Sababu za kibiasharaThe banker hadithi nyingi huwa anaziachia katikati sijui nini huwa inatokea!
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]Na hii ya mifupa 206 ni hayohayo?
Shida ukielezea sehem ambazo zinahitaji marekebisho watu wanaona km una chuki na muandishi kumbe ni sehem ya kusaidia uboreshaji wa hadithi iendane na uhalisia.Kevin Mponda inaelekea anapenda sana mvua. Halafu anahadithia mno, kwa mfano anaweza kuchukua kurasa 3 kukielezea chumba na vitu alivyovikuta!
BalaaKevin Mponda inaelekea anapenda sana mvua. Halafu anahadithia mno, kwa mfano anaweza kuchukua kurasa 3 kukielezea chumba na vitu alivyovikuta!
Utajuta tu kutufikiahatimaye nimewafikia ,nimejiandaa kivyovyote na arosto
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Utajuta tu kutufikia
tunasubiri mkuu
Mkuu ni saa moja ya saa ngapi?Wadau basi msikonde leo saa moja usiku nitakuwa naamsha dude humu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] yuko kwenye foleni kasemaMkuu ni saa moja ya saa ngapi?