RIWAYA: Mifupa 206

Dah hatimae nimewafikia...mkuu the banker sababisha...
 
Hii ishakua arosto sasa kila muda kuchek kama BANKER ameshafanya yake dzain tunasubir mshahara vile
 
Daaah mimi naona zote kali kuanzia Tai kwenye mzoga na Ufukwe wa madagasca..
Tai kwenye Mzoga na Kisiwa cha Madagascar ni Story Zinazofanana, sema matukio tofauti coz mazingira ya matukio yote ni Rwanda, hii matukio kabla ya mauaji ya kimbari na ile Kisiwa cha Madagascar ni matukio baada ya Mauaji ya kimbari, kwangu naiona kama story 1 yenye season 1 na 2 dats y kwangu Naiona Mifupa 206 ni Bora kwangu Japo ubora utategemea Itaishaje Ila kwangu Hapa JF Riwaya yangu Kali kuliko zote ni PENIELA,
 
Nimevutiwa n maelezo n upeo wako wa kuchambua kazi ngoja niitafute PENIELA nione ilivyo
 
Nimevutiwa n maelezo n upeo wako wa kuchambua kazi ngoja niitafute PENIELA nione ilivyo
duh! hujawahi kuisoma kumbe! utarejesha mrejesho tz tuna watunzi wazuri ni muda wa bongo movie wafanyie kazi simulizi hizo tena wazitendee haki ili nawatunzi wafaidike.
 
Hata mm sijawahi kuisoma ngoja niihonje..
duh! hujawahi kuisoma kumbe! utarejesha mrejesho tz tuna watunzi wazuri ni muda wa bongo movie wafanyie kazi simulizi hizo tena wazitendee haki ili nawatunzi wafaidike.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…