KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 32,529
- 76,691
mkuu tupo..Wadau vipi?
lkn umetutupa kulee kwenye mtutu wa bunduki!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu tupo..Wadau vipi?
PoaaaWadau vipi?
Kama kawaida mkuu macho yana hamu na post zakoWadau vipi?
Wadau vipi?
Poa kk,,,tunauomba mzigo mkuuWadau vipi?
Pamoja sana mkuu!
Tai kwenye Mzoga na Kisiwa cha Madagascar ni Story Zinazofanana, sema matukio tofauti coz mazingira ya matukio yote ni Rwanda, hii matukio kabla ya mauaji ya kimbari na ile Kisiwa cha Madagascar ni matukio baada ya Mauaji ya kimbari, kwangu naiona kama story 1 yenye season 1 na 2 dats y kwangu Naiona Mifupa 206 ni Bora kwangu Japo ubora utategemea Itaishaje Ila kwangu Hapa JF Riwaya yangu Kali kuliko zote ni PENIELA,Daaah mimi naona zote kali kuanzia Tai kwenye mzoga na Ufukwe wa madagasca..
Nimevutiwa n maelezo n upeo wako wa kuchambua kazi ngoja niitafute PENIELA nione ilivyoTai kwenye Mzoga na Kisiwa cha Madagascar ni Story Zinazofanana, sema matukio tofauti coz mazingira ya matukio yote ni Rwanda, hii matukio kabla ya mauaji ya kimbari na ile Kisiwa cha Madagascar ni matukio baada ya Mauaji ya kimbari, kwangu naiona kama story 1 yenye season 1 na 2 dats y kwangu Naiona Mifupa 206 ni Bora kwangu Japo ubora utategemea Itaishaje Ila kwangu Hapa JF Riwaya yangu Kali kuliko zote ni PENIELA,
duh! hujawahi kuisoma kumbe! utarejesha mrejesho tz tuna watunzi wazuri ni muda wa bongo movie wafanyie kazi simulizi hizo tena wazitendee haki ili nawatunzi wafaidike.Nimevutiwa n maelezo n upeo wako wa kuchambua kazi ngoja niitafute PENIELA nione ilivyo
duh! hujawahi kuisoma kumbe! utarejesha mrejesho tz tuna watunzi wazuri ni muda wa bongo movie wafanyie kazi simulizi hizo tena wazitendee haki ili nawatunzi wafaidike.
Achana kabisa na yule Jamaa, nilikuwa Nakesha yaani bila kusoma Peniela nilikuwa nakosa Amani,, sijui yuko wapi