Riwaya: Kiapo cha jasusi

Riwaya: Kiapo cha jasusi

Asante best nampendaga Patrick simulizi zake zote nimeshazisoma namalizia hiyo Serena sasa hivi
Daaaah wewe Jamaa " mastory yako " siwezi acha kusoma aiseeee"" bora nichelewe kula "" lakini sio kuchelewa kusoma simulizi zako "".... tunakuomba mkuu"" USIJE UKAISHIA NJIANI AISEE....""" utatuacha na arosto


Shunie
Iceman 3D
Madame S
Tumosa
mahondaw
mzigua

baba salehe
@kudos900
kumekucha
 
Matata kabisaa kama naangalia movie kali sana
. napenda dana story za ki intelligencia.
 
Asante best nampendaga Patrick simulizi zake zote nimeshazisoma namalizia hiyo Serena sasa hivi
Nitag huko""...mkuu" mbona hiyo mimi sijaisoma...Aiseee huyu Jamaa sitakagi kabisa simulizi zake zinipite ""....yaani
 
story nzuri sana asee nimeipenda..
sipati picha huko mbele lazima kutakua na songombingo




cc Smart911
Mkuu Patrick ck " ni moto wa kuotea mbali "" na kumbuka story ya peniela iliyokuwa inaletwa na lege "" ilikuwa inawafanya watu wachanganyikiwe ""....huyu Jamaa ni genius simulizi "" wee msikie hivyo hivyo tu"",....
 
Back
Top Bottom