koncho77
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 7,789
- 10,388
ahahahah haya baba swalehe nimekutag kwenye riwaya ya roho yake inadaiMBNA baba swalehe amekuja mkuu hujamwona [emoji23] [emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ahahahah haya baba swalehe nimekutag kwenye riwaya ya roho yake inadaiMBNA baba swalehe amekuja mkuu hujamwona [emoji23] [emoji23]
Asante mkuuahahahah haya baba swalehe nimekutag kwenye riwaya ya roho yake inadai
Asante nimefika
Akitaka support,hata nyie "wachanga" ingieni chamani,wakina maundu hawana shida wale,mtafaidika zaidi na kazi zenuYah niemeona!! But Kelvin huwa anafikirisha zaidi tatizo pale anapotumia hata page mbili kuelezea sebule moja
Ila kiukweli huyu jamaa anajua kuliko neno kujua,japo anaboa kwa story ndefu sana so inahitaji uwe na muda wa ziada kufuatilia
Kingine sijui kwanini,wandishi wenzie hawampi sapoti kama wanavyosapotiana wao
Watu Kama
Maundu mwingizi Hussein tuwa,ibrahim gama,Fadhy mtanga,Inocent ndayance,beka mfaume,amri bawji,musa banzi nk
Yani yeye yupo kivyake tu sijui kwanini na hadi sasa hajatoa kitabu hata kimoja anauza online tu
Nimeona kuna kesi imefunguliwa huko na@koncho77 anamdai shemeji yake sasa sijui nimfanyeje huyo jamaa eti Aunt ya kitunguu
KhaaaaNimeona kuna kesi imefunguliwa huko na@koncho77 anamdai shemeji yake sasa sijui nimfanyeje huyo jamaa eti Aunt ya kitunguu
Mmh niniKhaaaa
Wewe ndio mkeo baba kitunguuNimeona kuna kesi imefunguliwa huko na@koncho77 anamdai shemeji yake sasa sijui nimfanyeje huyo jamaa eti Aunt ya kitunguu
Asanteee nzur hasa nimeisoma