RIWAYA: Mifupa 206

Simulizi za jf ndo zilivyo.mtu anatoka hukoooo anaanza kushusha mzigo, akifika sehemu ambayo inasisimua sana anakatisha uhondo.
Sikuwahi kutukana tangu nizaliwe na sitaki.

the banker unatukwaza sana.
 
[emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35]
 
Wakuu poleni na alosto. Kimsingi kuna baadhi ya watukwa ukosefu wao wao tu wa ustaarabu wanachangia kuleta mateso kwa watu wasio na hatia. Mie ni binadamu ninahisia. Sasa utakuta mtu anadiriki hata kumtukana mtu baye hamlipii bundle wala muda wake. Tena mtu huyo hajaomba hata senti moja kwa wasomaji. Yaani hizi kazi tumapost humu kama hobby kwani na sie tunasoma kazi za wengine wengi humu. Pia kumbuka kunakuwa na maelekezo ya mtunzi ya kusimama kwa mda kutuma.(nikikiuka hili sitapewa tena soft copy na mtunzi)
Anyways leo jioni nafanya mambo
 
Pole Sana mkuu, mwanadamu haridhiki hata kwa lipi hivyo ni Vema kuwachukuli poa na mapungufu yao,, pia ahsante sana kwa taarifa zenye kuleta imani, leo silali mkuu, ujue kabisa usipo tuma leo umenilaza macho mkuu πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€
 

Nasubiria mzigo mkuu. Ukizingua nakupa radhi walahi.... na itakufikia popote ulipo (just kidding)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…