Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Khaa, we ulikosa utamu kule Cairo siku ya pambano la 'the hulk' na Roman ilikuwa ni hatari! Yaani lile konde siku hiyo lilituacha mdomo wazi mikono kiunoni! Kuanzia siku hiyo niliacha kabisa kuhudhuria mpambano wa ndondi kama unamhusisha Roman kwani yule jamaa ni mbayaaaa, unaweza ukashuhudia mtu anauwawa kirahisi kabisa!Casuist siku ya pambano la Deus na Roman uniarifu mapema ili na mimi nikashuhudie mauaji...
Khaa, we ulikosa utamu kule Cairo siku ya pambano la 'the hulk' na Roman ilikuwa ni hatari! Yaani lile konde siku hiyo lilituacha mdomo wazi mikono kiunoni! Kuanzia siku hiyo niliacha kabisa kuhudhuria mpambano wa ndondi kama unamhusisha Roman kwani yule jamaa ni mbayaaaa, unaweza ukashuhudia mtu anauwawa kirahisi kabisa!
Aaaaaa, yule bwana nasikia kakutelekeza wala haonekani hata JF!Hahahahaaa sasa shemeji utanigombanisha na ndugu yako kwa kauli kama hizi