Nimekutana na mkuu idawa jukwaa Fulani nilijua una udhuru mkuu tafadhali unasakwa huku
Huu mtindo wa kuanza kutupia kitabu humu kabla hakijakamilishwa kutype ndio madhara yake haya. Inabidi watu wawe wana type kwanza mpaka mwisho, halafu ndio tupost kwa mtiririko unaoeleweka.
Mkuu kwani kitabu ni cha kwake kwani?
Mtu kama hana uhakika wa kumalizia story akae nao asitusumbue