisha suruali yangu ipo vizuri nikatoka ofisini humu na moja kwa moja kwa moja nikaelekea katika meza ya Samweli.
“Samweli” “Nimefanikiwa kugundua ni wapi video hii inatokea” “Tuachane na hilo kwanza”
Nilizungumza huku nikiiweka mikono yangu miwili juu ya meza huku nikiinama taratibu.
“Najua umeweza kuona kile ulicho kiona ofisini mule ila…….” “Usijali bosi ni mambo ya kawaida tu, sinto muambia mtu yoyote wewe kuwa na amani” “Kweli” “Nina apa kwa jila la mama yangu, sinto muambia mtu yoyote” Nidogo moyo wangu ikapata amani, nikajikuta nikitingisha kichwa kwa kukubaliana na kile alicho kizungumza Samweli.
“Umesema umepata sehemu inapo tokea video hiyo?” “Ndio inatokea Afganistan sehemu moja inaitwa Nuhiran” “Nuhiran, Nuhiran” “Unapafahamu mkuu?” “Hapana imekuwaje kuwaje mabomu yametokea Pakistani na wahusika wapo Afganistan?” “Inawezekana walio ongoza mabomu hayo walikuwa wapo nchini Pakistan. Isitoshe Pakistani na Afganistani ni nchi mbili zilizopo karibu sana ni sawa sisi na Kenya hapo” “Umeweza kupata sura za msemaji wa hiyo video?” “Ngoja nijaribu, ila inaweza kunichukua muda kidogo” “Sawa fanya hivyo na nitamuambia Mariana akuingizie milioni tano kwenye akaunti yako, kazi uliyo ifanya ni kubwa sana” “Sawa mkuu nashukuru sana, asante sana” Samweli alizungumza huku akiwa amefurahi. Nikasimama katikati ya hii ofisi na kuwatazama wafanyakazi wangu wanao endelea kujishuhulisha na shuhuli mbalimbali zinazo fanywa na kampunini yangu hii ya ulinzi.
“Ninaomba tusikilizane ndugu zangu” Wafanyakazi wote wakaacha wanavyo nifanyanya na kunitazama mimi, walipo mbali nami wakanisogelea.
“Nchi kwa sasa ipo katika hali ya hatari, kumetokea mashambulizi mawili leo ya kigaidi. Moja ni shambulizi la meli jeshi la maji nchini hapa Tanzania, na hadi sasa hivi hatujapata idadi ya wanajeshi walio poteza maisha ila meli imeteketea kwa moto. Shambulizi la pili lilikuwa la……” Nikakaka kimya huku nikimgeukia Samweli aliye nitazama huku amenitolea macho, alipo ona ninimtazama sana, akaniruhusu kuendelea kuzungumza.
“Kulitokea shambulizi la mabomu ya nyuklia ambayo yalipangwa kutua nchini Tanzania, ila cha kumshukuru Mungu, uhayakuweza kufika kwetu na wahusika walibadilisha muelekeo wa mabomu hayo na kuangikia nchini Somalia” “Ninacho waomba kuanzia hivi sasa ni tuwe makini katika kila kitu ambacho tunakifanya kwa maana hatujui kama magaidi wataendelea na mpango wao wa kuendelea kuishambulia Tanzania au laa. Habari hizi ninawaomba zisitoke nje ya hii ofisi na zibaki humu huku ndani ya hii ofisi. Ninakaribishaa maswali?” Binti mmoja akanyoosha kidole chake, nikamchangua ili niweze kusikiliza maoni yake.
“Mkuu kwanza tunamsukuru Mungu kwa magaidi hawa kubadilisha mawazo yao na kuyashambulia mabomu hayo kwa nchi ya wezetu, japo sio jambo zuri la kumshukuru Mungu ila kusema kweli ametilinda. Maoni yangu yalikuwa ni hayo” “Shukrani Veronika” “Mwengine?”
Hapakuwa na mfanyakazi yoyote mwenye maoni wala swali, nikawaruhusu warudi katika kazi zao kisha mimi nikarudi ofisini kwangu na kumkuta Mariana akiwa amejilaza kwenye sifa.
“Yaani nina ona aibu hata kutoka nje huko” “Kwa nini?” “Unahisi nitamtazama vipi Samweli ikiwa ananiheshimu mimi kama dada yake?” “Yamesha isha hayo, hana noma kijana wa watu. Hakikisha unamuingiza milioni tano” “Tano!!?” Mariana alizungumza huku akikaa kitako kwenye sofa alilo kalia.
“Kazi aliyo ifanya ina thamani zaidi ya hiyo milioni tano, hakikisha kwamba unamuingizia kwenye akaunti yake na hii itakuwa njia nyingine ya kuficha mauvu tuliyo yafanya humu ofisini” Nilizungumza huku nikichukua rimoti ya Tv na kuwasha Tv iliyomo humu ofisini kwangu. Chaneli ya kwanza inaonyesha mashambulizi ya mabomu ya kinyuklia yaliyo tokea nchini Somalia asubihi ya leo na maelfu ya watu wamepoteza maisha.
“Mungu wangu” Nilizungumza baada ya kuona maiti za watoto wengi wa kike na wakiume. Mariana akasimama kwenye sofa na kunisogelea sehemu nilipo simama huku naye macho akiwa ameyatoa kwenye Tv hii.
“Tanzania hadi sasa hivi haijatoa tamko lolote juu ya shambulizi hili la kijeshi” Mtangazaji huyu wa BBC alizungumza huku nyuma yake kukiwa na video ya maiti za watu walio fariki katika hili, kwa haraka nikawasha computer yangu na kukuta kikoa katika ofisi ya raisi kikiwa kinaendelea. “Nenda kamuite Samweli” Mariana hakuzungumza kitu chochote zaidi ya kunyanyua mkonga wa simu ya mezani na kuminya batani kadhaa.
“Samweli njoo ofisini kwa mkuu” Mariana baada ya kumaliza kuzungumza hivyo akarudisha mkonga wa simu kwenye sehemu alipo utoa.
“Muheshimiwa raisi hii ni vita ambayo tumesha hawa magaidi wanahitaji kutuchonganisha na majirani wetu” “Hilo kila mtu humu ndani ya hii ofisi amemsikia yule gaidi pia anajua kwamba hatujausikia na chochote” “Ila dunia mkuu haiwezi kutuelewa kwa maneno hapa ni lazima kuweza kuwakamata magaidi hawa walio husika na hili tukuio kwa muda mchache la sivyo tunakwenda kuingia kwenye vita ambayo itapelekea vita kuu ya Tatu ya dunia. Kwani Somalia ana ushirika mzuri na nchi za Kiarabu na sisi tuna ushirika mzuri na nchi bara la Ulaya na Amerika nina imani washirika wetu hawato kubaliana kuona tunashambuliwa na nchi hizo za kiarbu” “Jackline mumepata sehemu video hiyo inapo tokea?” “Hapana mkuu bado vijana wangu wanajaribu” Tukasikia hodi ikigongwa mlangoni, Mariana akamruhusu mru anaye gonga mlango kuingia ndani. Samweli akaingia akiwa ameshika laptop yake.
“Mkuu nimefanikiwa kupata sura ya muhusika wa hili tukio” Samweli akatuonyesha muhusika wa hili tukio, kama tulivyo kuwa tumehisi Hussein na kweli hatujakosea kabisa. “Hivi huyu Msambaa amefikaje Al-Quida jamani!!?” Nilizungumza huku nikiwa ninashangaaa
“Dunia hii” “Una picha nyingine ambazo umezipata?” “Ndio nimepata picha zake anaonekana akiwa katika miji kama Paris Ufaransa, London, Afganistan, Iraque, Pakistani na nchi nyingi nyingi ikiwemo Tanzania.” Samweli alizungumza haraka haraka sana na tukabaki tukiwa tumemkodolea macho usoni mwake.
“Ameo mwanamke wa Kipakistan jina lake ni Yarma Gadafi, wana mtoto wa miaka mitatu wa kiume na familia yake kwa sasa ipo Afrika Kusini kwa mapumziko” “Tunaweza kumpata” Mariana alizungumza huku akinitazama usoni mwangu “Tutampataje?” “Kupitia kwa mke wake basi itakuwa ni rahisi kuweza kumpata Hussein”
“Hii kazi tusiifanye sisi” “Kwa nini bosi?” “Acheni NSS waifanye wakishindwa sisi tutaifanya ila kwa sharti la kulipwa pesa ambayo sisi tutaihitaji na nisinge penda serikali kuweza kufahamu pesa hii kama inaingia kwetu” “Sio mbaya kwa maana ni wazo zuri pia”
“Yaa nisinge penda kuja kufanya biashara ya maandazi ikiwa watu wenyewe hawatuthamnini sisi” “Ni kweli mkuu” “Samweli pesa itaingizwa kwenye akaunti yako sasa hivi. Pia unaweza kupumzika kwa maana sasa hivi sioni sababu ya kuendelea kushuhulikia hili tatizo” “Sawa mkuu ninashukuru sana” “Naomba unisaidie computer yako mara moja nimuingize pesa” Nikanyanyuka kwenye kiti nilicho kikalia Mariana akaka na kuanza kuingia katika mfumo wa fesa wakampuni hii, akamuingizia Samweli kiasi cha pesa nilicho muahidi.
“Shukrani mkuu” Samweli alizungumza huku akiwa ameishika simu yake.
“Usijali mdogo wangu, ni kazi kubwa uliyo ifanya. Pumzika tutaonana kesho asubuhi” “Sawa mkuu” Samweli akaifunika laptop yake na kutoka humu ofisini.
“Huyu kijana ulimtoa wapi?” “Ahaa wee acha tu, nilimtoa kwenye kampuni yako ya utenegezaji wa vinywaji, alikuja pale masikini ya Mungu kuomba kazi akidai amezunguka makampuni zaidi ya tisa akiomba kazi ila walimnyima” “Masikini weee, wangejua kwmaba tumepata mashine wala wasinge msukumia mbali” “Una jua hata NSS, alisha wahi kuomba kazi ila wakamchomolea” “Weeee” “Ndio walimkataa wakidai hajafuzu mafunzo yao ya kijasusi, tazama sasa wanavyo sua sua. Ingekuwa sio yeye leo ingekuwa imekula kwetu Tanzania” “Asikuambie mtu pale kiroho changu kilikuwa kinanienda kasi ile mbaya”
Nilizungumza huku nikitabasamu.
“Erick” “Ndio” “Naomba tutoke, yaani nisikufiche hapa mwenzio nina nyege hadi nina hisi mwili mzima kunitekenyeka” “Kaandae gari tutoke” “Kweli” “Yaa” Mariana akasisogelea kwa haraka na kunibusu shavuni mwangu, kisha katoka ofisini humu. Hazikupita hata dakika tano Mariana akarudi na kuniambia ameandaa gari. Tukatoka ofisini humu na kumuachia Joseph uangalizi wa wafanyakazi wengine. Tukaingia kwenye gari na kuondoka eneo hili huku Mariana akiendesha.
“Nimesha lipia chumba hotelini” “Upo haraka” “Yaani wee acha tuu, laiti hili gari lingekuwa lina paa basi tungepaa na kutua chumbani tu”
“Hahahaa” Tukafika hotelini, moja kwa moja tukaeleka chumbani tulipo chukua chumba. Kitendo cha kuufunga mlango kwa ndani Mariana akanivamia na kuanza kuninyonya midomo yangu kwa kasi sana, kadri muda unavyo zidi kwenda ndivyo jinsi hisia za mapenzi zilivyo zidi kutawala na kujikuta tukivua ngo zetu za chini tu na kuanza shuhuli ya kupeana raha.
“Oohooo Erick, fuc** my pu** babyyyyyy” Mariana alilalamika huku akiwa ameinama na mikono yake ameshika kuta za kita hichi ambacho hata bado hatujakipanda.
“Real baby?” “Yeeeah fuc**, fuc**, fu** meeeeee” Marian alizidi kulalamika kimahaba na kunifanya nizidi kuongeza kasi huku nikijitahidi kukishika kiuno chake na kukimbizana nacho kwani anajua jinsi ya kukizungusha. Nilipo ridhika na mkao huu unao julikana kwa jina la mbuzi kagoma kwenda, nikamsukumia kitandani kisha nikavaa tisheti yangu na yemi naye akavua tisheti yake na kubakiwa na sidiria tu.
Nikaiweka miguu yake kwenye mabega yangu na kuendelea kula kitumbua chake kwa ujuzi wangu wote ninao utambua mimi mwenyewe.
“E…e.eee….ric..k nakuja bby” “Njoooo tuu baby”
“Ohoooo, Gooooodd, mmmmmmmmm” “Tukojo** pamoja mke mpenzi”
Nilizidi kuzungumza kimaba huku nikizidisha kasi kwani waarabu weupe ninawasikia wakikaribia kufika mdomoni mwa jogoo. Tukajikuta sote kila mtu akipata raha ambayo ni kubwa sana. Mariana akanikumbatia kwa nguvu huku akihema pumzi nzito nzito. Nikameza fuma la mate kidogo ili kulainisha koo langu ambalo limekauka mate kabisa.
“Nakupenda sana Erick wangu” “Ninakupenda pia Mariana” “Kweli Erick?” “Ndio” Erick akaanza kuninyonya midomo yangu kwa hisia kali sana. Baada ya kuridhika na kunyonyana kwetu midomo, taratibu nikajitoa juu ya mwili wa Mariana na kulala pembeni yake. Tararibu Mariana akaka kitako na kumshika jogoo wangu ambaye bado amesimama wima.
“Mmmmm wewe mwanaume sijapata ona jamani aaaakhaaa” Marina alizungumza huku akiendelea kuhema kwa nguvu.
“Kwa nini?” “Yaani nimesikia raha kama nipo sijui wapi huko” “Usijali ni jukumu langu kukupa raha” Marina akachukua taulo na kuanza kumfuta futa jogoo wangu anaye elekea katika uzingizi wa muda mfupi.
“Erick nikuulize kitu?” “Niulize” “Ni lini utakwenda kumuona Zari na wanae?” Nikamtazama Mariana usoni, kisha nikashuka kitandani pasipo kuzungumza kitu chochote kwa maana swala la familia ambayo kwa sasa ipo chini ya baba yangu ni zito sana kulifikiria kichwani mwangu.
“Una kwenda wapi sasa?” “Hapana” “Hapana ndio nini?” “Huwa sipendi kusikia swala la familia yangu” “Ila kumbuka Zari, Brian na mtoto wako wa kike hawana makosa yoyote kwenye maisha yako usiwachukie. Nilitamani kukuambia hili swala ila nikawa ninakosa muda muafaka, niliamua hadi kutoa walinzi wa siri kwenye kampuni hii ili wamlinde Zari na watoto wako kwani wale ni sawa na wanangu mimi. Nikiwachukua kwa sasa nitakuwa ni mwanamke mjinga” Maneno ya Mariana yakanifanya nikae kimya kwa muda huku nikiyatafakari. Nikageuka na kumtazama kitandani alipo jilaza.
“Naomba simu yako nimpigie Zari” “Sawa” Mariana akashuka kitandani kwa haraka akaokota suruali yake kisha akatoa simu mfukoni mwake na kunikabidhi mimi. “Namba yake si ile ile?” “Ndio” Nikiwa katika harakati za kuitafuta namba ya Zari katika simu hii ya Mariana, ikaingia video kupitia Whatsapp, nikajukuta nisisitisha zoezi hilo na kuifungua video iliyo tumwa na mtu anaye itwa Ignas. Video hii ikaanza kunipa wasiwasi mwingi hadi Mariana akagundua wasiwasi nilio nao.
“Kuna nini?” “Samwali ametekwa?” “Nini?” Mariana alizungumza huku kwa haraka akishuka kitendani alipo kuwa amepanda kwa mara nyingine na kunifwata sehemu nilipo simama huku naye akionekana akiwa na shauku kubwa ya kuona video hii.
ITAENDELEA
 
Kaka nipo tatizo sijapata hadithi kuanzia sehemu ya 44 mpaka 56. Nina vipande kuanzia sehemu ya 57 mpaka mwisho. Je nipost hivyohivyo?

The Banker njoo umalizie vipande vilivyobaki kamanda ametupia vypte vilivyokuwa vimemiss kwa upande wako
 
Back
Top Bottom