macson3
JF-Expert Member
- Nov 10, 2017
- 1,134
- 1,230
Namba za mtunzi tafadhali the banker.Wadau vipi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namba za mtunzi tafadhali the banker.Wadau vipi?
Kaka hebu angalia mwanzoni mwa hii post kuna namba ya mtunzi. Pia nenda kwenye riwaya ya tai kwenye mzoga kuna namba ya mtunziNamba za mtunzi tafadhali the banker.
[emoji113] [emoji113] [emoji39] [emoji39] [emoji7] tuwekee basi the bankerKaka hebu angalia mwanzoni mwa hii post kuna namba ya mtunzi. Pia nenda kwenye riwaya ya tai kwenye mzoga kuna namba ya mtunzi
Kisiwa cha madagascar zinaongelea jaribio la mapinduzi nchini burundi na wala sio Rwanda. Hazifanani kabisa kwani kwenye kisiwa cha madagascar jamaa alienda kufatilia barozi wa tanzania nchini burundi aliyetekwa kabla ya tukio la mapinduziTai kwenye Mzoga na Kisiwa cha Madagascar ni Story Zinazofanana, sema matukio tofauti coz mazingira ya matukio yote ni Rwanda, hii matukio kabla ya mauaji ya kimbari na ile Kisiwa cha Madagascar ni matukio baada ya Mauaji ya kimbari, kwangu naiona kama story 1 yenye season 1 na 2 dats y kwangu Naiona Mifupa 206 ni Bora kwangu Japo ubora utategemea Itaishaje Ila kwangu Hapa JF Riwaya yangu Kali kuliko zote ni PENIELA,
Shusha mzigo mkuu the banker
Baadae tupia basi!Niko ofisini bado. Busy busy leo nilijiiba tu nilipokuwa idle
Niko ofisini bado. Busy busy leo nilijiiba tu nilipokuwa idle
Kama ipi mkuu?The banker hadithi nyingi huwa anaziachia katikati sijui nini huwa inatokea!