Riwaya: SIN

SIN 132


Muandishi…………………………………………….EDDAZARIA G.MSULWA(G.Authour)


Age ……………………………………………………18+


Simu………………………………………………… 0657072588(whatsapp) au 0768516188




ILIPOISHIA


‘Ehee Mungu wangu nita fanya nini mimi?’


Julieth alizungumza kimoyo moyo huku akimtazama Jery aliye inamisha kichwa chake kwenye mskani wa gari hilo huku akiendelea kulia kama mtoto mdogo.


“Mume wangu”
“Mmmmm”
“Nina mpango katika hili, je upo tayari tushirikiane?”
Jery taratibu akanyanyua kichwa chake na kumtazama Julieth usoni mwake kisha akatingishwa kichwa akimaanisha kwamba ame kubaliana na chochote atakacho kizungumza mke wake huyo ambaye hawajapata mapumziko ya faragha toka walipo funga ndoa yao kanisani na mapunziko yao yame angukia kwenye matatizo yanayo umiza mioyo yao.





ENDELEA


“Makamu wa raisi kwa sasa ndio anaye sikilizwa kwenye serikali nzima. Waziri mkuu tuna weza kumueleza jambo ila akalifunjisha kwa maana na yeye hatuhitaji kumuamini. Ninacho kushauri mume wangu, tukodishe wauaji ambao wana weza kumuua makamu wa raisi na sekeseke lote hilo tuna wapelekea Al-Shabab?”
“Ni nani ambaye ata ifanya kazi hiyo kikamilifu?”
“Nipe hadi jioni alafu tuta jua ni nani ambaye ana weza kuifanya kazi hiyo”
Jery akamtazama Julieth kwa sekunde kadhaa kisha akamkumbatia kwa nguvu.
“Nakupenda mke wangu”
“Nina kupenda pia mke wangu”
“Twende wapi sasa hivi?”
Jery alizungumza huku taratibu wakiachiana.


“Twende nyumbani kwa maana hapa njaa ina niuma sana”
Jery akawasha gari na wakaondoka eneo hilo. Wakafika nyumbani kwa nabii Sanga na kuwakuta wazazi wa Julieth.


“Baba tuna waze kuzungumza”
Julieth alimuambia nabii Sanga mara baada ya kuingia sebleni.
“Ndio”
Wakatoka nje na kumuacha Jery akikaa kwenye sofa huku akiwa mnyonge sana.
“Vipi?”
“Tume fahamu ni sehemu gania mbapo raisi Mtenzi yupo”
“Ni wapi?”
“Huwezi amini baba, yumbo nyumbani kwa yule mshenzi Magreth”
“Mage huyu ninaye mjua mimi au mwengine?”
“Huyu huyu.”
“Haka kasichana ni kashenzi sana, kwa nini sasa alimtorosha pale hospitalini?”
“Yaani weee acha tu, hili sekeseka baba nahisi lina mtandao mkubwa sana. Kumbe makamu wa raisi bwana alitaka kumuua raisi Mtenzi”
“Wee”
“Haki ya Mungu vile na hapa bado ana endelea kumsaka ili amuue. Yaani hii ni siri kubwa sana ambayo endapo ita sikika kinywani mwa mtu basi ni lazime auwawe kikatili sana”
“Mmmm sasa una taka kuniambiwa, Magreth ndioa aliye msaidia?”
“Ndio baba”
“Duuu”
“Sasa hivi pale alipo mume wangu, akili yake haipo sawa kabisa. Nimemshauri tukodishe watu ambao wata muua makamu wa raisi, huku mzee akiendelea kufanyiwa maombi”
“Anafanyiwa maombi na nani?”
“Josephine sijui nani, kitu kama hicho”
“Kama ni Josephine ana weza kupona”
“Una mjua?”
“Ndio ni muumini wangu pale kanisani”
“Sasa baba tuna mpatia wapi mtu ambaye ana weza kudili na hili jambo na mbaya zaidi makamu wa raisi ameungana na yule mshenzi Evans na tulimkuta ikulu.”
“Ohooo!!”
“Ndio hivyo na walivyo kutana na mume wangu walizipiga kisawa sawa”
“Usiniambie”
“Ohoo yaani mtiti wake baba haukuwa mdogo kabisa. Hembu niambie ni nani ambaye tuna weza kumpatia hii kazi”
“Kuna Mmexcan mmoja naa itwa Frenando Machete. Ni professional killer, ni mmoja wa watu ninao wafahamu tuna weza kumpatia hiyo kazi”
“Ana weza hiyo kazi?”
“Sana kama kwenye asilimia basi nina mpa asilimia tisini na tisha pointi tisa”
“Sawa, wasiliana naye ili kama aikiwezekana aweze kuja nchini hapa kuikamilisha kazi hiyo”
“Poa ila kazi zake ana zifanya kwa garama kubwa sana”
“Wewe muite tu kwani pesa ni kitu gani baba. Kikubwa nina hitaji kumuaminisha mume wangu kwamba mimi ni mtu mwema, ikiwa haya yote yaliyo tokea una jua chanzo ni mimi”
“Chanzo ni wewe kivipi?”
“Una kumbuka wale askari walio lipuka na boti kipindi kile baharini?”
“Yaa”
“Sasa kuanzia pale raisi si alitoa agizo la Al-Shabab kushambuliwa?”
“Ndio, sasa hapa ndio napata picha. Ila hili jambo usimumbie mtu yoyote kwa maana uta uwawa”
“Weee ni wewe peke yako ndio nime kuambi hili swala baba, ila sinto fungua kinywa changu kumuambia mtu wa aina yoyote”
“Pia mume wangu usimueleze kitu chochote kuhusiana na ogarnaization yako?”
“Usijali baba”
“Ngoja nikaafute diary yangu kwa maana ndipo nilipo andika namba za watu wangu muhimu”
“Sawa”
Wakaingia ndani na Magreth akamfwata Jery sehemu alipo kaa huku nabii Sanga akielekea chumbuani kwake. Akamkuta mke wake akiwa amejilaza kitandani.
“Una jisikiaje?”
“Namshukuru Mungu nipo poa”
Nabii Sanga akafungua shelf yake iliyo jengewa ukutani. Akatoa diary yake ambayo ina namba za watu muhimu sana. Akaitafuta namba ya Frenando Machete na akaipata, akainakili kwenye simu yake na kuipiga. Simu ya Franando ikaanza kuita kisha ikapokelewa.
“Ni mimi”
Nabii Sanga alianza kuzungumza hivyo na Frenando aliweza kumfahamu.
“Ume salimikia nabii Sanga?”
“Ndio, nina mshukuru Mungu nime salimika. Upo wapi?”
“Nina jiandaa kuelekea Colombia. Kuna matembezi mafupi nina kwenda kuyafanya”
“Nina kuhitaji Tanzania?”
“Air port yenu ime salimika?”
“Ya Dar es Salama imefungwa kwa muda, ila wana tumia ya KIA”
“Ahaa hapo nime kuelewa. Una nihiyaji kwa lini?”
“Ikiwezekana hata kesho uwe ume fika nchini Tanzania”
“Basi sawa, naghairi kuelekea Colombia, nina kuja Tanzania. Bado una ishi pale pale au ume hama?”
“Nipo hapa hapa ulipo niacha”
“Sawa, siku njema”
“Nawe pia”
Nabii Sanga akakata simu na kuirudisha diary hiyo ndani ya shelf hiyo.


“Ni nani huyo mume wangu”
“Machete”
“Ana kuja kufanya nini Tanzania?”
“Mke wangu kuna jambo moja kubwa sana linalo endelea hapa nchini. Nina hitaji kumsaidia Jery katika hili”
“Jambo gani?”
“Una weza kuamini kwamba mtu aliye hitaji kumua raisi Mtenzi ni makamu wake wa raisi bwana Jr Madenge”
“Weee!!”
“Haki ya Mungu vile na hapa Julieth ndio ame toka kunieleza juu ya hilo. Sasa nina hitaji kumleta Machete adili na makamu wa riasi na hili la Al-Shaba, nina imani tuta dili nalo kwa upande mwengine wa shilingi”
“Ila hawa wapumbavu, kila nikiwafikiria vijana wangu nina ishiwa na nguvu. Haki ya Mungu nia hitaji hao Al-Shabab wakikamatwa, nimue kiongozi wao kwa kumkata kata kwa mapanga”
Mrs Sanga alizungumza kwa uchungu huku machozi yakimwagika usoni mwake. Taratibu nabii Sanga akaka pembeni ya mke wake na kumkumbatia kwa maana wote wapo kwenye kipindi cha majonzi kwani wame poteza watoto, ndugu, jamaa na wazazi katika mlipuko ulio tokea siku ya harusi ya binti yao kipenzi Julieth.


***


“Evans una paswa kufanya jambo sasa”
Jini Maimuna alizungumza huku akiwa amejawa na wasiwasi mkubwa sana.
“Jambo gani?”
“Ina kubidi umuue Jery, Magreth, Julieth na Josephine. Hao watu wakibaki hapa duniani kila jambo lina weza kuharibika na tukajikuta tuna poteza kila kitu kwa maana Josephine ana uwezo wa kunidhibiti mimi”
Jini Maimuna alizidi kuzungumza huku akiwa amejawa na huzuni kubwa sana.
“Sasa nita wauaje hao watu kwa maana sina uwezo wa kupambana sana”
“Tumia akili, kwani kuna wauaji wangapi wenye uwezo wa kufanya mauaji kwa watu na wakalipwa. Pesa ipo una taka nini cha ziada”
“Mmmm!!”
“Ndio fanya hivyo una siku saba na hatuto onana kwenye hizo siku saba hadi pale utakapo kamilisha hilo jambo kwa maana sasa hivi Josephine yupo kwenye maombi ya kuniangamiza na nikiangamizwa nina rudi gerezani”
“Gerezani wapi?”
“Kuzimu, na sinto kuwa na uwezo wa kuweza kutoka kabisa. Kwaheri”
Jini Maimuna akapotea ndani ya gari hilo la Evans na kumuacha akiwa katika wasiwasi mkubwa sana kwa maana huyo jini ndio tegemezi lake na fujo na jeuri aliyo nayo ni kutokana na jini Maimuna. Evans akasimamisha gari lake kwenye moja ya dula ambalo mtaa wake ume salimika kwa milipuko ya mabomu. Akanunua soda moja na kuanza kunywa taratibu huku akitazama watu wanao katiza katiza kwenye mtaa huo.
“Hawa jamaa ni washenzi sana”
Muuza duka ambaye ana asili ya kichaga alianza kuzungumza na kumfanya Evans kutazama kama ni yeye ndio anye ongeleshwa au laa.


“Una zungumza na mimi?”
“Ndio kaka, hawa jamaa walio jilipua kwa kweli wame tuangamizia Watanzania wezetu wengi sana”
“Ndio hivyo ndugu yangu, kila unapo pita ni misiba mfululizo, watu wana lia kwa kupoteza ndugu zoa”
“Nina sikia kwamba ni hapa hapa Dar ndio wame shambuli?”
“Yaa kwa maana nime toka mkoa wa Morogoro, ila hawajashambulia”
“Daaa sijui itakuwaje kwa kweli”
“Hatuna la kufanya zaidi ya kumuomba Mungu atupe nguvu za kusonga mbele”
“Ni kweli kaka”
“Shukrani kwa soda”
Evans akairudisha chupa hiyo ya soda kisha akaingia kwenye gari lake na kuondoka. Akatafuta hoteli ambayo imesalimia, katikati ya jiji la Dar es Salaam na akafanikiwa kuipata. Akalipia chumba kimoja na kuingia ndani na kuanza kufikiria mpango wa kuwaua watu hao watono alio pewa kazi ya kuwaau na jini Maimuna.
***


“Jery na mke wake hawajarudi?”
Bwana Madenge Jr alimuuliza mmoja wawalinzi wake.
“Ndio muheshimiwa”
“Huyu mtoto amechananganyikiwa kweli?”
“Ana haki ya kuchanganyikiwa muheshimiwa kufikwa na mama yake na kupotea kwa baba yake ni pigo moja kubwa sana”
Mlinzi huyo alizungumza huku wakitazama bustani kubwa ya maua iliyopo eneo hilo la ikulu. Ujume mfupi wa meseji ukaingia kwenye simu ya bwana Madenge, akaitoa simu yake mfukoni na jambo la kumshangaza ujumbe huo ume toka kwa namba isoyo onekana(private number).


‘Zawadi ya kichwa ume ipata kuna zawadi yako nyingine ninayo’


Bwana Madenge Jr akajikuta akianza kutetemeka mwili mzima kwa wasiwasi kwa maana hajui ni nani aliye tuma ujumbe huo. Ikaingia ujumbe mwengine kwa njia ya whatsApp, ujumbe huo ni wa sauti akamtazama mlinzi huyo ambaye sio mtu anaye fahamu siri zake. Akasogea umbali kidogo na kuufungua ujumbe huo. Akaanza kusikiliza mahojiano ya kijana wake akuhojiwa na sauti ya ajabu kidogo ambayo hajawahi kuisikia kwenye maisha yake. Kijana wake ambaye kwa sasa ni marehemu alijikuta akitoa siri zote za mpango wa kumuua raisi Mtenzi.


‘Mungu wangu’


Bwana Madenge alizungumza huku mwili mzima ukimtetemeka kwa wasiwasi, hakujua mtu huyo ni nani. Ukaingia ujumbe mwengine wa maandishi.


‘Kabla sijauachia ujumbe huu kwenye vyombo vya habari nina hitaji kuonana na wewe. Nitakuambia siku na saa ya wapi mimi na wewe tuonane na endapo uta mjulisha mtu yoyote siri yako ita zidi kuvuja’


Bwana Madenge Jr akahisi kama moyo wake una kwenda kupasuka kwa maumivu makali, hakutarajia kama siri yake ime julikana kirahisi hivyo.


***


RPC Karata mara ya kumpa vitisho hivyo makamu wa raisi, akashuka kwenye gari lake, kabla hajaminya kitufe cha kengele mlangoni mwa nyumba ya Magreth. Magreth akafungua geti dogo na akatoka.
“Nilikuona kaka”
Magreth alizungumza huku akionyesha kamera zilizopo hapo getini kwake.


“Ahaa sawa sawa. Tuna weza kuzungumzia hata hapa nje”
“Sawa”
Wakaingia kwenye gari la RPC Karata.


“Leo huja tembea na mlinzi wako?”
“Nime mpa ruhusa ya kwenda kumzika shemeji yake kwani naye ame farika kwenye milipuko hii”
“Aisee mpe pole sana”
“Nashukuru. Ehee niambie Jery na mke wake walisemaje?”
Magreth akamuadiasia RPC Karata kila kitu alicho fanya na Jery pamoja na Julieth.
“Nina imani watakuwa na mpango juu ya kufanya jambo kwa makamu wa raisi?”
“Hata mimi nina hisi hivyo kaka”
“Sasa nime mpatia vitisho makamu wa raisi. Nina hitaji kuonana naye ila sija muambia muda wa yeye kukutana nami. Je una shauri nini?”
“Kama ni hivyo huo ndio wa kati wa sisi kumuua. Wewe panga ni wapi tuna kutana naye mimi nita ifanya hiyo kazi ya kumuua na siku hiyo nina kuhakikishia kwamba hato pona hata akija na askari mia moja ni lazima nimuue tu”
Magreth alizungumza kwa kujiamini na kumfanya RPC Karata kwani hata yeye akilini mwake ana waza kumuangamiza makamu wa raisi ambaye ana endelea kuiwinda roho ya raisi Mtenzi ambaye hadi sasa hivi hali yake ni mbaya na hajulikani kama ata pona au atakufa.


ITAENDELEA


Haya sasa, mipango ya kumuua makamu wa raisi ina zidi kuongezeka je wata fananikiwa kumuua ikiwa Evans naye ana mpango wa kuwaa Magreth na wezake? Usikose sehemu ya 133.
 
SIN 133


Muandishi…………………………………………….EDDAZARIA G.MSULWA(G.Authour)


Age ……………………………………………………18+


Simu………………………………………………… 0657072588(whatsapp) au 0768516188





ILIPOISHIA


“Nina imani watakuwa na mpango juu ya kufanya jambo kwa makamu wa raisi?”
“Hata mimi nina hisi hivyo kaka”
“Sasa nime mpatia vitisho makamu wa raisi. Nina hitaji kuonana naye ila sija muambia muda wa yeye kukutana nami. Je una shauri nini?”
“Kama ni hivyo huo ndio wa kati wa sisi kumuua. Wewe panga ni wapi tuna kutana naye mimi nita ifanya hiyo kazi ya kumuua na siku hiyo nina kuhakikishia kwamba hato pona hata akija na askari mia moja ni lazima nimuue tu”
Magreth alizungumza kwa kujiamini na kumfanya RPC Karata kwani hata yeye akilini mwake ana waza kumuangamiza makamu wa raisi ambaye ana endelea kuiwinda roho ya raisi Mtenzi ambaye hadi sasa hivi hali yake ni mbaya na hajulikani kama ata pona au atakufa.





ENDELEA


“Mungu atufanikishe katikka hilo nahiataji kumpatia vitisho hadi akakili yake itakapo kaa vizuri ndio tumuue”
“Sawa kaka”
“Basi acha nikaendelee na majukumu”
Magreth akashuka kwenye gari hilo na RPC Karata akaondoka eneo hilo. Magreth akarudi ndani huku akijaribu kutafakari mpango wa kumuondoa makamu wa raisi ili nchi ipate kuwa kwenye usalama mzuri.


***


“Nipo getini kwako muheshimwa”
Frendando Machete alizungumza kisha akakta simu yake na kuirudisha mfukoni mwake. Geti likafunguliwa na nabii Sanga akatoka huku akiwa amejawa na tabasamu pana sana usoni mwake.


“Karibu sana Tanzania Machete”
“Nashukuru sana”


“Kwa nini sasa hukunipigia simu nije kukupoea KIA?”
“Natambua ni hali gani ambayo una pitia. Hivyo nikaona sio vyema nikaja kukusumbua. Ila pi anime weza kufika mwenyewe”
Nabii Sanga na Frenando Machete wakakumbatiana na kuingia ndani.
“Shemeji habari za masiku?”
Franando Machete alizungumza hukuwakipeana mikono na mrs Sanga.
“Nashukuru shemeji. Habari za muda mrefu?”
“Nina mshukuru Mungu kwa kweli. Aiseee Julieth ndio ame kua mkubwa kiasi hichi?”
Mr Machete alizungumza huku akimtazama Julieth kwa tabasamu pana sana.
“Ndio na ameolewa”
“Kipindi kile nina ondoka kalikuwa bado kadogo sidhani kama una nikumbuka.”
“Nakukumbuka vizuri tu anko. Shikamoo”
“Marahaba. Huyu ndio mume wako?”
“Ndio ana itwa Frank. Frank huyu ni ak wangu ana itwa Machete”
“Nashukuru kukufahamu mjomba”
“Asante nawe pia”
Wakapata chaku cha mchana kwa pamoja kisha bwana Machete na nabii Sanga wakaondoka kuelekea katika hospitali ya Muhimbili.
“Ndugu yangu ni msoba mkubwa sana nilio upate. Nimepoteza ndygu zangu na mbaya zaidi nime poteza vijana wangu wawili wa kiume yule wa kwanza na wapili”
Nabii Sanga alizungumza kwa sauti ya upole huku machozi yakimlenga lenga usoni mwake.


“Pole sana ndugu yangu. Hayo ndio matatizo ya kimaisha”
“Ni kweli aisee, ila nina hasira snaa na hawa watu walio sababisha vifo vya wanangu na ndugu zangu”
“Utanipatia listi na nita dili na mmoja baada ya mwengine”
“Sawa ndugu yangu”
Wakafika hispitali ya Muhimbili na moja kwa moja wakaelekewa katika jengo la kuhifadhia maiti. Wakaanza kupitia maiti moja baada ya nyingine za familia ya nabii Sanga.
“Huu una onekana ulikuwa ni mpango wa muda mrefu”
“Ni kweli ndugu yangu kwa maana laiti kama wangekuwa wameshambulia sisi pale hotelini basi tunge jua wana nia ya kutuua sisi tu. Ila wameshambulia maeneo mengi ya jiji la Dar es Salaam”
“Duuu si AL-Shabab?”
“Ndio ni wao”
“Hawa kudili nao moja kw amoja ni jambo gumu sana isitishe ni kundi kubwa. Vipi wewe kundi lako lina fanya kazi gani sasa hivi?”
Mr Machele alizungumza wakitoka katika jengo hilo.


“Nime mrithisha mwanangu?”
“Yupi?”
“Julieth?”
“Ana iweza kazi au ume mrithisha kwa sababu ni mwanao wa mwisho?”
“Ana iweza kazi”
Mr Machete akamtaza kwa sekunde kadhaa nabii Sanga kisha akashusha pumzi nyingi.


“Nina mashaka na nafasi yake”
“Kwa nini?”
“Mtoto wa kike kama Julieth na aliye olewa ni ngumu sana kuongoza kundi kubwa la drugs delers kama hilo la kwako. Madhara yake ni makubwa sana”
Nabii Sanga akashusha pumzi taratibu huku akikumbuka kauli ya Julieth kwamba yote haya yaliyo tokea chanzo ni yeye.


“Ila tuyaache hayo. Ni nani ambaye ume niitia niweze kumuhamisha makazi”
Nabii Sanga akafungua mlango wa gari lake na wakaingia ndani.
“Yule kijana pale nyumbani ni mtoto wa raisi ambaye kwa sasa ame athiriwa katika shambulizi hilo la bomu.”
“Una taka kuniambia kwamba raisi wa Tanzania ame fariki?”
“Hapana ila ana pigania uhai wake, ila mke wake ndio aliye fariki”
“Aisee”
“Ila katika harakati za kuokoa maisha ya raisi. Makamu wake wa raisia ameonekana kuingiwa na tamaa ya madaraka na alihitaji kumuu kabisa raisi”
“Mungu wangu!!”
“Yaa hivyo kijana ame kusudia kuhakikisha kwamba ana muangamiza makamu wa raisi na kazi hiyo mtu wa pekee ambaye una weza kuifanya ni wewe”
“Sawa ina bidi nianze kupata data za ndani kabisa katika ikulu ili kama ni kumuondoa raisi iwe ni jambo raisi kwangu”
“Ina bidi tutafute kwa maana toka litokee hili shambulizi, kuna baadhi ya viongozi wame fariki huku wengine wakiwa wame kimbia kabisa mji. Hivyo kuweza kumpata mtu wa ndani kabisa ita kuwa ni jambo gumu sana”
“Basi usijali nipe siku ya leo nita kuwa nime pata full data”
“Sawa”
Wakarudi nyumbani ila mr Machete hakuingia ndani akaondoka nyumbani hapo kwa nabii Sanga na kuelekea katika eneo ambalo ana imani kwamba ana weza kupata kila kitu kinacho endelea ndani ya ikulu ambayo kwa sasa ipo chini ya makamu wa raisi bwana Madenge Jr.


“Baba vipi ume mueleza?”
“Ndio kwa sasa ana fanya uchunguzi w akufahamu ni kipi kinacho endelea ndani ya ikulu. Ila muambie Jery asionekane onekana eneo la nje kw amaana hatujui nani ni mbaya. Ume nielewa?”
“Ndio nime kuelewa baba”
“Jambo jengine la kukumbusha usifanye maamuzi yoyote ya kutumia watu wa ndani ya organization pasipi kuniomba ruhusa kuanzia hivi sasa. Ume nielewa?”
Nabii Sanga alizungumza kwa msisitizo huku akimtazama Julieth usoni mwake.
“Nime kuelewa baba ila nina weza kuuliza ni kwa nini?”
“Naamaini jibu unalo la kwa nini nime kuambia hivyo”
Nabii Sanga mara baada ya kuzungumza maneno hao akaingia ndani na kumuacha Julieth akiwa amejawa na mshangao mkubwa sana.


***


Makamu wa raisi bwana Madenge Jr, akazidi kuongeza ulinzi katika eneo zima la ikulu. Woga wa vitishoa alivyo vipata hakika vina mkosesha amani kwani asipo kuwa makini basi ana weza kufa.


‘Nani wa kunisaidia?’


Bwana Madenge aliwaza huku akizunguka zunguka ndani ya ofisi yake. Akilini mwake akamkumbuka Evans Shika amabye kwa sasa ana muona ndio mtabiri wake mzuri wa mambo yajayo au yalio fanyika kisiri. Akampigiaa simu Evans na kwa bahati nzuri simu hiyo ikapatikana.
“Shikamoo muheshimiwa”
“Marahaba, upo wapi?”
“Nipo hotelini”
“Una usafiri?”
“Ndio muheshimiwa”
“Njoo sasa hivi ikulu”
“Sawa muheshimiwa”
Makamu wa raisi akakata simu na kuendelea kuchanganua ni kitu watu gani ambao wame weza kumuua kijana wake. Akayasikiliza mazungumzo aliyo tumiwa kwenye simu yake kwa mara nyingine jinsi kijana wake akikiri siri ambayo hakupenda iweze kutoka kwa mtu wa aina yoyote.


‘Huyu mshenzi ni lazima nimkamate’


Alizungumza kwa hasira sana. Baada ya dakika arobaini, Evans akafika ofisini hapo huku akiwa ameongozana na walinzi wawili.
“Muna weza kutuacha”
Bwana Madenge aliwaambia walinzi hao na wakatoka ofisini hapo.
“Nina tatizo”
“Tatizo gani muheshimiwa?”
“Kuna mtu ana nitishia maisha yangu na anataka kunia”
“Mungu wangu ni nani huyo?”
“Nime kuita hapa ili weze kuniambia huyo mtu ni nani na ana kaa wapi ili kama ni kumshuhulikia basi niweze kumshulikia leo hii hii?”
Mapigo ya moyo ya Evans yakaanza kumuenda kasi hadi akatamani ardhi ipasuke na immeze, kwani hawezi kufanya kitu chochote pasipo uwezo wa msaada kutoka kwa jini Maimuna.


“Huyo mtu aliye taka kukuua amekupigia simu au?”
Evans alizungumza kwa kujikaza huku mapigo yake ya moyo yakimuenda kasi sana.
“Hajanipigia simu, ila jambo la kwanza walimchinja mlinzi wangu na wakaniletea kichwa hapa ikulu”
“Hapa hapa Ikulu?””
“Ndio, jambo la pili wakanitumia audio ya vitisho kwamba nita fwata mimi. Hembu fanya jambo juu ya hili”


Evans kwa haraka akakumbuka ni watu gani ambao jini Maimuna alimuambia kwamba wana paswa kufa kabla ya wiki hii.


‘Hii ndio nafasi ya kuwagonganisha’


Evans alifumba macho yake taratibu akiigiza kana kwamba ana omba jambo fualani. Akayafumbua macho yake na kumtazama makamu wa raisi bwana Madenge Jr.


“Muheshimiwa kuna watu wanne ambao ndio wana iwinda roho yako na watu hao ume weza kuwasogeza karibu yako”
Evans alijifanya kuzungumza kwa sauti nzito kana kwamba ana jini ndani yake.


“K…i…in….a nani hao?”


“Wa kwanza ni Jery Mtenzi, wa pili ni Julieth Sanga. Watatu ni Josephine na wanne ni Magreth”
Makamu wa raisi macho yakamtoka kwa mshangao mkubwa sana kwani hao wote walio tajwa, wawili ana waoana ni watumishi wa Mungu walio shiba sana neno la Mungu na hao wawili ni kapuku tu ambao hawaa uwezo wa kumfanya jambo lolote mbele yake.
“Wewe ume changanyikiwa au?”
Makamu wa raisi aliuliza kwa ukali huku akimtazama Evans kwa macho makali sana.
“Hicho ndio nilicho onyeshwa mkuu amini usiamini ila hao ndio watu wanao iwinda roho yako”
Makamu wa raisi akashusha pumzi huku mapigo yake ya moyo yakianza kumuenda kasi.
“Kwa nini wahiyaji kuniaua?”
“Ukiwakamata nina imani wana weza kukueleza ni kwa nini wana hitaji kukuua”
Mlango ukagongwa na sekretari akaingia ndani hapo.
“Muheshimiwa wageni wamesha fika”
“Wakaribishe ndani. Kijana nina kuomba unisubirie bado sija maliza na wewe”
“Sawa”
Evans akatoka ndani hapo na akapishana mlangoni na wanajeshi wawili wa Kimarekani ambao wame valia kombati za jeshi la nchi hiyo.
“Habari muheshimiwa raisi”
“Salama karibuni sana Tanzania”
“Tuna shukuru sana muheshimiwa. Pole sana kwa matatizo”
“Tunashukuru”
Evans akamfwata sekretari wa makamu wa raisi.
“Samahani dada”
“Bila samahani?”
“Hawa wanajeshi wametoka wapi?”
“Marekani?”
“Aha…una jua kwamba wame kuja kufanya nini?”
“Samahani kaka hizo ni ishu za kiserikali hivyo sipaswi kumuambia mtu yoyote”
“Ahaa….una jua mimi na muheshimiwa ni watu ambao tuna saidiana sana kwenye mambo mengi hivyo sio mbaya nikafahamu”
“Kaka samahani siwezi kuzungumza chochote.”
“Habari yako dada. Nina hitaji kumuona muheshimiwa raisi”
Sauti hiyo ikamfanya Evans kugeuka nyuma na kukutana na sura ya bwana Frenando Machete aliye valia ndevu za bandia huku kifuani mwake akiwa amening’iniza kitambulisho kinacho muonyesha kwamba yeye ni mfanyakazi wa shirika la umoja wa mataifa linalo fanya kazi ulimwenguni pote.


ITAENDELEA


Haya sasa, bwana Franando Machete ameingia ikulu, je ata muua makamu wa raisi bwana Madenge Jr ikiwa ni kazi aliyo pewa? Usikose sehemu ya 134.
 
SIN 134


Muandishi…………………………………………….EDDAZARIA G.MSULWA(G.Authour)


Age ……………………………………………………18+


Simu………………………………………………… 0657072588(whatsapp) au 0768516188



ILIPOISHIA


“Marekani?”
“Aha…una jua kwamba wame kuja kufanya nini?”
“Samahani kaka hizo ni ishu za kiserikali hivyo sipaswi kumuambia mtu yoyote”
“Ahaa….una jua mimi na muheshimiwa ni watu ambao tuna saidiana sana kwenye mambo mengi hivyo sio mbaya nikafahamu”
“Kaka samahani siwezi kuzungumza chochote.”
“Habari yako dada. Nina hitaji kumuona muheshimiwa raisi”
Sauti hiyo ikamfanya Evans kugeuka nyuma na kukutana na sura ya bwana Frenando Machete aliye valia ndevu za bandia huku kifuani mwake akiwa amening’iniza kitambulisho kinacho muonyesha kwamba yeye ni mfanyakazi wa shirika la umoja wa mataifa linalo fanya kazi ulimwenguni pote.





ENDELEA


“Ahaa samahani una miahadi naye?”
“Hapana ila ni muhimu”
“Naomba kitambulisho chako”
Mr Machete akavua kitambulisho hicho na kumkabidhi sekretari huyo. Sekretari akaingiza namba ya kitambulisho hicho na baada ya muda sekunde kadhaa taarifa za mr Machete zikatokea kwenye computer yake. Taarifa zina onyesha kwamba yeye ni mkurugenzi msaidizi wa shirika hilo la UN kwa upande wa Afrika Mashariki.


“Makamu wa raisi kwa sasa ana wageni ila ninge omba uweze kumsubiria kama huto jali”
“Sawa sawa”
“Karibu ukae pale. Una hitaji nikupatie kinywaji gani?”
“Kahawa tafadhali”
“Sawa. Kaka nawe nisubirie pale nikuletee kinywaji gani?”
“Maji ya kunywa?”
“Baridi au moto?”
“Nahitaji ya baridi”
Sekretari huyo akaondoka eneo hilo na kuwaacha Evans na bwana Machete ambaye masaa mawili yaliyo pita aliweza kukutana na mdukuzi(hakers) ambaye mara nyingi huwa ana fanya kazi naye za kufoji vyeti vya mashirika mbalimbali ya usalama na mashirika makubwa. Hata hicho kitambulisho alicho pewa ni feki japo sio rahisi kwa mtu kuweza kugundua na taarifa zake ni ngumu sana kwa mtu kuelewa kwamba ni feki. Sekretari akawaletea kila mmoja kinywaji chake.
“Shukrani”
Bwana Machete alizungumza huku akianza kunya kahawa hiyo. Baada ya dakika ishirini na tano wanajeshi hao walio fanya mazungumzo na makamu wa raisi wakatoka huku wakiwa wameongozana na maakamu wa raisi. Wakaagana mbele ya Evans na bwana Machete.
“Kijana njoo”
Evans akasimama na kumfwata bwana Madenge ofisini kwake.
“Ehee una taka kuniambia kwamba hao ulio wataja ndio wana hitaji kunia mimi?”
“Ndio muheshimiwa?”
“Una weza kuniambia sababu zao wao kutaka kunia?”
“Sija jua, ila muheshimiwa sio kila anaye hitaji kumuua mtu ana kuwa sababu. Wewe mwenyewe una weza kuhushudia jinsi wana Dar es Salaam wengi walivyo kufa, je walikuwa na sababu ya wao kuuwawa?”
“Hapana”
“Basi tambua hilo”
“Wewe una nishauri nini?”
Sekretari akaingia ofisini hapo.


“Sahamani muheshimiwa kama nita kuwa nime kuvunjia mazungumzo yako”
“Bila samahani”
“Aliyopo hapo nje kwenye kiti ana itwa Fredy Martin ana ni director msaidizi kutoka UN ana hitaji kuzungumza nawe ni jambo la muhimu sana”
“Ohoo basi muambie aingie. Wewe Evans nenda nita jua nini cha kufanya”
“Nina shukuru sana muheshimiwa”
“Haya”
Evans akatoka ndani hapo huku akiwa na furaha sana moyoni mwake akiamini kwamba tayari amesha maliza kazi ya kuwagonganisha maadui zake na makamu wa raisi ambaye ana onekana kuamini kila jambo analo mueleza. Bwana Machete akaingia ndani hapo na wakasalimiana na makamu wa raisi.


“Karibu sana bwana Fredy”
“Nashukuru sana muheshimiwa makamu wa raisi. Poleni sana kwa matatizo yaliyo tokea?”
“Tunashukuru sana. Tuna endelea kulijenga jiji letu upya”
“Ni kweli”
“Ni nini kime kuleta ofisini kwangu bwana Fredy Martin”
Bwana Machete akamtazama makamu wa raisi bwana Madenge kwa muda kisha akatabasamu kwa maana ana uwezo wa kufanya jambo lolote hususani la kumuua akiwa hapo hapo ndani ya ikulu. Ila ulinzi alio kutana nao nje ya ikulu hakika una weza kumuweka katika mazingira magumu sana ya kushindwa kutoka ikulu hapo pamoja na nje ya nchi ya Tanzania.


“Nime kuja kuzungumzia juu ya msaada ambao tuna hitaji kuutoa kwenye serikali yako kwa haya majanga yaliyo tokea hususani kwa wananchi walio poteza makazi yao. Viongo na wengine kufariki kabisa. Hivyo kama uta kubaliana na ofisi yangu basi tuna weza kukusaidia katika hilo?”
“Nipo tayari na milango ya nchi yangu ipo wazi kabisa kuwakaribisha kuhakikisha kwamba tuna shirikiana kwa pamoja kuisimamisha nchi kwa wakati mwengine kwa maana jiji hili ndio kitovu kikuu cha biashara hapa Tanzania”
“Basi hakuna shaka muheshimiwa. Nita rudisha majibu ofisini kwangu kisha tuta kuja kujadili ni maeneo gani ambayo kama serikali yako ita hitaji tuuweze kuchukua nafasi ya kukusaidia”
“Sawa nipende kuwashukuru sana kwa uwepo wenu”
“Sawa muheshimiwa”


Mr Machete kabla ya kunyanyuka kwenye kiti hicho akaingiza mkono wake mukoni na kufasua pati yenye sumu inayo weza kumuua mtu ndani ya dakika ishirini na tano. Sumu hiyo iliyo katika kmfumo wa mafuta malaini na endapo mtu akiguswa na mafuta hayo basi ana uwezo mkubwa sana wa kufa ndani ya muda mchache. Mr Machet alipo hakikisha kwamba amajipaka vizuri kiganja chake mafuta hayo. Akautoa kisha akasimama, huku tabasamu likiwa ni pana sana uosni mwake.


“Muheshimiwa mimi acha niende na shukrani sana kwa ukarimu wako”
Makamu wa raisi pasipo kufahamu chochote akapena mkono na bwana Machete. Kisha wakatoka nje ya ofisi hiyo na wakaagana tena mbele ya sekretari pamoja na wana usalama wawili waliopo eneo hilo.


“Liliy”
“Ndio muheshimiwa”
“Nahitaji kupumzika sasa hivi sinto hitaji mgeni yoyote hata awe wa muhimu”
“Sawa muheshimiwa”
Makamu wa raisi akarudi ndani ya ofisi yake na kujilaza kwenye sofa huku akijaribu kutafakari ni kitu gania mbacho ana weza kukifana ili kuhakikisha kwamba ana fwata ushari alio pewa na Evans. Mr Machete mara baada ya kuingia kwenye gari lake lenye namba za UN pamoja na nembo ya shirika hilo. Akatoa sindano pamoja na kichupa kidogo, kwa haraka akavuta dawa ambayo ina uwezo wa kuua makali ya sumu hiyo ndani ya dakika kadhaa. Akajichoma mkono wake wa kushoto dawa hiyo na taratibu akaanza kujihisi unafuu kwa maana tayari mwili wake ulisha anza kuvunjwa na jasho jingi ikiwa ndio dalili ya kwanza kabisa yaletwayo na sumu hiyo. Akawasha gari lake na kuondoka eneo hilo la ikulu pasipo kutiliwa mashaka ya aina yoyote.


“Sanga”
“Ndio”
“Nina ondoka kazi yako tayari”
Bwana Machete alizungumza kwa kutumia simu yake ya mkononi.
“Kweli?”
“Ndio baada ya muda uta pata majibu”
“Ila ndugu yangu si ungekuja tuonane kidogo?”
“Hapana naamini una jua uhatari wa hii kazi hivyo sinto weza kukaa nchini kwa sasa. Tuwasiliana nikifika kiwanja cha ndege”
“Sawa bwana nikuingizie pesa kwenye akaunti ipi?”
“Ile unayo niingizia”
“Sawa nafanya hivyo muda si mredu”
“Nashukuru”


Bwana Machete akakata simu na kuendeleea kuliendesha gari hilo kwa mwendo wa kasi kuhakikisha ana toka jiji la Dar es Salaam kabala ya mambo hayajawa mabaya kwa upande wake.


***


Kila dakika zinavyo zidi kwenda bwana Madenga akaanza kujihisi hali ya utofauti ambayo hakika hakuwahi kuipata toka kuzaliwa kwake. Jasho jingi likazidi kumtiririka mwilini mwake japo kuwa ndani ya ofisi yake kuna IC yenye ubaridi mkali.
“Lily”
Bwana Madenge aliita kwa tabu sana huku akihisi kizunguzungu kikali sana.
“Lily….”
“Huyo anaye ita ni bosi?”
Lily aliwauliza walinzi hao ambao hawakuhitaji kujishauri mara mbili wakafungua mlango huo na kumkuta bwana Madenge akiwa anajaribu kunyanyuka ila ana shindwa.
“Muheshimiwa una nini?”
Lily aliuliza huku akiwa amejawa na wasiwasi mkubwa.
“Hata sijui najisikia vibaya sana”
Lily na walinzi hao wakaanza kushangazwa na jinsi makamu wa raisi anavyo mwagikwa na machozi yaliyo changayikana na damu.


“Mungu wangu”
Lily aliweweseka kwa haraka, daktari wa ikulu akafika eneo hilo na kuanza kumpima makamu wa raisi ambaye hali yake ina zidi kuwa mbaya.


“Ina bidi tumuwahishe Muhimbili haraka iwezekanavyo”
Daktari alizungumza na wakapiga simu kwenye kitengo kinacho husika na usafiri wa anga ambao ni helicopter ya raisi. Kitanda cha magurumu kikaletwa ofisini hapo, wakamlaza bwana Madenge na wakaanza kumsukuma huku daktari akijaribu kutoa huduma ya kwanza.


“Moja mbili tatu”
Walinzi hao walihesabu na kukikanyanyua kitanda hicho na kukiingiza ndani ya helicopter hiyo kubwa. Yenye uwezo wa kubeba watu kumi na tano. Safari ya kuelekea hospitali ya Muhimbili ikaendelea huku hali ya bwana Madenge Jr ikizid kuwa mbaya kwani sasa damu zilianza kumtoka hadi masikioni. Wakapokelewa hospitali ya Muhimbili na moja kwa moja wakampeleka bwana Madenge katika chumba maalumu cha matibabu. Madaktari waakaanza kumuwekea mashinde za kumsaidia kuhema, ila kabla hata hawajaanza matibabu bwana Madenge Jr akaaga dunia.


Madaktari sita waliomo ndani ya chumba hicho wakatazamana huku kila mmoja akiwa na wasiwasi mkubwa. Kitendo cha viongozi wawili wakubwa wa taifa kufariki ndani ya wiki moja ni jambo baya sana kwa taifa.


“Toka nianze maisha yangu ya udaktari huu ni mwaka wa thelathini ila sijawahi kuona ugonjwa kama huu”


Daktari mkuuwa kikosi hicho alizungumza huku akiwatazama wezake
“Au ni Ebola?”
“Hapana sio Ebola, hembu chukueni vipimo vya damu yake ili tuweze kufahamu ni kitu gani kime muua. Ila taarifa hii ya kifo musiizungumze kwa mtu yoyote hadi pale tutakapo pata mtu sahihi wa kumueleza hili”
“Sawa dokta”
Dokta Emanuel ambaye ndio mkuu wa kikosi hicho akatoka ndani hapo na kukuatana na Lilian pamoja na walinzi walio mleta makamu wa raisi eneo hilo.


“Daktari hali ya muheshimiwa ina endeleaje?”


Lilian aliuliza huku akiwa amajawa na mashaka mengi sana.
“Ahaa kwa sasa tuna endelea kumshulikia tuta wapa ripoti yake muda sio mrefu”
“Sawa dokta”


“Ahha muna weza kuwasiliana na waziri mkuu?”
“Ndio”
“Basi wasiliana naye ili aweze kufika hapa hospitalini”
“Sawa doctor”


Lilian akawasilina na waziri mkuu na akaahidi atafika hospitalini hapo baada ya nusu saa.


***


Josephine akazidi kusali hukua kiwa amepiga magoti pembezoni mwa kitanda alicho lazwa raisi Mtenzi. Gafla hali ya chumba ikaanza kubadilika na joto kali likaanza kutawala. Josephine hakutishwa na hali hiyo zaidi alicho zidi kukifanya ni kuhakikisha kwamba ana endelea kusali kwa juhudi zake zote. Gafla akastuka akishikwa mkono wake na kujikuta akifumbau mcho yake huku akiwa amejawa na woga mwingi sana.


Macho yake yakagongana na macho ya raisi Mtenzi.


“Hei”
Raisi Mtenzi aliita kwa sauti ndogo na iliyo jaa unyonge mwingi sana. Tabasamu pana likamtawala Josephine usni mwake, akatamani kupiga yowe ala furaha ila akakumbuka kwamba pasipo kumshukuru Mungu kwa muujiza huo basi mambo yana weza kuharibika.


“Asante Mungu baba, asante Jehova, nime ona ukuu wako, nimeona nguvu zako. Hakika jina lako lihimidiwe”


Josephine alizungumza huku machozi yakimwagika sana usoni mwake.


“Nipo wapi binti?”
“Upo nyumbani kwa rafiki yangu. Mimi nina itwa Josephine ni mtumishi wa Mungu”
Raisi Mtenzi akaanza kuangaza angaza ndani ya chumba hicho. Akajitazama mwilini mwake na kujikuta akiwa amefunikwa shuka huku akiwa amevalishwa mavazi ya hospitalini.


“Karibu tena duniani muheshimiwa”
“Nashukuru. Ume sema una itwa nani?”
“Josphine”
“Nime fikaje fikaje hapa”
“Muheshimiw ani historia ndefu sana. Ila sifa zote tumrudishie Mungu kwa maana yeye ndio aliye tupa nafasi nyingine ya kukurudisha duniani”
“Kwani nilikuwa nime kufa?”
“Hapana muheshimiwa ila ulikuwa ume karibia kufa”
Raisi Mtenzi akajikuta machozi yakimwagika, akazidi kukishika kiganja cha mkono cha Josephine kwa msisitizo.
“Nina shukuru sana binti”
“Usinishukuru mimi muheshimiwa. Sifa zote ni kwa Mungu”
“Ni kweli naomba uniitie mke wangu. Nahitaji kuzungumza naye”
Kauli hiyo ya raisi Mtenzi ikamfanya Josephine kupatwa na kigugumizi kwa maana ana tambua wazi, mrs Mtenzi kwa sasa ni marehemu na endapo ata mueleza juu ya ukweli huo basi ina weza kumletea matatizo makubwa raisi Mtenzi.


ITAENDELEA


Haya sasa, haya sasa makamuw a raisi amefariki na raisi Mtenzi amerudi katika ubora wake je akitambua kwamba mke wake amefariki dunia kutokana na shambulizi la Al-Shabab ata fanya nini? Usikose sehemu ya 135.
 
SIN 135


Muandishi…………………………………………….EDDAZARIA G.MSULWA(G.Authour)


Age ……………………………………………………18+


Simu………………………………………………… 0657072588(whatsapp) au 0768516188





ILIPOISHIA


“Muheshimiw ani historia ndefu sana. Ila sifa zote tumrudishie Mungu kwa maana yeye ndio aliye tupa nafasi nyingine ya kukurudisha duniani”
“Kwani nilikuwa nime kufa?”
“Hapana muheshimiwa ila ulikuwa ume karibia kufa”
Raisi Mtenzi akajikuta machozi yakimwagika, akazidi kukishika kiganja cha mkono cha Josephine kwa msisitizo.
“Nina shukuru sana binti”
“Usinishukuru mimi muheshimiwa. Sifa zote ni kwa Mungu”
“Ni kweli naomba uniitie mke wangu. Nahitaji kuzungumza naye”
Kauli hiyo ya raisi Mtenzi ikamfanya Josephine kupatwa na kigugumizi kwa maana ana tambua wazi, mrs Mtenzi kwa sasa ni marehemu na endapo ata mueleza juu ya ukweli huo basi ina weza kumletea matatizo makubwa raisi Mtenzi.





ENDELEA


“Ahaa muheshimiwa kwa sasa pumzika kwanza. Acha nikuletee chakula”
Josephine alizungumza kwa furaha kisha akanyanyuka na kutoka ndani hapo.
“Vipi?”
Magreth aliuliza kwa msutuko mara baada ya kumuona Josephine akiwa sebleni hapo.
“Amepona. Muheshimiwa amepona”
Juma, Magreth na dokta Masawe wakajawa na furaha kubwa huku kila mmoja akiwa na shahuku ya kutaka kumuona dokta Masawe akawa wa kwanza kuingia ndani hapo.
“Muheshimiwa raisi”
Dokta Masawe alizungumza huku akiwa amejawa na tabasamu pana sana usoni mwake.


“Masawe”
“Ndio muheshimiwa. Unajisikiaje?”
Magreth na Juma nao wakaingia ndani happ na kumfanya raisi Mtenzi kushangaa.
“Nyinyi ni kina nani?”
Raisi Mtenzi alizungumza na kumfanya dokta Masawe kumtazama Magreth.
“Muheshimiwa mimi nina itwa Magreth, Ni mfanyabishara wa daraja la kawaida. Hapa ni nyumbani kwangu. Huyu ni Juma ni mfanyakazi wangu na huyu ni dokta Masawe”
“Masawe mimi nina mfahamu. Familia yangu ipo wapi?”
“Nampigia simu Jery aweze kufika hapa kwa maana nina namba yake”
“Hapa ni wapi?”
“Kigamboni muheshimiwa?”
“Kwa nini sipo ikulu?”
“Ni stori ndefu muheshimiwa ila tuna omba muheshimiw aniwasiliane na Jery kisha tuta zungumza kwa kina”
Magreth alizungumza, akaitoa simu yake mfukoni, kabla hata hajampigia Jery akasikia kengele ya getini kwake ikiita. Akaingia upande wa cctv kamera ambazo ana weza kuzitazama popote alipo kupitia simu yake ya mkononi. Akamuona Jery akiwa amesimama getini kwake.


“Jery amesha fika hapa”
Josephine alizungumza na akatoka ndani hapo. Akafungua geti na kusalimiana na Jery.


“Ume kuja peke yako?”
“Ndio”
Jery akaingiza gari hilo alilo kuja nalo.
“Vipi hali ya baba?”
“Amezinduka?”
“Kweli?”
“Ndio”
Jery kwa haraka haraka akaongoza njia na kuingia ndani ya chumba alichopo baba yake. Hakuamini macho yake kumuona baba yake akiwa amekaa kitako kitandani hapo. Akamfwata na kumkumbatia, huku akimwagikwa na machozi.
“Hei hei, Jery vipi mbona un alia”
Magreth akatoa ishara kwa Juma na dokta Masawe na wakatoka ndani hapo ili kuwapa nafasi Jery na baba yake kuzungumza.


“Baba hali yako haikuwa nzuri kabisa”
“Usijali mwanangu. Mungu amenisaidia nime weza kupona. Vipi hali ya mama yako?”
Jery akamtazama baba yake kwa sekunde kadhaa kisha machozi yakazidi kumbubujika. Ishara hiyo ikamdhihirishia raisi Mtenzi kwamba hakuna usalama kwa mke wake.
“Niambie ni nini kime mkuta mama yako?”
“Mama…..aa…..amamaa hayupo naye tena duniani”
Raisi Mtenzi akajawa na mshangao kama wa dakika tano, hakupepesa kabisa macho yake. Kity alicho kikumbuka siku ya harusi, alimuaga mke wake na kumuacha akiwa na wageni kisha yeye akaelekea gorofa ya juu walipo Jery na mke wake.
“Babab”
“Mmmm”
Raisi Mtenzi alistuka kidogo huku akimtazama Jery usoni mwake.
“Ni lazima baba ulipe katika hili”
“Lipi?”
“Kufa kwa mama”
Raisi Mtenzi hakujibu kitu chochote zaidi ya kuendelea kumuwaza mke wake huku machozi yakiendelea kumwagika kwa wingi usoni mwake.


***


Waziri mkuu akafika katika hospitali ya Muhimbili moja kwa moja akelekea katika ofisi ya dokta Emmanuel.


“Heshima yako mkuu”
“Nashukuru “
“Hembu niambie kuhusiana na hali ya makamu wa raisi bwana Madenge”
Dokta Emmanuel taratibu akashusha pumzi huku akimtazama waziri mkuu usoni mwake.
“Makamu wa raisi amefariki duninia?”
“NINI!!?”
“Ndio amefariki dunia”
“Kivipi ikiwa leo asubuhi alikuwa ofisini kwake na ana fanya kazi zake akiwa na afya nzuri”
Waziri Mkuu aliuliza kwa msisitizo mkubwa sana.
“Sijajua muheshimiwa ila tuna ufanyia vipimo mwili wake kisha baada ya hapo tuta kuwa na majibu kamili”
Waziri Mkuu akahisi kuchanganyikiwa, matatizo yame kuwa yakiwaandama viongozi wake wa ngazi za juu”
Mlango uka gongwa na dokta Emmanuel akamruhusu mtu huyo kuingia ndani. Akaingia daktari msaidizi.
“Muheshimiwa ripoti ya majibu haya hapa”
Dokta Emmanuel akachukua faili hilo haraka haraka na kulifungu. Akaanza kusoma maelezo hayo na kujikuta macho yakimtoka.
“Nini?”
“Ina onyesha kwamba makamu wa raisi aligusa sumu kali sana ambayo ilimshambulia kwa kasi ya ajabu sana na kuepekea umauti wake.”
“Hiyo sumu aliisusia wapi?”
“Hata mimi sifahamu muheshimiwa ila inaonyesha alishika sumu ambayo kwa kweli ndio mara yangu ya kwanza nime ishuhudia katia uuwaji ule”
“Ehhee Mungu mbona yanatokea sasa hivi”
“Ni pigo jengine kwa taifa”
“Hembu kanionyesheni mwili wake”
“Sawa muheshimiwa”
Wakatoka ofisini hapo na kuelekea katika chumba cha matibabu kwa maana bado mwili wa makamu wa raisi haujatolewa ndani hapo. Dokta Emmaunuel akalifunua shuka hilo eneo la sura ya makamu wa raisi. Waziri mkuu akajikuta akifumba macho kwani mwili wa makamu waraisi ume anza kuharibika.
“Kwa nini mwili wake ume anza kuharibika haraka kiasi hicho?”
“Hii sumu muheshimiwa kwa hapa Tanzania sijawahi kuina wala kuisikia na wala sifahamamu ina itwaje”
“Hamuna sindano ambayo ina weza kumsaidia kuto kuharibika kwa mwili wake?””
“Hapana muheshimiwa”
“Basi acha nilitangazie taifa na pia mazishi yake yaandaliwe haraka iwezekanavyo. Upelekeni mwili wake mochwari”
“Sawa muheshimiwa”
Waziri mkuu akatoka ndani hapo, akamtazama sektretari wa makamu wa raisi.
“Binti”
“Ndio muheshimiwa”
“Rudi ikulu uka niandalie mkutano na waandishi wa habri”
“Sawa muheshimiwa. Ila vipi hali ya makamu wa raisi?”
“Tuta waambia”
“Sawa”
Lily akaondoka hospitalini nabaadhi ya walinzi kwa kutumia helicopter ya raisi. Huku njiani akiwa na kazi ya kuwataarifu waandishi wa habari waweze kufika ikullu ndani ya muda huo.


“Kuna habari mbaya”
Waziri mkuu alimuambia mlinzi wake.
“Habari gani mkuu?”
“Makamu wa raisi ame fariki”
“Mungu wangu?”
“Ndio,amekufa kwa kushika sumu hivyo hatujui huiyo sumu ameweza kuishikia wapi.”
“Sasa uta fanyaje muheshimiwa?”
“Hata sifahamu”
“Muheshimiwa wewe sasa hivi kutokana na katiba ya jamuhuri ya muungano wa Tanzania, wewe ndio raisi wa nchi”
Makamu wa raisi akashusha pumzi huku akimtazama kijana wake huyo.
“Illa kumbuka kwamba oparesheni ya kumtafuta raisi bado haijakwisha”
“Ni kweli, ila nchi haiwezi kwenda bila kiongozi. Tambua wewe ndio kiongozi wa ngazi za juu uliye bakia”
“Sawa acha tuangalie”
Waziri mkuu akaondoka hospitalini hapo akiwa na msafara wake na kuelekea ikulu.
“Nahitaji kuzungumza na mtoto wa makamu wa raisi”
“Sawa muheshimiwa. Acha nimpigie”
Msaidizi wake akampigia simu kijana huyo mwenye umri wa miaka ishirini na tano kisha akamkabidhi simu waziri mkuu.


“Ibra una zungumza na waziri mkuu hapa”
“Shikamoo muheshimiwa”
“Marahaba upo wapi?”
“Ahaa nipo Mbezi Beach nyumbani huku”
“Una weza kuja Ikulu muda huu”
“Ndio muheshimiwa”
“Basi njoo nina kusubiria”
“Hakuna shaka”


Waziri mkuu akakata simu na kumrudishia mlinzi wake. Wakfika ikulu na kukuta waandishi wa habari tayari wamesha kusanyika katika chumba cha habari. Waziri mkuu akamsubiria Ibra kufika hapo ikulu.
“Nashukuru kwa kuja”
“Nashukuru, najiribu kupiga namba ya mzee ila nina ona ime zimwa vipi yupo bize?”
“Hapana, kuna jambo nina hitaji kuzungumza nawe”


Waziri mkuu alizungumza kwa sautu ya upole.
“Nakusikiliza muheshimiwa”
“Baba yak oleo aliweza kushika sumu kali sana ambayo ilimpelekea kufariki duniani”
Ibra macho yakamtoka kisha akajikuta akitabasamu.
“Haupo serious muheshimiwa. Ashike sumu alafu afe pasipo kuila”
“Ni jambo la ukweli. Nimeona nikueleze wewe kabla sija kwenda kuzungumza na waandishi wa habari juu ya kifo cha mzee wako”
Ibra machozi yakaanza kumlenga lenga kwani leo asubuhi alizungumza na baba yake na alimuhakikishia kwamba sherehe yake ya kuzaliwa ambayo ni kesho ata ifanya hapo ikulu.


***
Bwana Machete akafika eneo la Chalinze alipo kijana Max ambaye asilini yake ni Mrusi.
“Max nina shukuru sana kwa kunisaidia”
Mr Machete alizungumza mara baada ya kushuka kwenye gari hilo lenye nembo ya UN.
“Wewe ni ndugu yangu na nipo kwa ajili yako. Ila mpango wako ume kwenda kama vile ulivyo hitaji?”
“Ndio na nina imani kwa sasa ata kuwa amesha kuwa mwenyeji Mbinguni”
“Safi sana nina imani kwamba ume ua kiprofessional?”
“Yaa sijawahi kukosea kazi yangu. Sasa nisaidie kufika CIA, si una fahamu kwamba siwezi kutumia gari hili”
Mr Machete alizungumza huku akibadua ndevu zake za bandia.
“Usijali acha nijiandea ili nikupeleke”
“Sawa”
Max akajiandaa haraka haraka, akachukua funguo ya gari yake aina ya Ford Ranger na kuondoka eneo hilo kwa mwendo wa kasi, wakiwa njiani hawakushangazwa kwa taarifa ya kifo cha makamu wa raisi kinacho tangazwa na waziri mkuu.


“Kazi nzuri sana kaka”
“Nashukuru”
Simu ya mr Machete ikaanza kuita, akaitazama na kukuta ni namba ya nabii Sanga.


“Upo very smart”
“Nashukuru bosi”
“Muamala wako tayari nina subiri uwe approved”
“Nashukuru sana boss”
“Safari nje”
“Nawe pia”
Mr Machete akakta simu na kumtazama Max anaye endesha gari hilo.
“Nita kuingizia asilimia ishirini ya kiasi nilicho pata”
“Shukrani kaka”
***


“Ni nini kime tokea?”
Magreth aliuliza huku wote wanne wakishangaa habari juu ya kifo cha makamu wa raisi, kwani ni mtu ambaye ni adui yao na Magreth alipanga kumuua ila mpango wake ume weza kuwahiwa na mtu asiye mfahamu hadi sasa.
ITAENDELEA


Haya sasa, pigo jengine kwa taifa la Tanzania lime tokea, je wata fanikiwa kujua siri ya muhisika wa kifo cha makamu wa raisi? Usikose sehemu ya 136.
 
SIN 136


Muandishi…………………………………………….EDDAZARIA G.MSULWA(G.Authour)


Age ……………………………………………………18+


Simu………………………………………………… 0657072588(whatsapp) au 0768516188






ILIPOISHIA


“Nawe pia”
Mr Machete akakta simu na kumtazama Max anaye endesha gari hilo.
“Nita kuingizia asilimia ishirini ya kiasi nilicho pata”
“Shukrani kaka”
***


“Ni nini kime tokea?”
Magreth aliuliza huku wote wanne wakishangaa habari juu ya kifo cha makamu wa raisi, kwani ni mtu ambaye ni adui yao na Magreth alipanga kumuua ila mpango wake ume weza kuwahiwa na mtu asiye mfahamu hadi sasa.


ENDELEA


“Hata mimi sifahamu nini kime tokea”
Juma alijibu kwa sauti ya upole huku naye akiendelea kuitazama taarifa hiyo inayo tolewa na waziri mkuu. Magreth akatoa simu yake mfukoni na akatoka ndani hapo. Akaitazama namba ya RPC Karata kisha akampigia.


“Kaka habari”
“Salama vipi hili lililo tokea wewe ndio ume husika?”
“Hapana hata mimi nilitaka kuluuliza kama wewe ndio ume lifanya?”
“Ila ngoja kwanza Mage nimekumbuka jambo”
“Jambo gani kaka?”
“Uliniambia kwamba Jery na Julieth kwamba walikuja hapo kwako?”
“Ndio na Jery yupo hapa kwangu sasa hivi na habari nzuri ni kwamba raisi amezinduka”
“Kweli?”
“Ndio”
“Basi nina kuja sasa hivi”
“Sawa”
Magreth akakata simu huku akishusha pumzi nyingi. Magreth kwa haraka akarudi ndani na moja kwa moja akaelekea katika chumba alipo Jery na baba yake.
“Samahani Jery tuna weza kuzungumza mara moja?”
Magreth alizungumza huku akimtazama Jery usoni mwake. Taratibu Jery akanyanyuka na wakaelekea sebleni.”
“Makamu wa raisi amefariki leo, je unatambua juu ya kifo chake?”
Jery macho yakamtoka, akamtazama Magreth kisha akamsikiliza waziri mkuu anaye endelea kuhutubia taifa juu ya kifo cha makamu wa raisi.
“Kuna nini kinacho endelea?”
Kila mtu akamgeukia raisi Mtenzi alite fika hapo sebeni pasipo mtu yoyote kumuona.


“Ahaa baba kuna….kuna taarifa kidogo una weza kurudi ndani mara moja”
“Muheshimiwa chakula kipo tayari”
Josephine alizungumza mara baada na yeye kufika sebleni hapo. Raisi Mtenzi akaendelea kuisikiliza taarifa hiyo huku machungu yakiendelea kumjaa moyoni mwake kwani rafiki yake na aliye muamini sana bwana Madenge ame fariki dunia. Magreth akatoka sebleni hapo mara baada ya kusikia kengele ya getini kugongwa. Akafungua geti na RPC Karata akaingia huku akiwa ameongozana na vijana sita wa kitengo cha kutuliza ghasia, FFU.


“Imarisheni ulinzi”
“Sawa mkuu”
Wakaingia sebleni, RPC Karata akasimama kwa sekunde kadhaa huku akiwa amejawa na tabasamu.


“Muheshimiwa”
Taratibu raisi Mtenzi akageuka na kumtazama RPC Karata.
“Karata”
“Ndio muheshimiwa”
“Una fahamu ni nani aliye husika na kifo cha makamu wa raisi?”
“Hapana muheshimiwa kifo chake kime tokea galfa tu na ina sadikika alishika sumu”
“Sumu ya aina gani?”
“Hata mimi sifahamu muheshimiwa”
“Ahaa baba makamu wa raisi sio mtu wa kumuamini kabisa”
“Kwa nini?”
“Alihitaji kukuua ndio maana hivi sasa upo hapa”
Jery alizungumza kwa kujiamini sana.


“Hapana Madenge hawezi kufanya kitu kama hicho. Nirafiki yangu na tumeshirikiana katika mambo mengi sana. Hawezi kufanya jambo kama hilo”
“Ni kweli muheshimiwa. Mimi ndio niliye kutorosha kutoka hospitali ya muhimbili mara baada ya makamu wa raisi kumtuma dokta ili akuchome sindano ya sumu ili ufie usingizini.”
“Niliye agizwa kutekeleza jambo hilo ni mimi hapa muheshimiwa. Ila nilishindwa kutekeleza hilo jambo na aliniahidi kunipa pesa milioni mia moja pamoja na kunipandisha cheo”
“Nilionyeshwa maono juu ya kifo chako muheshimiwa ndio maana nilimshikirisha ndugu yangu ili tuweze kukuokoa kutoka katika janga hilo”
Raisi Mtenzi akajikuta akikaa kwenye moja wapo ya sofa huku akiwatazama watu hao walipo ndani ya sebleni hiyo.
“Kwa nini alihitaji kuniua”
“Alihitaji madaraka ya uraisi na aliagiza watu wake wakutafute na endapo wata kupata basi wakuue”
“Karata una amini maneno yao hawa watu?”
“Ndio muheshimiwa. Ushahidi huu hapa”
RPC Karata akatoa simu yake mfukoni na kumuwekea raisi Mtenzi mazungumzo ya mwisho ya mlinzi wa karibu wa makamu wa raisi, akikiri kwamba makamu wa raisi alihitaji kumuua raisi Mtenzi.
“Mshenzi sana huyu”
Raisi Mtenzi alizungumza kwa hasira.
“Nahitaji kurudi ikulu sasa hivi”
“Sawa muheshimiwa. Nime kuja na vijana wa ulinzi nina imani kwamba tuta imarisha ulinzi”
“Ila nahitaji kujua ni nani ambaye amehusika katika kumuua makamu wa raisi”
“Ni mimi hapa baba”
Jery alizungumza kwa sauti ya upole huku akimtazama baba yake.
“Nini?”
“Ni mimi hapa baba.”


Jery aliendelea kusisitiza na kuwafanya watu wote ndani hapo kushangaa.
“Hivi una tambua ni jambo gani ume lifanya wewe?”
Raisi Mtenzi alizungumza kwa kufoka sana.
“Nimefanya kwa ajili ya familia yangu. Kukulinda wewe na mimi pia, alihitaji kunia alitaka kukuua nini ulihisi mimi nita fanya. Ulishitaji nisubirie aniue au akuue kabisa ndio nilipize kisasi”
Jery alizungumza kwa kufoka huku akimkazia macho baba yake.
“Chunga kinywa chako Jery. Tambua una zungumza na baba yako na sio mke wako umenielewa?”
“Nisamehe kwa kufoka ila nimefanya kile nilicho ona ni jambo jema kwa ajili ya familia yangu”


Jery alizungumza kwa sauti ya upole na kumfanya raisi Mtenzi kuwatazama watu wote waliomo ndani hapo.
“Nina waomba siri hii isiweze kutoka.”
Raisi Mtenzi alizungumza kwa sauti ya hekima.


“Haito weza kutoka muheshimiwa”
“Samahani muheshimiwa. Kabla huja rudi Ikulu nina kuomba uweze kula chakula nilicho kuandalia”
“Sawa”
Josephine akamletea raisi Mtenzi chakula hicho na taratibu akaanza kula.
“Mmmmm ni kitamu”
“Nashukuru”
“Nina kumbuka mama yangu ndio alikuwa akinipikia hichi chakula”
Josephine akatabasamu kwa furaha. Raisi Mtenzi akaendelea kula chakula hicho ambacho ni mchanganyiko wa viazi lilivyo pondwa, ndizo zilizo pondwa pamoja na nyama ya kusaga.
“Uliniambia una itwa nani binti?”
“Josephine”
“Una fanya kazi gani?”
“Mimi ni mtu ambaye nime barikiwa kupewa uwezo wa kuona mambo yajayo na ambayo yamefichika”
“Mambo yajayo?”
“Ndio”
“Moja wapo ni lipi?”
“Mimi na ndugu yangu pamoja na rafiki yetu mmoja ndio tulikuwa ni watu tulio sambaza habari kwenye mitandao ya kijamii kwamba watu waondoke jiji la Dar es Salaam kwa maana harusi ya mwanao ni batili”
“Ahaa sasa nime pata picha kumbe ndio nyinyi?”
“Ndio muheshimiwa ila tusamehe kwa hilo kwa maana tume fanya hivyo ili kuyaokoa maisha ya watu”
“Sasa ni kwa nini musinge kuja ikulu na kutupa taarifa hiyo?”
“Tusinge amininika muheshimiwa na wala tusinge pata nafasi hiyo kwako”


“Tuyaacha hayo ila niwashukuru sana kwa kunisaidia kutoka mikononi mwa mtu ambaye alinigeuka”
“Tuna shukuru pia muheshimiwa”
“Pia muheshimiwa hawa ndio waliweza kutuonyesha ni sehemu gania mbayo ulifukiwa na kifusi na wanajeshi wakakuokoa”
RPC Karata alizungumza.


“Ahaa okay nina shukuru sana. Ngoja niende ikulu alafu nita waandalia siku ya kukutana nanyi”
“Sawa muheshimiwa”
Magreth alijibu huku akiwa amejawa na furaha. Raisi Jery akamaliza kupata chakula hicho kilicho mpa nguvu mwili wake. Akaaga na akaondoka nyumbani hapo kwa Magreth akiwa ameongozana na RPC Karata, Jery pamoja na dokta Masawe.
“Kweli Mungu ni mwema”
“Ni kweli, Jose una weza kuomba na kujua ni nani ambaye eme husika na matatizo haya yote kuanzia milipuko hadi kufa kwa makamu wa raisi?”
“Muda ukifika Mungu mwenyewe ata nionyesha”
“Sawa”
“Ahaa samahani Josephine tuna weza kuzungumza”
Juma alizungumza kwa sauti ya upole na kumfanya Magreth kuwatazama kwa sekunde kisha akaelekea chumbani kwake ili kuwapa uhuru wapendanao hao kuzungumza mambo yao ya kimahusiano.
***


Wanajeshi wote walipo katika geti la kuingia ikulu, walijikuta wakishangaa sana kumuona raisi Mtenzi akiwa ndani ya gari la RPC Karata. Wakapiga saluti na geti likafunguliwa haraka haraka. Mara baada ya gari kusimama, RPC Karata akamgeukia raisi Mtenzi aliye kaa siti ya nyuma pamoja na mwanaye Jery na dokta Masawe.
“Sijajua kama waandishi wa habari wapo au wamesha ondoka muheshimiwa. Ila kama ina weza nina kuomba uweze kusubiria ndani ya gari”
“Hakuna shaka kwa wao kunionna kwa maana mimi ndio raisi wao”
“Ila baba ulivyo vaa hayo mavazi ya hospitali sio muonekano mzuri”
“Hakuna shaka mwanangu”
Raisi Mtenzi akashuka kwenye gari na kumfanya kila mtu kushangaa. Walinzi wake wakapiga saluti huku wafanyakazi wengine wa ikulu wakisalimia kwa furaha sana.


“Karibu sana muheshimiwa”
“Nina shukuru”
Raisi Mtenzi moja kwa moja akapitiliza hadi ofisini kwake na kumkuta waziri mkuu akiwa na mkuu wa mkoa wa kizungumza.


“Muheshimiwa”
Walistuka sana mara baada ya kumuona. Wakasimama na kumsalimia kwa heshimwa, raisi Mtenzi akakitazama kiti chake, kisha akazitazama picha za familia yake hususani picha ya mke wake. Raisi Mtenzi alijikuta machozi yakimwagika huku akiwa ameishika picha ya mke wake, iliyopo katika frame nzuri.
“Nahitaji viongozi wote wa ngazi za juu za usalama waweze kufika hapa ndani ya nusu saa”
“Sawa muheshimiwa hadi wa mkoani?”
“Wa mkoani wajulisheni kwamba tuta zungumza nao kupitia oline”
“Sawa muheshimiwa”
Raisi Mtenzi mara baada ya kumuachia maagizo hayo waziri mkuu akatoka ofisini hapo na kuelekea katika nyumba anayo ishi ndani ya Ikulu. Akaingia chumbani kwake, picha za mke wake pamoja na yeye zikamfanya azidi kulia kwa uchungu.


‘Lazima walipe’


Raisi Mtenzi alizungumza kwa majonzi makubwa sana. Katika maisha yake yote hakuwahi kumlilia mtu aliye fariki, ila kifo cha mke wake kime kuwa ni pigo kubwa sana kwake.


‘Mimi ni raisi, nchi ina nihitaji mimi ni lazima nisimama imara’


Raisi Mtenzi aliendelea kujipa matumaini, akaingia bafuni, akaoga haraka haraka kisha akavalia suti nyeusi.


“Vipi baba una kwenda wapi?”
Jery aliuliza kwa mshangao mara baada ya kumuona baba yake akitoka chumbani kwake.


“Nina kikao”
“Je uta kwenda saa ngapi kuutazama mwili wa mama?”
“Mara baada ya kikao changu kumalizika.”


Raisi Mtenzi akatoka ndani hapo na kuelekea katika chmba cha mkutano. Akawakuta viongozi wa ngazi za juu wa vitengo vya usalama kuanzia polisi hadi wana usalam wa taifa wapo ndani ya ofisi hiyo. Walipo mikoni waliweza kushiriki kikao hicho cha dharura kupitia wawasiliano ya video call. Mara baada ya watu wote kusimama, raisi Mtenzi akawapa ishara ya kukaa.


“Nipeni ripoti hadi sasa hivi mume fikia wapi katika matatizo yaliyo tokea?”
“Muheshimiwa raisi, kundi lililo kiri kuhusika na milipuko hiyo ni Al-Shabab”
“Mume chukua maamuzi gani hadi sasa hivi?”
“Bado hatuja fanya maamuzi yoyote muheshimiwa”
“Kwa nini?”
“Hatukupata amri yoyote?”
“Makamu wa raisi alikuwa ana fanya nini kipindi chote ambacho mimi nilikuwa sipo?”
“Hatujui muheshimiwa raisi. Ila alilo lifanya ni kuruhusu wanajeshi wa Marekani kuweza kufika hapa nchini Tanzania”
“Wana fanya nini?”
“Malengo yao ni kujenga jiji hili la Dar es Saalam.”
“Pumbavu sana. Nina jeshi kubwa la kutosha na tuna jimudu kwa kila jambo. Sihitaji kuona mwanajeshi yoyote kutoka nchi yoyote ana kuja nchini kwangu kwa madai ya kujenga jiji jipya. Jenerali Marwa”
“Ndio muheshimiwa raisi”
“Mpigie simu mkuu wa wanajeshi hao wa Marekani na sasa hivi umuambie akusanye wanajeshi wake, vifaa vyao na warudi nchini kwao. Sihitaji kuwaona hapa nchini kwangu”
Amri hiyo ikamshangaza kila mtu kwa maana raisi Mtenzi ni rafiki wa karibu sana na raisi wa Marekeni na hata nchi hizo mbili zina ushirika mzuri sana baina yao ime kuwaje ana amua kuwafukuza.


ITAENDELEA


Haya sasa, raisi Mtenzi ame amua kufanya maamuzi magumu ya kuwafukuza wanajeshi wa Marekeni kwa nini amefanya hivyo ikiwa jiji la Dar es Salaam lina hitaji kujengwa upya? Usikose sehemu ya 137.
 
SIN 137


Muandishi…………………………………………….EDDAZARIA G.MSULWA(G.Authour)


Age ……………………………………………………18+


Simu………………………………………………… 0657072588(whatsapp) au 0768516188





ILIPOISHIA


“Malengo yao ni kujenga jiji hili la Dar es Saalam.”
“Pumbavu sana. Nina jeshi kubwa la kutosha na tuna jimudu kwa kila jambo. Sihitaji kuona mwanajeshi yoyote kutoka nchi yoyote ana kuja nchini kwangu kwa madai ya kujenga jiji jipya. Jenerali Marwa”
“Ndio muheshimiwa raisi”
“Mpigie simu mkuu wa wanajeshi hao wa Marekani na sasa hivi umuambie akusanye wanajeshi wake, vifaa vyao na warudi nchini kwao. Sihitaji kuwaona hapa nchini kwangu”
Amri hiyo ikamshangaza kila mtu kwa maana raisi Mtenzi ni rafiki wa karibu sana na raisi wa Marekeni na hata nchi hizo mbili zina ushirika mzuri sana baina yao ime kuwaje ana amua kuwafukuza.





ENDELEA


“Ila samaani muheshimiwa raisi. Makamu wa raisi alisha kubaliana na serikali ya Marekani kufanya jambo hilo.”
Mkuu wa mkoa alizungumza kwa sauti ya upole huku akimtazama raisi Mtenzi usoni mwake.
“Mimi ndio nime zungumza hivyo. Mwisho wa maelezo na hakikisheni kwamba ndani ya masaa ishirini na nne wawe wamesha ondoka nchini. Mchana mwema”
Raisi Mtenzi mara baada ya kuzungumza hivyo akanyanyuka na kuondoka kwenye ukumbi huo wa mikutano. Kila kiongozi alijawa na mshangao kwa mwenendo huo wa raisi.
“Nahisi raisi hayupo sawa”
Mkuu wa mkoa alizungumza huku akiawatazama viongozi wezake.
“Hilo ni jukumu lako, wanajeshi wamekuja ndani ya mkoa wako una masaa ishirini na nne”
Waziri wa mambo ya ndani alizungumza huku akisimama na kuondoka eneo hilo.


“Nahitaji kwenda hospitalini kuuona mwili wa mke wangu”


Raisi Mtenzi alimuambia mlinzi wake.
“Sawa muheshimiwa raisi”


Raisi Mtenzi akaondoka ikulu akiwa na walinzi wake ambao wote kwa sasa ni wapya kwani wengi wa walinzi walio kuwa wana mlinda walipoteza maisha katika mlipuko wa bomu katika hoteli waliyo fikia. Madaktari hawakuamini kumuona raisi Mtenzi akifika hospitalini hapo kwani wengi wao waliweza kuamini kwamba siku aliyo tekwa ndio simu aliyo poteza maisha yake.


“Maiti ya mke wangu ipo wapi?”
“Ipo huku muheshimiwa”
Raisi Mtenzi akaongozana na dokta Emmanuel hadi katika jengo la kuifadhi waiti. Friji lililo hifadhia mwili wa mke wake likavutwa taratibu na raisi Mtenzi, akafunua shuka lililo mfunika mke wake eneo la usoni.
“Nahitaji kuwa peke yangu”
Raisi Mtenzi alizungumza, walinzi pamoja na madaktari wakatoka ndani ya chumba hicho.na kumuacha raisi Mtenzi peke yake. Machozi yakaanza kumwagika usoni mwake. Mwanamke aliye ishi naye kwa miaka mingi, na kuvumiliana kwenye shida na raha, leo hii amelala katika eneo ambalo hakutarajia kumuona akiwa hapo.


‘Nita hakikisha nina wasalaka Al-Shabab wote na kuwaangamiza mmoja baada ya mwengine’


Raisi Mtenzi alizungumza huku akimgusa mke wake kwenye paji la uso. Akajifuta machozi kisha akatoka ndani hapo.


“Nahitaji mupange maandalizi ya mazishi ya mke wangu haraka iwezekanavyo”
“Sawa muheshimiwa raisi”
“Mume sema kwamba makamu wa raisi amefariki?”
“Ndio muhshimiwa”
“Maiti yake ipo wapi?”
“Ipo huko huko mochwari muheshimiwa”


Raisi Mtenzi akasimama kwa sekunde kadhaa kisha akageuza na kurudi katika jengo hili huku akiwa ameongozana na walinzi. Akaonyeshwa maiti ya makamu wa raisi bwana Madenge.


“Tuna weza tuka toka”
Raisi Mtenzi alizungumza kwa ufupi tu kwa maana ana tambua kwamba muhusika katika kifo cha makamu wa raisi ni mwanaye Jery ila hajatambua kwamba Jery ame fanya kitu gani hadi makamu wa raisi kufariki. Raisi Mtenzi mara baada ya kuondoka hospitalini hapo akarudi ikulu na moja kwa moja akaelekea nyumbani kwake.
“Jery nahitaji kuzungumza nawe”
“Sawa baba”
Wakaka sebleni, raisi Mtenzi kabala ya kuzungumza kitu chochote akamtazama mwanaye huyo ambaye anatambua huwa hana ujasiri wa uuji.
“Una taka kuniambia wewe ndio ume husika katika kumuua makamu wa raisi?”
“Aha…ndio baba”
“Ulifanya nini na nini hadi kumuua makamu wa raisi?”
Jery akashusha pumzi kwa maana mpango mzima uliendeshw ana mke wake pamoja na baba yake mkwe.
“Ulifanya nini hadi ukafanikiwa kumuu makamu wa raisi?”
“Niliajiri mtu baba”
“Mtu, gani na kutoka wapi?”


“Ahaa ni professional killer kutoka Mexco”
“Ulimjuaje?”
“Ahaa…baba si una jua kwamba nime ishi Marekani kwa kipindi kirefu pia hii taaluma yangu ime nikutanisha na watu wa kila aina hivyo yeye ni mmoja wa marafiki zangu.”
“Una weza kuwasiliana naye?”
“Kwa sasa ata kuwa amesha ondoka nchini Tanzania”
Raisi Mtenzi akamkazia macho kijana wake huyo na kuhisi kuna jambo ambalo Jery ana lifahamu.
“Ulimlipa kiasi gani?”
“Dola laki tatu”
“Okay. Ila siku nyingine sinto hitaji ufanye jambo la kipumbavu kama hili ambalo lina ipelekea nchi kuingia kwenye garama za kijinga”
“Sawa baba”
“Mke wako ana litambua hili jambo?”
“Hapana”
“Yupo wapi?”
“Yupo kwao”
“Muite aje hapa ikulu. Tumesha muao na kumtolea maharia na kuanzi hivi sasa ata kuwa naa ishi hapa”
“Sawa baba”
Raisi Mtenzi akanyanyuka kabla ya kuingia chumbani kwake akageuka na kumtazama Jery.
“Nahitaji uwaite wale wasichana wawili nao waje hapa ikulu, nina mazungumzo nao”
“Leo”
“Sasa hivi”
“Sawa baba”
Raisi Mtenzi mara baada ya kuingia chumbani kwake Jery akajikuta akishusha pumzi nyingi sana kwa maana amejitahidi kumdanganya baba yake ambaye siku zote sio mtu wa kudanganyika vizuri. Jery akaanza kuwasiliana na Julieth na akamuomba waweze kufika ikulu, kisha akawasiliana na Magreth na kumueleza aweze kufika ikulu hapo.


Raisi Mtenzi akajifikiria kwa sekunde kadhaa. Kisha akanyanyua mkonga wa simu yake ya mezani na kumpigia gavana wa benki.


“Habari muheshimiwa”
“Sio salama. Nahiji munitumie benk statement za mwanangu za akaunti zake zilizopo hapa Tanzania na hata nje ya nchi muda huu”
“Sawa muheshimiwa”
“Munitumie kwenye email yangu”
“Sawa muheshimiwa”
Raisi Mtenzi hakuweza kuridhishwa kabisa na mazungumzo ya mwanaye kwa maana ana mfahamu A hadi Z.


“Baba nimesha wasilia nao”
Jery alizungumza mara baada ya kumuona baba yake akitoka ndani hapo.
“Hao wasichana wawili waambie nipo ofisini kwangu. Huyo mke wako atuandalie chakula cha usiku”
“Sawa baba ila na yeye ame poteza kaka zake wote wawili”
“Kwa hiyo?”
“Ahaa…kwa nini usiwaambie wapishi ndio waandae chakula baba”
Raisi Mtenzi akamsogelea Jery kwa ukaribu hadi sehemu alipo simama. Akamkazia macho ya ukali huku akimtazama kwa macho ya msisitizo.
“Mke wangu amefariki, ila nina endelea kufanya kazi. Yeye ni nani hadi ashindwe kufanya kazi. Muambie nina hitaji apike chakula cha usiku cha watu watano. Umenielewa?”
Raisi Mtenzi alizungumza kwa msisitizo.
“Sawa baba”
Raisi Mtenzi akaelekea chumbani kwake. Baada ya dakika arobaini Josephine na Magreth wakafika ikulu hapo. Moja kwa moja wakapelekwa ofisi kwa raisi Mtenzi. Kila mmoja akashangaa kumkuta raisi akiwa ana fanya kazi zake kama kawaida.
“Karibuni mukae”
“Tuna shukuru”
Wakaka kwenye sofa zilizop ofisini hapo.


“Nime waita hapa kwa ajili ya kuwakaribisha kwa chakula cha usiku. Pia nina hitaji kuwafahamu vizuri kwa maana kitendo cha kunitorosha hospitalini na kunihifadhi pale kwenu sio jambo la kawaida tena kufanywa na mwanamke”
“Ni kweli muheshimiwa. Ila nina omba utusamehe kwa kukiuka sheria za nchi kwa maana tulifanya hivyo kwa ajili ya kuo…..”
“Usijali Magreth. Leo nii bilia ya nyinyi kuni saidia nisinge kuwa hapa. Ehee niambie mulianza vipi?”
Josephine akaanza kuadisia kuanzia alipo onyeshwa maono ya wapi raisia alipo fukiwa. Akazidi kusonga mbele na kuonyeshwa jinsi daktari aliye tumwa alivyo hitaji kumuua. Magreth akaelezea jinsi alivyo pamabana na wanajeshi na kwakusaidia na Juma wakamtoa hospitalini hapo na kuelekea naye nyumbani kwake.


“Makamu wa raisi alisha wahi kuja pale nyumbani kipindi ulipo kuwa ume zimi na niliweza kumdanganya kwamba upo mkoani Morogoro ndio maana msako ulifanyika katika mkoa huo.”
“Mshenzi sana huyu jamaa. Sasa ana taka madaraka ikiwa nime bakisha muda miaka michache kabla ya kuachia madaraka. Si angevumilia tu”
“Kila binadamu ana tamaa yake muheshimiwa”
“Magreth ulisha wahi kupitia kwenye kitengo chochote cha usalama?”
“Hapana muheshimiwa”
“Uwezo huo ume utolea wapo?”
Magreth akamuelezea raisi Mtenzi juu ya maisha yake ya utotoni. Mafunzo aliyo pitia toka alipo kuwa mdogo na kukuzwa na mzee wa kijapani hadi kufika kuwa na uwezo huo.


“Jery acha kunitania baba ame rudi kwenye hali yake?”
Juliteh aliuliza huku akiwa na mshangao.


“Ndio na anahitaji umpikie chakula cha usiku sasa”
“Huwa ana penda kula nini?”
“Mmmm mara nyingi ana penda kula ndizi, kuku wa kuchoma, kachumbari. Ila tuta saidia kupika kwa maana ana hitaji chakula cha watu watano”
“Kuna wageni?
“Ndio”
“Sawa”
Julith na Jery wakaanz akushirikiana katika kuandaa chakula hicho cha usiku huku Julieth akiwa na shahuku ya kuhitaji kumuona baba yake mkwe huyo.


***


Kichwa kikazidi kumuua Evans kwa mawazo. Mipango yake yote ambayo aliipanga na makamu waraisi asubuhi ya siku ya leo ime vurugika kutokana na kifo chake.
“Amekufaje kufanje ikiwa nilikuwa nina zungumza naye?”
Evas alizungumza huku akiendelea kutazama televishion na habari kubwa ya leo ni kifo cha makamu wa raisi.


“Nita fanya nini?”
Evans aliendelea kujiuliza mswali ambayo hakuweza kupata jibu la haraka haraka. Akaingia mtandaoni na kuanza kutafuta makundi ya kuhalifu ambayo ana amini ana weza kupata wauaji wazuri. Evans akaangukia kwenye kundi la Al-Shabab ambalo ndio kundi analo amini lina weza kufanya jambo lolote kwa ajili ya pesa.


‘Hawa kama wameweza kulipua Dar es Salaam. Hawashindi kuwalipua kina Magreth.’


Evans akaanza kutafuta njia ambazo zina weza kumuwezesha kuwapata kundi hilo la Al-Shabab na akafanikiwa kupata jina la mmoja wa watu ambao aliwatilia mashaka kwamba ana weza akawa ana husika na upatikanaji wa kikundi hicho cha kigaidi. Akaingia kwenye akaunti ya mtu huyo katika mtandao wa Facebook na kuanza kupitia pitia akaunti ya binti huyo mwenye umri wa miaka kumi na tisha na ana jiita Baby Al.


‘Mmmmmm hapa nita kuwa nime bugi’


Evans alizungumza huku akiendelea kutazama picha za msichana huyo ambaye ana onekana ni mrembo sana. Akaingia upande wa meseji na kumtumia meji.


‘Hi’


‘Hi too’


Msichana huyo alijibu kwa uharaka sana na kumfanya Evans kupata shahuku ya kuendelea kuchati naye.


‘Am Evans From Tanzania’


‘Waoo naitwa Baby Al’


‘Una fahamu kishwahili?’


‘Ndio vizuri sana’


‘Upo nchi gani?’


‘Now nipo Zanzibar kwa mapumzoko. Ila nina ishi Paris France’


‘Naweza kuja kukuona Zanzibar’


‘Una hitaji nini?’


‘Ni mambo muhimu ambayo hatuwezi kuchati kwenye simu’


‘Nita kujulisha baada ya lisaa moja’


‘Poa’


Evans akajawa na furaha sana kwa maana anaamini kwamba mashaka yake juu ya msichana huyo yana weza kutimia kwani haja yake kubwa ni kuhakikisha kwamba ana wateketeza Magreth ili mpango wake wa kupata hadhina ambayo jini Maimuna alimueleza, ana ipata haraka iwezekanavyo. Baada ya dakika ishirini akapata ujumbe kutoka kwa Baby Al ulio mfanya atabasamu sana kwa maana ana amini mambo yana kwenda kama vile alivyo panga.


ITAENDELEA


Haya sasa, ni ujumbe gani ulio ingia kwa Evans na kumfanya ajawe na furaha kubwa sana na je ata fanikiwa kukutana na kundi hilo la Al-Shabab na kuwapa kazi ya kuwaua kina Magreth? Usikose sehemu ya 138.
 
SIN 138


Muandishi…………………………………………….EDDAZARIA G.MSULWA(G.Authour)


Age ……………………………………………………18+


Simu………………………………………………… 0657072588(whatsapp) au 0768516188







ILIPOISHIA


‘Ni mambo muhimu ambayo hatuwezi kuchati kwenye simu’


‘Nita kujulisha baada ya lisaa moja’


‘Poa’


Evans akajawa na furaha sana kwa maana anaamini kwamba mashaka yake juu ya msichana huyo yana weza kutimia kwani haja yake kubwa ni kuhakikisha kwamba ana wateketeza Magreth ili mpango wake wa kupata hadhina ambayo jini Maimuna alimueleza, ana ipata haraka iwezekanavyo. Baada ya dakika ishirini akapata ujumbe kutoka kwa Baby Al ulio mfanya atabasamu sana kwa maana ana amini mambo yana kwenda kama vile alivyo panga.





ENDELEA


‘Kama una hitaji kuonana na mimi una weza kuja Zanzibar jioni hii’


Evans aliisoma meseji hiyo huku meno yote thelathini na mbili yakiwa nje kwa furaha.


‘Ndio nina weza kuja. Acha niwahi boti ya jioni hii’


‘Fanya hivyo nita kusubiria bandarini’


Evans bila hata ya kujishauri mara mbili. Akanyanyuka kitandani na kuanza kukusanya nguo zake chache na kuziweka kwenye begi. Akaondoka hotelini kwa usafiri wa taksi huku gari lake akiliacha hotelini hapo. Akafika bandanirini na bahati nzuri akakuta boti inayo ondoka dakika kumi na tano zijazo, akakata tiketi na safari ya kuelekea Zanzibar ikaanza.


‘Nimesha panda boti’


‘Waoo, tunaweza zungumza kwa video call?’


‘Yaa’


Baby Al akapiga video call hiyo kwa kupitia messenger. Uzuri wa msiachana huyo uka mfanya Evans kuzipagawa na hata lengo lake la kuhisi kwamba binti huyo ni Al-Shabab likaanza kumtoweka akilini mwake.


“Hei Handsom mambo vipi?”


“Safi you look beutful”


“Nashukuru. Ume sema una itwa Evans”
“Yaa Evans Shika”
“Karibu sana, nimependa uni patie compy”
“Usijali nipo kwa ajili yako”
“Nashukuru, safari njema”
“Nikifika tuta wasiliana”
“Sawa”
Evans akakata simu huku furaha ikiwa ime mtawala moyoni mwake. Majira ya saa mbili usikuwa wakafika bandari ya Zanzibar. Evans akashuka kwenye boti hiyo huku akiwa ana hamu kubwa ya kukutana na binti hiyo.


‘Nime fika upo wapi?’


‘Ukitoka getini uta niona, nime valia gauni jeupe na refu’


‘Sawa’


Evans akatika getini hapo na kweli akamuona Baby Al. Wakasalimiana huku wakikumbatiana kwa furaha.


“Nika hisi una nitania kwamba una kuja ndio maana niliamua kukupigia video call”


“Mimi sio mtu wa kupenda kutania watu, huwa nafanya jambo kwa kumaanisha’


“Kweli nimea amini, karibu Zazibar”
“Nashukuru”
“Nime kuja na gari langu tuna weza kwenda nilipo liacha”
“Sawa”
Wakaelekea eneo la magesho huku wakiwa wameshikana mikono. Wakaingia kwenye gari hilo huku Evans naye akikaa siti ya pembeni. Galfa Evans akachomwa sindano ya shingo na mwanaume ambaye alikuwa amejificha siti ya nyuma.


“Ni…n….ni”
Evans hata kabla hajamalizia sentensi yake akajikuta akilala usingizi fofofo. Baby Al akawasha gari huku akimtazama kijana wake huyo na wakaondoka. Wakafika kwenye godauni moja lilipo nje ya mji, eneo ambapo ndipo makazi yake yalipo huku akiwa ana vijana wake ambao ni majasusi wa kikundi cha Al-Shabab. Wakamvua nguo zote Evans na kumkalisha kwenye kiti cha chuma ambacho kime usanishwa na nyaya za shoti.


“Hei, hei, hei”
Baby Al, alimuita Evans huku akimpiga piga mashavuni mwake. Evans akakurupuka huku macho yakimtoka.


“Nipo wapi, nipo wapi?”
“Karibu, nahitaji unijibu maswali yangu laiti ukishindwa basi uta kufa.”
Evans akajawa na mshangao mkubwa saa kwani alicho kitarajia na kukitegemea kutoka kwa binti huyo sicho anacho kiona. Mshangao uka zidi kuongezeka mara baada ya kujikuta akiwa hana hata nguo moja mwilini mwake. Baby Al, akatoa ruhusa kwa kijana wake aliye kaa na mashine maalimu ya kupiga shoti kuiwasha. Evans akaanza kutetemeshwa mwili mzima, maumivu anayo yapata yakamfanya alie kama mtoto mdogo.
“Zima”
Kijana huyo akazima.
“Wewe ni nani na kwa nini ume nitafuta inbox?”


“M…i….mi…mi naitwa Evans”
“Kwa nini unitafute inbox Facebook na ume ijuaje akaunti yangu?”
“Ni likuona tu google?”
“Ndio ukaamua kunitafuta Facebook?”
“Ndio”
Baby Al akatoa ruhusa kuwashwa kwa mashine hiyo jambo lililo mfanya Evans kuanza kutetemeshwa hadi haja ndogo ikaanza kumtoka.


“Wanaume wengi wa Tanzania muna penda sana kujipendekeza kwa wasichana muna kutana nao kwenye mitandao basi leo ndio siku yako ya mwisho kuishi duania. Washa na fikisha hadi asilimia mia”
Kijana huyo akatii amri hiyo na akawasha mashine hiyo na kuiongeza hadi asilimia mia moja, Evans hakuweza kustahimili shoti hiyo na akajikuta akipiga yowe moja na kuzimia.


***


Jery akagonga kwenye mlango wa ofisi ya baba yake na akaruhusiwa kuingia.


“Aha anime wakatisha mazungumzo yenu?”
“Hapana, vipi?”
“Chakula tayari kimesha andaliwa”
“Basi, wachukue wageni, na uende nao huko nina kuja muda si mrefu”
“Sawa”
Josephine na Magretha wakaondoka ofisini hapo na kuelekea anapo ishi raisi Mtenzi.
“Karibuni”
“Tuna shukuru”
Julieth akamkazia macho Magreth kwa maana wana uaduia wa toka muda mrefu kuanzia kipindi Magreth akiwa na mahusiano ya kimapenzi na nabii Sanga hadi wakajikuta wakimpenda mwanaume mmoja ambaye ni Evans.
“Mke wangu hawa ndio wageni wa baba”
“Ahaa…za toka jana?”
Julieth alizungumza kwa sauti ya kawaida ambayo dhairi ana onekana kuto furahishwa na ugeni huo.


“Tuna shukuru Mungu”


Josephine alizungumza kwa furaha huku wakipeana mikono.


“Karibuni”
“Shukrani sana”


Magreth na Julieth wakapeana mikono ila hawakuzungumza kitu chochote.


“Jery tuna weza kuzungumza mara moja?”
“Ndio”
Julieth na Jery wakaondoka sebelni hapo na kuingia chumbani.


“Hivi una mfahamu huyo Magreth?”
“Nimeanza kumfahamu siku tulipo mfwatilia baba, kwani ana nini?”
Julieth akashusha pumzi huku akimtazama mume wake.
“Huyu binti ni tapeli wa mapenzi”
“Una maana gani?”
“Huyu msichana alitumia kuokoka wake na kutembea na baba yangu jambo ambalo lilipelekea mafarakano mengi sana kwenye familia yetu. Kuanzia nyumba, mgahawa wake na hata gari analo tembea nalo alinunuliwa na baba yangu, kitu ambacho hata nikimuona basi moyo wangu una kuwa hauna furaha kabisa”
“Una taka kuniambia Magreth alitembea na baba mkwe?”
“Ndio, laiti kama ingekuwa sio msimamo wa mama hadi leo angekuwa na baba”
“Mmmmm sasa hayo ni matatizo ya wazazi mke wangu. Tuachana naye na isitoshe si wamesha achana?”
“Ndio ila ninapo muona basi nafsi yangu huwa ina jawa na hasira kali sana”
“Mke wangu poteza, tufungue ukurasa mwengine wa maisha, sawa mama”
“Kwa ajili yako nita jitahidi”
“Sawa mke wangu nina kupenda sana”
“Nina kupenda pia”
Jery akamnyonya Julieth lipsi zake kisha wakarudi sebleni. Hukupita muda mrefu sana raisi Boaz akafika ndani hapo.
“Nime waweka sana”
“Hapana muheshimiwa”
“Baba shikamoo”
Julieth alizungumza huku akisimama.
“Marahaba mkwe wangu. Una endeleaje?”
“Namshukuru Mungu”
“Nina imani kwamba chakula tayari”
“Ndio baba”
“Basi tujumuike tule pamoja, kwa maana nina kikaa saa nne usiku”
“Sawa”
Wakakusanyika kwenye meza ya chakula na wakaanza kula taratibu huku ukimya ukitawala katikati yao.


“Mkwe chakula chako ni kitamu sana”
“Nina shukuru baba”
Josephine akajikuta akifumba macho yake huku mapigo yake ya moyo yakimuenda kasi sana. Jambo hilo raisi Mtenzi aliweza kulifahamu kwa haraka kwa maana ana uwezo wa kumfahamu mtu mwenye mashaka.
“Jose una tatizo?”
Raisi Mtenzi aliuliza na kuwafanya watu wote kumtazama Josephine ambaye hakujibu kitu chochote zaidi ya kuendelea kuyafumba macho yake.


“Vipi ana tumuite daktari nini?”
Jery alihoji huku akiacha kula.
“Hapana”
Magreth alijibu kwa maana ana tambua kwamba Josephine akiwa katika hali kama hiyo basi kuna mambo huwa ana onyeshwa.
“Kwa nini?”
“Nahisi kuna mambo ana onyeshwa”
Watu wote wakaacha kula na kumtazama Josephine, baada ya dakika chache akafumbua macho yake huku mapigo ya moyo yakimuenda kasi sana.


“Vipo Jose kuna nini?”
Raisi Mtenzi aliuliza huku akiwa na wasiwasi mkubwa sana.
“Muheshimiwa kuna mambo mawili nime onyeshwa. Una weza kuniruhusu kuyazungumza hapa?”
Raisi Mtenzi akawatazama Jery, Magreth na Julieth.
“Ndio una weza kuzungumza au yana husu mtu mmoja?”
“Hapana yana husu nchi?”
“Zungumza tu”
“Jeshi la Marekeni lina anza kutengeneza mpango wa kukushinikiza kutengua amri yako ya kuwaondoa nchini hapa kwa ndani ya masaa ishirini na nne’
Raisi Mtenzi akastuka kidogo kwa maana mazungumzo hayo alizungumza na viongozi wa ngzi za juu katika maswala ya usalama wakiwemo wa kuu wa mikoa.
“Ume juaje kwamba nili toa tamko kama hilo?”
“Muheshimiwa kama nilivyo kuambia kwamba nina uwezo wa kuona mambo yaliyopo na yajayo”
“Sawa, ehee ni mashinikizo gani ambayo wata yato?”
“Moja wata kuambia wana katisha misaada yote wanayo ipatia nchi ya Tanzania. Pili wata hitaji kuwarudisha Watanzania wote walipo nchini Marekani kurudi nyumbani na Wamarekeni wote ambao wapo nchini Tanzania wata ondoka. Tatu wata wapa yashawishi mataifa yenye ushirika na Marekani kuto ingiza msaada wowote katika nchi ya Tanzania”
Kila mtu akastuka, raisi Mtenzi akajihisi kuishiwa na nguvu.


“Sasa ni kwa nini wana fanya hivyo ikiwa nina mamlaka ya kukubali wafanye kile walicho kiomba au?”
“Mission ya wao kuja Tanzania sio kujenga jiji la Dar es Salaam pekee bali wana hitaji kuchukua hadhina ya trillions of dollars iliyopo katika eneo la posta, chini ya ardhi.”
“Hazina! Hadhina gani?”
Raisi Mtenzi alishangaa sana.
“Eneo la Posta chini ya ardhi yake futi mia mbili kwenda chini kuna mapango ambayo yalihifadhia vito vya dhamani vilivyo kuwa vina tumiwa na wafalme wa miaka ya nyuma. Muheshimiwa hiyo hadhina endapo ita patikana kwa Wamarekani basi wana zidi kuwa matajiri mara dufu na endapo ita patikana kwa Watanzania basi tuna kwenda kuwa nchi nama moja tajiri duniania na tuta kuwa na nguvu hata ya kuwa nyamazisha hao Wamarekani”
Raisi Mtenzi akashusha pumzi huku akijiweka vizuri kwenye kiti chake.
“Una uhakika na unacho kizungumza?”
“Ndio kwenye kikao chako cha saa nne usiku unacho kwenda kuzungumza na raisi wa Marekani kwa kupitia video call basi hayo ndio mashinikozo utakayo kutana nayo”
Raisi Mtenzi akazidi kushangaa kwa maana ni watu wachache sana ambao wana fahamu kwamba ana kikao na raisi wa Marekeni majira ya saa nne usiku kwa mazungumzo ya video call.
“Je nishauri nifanye nini?
“Sija onyeshwa nini ufanye katika hayo. Il anime onyeshwa hivyo tu na endapo uta zungumza naye muombe muda wa kufikiria na wala usimuambie ni sababu gani ya wao kulazimisha wana jeshi wao wajenge jiji hili la Dar es Salaam”
“Nime kuelewa”
“Jambo la pili ni kutokana na mashambulizi yaliyo fanya na Al-Shabab.”
“Ehee?”
“Una fahamu sababu ya Al-Shabab kushambulia Tanzania?”
“Ndio ni kwa sababu tuliwashambulia, mara baada ya kuwaua wanajeshi wetu kwa mlipuko wa bomu”
“Chanzo cha mlipuko ule kwenye boti una ufahamu?”
Julieth akajikuta akikaa vizuri kwenye kiti huku akimsikiliza Josephine kwa umakini sana.
“Wali tega bomu”
“Hapana muheshimiwa. Lile bomu halikusababishwa na Al-Shabab na wala hawakuhusika kabisa katika shambulizi lile”
“Kivipi ikiwa tuliona kabisa bendera zao”
“Shambulizi lile lilisababishwa na Watanzania muheshimiwa na waliweza kuwachezea mchezo wa kuwachonganisha kati ya serikali na kundi hilo la Al-Shabab.”
Maneno ya Josephine yakaanza kumfanya Julieth mapigo yake ya moyo kuanza kumuenda kasi.
“Unataka kuniambia ni Watanzania ndio wame sababisha lile tukio!?”
Raisi Mtenzi alizungumza kwa mshangao mkubwa sana.


“Ndio muheshimiwa raisi. Kuna familia ya Kitanzania ina miliki genge kubwa la madawa ya kulevya hapa Tanzania. Walitumia mbinu hiyo ya mlipuko na waliweza kupitisha madawa hayo chini ya bahari eneo lile lile la boti muda na wakati ambapo ile boti ina lipuka na kupitia mlipuko ule waliingiza kilo nyungi sana za madawa ya kulevya hapa nchini Tanzania”
Kila mtu akashangaa, huku Julieth akianza kuhisi haja ndogo ina kwenda kumtoka kwani siri ambayo alihisi kwamba ana ifahamu baba yake na mama yake leo hii ina kwenda kuwekwa hadharani.


“Ni familia gani hiyo, hao washenzi waende kulipa kwa vifo vya watanzania na mke wangu?”
Raisi Mtenzi alizungumza kwa ukali huku akimkazia macho Josephine. Ukali wa raisi Mtenzi ukamfanya Julieth atamani ardhi ipasuke na immeze kwa maana endapo ata tajwa yeye na familia yake basi huo ndio uta kuwa mwisho wa maisha yao.


ITAENDELEA


Haya sasa, mambo yana anza kuharibika, Julieth wasiwasi una muandama je Josephine ata itaja familia ya nabii Sanga na endapo ata itaja ni maamuzi gani ambayo raisi Mtenzi ata kwenda kuyachukua? Usikose sehemu ya 139.
 
SIN 139


Muandishi…………………………………………….EDDAZARIA G.MSULWA(G.Authour)


Age ……………………………………………………18+


Simu………………………………………………… 0657072588(whatsapp) au 0768516188






ILIPOISHIA


“Ndio muheshimiwa raisi. Kuna familia ya Kitanzania ina miliki genge kubwa la madawa ya kulevya hapa Tanzania. Walitumia mbinu hiyo ya mlipuko na waliweza kupitisha madawa hayo chini ya bahari eneo lile lile la boti muda na wakati ambapo ile boti ina lipuka na kupitia mlipuko ule waliingiza kilo nyungi sana za madawa ya kulevya hapa nchini Tanzania”
Kila mtu akashangaa, huku Julieth akianza kuhisi haja ndogo ina kwenda kumtoka kwani siri ambayo alihisi kwamba ana ifahamu baba yake na mama yake leo hii ina kwenda kuwekwa hadharani.


“Ni familia gani hiyo, hao washenzi waende kulipa kwa vifo vya watanzania na mke wangu?”
Raisi Mtenzi alizungumza kwa ukali huku akimkazia macho Josephine. Ukali wa raisi Mtenzi ukamfanya Julieth atamani ardhi ipasuke na immeze kwa maana endapo ata tajwa yeye na familia yake basi huo ndio uta kuwa mwisho wa maisha yao





ENDELEA


“Hiyo familia bado sijaonyeshwa muheshimiwa”
Kauli ya Josephine ikamfanya Julieth kushusha pumzi na kujikuta akimuomba Mungu wake asimuonyeshe Josephine juu ya hiyo familia kwani akionyeshwa basi wata kuwa wame kwisha.


“Muombe Mungu akuonyeshe, ni lazima walipe”
Raisi Mtenzi alizungumza kwa msisitizo.


“Ni kweli baba, hiyo familia endapo ita julikana na mimi nin aomba nishiriki katika kuwapa adhabu kwa kunivurugia harusi yangu na mke wangu hapa, au una semaje mke wangu”
“Ni kweli mume wangu”
“Yaani nikiwafahamu nita waita wananchi wote, washuhudie jisi wanavyo nyongwa hadharani hadi kufa”
“Baba hivi adhabu ya kunyonga bado ipo Tanzania?”


Jery aliuliza huku akimtazama baba yake.
“Ndio bado ipo”
“Basi ita wastahili. Hao sio watu wa zuri kabisa kwenye maisha ya hii nchi kwa ujumla.”
“Ni kweli. Josephine hakikisha kwamba una weza kuipata hiyo familia haraka ili kama ni kuishuhulikia basi niishuhulikie kisawa sawa”
“Mungu ajalie katila hilo kwa maana, Mungu muda mwengine anaweza kunionyesha maono na akaficha wahusika au muhusika kwa maana ambayo hapo baadae ina onekana. Pia muheshimiwa kiwango hicho cha madawa ya kulevya bado kupi nchini na kutomana na milipuko hii, wana tumia nafasi hiyo katika kusambaza na kuzidi kuteketea nguvu kazi ya taifa”
“Nitalifanyia kazi hilo. Kesho kama huto jali nita kuomba uweza kufika hapa ikulu, ili tuzungumze kwa kina kirefu zaidi”
“Sawa muheshimiwa”
“Mimi ngoja nika jiandae na kikao”
Raisi Mtenzi akanawa mikono yake kisha akasimama na kuondoka eneo hili.


“Josephine hicho kipawa chako ulianza kukigundua toka lini?”
Jery aliuliza swali.


“Toka nikiwa mtoto mdogo kwenye Sunday school”
“Ahaa na ume kuwa una zungumza na Mungu moja kwa moja au?”
“Hata sifahamu, ila huwa nina ona kama mkanda wa video. Kuna kipindi huwa nina onyeshwa mambo makubwa hadi nina zimia”
“Duuu ni kipawa kikubwa sana. Je mtu akikuomba umuonyeshe kinacho kwenda kutokea kwenye maisha yake je ina wezekana?”
“Ina tegemea, kuna kipindi Mungu ana nifungulia na nina ona na kuna kipindi huwa hanionyeshi au hata akionionyesha basi akiniambie nisizungumze basi siwezi kuzungumza”
“Duuu kazi kweli kweli hongera sana”
“Nashukuru, hembu tutabirie mimi na mke wangu tuta kuwa na watoto wangupi?”


Josephine akajikuta akitabasamu huku akimtazama Jery usoni mwake.


“Hilo ni jambo la nyinyi kupiga goti naa kumuomba Mungu”
“Jamani sijui muna weza kuturuhusu na kuondoka”
Magreth akaingilia mazungumzo hayo.


“Mbona mapema sana”
“Tuna mwenzetu tume muacha nyumbani kule. Hivyo kama hamuta jali nina omba tuondokea”
“Sawa”
Julieth alijibu kwa maana uwepo wa Magreth na Josephine una mchanganya sana na kumkosesha amani. Kutokana Julieth amesha zungumza Jery hakuona haja ya kubisha. Wakawasindikiza hadi nje, wakaingia kwenye gari na kuondoka eneo hilo la ikulu.


“Mume wangu nina weza kwenda nyumbani mara moja?”
“Usiku huu?”
“Ndio”
“Kufanya nini?”
“Nikachukue nguo zangu na kuzihamishia hapa kwa maana hapa ndio nyumbani?”
“Tuta kwenda kesho asubuhi. Una jua kwamba toka tufunge ndoa sija pata haki yangu”
Jery alizungumza huku akimtomasa tomasa Julieth kiono chake. Wakaingia chumbani na Jery akaanza kumnyonya Julieth shingo yake. Wingi wa mawazo ya jambo alilo lizungumza Josephine hakika lilikosesha furaha Julieth na hata kazi kitendo anacho kifanya Jery kwake hakikuwana hamasa yoyote.


“Mume wangu naweza kukuomba jambo”
Jery akaacha anacho kifanya na kumsikiliza mke wake huyo kipenzi.
“Niambie mke wangu”
“Mimi naona tusifanye kwanza hadi pale tutakapo mpumzisha mama na ndugu zangu. Kumbuka kwamba tupo katikati ya misiba na walio ondoka ni watu muhimu sana, naomba tuwape heshima na tutakapo wazika basi tuta kuwa huru kwenda sehemu yoyote tunayo hitaji mume wangu”


Julieth alizungumza kwa sauti nyororo ya iliyo jaa mahaba mengi.
“Alafu kweli, tuta kuwa hatuja wafanyia haki. Namshukuru Mungu kwa kunipatia mwanamke kama wewe ambaye una weza kukumbuja hata huzuni yangu niliyo nayo”
“Nashukuru pia mume wangu. Nina kupenda sana”
“Nina kupenda pia mke wangu”
Wakakumbatiana na Julieth akafurahia kwa maana hana hamu kabisa ya kufanya mapenzi na mtu wa pekee ambaye ana mfikiria kichwani ni Josephine na anaanza kupanga mikakati ya kumdhoohofisha kwani ana weza kuwa kikwazo kikubwa sana wa kumdhohofisha kwenye biashara ya familia yake ya madawa ya kulevya.
***


Raisi Mtenzi na washauri wake wawili wapo ndani ya ofisi yake akisubiria kuunganishwa na raisi wa Marekani, kwa ajili ya kikao hicho. Raisi Mtenzi akaendelea kuwaza ni mambo ya kushangaza ambayo Josephine ame mueleza.


‘Ni familia ya nani hiyo?’


Raisi Mtenzi ajiuliza kimoyo moyo huku akiendelea kuwaza familia tajiri nchini hapa Tanzania. Akazipanga familia tatu za waarafu ambao kwa sasa wana uraisi wa Tanzania.


‘Hawa washenzi watoto wao wana ozea jela au wame rudi kwenye hii biashara hiyo?’


Raisi Mtenzi alizidi kuzichanganua familia hizoa mbazo kila familia kijana wake yupo jela kutokana na makosa ya kukamatwa na madawa ya kulevya.


‘Ni lazima nizifwatilie kwa umakini na endapo nita zikamata basi nita hakikisha wana isoma namba’


Raisi Mtenzi aliendelea kujishauri.


“Muheshimiwa tayari raisi yupo online”
Sekretari alizungumza, kisha akaiwasha tv iliyopo ofisini hapo huku ikiwa ime unganishwa kamera.


“Muheshimiwa raisi habari za masiku”
“Nina mshukuru sana Mungu nipo hai”
“Pole sana kwa matatizo yaliyo kutokea. Mimi na serikali yangu tuna wapa pole kwa tatizo hilo lililo tokea”
“Tuna shukuru”
“Muheshimiwa raisi nime pata habari kutoka kwa wanajeshi wangu. Ume toa amri ya kuondoka nchini mwako ndani ya masaa ishirini na nne, ni kwa nini ume fanya hivyo?”
“Kwa maana sihitaji huduma yao. Muheshimiwa raisi, nina imani kwamba makamu wangu wa raisi aliweza kufanya makosa katika kuwakubalia kuja nchini kwangu. Kipindi kama nchi ni kipindi cha Watanzania kushikamana kwa pamoja na kuhakikisha kwamba tuna ijenge Tanzania yetu iliyo mpya. Sidhani kama Marekani ikishambuliwa una weza kuwaita mataifa mengine kukusaidia.”
Raisi Mtenzi alizungumza kwa kujiamini huku wakitazamana na raisi huyo wa Marekani.


“Sababu zako hazina mashiko, sisi tumetoa wanajeshi kwa ajili ya kuwasaidia”
“Samahani muheshimiwa hatuhitaji msaada wa taifa jengine”
“Ohoo kumbe ni hivyo?”
“Ndio”
“Basi ndani ya masaa ishirini na nne, nita hakikisha nina sitisha misaada yote ambayo ina kuja nchini kwako na nita hakikisha kwamba Watanzania wote walipo nchini Marekani wana rudishwa ndani ya masaa hayo na Wamarekani wote ambao wapo nchini kwako, wana rudi nyumbani. Una masaa ishirini nne ya kuweza kuamua kusitisha mgogoro huu na kumbuka washirika wote wanao kusaidia kupitia mimi, nita sitisha. Usiku mwema muheshimiwa raisi”
Mawasiliano hayo yakaishia hapo na kumfanya raisi Mtenzi kuwageukia washauri wake huku akianza kuamini kwamba kile alicho ambiwa Josephine ndio hichi kime tokea.


“Yule binti ana kipawa cha ajabu sana”
“Samahani muheshimiwa una zungumzia nini?”
“Ahaahh hapana. Ehee niambie tuna fanya nini?”
“Muheshimiwa kwa nini usiwaruhusu waendelee na ujenzi wa hili jiji?”
“Bure bure?”
“Ndio muheshimiwa si wame toa msaada kwetu baada ya matatizo. Kumbuka jeshi letu lina tegeemea program nyingi za kijeshi kutoka kwa Wamarekani, ikiwemo ndege za kivita, vifaru”
“Kuna nchi nyingi sana dunia ambazo zina uwezo wa kutengeza hivyo vifaa tunavyo vihitaji. Acha wafanye wanacho weza kwa maana nasi pia ni taifa na hatuwezi kuishi kwa kutegemea amri yao.”
“Muheshimiwa raisi kumbuka kwamba tuta tumia billions of money kwenye kulirudisha upya jiji la Dar es Salaam”
“Musijali katika hilo. Tuta rudi na kuwa zaidi ya pale. Ngoja niwaambie jambo moja, pela unapo anguka nina uhakika utakuwa una wekea umakini ni kwa nini kwamba ulianguka na ilikuwaje una anguka. Jambo la kufanya ni kuto rudia makosa ya kuanguka tena. Wamarekeni ni wajanja msaada wao hawawezi kuutoa bure. Acha waondoke nahitaji kuijenga Tanzania mpya na yakujitegeme. Usiku mwema”
Raisi Mtenzi mara baada ya kuzunguma hivyo akaondoka na kuwaacha washauri wake wakiwa wamejawa na maswali yaliyo kosa majibu kwani wana ona kabisa maamuzi ya raisi wao yana weza kumtokea puani.


***


“Ni familia gani ambayo ina husika kwenye haya majanga?”
Magreth alizungumza huku akipunga mwendo wa gari lake, akakunja kuchoto na kuanza kuitafuta njia ya kuelekea nyumbani kwake.


“Hata sijajua. Nina ona Mungu bado hajaamua kunionyesha”
“Sipati picha hiyo familia ikijulikana kwa maana nina ona ina weza kuteketezwa kwa kuchomwa moto kama wezi wa kuku”
“Yaani nina waonea huruma”
“Ila watakuwa ni washenzi sana, ina wezekanaje waweke maslahi ya familia zao mbele kuliko nchi. Wakifa poa tu kwa maana hawana faida”
“Hhahaaa”
Wakafika nyumbani na juma akawafungulia geti na kuingia ndani.
“Naona muna nukia ikulu ikulu”
“Hahaaa acha utani wako”
“Haki ya Mungu vile Jose. Yaani una nukia ikulu ikulu”
“Ina bidi siku tumuambie raisi kwamba na wewe una taka kwenda”
“Siku nikienda nina imani kwamba mizimu ya kwetu ita fufuka kwa muda kwa maana si kwa maselfie nitakayo piga”
“Hahaaaa”
“Juma kesho pajapo majaliwa, nita hitaji twende kwenye Mgahawa tukafanye tathimini ya ajali iliiyo tokea, tujua nini tuna anza kufanya”
“Sawa bosi hakuna shaka”
Magretha akaelekea chumbani kwake.
“Vipi ume kula mpenzi wangu?”
“Yaa nime shakula, ila nime wabakishia chakua”
“Sisi tumekula madiko diko ya ikulu hapa tulipo tumeshibaje”
“Kama nawaona vile”
“Hahaaa. Leo tulale pamoja mpenzi wangu nina hamu ya kukumbatiwa na wewe”
Josephine alizungumza huku akiwa amejawa na tabasamu pana usoni mwake. Sawa hakuna shaka mama, ni wewe tu”
Josephine akambusu Juma kwenye lipsi zake kisha akaelekea chumbanik wa Magreth na kumkuta akivua nguo zake.
“Vipi?”
“Safi, leo nahitaji kulala na Juma”
“Ni wewe tu ndugu yangu furahia penzi lako”
“Nashukuru. Hivi Mage una mpango gani?”
“Mpango gani kivipi?”
“Kwenye mahusiano yako ya mapenzi?”
“Nahitaji kupata mwanaume ambaye ata tuliza akili, japo bado Evans ana nafasi kwenye moyo wangu ila siwezi kumfikiria sana kwa maana bado sijajua maisha yake ya sasa yapo vipi”
“Sawa nina kuombea kwa Mungu akupatie mwanaume mzuri na mwenye kukufaa”
“Nashukuru rafiki yangu”


Josephine akatoka ndani hapo huku akiwa amejawa na furaha. Wakaingia katika chumba alicho kuwa wame mlaza raisi Mtenzi”
“Hivi hizi mashine vipi?”
“Muwarudishie Agakhan hazina kazi tena”
Josephine alizungumza huku akimkumbatia Juma na taratibu wakaanza kunyonyana lipsi zao huku kila mmoja akimvua nguo mwenzake, moja baada ya nyingine.


***


“Mkuu nine fwatilia rekodi za kijana huyu ina onyesha sio askari wala mwanajeshi”
Baby Al, akakaipokea ipad yenye maelezo ya Evans pamoja na picha yake.


“Ana onekana ana pesa?”
“Ndio kwamaana ame nunua eneo moja kigamboni kwa pesa nyingi sana”
“Tuna ondoka naye na kueleka naye makao makuu”
“Sawa mkuu”
Baby Al, akatoka ndani ya godauni hilo. Akaingia kwenye gari, vijana wake wapatao sita nao wakaingia kwenye gari jengine pamoja na Evans ambaye wame mfunga kitambaa cheusi machoni mwake, pingu mikononi mwake na myororo miguuni mwake. Moja kwa moja wakaelekea bandanirini, wakaingia kwenye meli yao ya mizigo ambayo walikuja nayo siku kadhaa, wakitokea nchini Ufaransa. Safari ya meli hiyo kuelekea nchini Nigeria ikaanza huku Evans wakimfungia kwenye moja ya kontena ambalo halina kitu chochote.


“Mkuu sasa ni kwa nini tuna ondoka na huyu jamaa?”
Baby Al, aliulizwa na mlinzi wake.
“Nahitaji kumjua vizuri”
“Una maanisha kwamba ume mpenda?”
“Zuma hivi una hisi kwamba mimi nina moyo wa kupenda”
“Nalijua hili mkuu, ila nime shangaa ina kuwaje ume kuwa na huruma na huyu kijana ambaye ame jipendekeza kwako”
“Nina hisia kwamba ana kitu anacho kihitaji, endapo nikikifahamu basi tuta jua nini cha kufanya”
“Ila kumbuka mkuu huko tunapo kwenda ndipo yalipo maficho yetu. Una hisi muheshimiwa ana weza kufurahi juu ya ujio wa kijana huyu”
“Nina imani kwamba ata zinduka kabla hatujafika na endapo ata zinduka basi nita muhoji kwa kina na endapo nita fahamu nini ana hitaji basi tuta muua na kumtupia baharini na mwili wake utakuwa ni chakula cha samaki”
Baby Al alizungumza kwa kujiamini huku akimtazama mlinziwake huyo, ambaye ni mambo mengi ya kitatili wame fanya kwa pamoja na uzuri wake ume kuwa ndio silaga kubwa sana ya kuwaangamiza wale anao wahitaji.


Evans akakurupuka na kujikuta akiwa haoni kitu chochote, akajaribu kuichanisha mikono yake iliyo fungwa kwa nyuma akajikuta akishindwa na kuanza kubingirika bingirika hadi pambezoni mwa kontena hilo.


“Haloooooooooooooo, nipo wapi hapa”
Evana alizungumza kwa sauti ila hapakuwa na mtu aliye weza kumsikia wala kumpatia msaana kwa maana yupo ndani ya kontena ambalo lipo katikati ya makontena mengine ambayo yame pangwa vizuri kuelekea juu.


ITAENDELEA


Haya sasa, Evans amefungiwa kwenye makonteana mengi je ataokolewa na nani ikiwa jini Maimuna hawezi kurudi duniani hadi Magreth, Josephine, Jery na Julieth wauwawe? Usikose sehemu ya 140.
 
SIN 140


Muandishi…………………………………………….EDDAZARIA G.MSULWA(G.Authour)


Age ……………………………………………………18+


Simu………………………………………………… 0657072588(whatsapp) au 0768516188





ILIPOISHIA


“Nina imani kwamba ata zinduka kabla hatujafika na endapo ata zinduka basi nita muhoji kwa kina na endapo nita fahamu nini ana hitaji basi tuta muua na kumtupia baharini na mwili wake utakuwa ni chakula cha samaki”
Baby Al alizungumza kwa kujiamini huku akimtazama mlinziwake huyo, ambaye ni mambo mengi ya kitatili wame fanya kwa pamoja na uzuri wake ume kuwa ndio silaga kubwa sana ya kuwaangamiza wale anao wahitaji.


Evans akakurupuka na kujikuta akiwa haoni kitu chochote, akajaribu kuichanisha mikono yake iliyo fungwa kwa nyuma akajikuta akishindwa na kuanza kubingirika bingirika hadi pambezoni mwa kontena hilo.


“Haloooooooooooooo, nipo wapi hapa”
Evana alizungumza kwa sauti ila hapakuwa na mtu aliye weza kumsikia wala kumpatia msaana kwa maana yupo ndani ya kontena ambalo lipo katikati ya makontena mengine ambayo yame pangwa vizuri kuelekea juu.





ENDELEA


Evans akaendelea kuita hadi akajikuta akianza kulia kwa uchungu sana kwa maana giza lililopo ndani ya kotena hilo sio la kawaida kabisa.


***


“Za asubuhi baba”
Julieth alimsalimia raisi Mtenzi mara baada ya kutoka chumbani kwake majira ya saa kumi na mbili kasoro asubihi.
“Marahaba, vipi usiku wenu ume kwenda vizuri?”
“Ndio baba. Vipi wewe?”
“Nimekosa usingizi na nime shindwa kulala usiku kucha. Nina mfikiria mke wangu”
Raisi Mtenzi alizungumza kwa sauti ya upole huku akimtazama Julieth usoni mwake. Taratibu Julieth akaka kwenye sofa lililopo mbele ya raisi Mtenzi.
“Mke wangu ameondoka kwenye siku ambayo nilikuwa ina furaha sana. Sinto isahau siku ya harusi yenu kwenye maisha yangu hadi nina kufa”
Raisi Mtenzi alizungumza kwa sauti ya unyonge huku machozi yakimelnga lenga usoni mwake.
“Baba”
“Naam”
“Pole kwa kila lililo tokea, najua una pitia wakati mgumu sana, ila ina bidi kumshukuru Mungu kwa kila jambo kwa maana nasi tulikuwa tuna paswa kufa ila Mungu ame tupigania na tumeweza kupona”
“Ni kweli, nina imani kwamba Mungu ametupa nafasi hii kwa makusidi kamili”
“Ni kweli baba. Ila kwa nini usichukue likizo baba ukapumzisha kichwa kwa ajili ya kujiandaa na mazishi ya mama”
“Kweli ehee?”
“Ndio baba. Japo nchi ni muhimu kwako ila hata mama ni muhimu na yeye ndio ame kuwa ubavu wako kwenye kipindi chote cha shida na raha”
Maneno ya Julieth yakamfanya raisi Mtenzi kukubaliana na jambo hilo.
“Ila nita hitaji kufanya jambo moja ndani ya siku hizi mbili ili kuiweka nchi sawa”
“Sawa baba ila nina kuonea huruma kwa manaa hii kazi yako ni ngumu”
“Ni kweli, acha tumalize hii misiba iliyopo mbele yetu nita kupatia nafasi ya kuwa katika ofisi yangu au una majukumu mengine?”
“Hapana baba nina shukuru, nipo kwa ajili yenu, wewe na Jery”
Julieth alizungumza kwa sauti ya upole iliyo mfanya raisi Mtenzi kuzidi kumuamini Julieth na kumuona ni mwanamke sahihi kwenue familia yake.


“Nikuandalie kifungua kinywa gani baba?”
“Kahawa tu ina nitosha”
“Sawa”
Julieth akaelekea jikoni na kuandaa kahawa nzuri ambayo ana amini ita zidi kumjengea nafasi ya kupendwa na baba yake mkwe huyo.


“Kahawa yako nzuri sana”
Raisi Mtenzi alizungumza mara baada ya kupiga funda moja la kahawa hiyo.
“Nashukuru baba”
Raisi Mtenzi akajiandaa na kuelekea ofisini kwake.


‘Nafasi hii nita itumia vizuri ipasavyo’


Julieth alizungumza kimoyo moyo huku akiwa amejawa na furaha kubwa sana. Akarudi chumbani na kujilaza pembeni ya Jery ambaye bado ana koroma na usingizi. Kitu cha kwanza mara baada ya raisi Mtenzi kuingia ofisini kwake, akampigia simu Josephine.


***


Mlio wa mbali wa simu inayo ita ukamfanya Josephine kunyanyua kiwacha chake kiuvivu kutoka kifuani mwa Juma. Akaangaza ndani hapo na kuiona simu yake ikiwa mezani, akashuka taratibu huku akipiga miyayo mingi. Akaichukua simu hiyo na kutazama namba inayo mpigia, akastuka sana mara baada ya kukuta ni raisi Mtenzi ndio anaye piga. Akajiweka vizuri kisha akapokea.


“Habari muheshimiwa raisi”
“Salama, mume amkaje?”
“Tuna mshukuru Mungu muheshimiwa.”
“Pole kwa kukupigia hii alafajiri sana, nina imani kwamba utakuwa ume choka”
“Hapana muheshimiwa”
“Okay. Nahitaji uje ikulu majira ya saa nne asubuhi”
“Mimi peke yangu?”
“Yaa ikiwezekana uje peke yako”
“Sawa muheshimiwa nita fanya hivyo”
“Nikutakie asubuhi njema”
“Mawe pia muheshimiwa”
“Haya”
Simu ikakatwa na Josephine akairudisha mezani.
“Nani huyo?”
Juma aliuliza kwa sauti iliyo jaa uchovu wa usingizi.
“Ni raisi”
“Ana taka nini?”
“Ameniomba niweze kwenda ikulu majira ya saa nne”
“Kwani sasa hivi saa ngapi?”
“Saa kumi na mbili kasoro”
“Bado mapema, njoo tulale”
Josephine taratibu akapanda kitandani hapo. Akamkalia Juma kiunoni mwake, huku taratibu akikipapasa kifua cha Juma. Juma pasipo hiyana yoyote, akayakamatia makalio ya Josephine, akayanyanyua juu kidogo na kumpa nafasi nzuri jogoo wake kupumua. Alipo hakikisha kwamba Jogoo wake amesimama vizuri, taratibu akamzamisha katika kitumbua cha Josephine na kumfanya kutoa miguno ya kimahaba, iliyo zidi kumpagawisha Juma na kuuanza mtanange kama walio upiga jana usiku.


Magreth mara baada ya kuamka, akasali na kumshukuru Mungu kwa kumuasha asubuhi hiyo akiwa salama salmini. Akafanya mazoezi madogo madogo ya kuupa mwili wake nguvu kama kawaida yake, kisha akajiandaa kwa ajili ya safari ya kuelekea katika mgahawa wake. Magreth akataka kugonga mlango wa chumba cha Josephine ila alivyo sikia mguno ya kimahaba, akajikuta akiurusha chini mkono wake huo. Akapiga hatua mbili mbele kisha akarudi tena mlangoni hapo, akaanza kusikilizia jinsi Josephine anavyo burudishwa na Juma. Magreth akajikuta akianza kumeza mafumba ya mate, hamu ya kufanya mapenzi ikaanza kumtawala. Akaanza kutembea kwa kasi hadi chumbani kwake. Akavua nguo zake zote za kujilaza kitandani huku akihema sana. Taratibu akachukua simu yake na kutafuta mtandao ambao una onyesha video za ngono. Alipo upata, akatafuta video moja ambayo kwa muda huo kwake aliiona ina mfaa. Taratibu akaanza kujipapasa maziwa yake kisha mkono wake huo wa kulia akaushusha chini hadi kwenye kitumbua chake na kuanza kukifikicha kwa vidole vyake viwili.


Zoezi hilo likazidi kunoga kwa Magreth na kujikuta akiingiza vidole hivyo na kuendelea kujichezea huku kwa mara kadhaa akitazama video hiyo ya binti wa kiafrika anavyo piga mechi na kijana mwenzake wa kiafrika.


‘Ohoooo…a..aiisii….ooohooo….ooa!!”
Magreth alilalama huku akiongeza kasi ya kuchezea kitumbua chake. Haukupita muda mrefu, Magreth akafika kileleeni huku mwili mzima ukimtetemeka kwa raha ambayo ni Evans pekee ndio aliweza kuileta japo kuna kipindi nabii Sanga alikuwa akijaribu kumfikisha kileleni ila sio hadi mwisho kabisa.


“Ongeza kasi baby”
Josephine alilamama na kumfanya Juma kuzidi kuongeza mwendo huku jasho likimwagika mwili mzima.


“Nakojo*** ba…..b……yyyyyy”
Josephine naye alialama huku akijikuta aking’ata mto alio ulalia kwani mkao huo wa kubong’oa huwa ana upend asana. Juma akazisha kasi huku akikishika kiono cha Josephine, naye ndani ya muda mfupi akajikuta akiwamwaga waarabu wake weupe juu ya kiuno cha Josephine.


“Asante mume wangu”
Josephine alizungumza huku akihema sana.
“Asante nawe pia mke wangu”
“Mbona ume mwaga nje?”
“Sikujua kama una penda nikumwagie ndani”
“Napenda mume wangu. Jana usiku hukumwaga, sasa hivi pia”
“Usijali mke wangu kuanzia sasa nita kuwa nina mwaga ndani”
“Sawa, ila nashukuru sana Mume wangu. Yaani toka nitolewe usichana wangu, sijawahi kukojoleshwa, ila wewe una nikojolesha”
“Hahaa kweli?”
“Haki ya Mungu vile, yaani hapa ume nifanya nime tua mzigo mzito ambao sikujua nime bebeshwa na nani”
Josephine alizungumza kwa sauti ya maaba kana kwamba sio yule anaye funga na kuomba kwa ajili ya kumuomba Mungu.


Majira ya saa tatu wakaondoka nyumbani hapo. Wakampitisha Josephine ikulu kisha Juma na Magreth wakaelekea katika eneo ulipo Mgahawa.


“Muheshimiwa raisi Josephine yupo hapa”
Sekretari wa raisi Mtenzi alizungumza.


“Mruhusu aingie”
Josephine akaruhusiwa kuingia ofisini hapo. Wakasalimina na raisi Mtenzi kwa furaha kisha akamkaribisha kukaa kwenye sofa zilizopo eneo hilo.
“Nashukuru sana kwa kuitikia wito wangu”
“Ni jukumu langu muheshimiwa”
“Kile ulicho nieleza jana, kwa kweli kime tokea kwa asilimia mia moja. Raisi wa Marekania ameshinikiza kama vile ulivo sema na yeye ame nipa masaa ishirini na nne ya kuyafikiria tena maamuzi yangu. Hembu nishauri nifanye maamuzi gani?”
“Muheshimiwa raisi, natambua itakuwa ni jambo gumu sana kwenye kufanya maamuzi na watu wengi sana wana weza kukuona wewe ni tatizo kwa uchumi wa nchi kwa kipindi hichi. Ila ina bidi ufanye maamuzi magumu katika hilo. Acha uhusiano uvunjike, ila mali ambayo Mungu alitupa kama zawadi ibakie”
Raisi Mtenzi akatingisha kichwa ikiwa ni ishara ya kukubaliana na kile anacho kizungumza Josephine.
“Kama ya kwenda mbali kwenye hayo mazungumzo. Nahitaji kukuuliza maswali kadhaa”
“Uliza tu muheshimiwa”
“Elimu yako wewe ni kiwango gani?”
“Form Six, baada ya kumaliza nilikosa mkopo na wazazi wangu hawakuwa na pesa za kuniendeleza chuo. Hivyo nilioendelea na mambo ya kawaida, ikiwemo kuimba kwanya kwenye kanisa la nabii Sanga”
“Ohooo kumbe wewe ni muumini wa mkwe mwenzangu”
“Ndio muheshimiwa”
“Bado una imba kwaya au una fanya shuhuli gani?”
“Kwaya kwa sasa sifanyi niliacha baada ya mimi na ndugu yangu Magreth kupata ajali na nikavunjika mguu, ila nime pona sasa”
“Aisee pole sana, ilikuwa ni ajali ya nini?”
“Ajali ya gari.”
“Pole kwa hiyo upo huna kazi sasa hivi?”
“Ndio, kazi yangu ambayo nina ifanyanya kutokana na wito wa Mungu, ni maombezi pamoja na kupeleka ujumbe kwa mtu ambaye nime pewa maono yake”
“Sawa, kwani nirudie tena kukushukuru kwa kweli sina cha kukulipa katika yote ulio nifanyia. Ila nina ombi moja”
“Ombi gani muheshimiwa”
“Nina hitaji uwe chief staff wa hapa ikulu”
“Mungu wangu. Muheshimiwa hiyo mbona ni nafasi kubwa sana na uwezo wangu wa kielimu ni mdogo na wala sija wahi isoema kazi hiyo”
“Una weza ukahisi kwamba elimu yako ni ndogo. Ila una kitu kikubwa ambacho hakuna mtu yoyote humu ndani ya ikulu amekuwa nacho. Una kitu ambacho kwa elimu yangu yote nilio soma, siwezi kukipata kwa maana nime amini yale maneno ya kwenye biblia yanayo sema. Watu wangu wana teketea kwa kukosa maarifa. Laiti kama ninge pata maarifa kwenye hatua ya kwanza kabisa kwenye lile shambulizi la askari wangu, basi leo hii nchi isinge poteza watu wengi kama hivi”
Raisi Mtenzi alizungumza huku machozi yakimlenga lenga usoni mwake. Josephine akajikuta akiminya minya vidole vyake kwa maana hajawahi kumuona raisi akiwa katika hali ya huzuni kama hiyo.


“Ikulu ina hitaji mtu kama wewe. Ikulu ina hitaji mtu ambaye ana weza kutuongoza kiroho. Tafadhali Josephine nina kuomba sana ukubali ombi langu”
“Muheshimiwa nina shukuru sana kwa nafasi hiyo uliyo nipatia. Ila nina kuomba sana unipe muda nipige goti na kumuomba Mungu, endapo ata nipatia kibali basi nita ungana na wewe hapa ikulu”
Raisi Mtenzi akatabasamu kwa maana Josephine ame ana onekana sio mtu wa tamaa kwa maana laiti ingekuwa ni mtu mwengine angekubali haraka haraka hata pasipo kuangalia nafasi ya kazi hiyo ambayo ni kubwa sana kuliko hata jinsi mtu anavyo ifikiria.


***


Jery na Julieth wakafika nyumbani kwa nabii Sanga na kukuta viongozi wa kanisa pamoja na waumini wengine wakiwa wame kusanyika katika kuandaa mazishi ya watoto wawili wa nabii Sanga. Wakasalimiana na watu baadhi kisha wakaingia ndani.


“Baba yupo wapi?”
Julieth alimuuliza mfanyakazi wao wa ndani.
“Yupo gorofani”
“Sawa”


Julieth akapandisha na moja kwa moja akaelekea kilipo chumba cha wazazi wake. Akagonga na mlango ukafunguliwa na mrs Sanga.
“Shikamoo mama”
“Marahaba”
“Naweza kuingia”
“Ndio”
Julieth akaingia na kumkuta baba yake akimalizia kuzungumza na simu.


“Baba shikamoo”
“Marahaba. Ehee vipi usiku wako wa kwanza na mume wako ume kwendaje?”
“Salama tu baba. Ila kuna tatizo”
“Tatizo!! Tatizo gani?”
Nabii Sanga aliuliza huku akiwa na mshangoa.


“Muna mjua yule Josephine ambaye ana maono maono gani sijui huko?”
“Ndio, ame fanya nini tena?”
Mrs Sanga aliuliza.
“Jana walialikwa chakula cha usiku ikulu na raisi, yeye pamoja na yule mpuuzi Magreth. Tukiwa katikati ya chakula, sijui akaoteshwa au ndio kuonyeshwa. Hamuwezi amini alainza kusimulia tukio niliko lifanya juu ya kupitisha madawa siku ile hadi mwisho na akasema kuna familia ambayo ina jihusisha na biashara hiyo na milipuko yote iliyo tokea hapa Dar”
“Mungu wangu alitutaja?”
Mrs Sanga aliulia huku akiwa na wasiwasi.
“Jambo la kumshukuru Mungu ni kwamba hakututaja na hakuonyesha hiyo familia. Baba tuna fanyaje tupo kwenye tatizo na mbaya zaidi yupo karibu sana na raisin a sipati picha siku tukitajwa hizi nyuso zetu sisi tuta zificha wapi sisia baba”
Nabii Sanga akajikuta akikaa kitandani huku akishusha pumzi nyingi sana kwani taarifa hiyo ime mkata maini, kwani ana utambua vizuri sana uwezo wa Josephine na endapo akionyeshwa juu ya mauvo ya familia yake basi ata yaweka hadharani pasipo kuongopea wa kuficha jambo lolote lile.


ITAENDELEA


Haya sasa, familia ya nabii Sanga ipo matatizoni endapo ita tajwa na Josephine ni nini kita wapata je wata epuka vipi katika kuto kutajwa? Usikose sehemu ya 141.
 
SIN 141


Muandishi…………………………………………….EDDAZARIA G.MSULWA(G.Authour)


Age ……………………………………………………18+


Simu………………………………………………… 0657072588(whatsapp) au 0768516188





ILIPOISHIA


“Mungu wangu alitutaja?”
Mrs Sanga aliulia huku akiwa na wasiwasi.
“Jambo la kumshukuru Mungu ni kwamba hakututaja na hakuonyesha hiyo familia. Baba tuna fanyaje tupo kwenye tatizo na mbaya zaidi yupo karibu sana na raisin a sipati picha siku tukitajwa hizi nyuso zetu sisi tuta zificha wapi sisia baba”
Nabii Sanga akajikuta akikaa kitandani huku akishusha pumzi nyingi sana kwani taarifa hiyo ime mkata maini, kwani ana utambua vizuri sana uwezo wa Josephine na endapo akionyeshwa juu ya mauvo ya familia yake basi ata yaweka hadharani pasipo kuongopea wa kuficha jambo lolote lile.





ENDELEA


“Huko tunapo kwenda sio pazuri”
Nabii Sanga alizungumza huku akikaa akimtazama Julieth pamoja na mke wake.
“Sasa tuna fanyaje mume wangu”
“Hata sijui ni nini tufanye”
“Ina bidi tumuue baba”
Nabii Sanga na mke wake wakamtazama Julieth aliye toa pendekezo hilo.
“Una hisi ni rahisi kama hivyo unavyo zungumza?”
Nabii Sanga alizungumza huku akimtazama Julieth usoni mwake.


“Yule msichana ana tumiwa na Mungu wa kweli na kitu ambacho hamukijua hata mpango mbaya mukiupanga dhini yake basi ana weza kuujua na ana weza kuuepuka”
Nabii Sanga aliendelea kutolea msisitizo juu ya sifa ya Josephine.


“Sasa baba tukimuacha huoni kama ana weza kutudhuru?”
“Ni heri kukaa kimya na usubiria ni nini kitakacho tokea, kuliko tukaanza kumuwinda alafu akafunguka kwa kila jambo kwa mkwe wako. Nina uhakika tuta kufa kifo katika wakati ambao bado hatujauhitaji”
“Kwa hiyo baba una shauri kwamba tuweze kumuacha?”
“Tena wala usimfikirie kabisa kwenye mipango mibaya”
“Mmmmm sawa”
Julieth alikubali kishingo upande.


“Alafu baba mkwe ameniambia kwamba ana hitaji kunipatia nafasi ikuli”
“Kweli?”
Mrs Sanga aliuliza huku akiwa amejawa na furaha kubwa sana.


“Ndio mama”
“Mpango wetu una kwenda kama vile tulivyo panga. Ni wakati wako wa kuwa karibu sana na raisi ili kufahamu hatua na miendendo yote ya jinsi nchi inavyo kwenda kwenye swala zima la kupambana na madawa ya kulevya”
“Sawa baba. Nime kuja na Jery”
“Ohoo acha nikamsalimie”
NabiI Sanga akatoka ndani hapo na kuwaacha Julieth na mama yake.


***


“Bosi una onaje tuka hamisha eneo la mgahawa huu, tukajenga sehemu nyingia ambayo itakuwa na nafasi kubwa sana ya wateja wetu kujipatia huduma”
“Hilo nilikuwwa nina lifikiria sana Juma. Tuanze kufanya mchakato wa kupata eneo jipya tena kabla ya huu mji haujatengenezwa na kurudi kwenye ubora wake”
“Sawa bosi nita litilia mkazo hilo nalo”
Simu ya Magreth ikaanza kuita, akaitoa mfukoni na kukuta nin namba ya Josephine.


“Niambie”
“Mupo wapi?”
“Eneo la mgahawa vipi umesha maliza mazungumzo na raisi?”
“Ndio basi nisubirini hapo”
“Sawa”
Magreth akakata simu yake na wakaendela kutazama uharibifu ulio tokea eneo hilo. Baada ya dakika ishirini Josephine akashushuka kwene gari la secrety service.


“Duu ume pewa usafiri wa gari za raisi?”
“Yaani wee acha tu ndugu yangu. Muheshimiwa ame niomba niwe katika nafasi ambayo kwa kweli nina hofu nayo”
“Nafasi gani?”
Juma aliuliza huku akimtazama Josephine usoni mwake.


“Nita wambia tukiwa nyumbani. Kaka zangu nina shukuru muna weza kwenda tu”
Josephine aliwaruhusu walinzi hao wawili kuondoka. Baada ya walinzi hao kuondoka wakatafuta eneo na kukaa.
“Eheee tuambie kwa maana una onekana una furaha sana”
“Raisi ana hitaji niwe chife staff wake”


“Chief staff ndio kazi gani?”
Juma aliuliza huku akiwa amejawa na mshangao.
“Ni kazi ya kumsaidia raisi, kumshauri na kuwa mtunza siri wa ofisi yake na pia kuwa kiongozi wa wafanyakazi wengine ndani ya ikulu”
Magreth alimjibu Juma kwa maana hakuwa na uelewa katika kazi hiyo.


“Sasa Josephine hiyo ni kazi nzuri sana”
Magreth alizungumza.
“Ila bado sija pata kibali kutoka kwa Mungu. Acha kwanza nimuombe Mungu ili niipate nafasi hiyo”
Josephine alijibu kwa upole.


“Sawa ni jambo zuri”
Juma alijibu kwa unyonge.


“Ila mpenzi wangu mbona una onekana kama kuwa mnyonge”
“Kazi ambayo una kwenda kuifanya si ita kuweka mbali na mimi kwa maana hatuto kuwa tuna onana”
“Sidhani na isitoshe kama Mungu ata kubali niiifanye hiyo kazi basi nita kuwa nina kualika kuja ikulu”
“Ina ruhusiwa?”
“Ndio”
“Mmmm sawa”
Juma hakuonekana kuwa na furaha kabisa na taarifa hiyo japo ana jikaza kuwa na tabasamu usoni mwake. Kitu cha kwanza mara baada ya kurudi nyumbani. Josephine akajifungia ndani kwake na kuanza kumuomba Mungu aweze kumruhusu juu ya kazi anayo iendea. Mwili mzima wa Josephine ukaanza kutetemeka, mambo ambayo anaonyeshwa hakika sio madogo hadi mwishowe akajikuta akizimia.


Majira ya saa mbili usiku, Josephine akazinduka mara baada ya kuzimia kwa masaa matatu mfululizo. Akatoka ndani hapo huku akiwa na sura iliyo jaa huzuni kubwa sana.
“Vipi mbona una huzuni?”
Magreth alizungumza huku akiendelea kupija chakula cha usiku.
“Hakuna”
“Mmmmm kwema lakini?”
“Ndio”
Josephine alijibu kwa sauti ya unyonge. Magreth akazima jiko hilo la gesi kisha akamsogelea Josephine sehemu aliyo simama jikoni hapo.
“Jose mimi nina kujua wewe vizuri sana. Hembu nieleze ni kitu gani ambacho kime tokea huko?”
Magreth alizungumza kwa sauti ya upole huku akimshika Josephine mashavuni mwake.
“Nime onyeshwa mambo makubwa hadi nime zimia”
“Kumbe ulikuwa ume zimia?”
“Ndio”
“Mungu wangu. Ni mambo gani hayo?”
“Sijapewa kibali ya kuyazungumza sasa hivi. Ila nilicho kubaliwa ni kuwa karibu na raisi”
“Kuwa pembeni ya raisi una maana Mungu ame kubali uweze kuwa chief staff wa raisi?”
“Ndio”
“Waooo ni jambo zuri sana”
Magreth alizungumza huku akiwa na furaha kubwa sana, ila Josephine hakuonekana kabisa kuwa na furaha kwani hayo aliyo yaona hakika yana muogopesha na kumkosesha amani kabisa moyoni mwake.


***


Evans akatolewa kwenye kontena hilo huku akiwa amelegea mwili mzima kwani amekaa masaa mengi sana pasipo kupata chakula chochote. Moja kwa moja akapelekwa hadi katika chumba alichopo Baby Al pamoja na mlinzi wake. Evans akakalishwa kwenye kiti ambacho mbele yake kuna meza iliyo jaa vyakula vya kutosha.
“Mfungueni pingu”
Evans akafunguliwa pingu na kisha walinzi walio mleta wakatoka ndani hapo na kumuacha na bosi wao pamoja na mlinzi wa bosi wao.


“Una weza kula”
Baby Al alizungumza huku akimtazama Evans aliye legea. Evans hakutaka hata kujishauri mara mbili, akaanza kula vipande vya mishkaki huku huku akifakamia na juisi ya chungwa. Baby Al, akatabasamu na taratibu akaendelea kula huku mlinzi wake akiwa eme simama kwenye moja ya kona ya chumba hicho. Evans akaendelea kufakamia vyakula hivyo hadi alipo jijsi kushiba, ndipo akapata nafasi nzuri ya kumtazama Baby Al.


“Una jisikiaje?”
Baby ali alizungumza huku akimtazama Evans usoni mwake.
“Nipo wapi hapa”
“Upo sehemu isiyo na jina”
“Una maanisha nini?”
“Upo sehemu ambayo ina jina”
Baby Al alizungumza huku akinyoosha mkono wake wa kulia, mlinzi wake akachomoa bastola yake kiunoni na kumkabidhi bosi wake huyo. Baby Al akaikoki bastola hiyo na kumyooshea Evans aliye anza kutetemeka mwili mzima.
“Najua ume shiba sasa. Hata ukifa basi uta kufa ukiwa ume shiba si ndio”
“Na….na….a..kw……a….aa….ni”
Evans alibabaika, imani yote kwa mwanamke huyo ime muisha.
“Una sema nini?”
“Kwa….ni…ni una taka kuniua?”
“Kwa sababu huna faida”
Evans machozi yakaanza kumwagika, ujanja wote ume muisha usoni mwake.
“Kwa nini ulinitafuta”
“Kwa sababu nina hitaji msaada”
“Msaada gani?”
“Nina hitaji kuwaua watu fulani ila sina uwezo wa kufanya hivyo ila nina pesa za kuwalipa”
“Pesa za kutulipa, kwani ume ambia sisi ni wauaji?”
Evans akashusha pumzi huku akimtazama Baby Al.


“Ipo hivi, kuna watu wa ngazi za juu mmoja wapo akiwa ni mtoto wa raisi wa nchini Tanzania Jery Mtenzi pamoja na mtoto wa nabii Sanga. Nina hitaji muweze kuwaangamiza, nilikuwa nina tafuta kikundi cha kigaidi, hivyo katika kupeleleza kwangu nikagundua kwamba wewe una kamuunganiko na kundi la Al-Shabab, hivyo nilianza kukufwatilia japo sio rahisi kwa mtu kuweza kujua kama wewe una husika na kundi hilo. Tuliwasiliana ili muweze kunisaidia, nipo tayari kuwalipa kiasi chochote munacho hitaji”
“Wewe ni askari?”
“Mimi sio askari, ni mtu wa kawaida sana ambaye nina hitaji kulipiza kisasi changu kwa njia hiyo”
Baby Al wakatazamana na mlinzi wake.
“Wewe una kiasi gani cha kutulipa?”
“Sijajua kutokana na kazi ambayo sio hiyo tu kuna wengine wawili nao wana paswa kufa”
“Wangapi?”
“Wawili ambao mmoja wao ana itwa Josephine na mwengine anaitwa Magreth.”
“Mkuu tuna weza kuzungumza?”
“Ndio”
Baby Al akatoka nje ya chumb hicho na mlinzi wake huyo.


“Asije akawa ana tuingiza mitegoni huyu jamaa”
“Kumbuka upo na mtu mwenye akili. Bado hatupo mbali sana na Tanzania. Tuna weza kutuma vijana wawili wakaenda kuifanya kazi hiyo mara baada ya malipo”
“Sasa uta muachia?”
“Hapana, tuta muachia mara baada ya kazi hiyo kuisha na ikiwezekana tuna weza kumuua kabisa”
“Sawa”
“Ila kama hii kazi tuta ifanya basi tuifanye hapa hapa na isihusike na kikundi chetu kama unavyo fahamu balaa walilo lifanya nchini Tanzania”
“Ni kweli muheshimiwa”
Baada ya kujadiliana hivyo wakarudi ndani na Baby Al akakaa kwenye kiti chake.
“Ehee malipo yetu tuna yapataje?”
“Kama muna akaunti ba benki basi nina waingizia hicho kiasi”
“Niletee laptop”
Mlinzi wa Baby Al akatoka ndani hapo na baada ya muda akarudi akiwa na laptop iliyo ndani ya brufcase ngumu.
“Kila mtu mmoja tuta muua kwa dola laki mbili na nusu. Kama upo tayari pesa tuingizie sasa hivi”
Baby Al alizungumza kisha akamsogezea Evans laptop hiyo.
“Sasa mukishindwa kuwaua je pesa yangu ita rudije”
“Tambua kwamba hadi kutupata sisi ni kutokana na sifa ulizo ziona kwetu. Kama huijati kufanya bishara nasi basi ni heri tuka kuua na kuutupa mwili wako baharini”
Baby Al alizungumza kwa msisitizo na kubwa na kumfanya Evans kuitazama laptop hiyo, akamtupia jicho jaama aliye kaa pembeni hapo na ana onekana ni mtu asiye na masihara kabisa.
“Kwa hiyo niingize kiasi hicho chote”
“Ndio”
Evans akaanza utaratibu wa kuhamisha pesa kutoka kwenye akaunti yake na kuelekea kwenye akaunti aliyo kabidhiwa na Baby Al ambaye alikuwa haamini kama Evans ana kiasi cha pesa hizo. Baada ya hatua hiyo kukamilika, Baby Al, akajikuta akitawaliwa na furaha kubwa sana na hata wazo la kuumuua Evans likaanza kuyayuka kichwani mwake taratibu.


“Picha za hao una hitaji tuwaue”
Evans akaingia kwenye mtandoa, akaitafuta picha ya Jery ambayo ime ambatana na picha ya Julieth. Akaitafuta picha ya Josephine na Magreth na akafanikiwa kuzipata.
“Mkuu nita lishuhulikia hili”
Mlinzi wa Baby Al alizungumza huku akizitazama picha hizo.
“Una uhakika Zuma una weza kulifanya hilo?”
“Ndio mkuu niamini”
“Basi ondoka na boti usiku huu kurudi nchini Tanzania, tuta tia nanga hapa”
“Sawa muheshimiwa. Huyu naye je?”
“Niachie hapa”
Zuma akamtazama Baby Al kisha akatoka ndani hapo, akafanya maandalizi yote ya safari ya kurudi nchini Tanzania kisha, akaingia kwenye boti ndogo yenye mashine mbili na kuondoka eneo hilo huku akiamini kwamba kazi ya kuwaua watu alio onyeshwa ita kuwa ni nyepesi sana kwake.


***


Kila muda macho ya Magret yapo kwa Josephine ambaye ana onekana ana mawazo. Hata chakula hicho wanacho kula hapo mezani ana onekana kuto kufurahishwa nacho. Akamtazama Juma ambaye kwa sasa wame amua kuishi naye kabisa hapo nyumbani, yeye yupo bize na kuendelea kushindilia vijiko vya ubwabwa samaki.
Josephine akanyanyuka na kuondoka eneo hilo huku akilengwa lengwa na machozi
“Jose vipi?”
Juma aliuliza huku akimtazama Josephine anaye elekea mlango wa kutokea mbele. Magreth kwa haraka akacha kula na kutoka nje. Juma akatoka kutoka ila Magreth akamzuia kwa ishara asiweze kuondoka eneo hilo.


“Jose Jose”
Magreth aliita huku akimkimbilia Josephine anaye toka nje ya geti. Akamkuta Josephine akiwa amesimama pembeni ya geti huku akilia kwa uchungu.
“Jose kuna nini?”
Magreth aliuliza kwa sauti ya upole huku akimtazama Josephine usoni mwake. Taratibu Josephine akaka chini na kumlazimu Magreth naye kukaa chini.


“Jose niambiea rafiki yangu ni kitu gani kinacho kusumbua. Una onekana huna furaha kabisa”
“Mage”
“Beee”
“Nakupenda sana rafiki yangu”
“Hata mimi pia nina kupenda sana Josephine. Niambie una tatizo gani”
Josephine akajifuta machozi yake usoni na kumtazama Magreth.
“Katika maono ya leo niliyo onyeshwa, nime onyeshwa mambo ya kutisha sana. Nina shindwa kuyahimili kifuani mwangu, nikiyakumbuka nina hisi kuchanganyikiwa na uchungu mwingi sana rafiki yangu.”
Josephine alizungumza kwa uchungu sana huku akiendelea kulia na kumfanya Magreth kuanza kujawa na wasiwasi kwa maana hali kama hiyo hajawahi kuina kwa rafiki yake huyo.


ITAENDELEA


Haya sasa, ni kwa nini Josephine ana jawa na uchungu sana juu ya maono aliyo onyeshwa, ni maono gani hayo yanayo mpa wakati mgumu kiasi hicho na ana dai kwamba yana tisha sana? Usikose sehemu ya 142
 
SIN 142


Muandishi…………………………………………….EDDAZARIA G.MSULWA(G.Authour)


Age ……………………………………………………18+


Simu………………………………………………… 0657072588(whatsapp) au 0768516188







ILIPOISHIA


“Nakupenda sana rafiki yangu”
“Hata mimi pia nina kupenda sana Josephine. Niambie una tatizo gani”
Josephine akajifuta machozi yake usoni na kumtazama Magreth.
“Katika maono ya leo niliyo onyeshwa, nime onyeshwa mambo ya kutisha sana. Nina shindwa kuyahimili kifuani mwangu, nikiyakumbuka nina hisi kuchanganyikiwa na uchungu mwingi sana rafiki yangu.”
Josephine alizungumza kwa uchungu sana huku akiendelea kulia na kumfanya Magreth kuanza kujawa na wasiwasi kwa maana hali kama hiyo hajawahi kuina kwa rafiki yake huyo.





ENDELEA


“Jose niambie ni nini ulicho kiona”
Josephine akamtazama Magreth kwa sekunde kadhaa huku machozi yakimbubujika usoni mwake.
“Nina kiona kifo chako Mage”
Magreth moyo ukamstuka, akahisi kama moyo ume msimama kwa sekunde kadhaa kwani hakutarajia kusikia taarifa kama hiyo.


“Ume sema?”
“Mungu ame nionyesha kifo chako na hakipo mbali kipi siku hizi za usoni. Nina umia Mage nita baki na nani ikiwa wewe nime kuzoea rafiki yangu”
Magreth hata hakumsikia kabisa Josephine ni kitu gani anacho kizungumza. Akasimama na kuelekea ndani huku akiwa hana hata nguvu za kutembea vizuri. Ikambidi sasa Josephine kumfwata na kumshika mkono kwani ana muona rafiki yake huyo akiyumba huku akiwa amepoteza furaha kabisa.


“Nitatembea”
Magreth alizungumza huku akiuchanisha mkono wake na mkono wa Josephine. Magreth akapitiliza moja kwa moja hadi chumbani kwake na kuufunga mlango wake kwa ndani.


“Mage Mage fungua”
Josephine aliita huku akigonga mlango huo kwa nje.


“Jose kuna nini?”
Juma aliuliza huku akimtazama kwa umakini Josephine aliye jawa na machozi mashavuni mwake. Josephine akashindwa kuvumilia na kujikuta akimkumbatia Juma kwa nguvu, kwa akili ya haraka haraka Juma akahisi labda wasichana hao wame weza kugombana. Taratibu akambeba Josephine na kurudi naye sebleni.


“Mume gombana mke wangu”


Josephine akajibu kwa kutingisha kichwa akiashiria kwamba hawajagombana.


“Sasa mbona mwenzako ame jifungia kwa ndani?”
“Mume wangu nime pewa maono yake ndio yame tuvuruga na kutukosesha amani na furaha”
“Maono gani hayo?”
“Magreth ata kufa baada ya siku tatu”
Juma akastushwa na habari hiyo, macho yakamtoka huku mapigo ya moyo yakianza kumuenda kasi sana. Hata hamu ya kuendelea kumuuliza Josephine maswali ikamuisha, koo lake likahisi kiu kubwa ya maji. Akachukua jagi la maji pamoja na glasi iliyopo mezani na kuanza kumimina kiasi cha maji kwenye glasi hiyo na kuanza kunywa maji hayo huku akiwa haelewi hata afanya nini kwani taarifa hiyo kwa kweli sio nzuri kabisa kwao.


Mage akajitazama kwenye kioo cha dreasing table iliyopo ndani hapo. Uzuri wake, afya yake vyote vina kwenda kuingia ardhini ndani ya siku chache alizo ambiwa na Josephine. Taratibu akafungua droo iliyopo pembeni mwa kitanda chake. Akaichukua bastola yake, akaitazama vizuri, kisha akachomoa magazine ya bastola hiyo na kukuta risasi za kutosha. Akairudisha magazine hiyo kisha akatoka sebleni huku akiwa ameishika bastola hiyo. Jambo hilo lika washangaza sana Juma na Josephine.
“Jose natambua kwamba sinto kufa kwa kuumwa si ndio”
Josephine akamtazama Magreth na akapata kigugumizi cha kuweza kujibu swali hilo na akabaki akimkodolea macho Magreth.


“Nijibu”
“Ndio”
Josephine aliujibu huku macho yake ukitazama mkono wa Josephine ulio shika bastola hiyo.


“Nani ata niua?”
Magreth aliuliza kwa msisitizo na kumfanya Josephine kushusha pumzi nyingi. Juma akaka kimya huku akimtazama bosi wake huyo ambaye ana onekana kuwa hana masihara na maswali anayo muuliza Josephine.


“Jose niambie ni nini unacho taka kufanya?”
“Endapo nita muua ambaye ana hitaji kunia kuniua nina imani kwamba nita kuwa nimejiepusha kutoka kwenye kifo au una semaje Juma?”
“Ahaa….ni kweli mkuu”
Juma alijibu kwa kubabaika kwa maana hataki kumkwaza bosi wake ambaye ana onekana kuchanganyikiwa.
“Mage ume panic kwenye hili swala. Nina kuomba nikae chini nitulie nimuombe Mungu ili niweze kumuomba anipe njia ya kuweza kutuepusha kwenye hivyo vifo”
“Ngoja kwanza una sema vifo una maanisha nini?”
“Mimi na wewe tuna kwenda kufa. Wataanza kukuua wewe kwa maana wewe ndio mtu wa pekee mwenye uwezo wa kunilinda”
Magreth taratibu akajikuta akikaa kwenye sofa la pambeni.
“Ni nani ambaye ana mpango wa kutuua ikiwa hatuja mkosea kitu chochote huyo mtu”
“Ni x-boyfriend wako Evans ndio amewalipa wauaji kwa ajili ya kutuua sisi.”
“Evans huyu ninaye mjua mimi?”
“Ndio huyo, kwa sasa amekuwa ni shetani na sio yule Evans ambaye alikuwa mnyenyekevu mbele yako”
“Shiti sasa tuna fanyaje?”
“Ndio acha nimuombe Mungu anipatie njia. Nina imani ana makusudi sahihi ya kutuonyesha hivi ili tuweze kufahamu ni mambo gani yanayo kuja mbele yetu ili tujue ni jinsi gani ambavyo tuna weza kuepuka au ulitaka itokee kama suprize kwetu?”
Josephine aliuliza kwa msisitizo.


“Hapana”
“Basi acha niweze kuomba”
Magreth akakubaliana na pendekezo la Josephine na akaondoka sebleni hapo na kuwaacha Juma na Magreth wakiwa katika wakati mgumu kimawazo.


“Bosi”
“Mmmm”
“Tuna fanyaje?”
“Juma hapa nilipo nime changanyikiwa, sijui tuna fanya nini?”
“Daaa hilo swala ni gumu una jua?”
“Ndio”
Magreth alijibu kinyonge huku akijilaza kwenye moja ya sofa refu huku akianza kutafakari ni kitu gani ambacho kuna mfanya Evans kuwalipa watu kwa ajili ya kumuua.


***


Raisi Mtenzi akawatazama washauri wake ambao wamekutana naye kwenye kikao hicho cha dharura kabla hata ya kwenda kuzungumza na raisi wa Marekani.
“Muheshimiwa hayo maamuzi ambayo una taka kuyafanya ni maamuzi magumu sana, ambayo yana weza kuifanya nchi kuingia kwenye mambo mengi. Moja wapo ni vita vya wenyewe kwa wenyewe kwa manaa kama munavyo jua jinsi Wamarekani walivyo wachonganishi. Wanaweza kupandikiza hata kundi la kigaini hapa nchini na likaleta shida na wakawawezesha kwenye maswala ya silaha na mbinu za kijeshi”
Mr the Brain alizungumza huku akimtazama raisi Mtenzi usoni mwake.
“Ni kweli muheshimiwa kama unavyo ona. Shambulizi la Al-Shabab jinsi lilivyo leta maafa ambayo kwa kweli yae tupotezea watu muhimu sana na mambo mengi. Hembu tuwache wajenge huu mji alafu mambo mengine yata fwata”
Mzee Mbogo alizugumza kwa sauti ya upole. Raisi Mtenzi akawatazama wazee hao ambao kwa siku kadhaa zilizo pita aliweza kuwapinga maamuzi yao na zawadi aliyo ipata ni kuondokewa na mtu muhimu pamoja na jiji ambalo ndio kitovu cha biashara nchini Tanzania kuparanganyika na kuwa kama magofu ya kihistoria.
“Hivi mume tambua ni kitu gani ambacho Wamarekani wame kijia nchini kwetu?”
Mzee Mbogo na mr the Brain wakatazamana. Kisha kila mmoja akatingisha kichwa akimaanisha kwamba hafahamu.


“Wamarekani wame kuja hapa kwa malengo makuu mawili. Moja ni kutupumbaza ili tuweze kuwaamini kwamba wame kuja kutujengea mji wetu. Lengo la pili ni kuchukua hadhina na yamadini iliyopo katika ardhi ya hapo posta. Hadihina hiyo endapo ita chukuliwa, Wamarekani wata kuwa na nguvu mara dufu na nguvu walizo nazo hivi sasa. Endapo hathina hiyo tuta ipata sisi basi nchi yetu ina kwenda kuwa na nguvu sawa na wao au hata kuwapita. Hembu jiulizeni swala la kujitolea tu ina kuwaje kama ombi lako likikataliwa na una amua kushinikiza kuendelea kujitolea lasivyo una fanya maamuzi ambayo una hisi yana mkandamiza yule unaye msaidia”
Raisi Mtenzi alizungumza kwa sauti ya upole na kuwafanya mzee Mbogo na mr the Brain kushusha pumzi kila mmoja kwa wakati wake.
“Ukiwa na akili timamu ni lazima uta litazama hili jambo kwa jicho la tatu”
“Muheshimiwa wewe ume fahamu vipi kama kuna hadhinakwenye hilo eneo?”
“Kuna binti ame niambia”
“Huyo binti ni nani?”
Mzee Mbogo aliuliza huku akimtazama raisi Mtenzi usoni.


“Huyo msichana ndio aliye weza kuwaonyesha waokoaji eneo ambalo nilikuwa nime fukiwa na kifusi na binti huo ndio ambaye aliweza kutengeneza matangazo kwenye mitandao ya kijamii ya kuwahimiza watu kuondoka jijini Dar es Salaama kwa maana sio salama na nina imani hata nyinyi pia muliondoka kwa kumuamini na kweli kilitokea cha kutokea japo kuwa tulihakikisha kwamba tuna tafuta hayo mabomu ila hatukuweza kupata bomu hata moja”
“Mmmm muheshimiwa sawa una muamini huyo binti. Asije kuiingiza nchi kwenye mahusiano mabaya na mataifa makubwa?”
“Muheshimiwa una onaje uka iona hiyo hadhina kabla ya kufanya hayo maamuzi”
“Ni kweli au unaonekana aka kupeleka wewe mwenyewe kwenda kuona hiyo hadhina kisha ndio uka fanya maamuzi?”
“Nina imani hiyo hadhina sio kitu cha kukaa juu tu ya ardhi, ni kitu cha kuchibwa kwenda chini hivyo mukisema kwamba twende sasa hivi tuta ishia kuona magorofa yaliyo anguka pale”
“Muheshimiwa kwa heshima yako na nafasi uliyo tupatia tena kwa ajili ya kukusaidia katika serikali yako hii. Nina kuomba umpigie simu binti huyo aweze kuja hapa ili sisi watatu tuweze kumuhoji”
Mr the Brain alizungumza kwa kujiamini.


“Ni kweli muheshimiwa hembu fanya hivyo”
Raisi Mtenzi akakubaliana na washauri wake hao ambao kwa sasa ana wasikiliza sana tofauti na pale awali alivyo kuwa kiburi na kuyaamini maamuzi yake. Simu ya Josephine ikaanza kuita na baada ya sekunde kadhaa ikapokelewa.
“Haloo muheshimiwa una zungumza na Magreth”
“Ohoo habari yako Mage”
“Salama tu mkuu.”
“Josephine yupo wapi?”
“Yupo chumbani ana sali muheshimiwa”
“Tafadhali kama ikiwezekana nina kuomba sana uweze kumleta hapa ikulu. Kuna jambo muhimu sana ambalo nina hitaji kuzungumza naye.”
“Ohoo huyu hapa ame toka chumbani”
“Mpatie simu”
“Shikamoo muheshimiwa”
“Maharaba. Tafadhali nina kuomba sana uweze kuja ikulu”
“Sasa hivi!!?”
“Ndio”
“Sawa ngoja nijiandae”
“Rafiki yako ata kusindikiza”
“Sawa muheshimiwa”
Raisi Mtenzi akakata simu na kuwatazama mr the Brain pamoja na mzee Mbogo aliye jawa na hamu ya kumuona msichana huyo kwani ana amini mtu aliye mpatia taarifa juu ya milipuko ni Evans na sio huyo msichana anaye itwa Josephine. Baada ya lisaa moja, Juma, Josephine na Magreth wakafika ikulu hapo. Josephine moja kwa moja akaelekea ofisini kwa raisi Mtenzi. Akasaimiana na wazee hao kisha akaketi kwenye moja ya sofa.


“Huyu ana itwa Josephine. Josephine, huyu ana itwa mr the Brain ni mshauri wangu kwenye maswala ya kijamii, kisiasa, afya na kadhalika. Huyu ana itwa mzee Mbogo ni mshauri wangu katika maswala ya usalama wa taifa kwa ujumla.”
“Nina washukuru kuwafahamu”
“Nasi pia tuna shukuru”
“Tume sema pamoja”
Mr the Brain alizungumza huku akianza kucheka.
“Lengo ambalo tume kuitia hapa, washauri wangu wana hitaji kuhakikishiwa kwamba hiyo hadhina ipo au haipo ili kama ni kufanya maamuzi na serikali ya Marekani basi isije ikatokea malalamiko ya kwamba tume fanya maamuzi magumu ikiwa hadhina tuliyo itarajia”
Josephine akashusha pumzi huku akimtazama raisi Jery pamoja na wazee hao wawili.


“Hadhina ipo tena ni nyingi sana.”
“Binti je una weza kumpeleka muheshimiwa hapa au tuka enda wote kwenda kuiona”
“Sio rahisi kwenda na kuiona”
“Una maanisha nini?”
Mr the Brain aliuliza huku akimkazia macho Josephine.


“Hadhina hiyo ipo chini ya ardhi tena kwenye mapango ambayo ni hatari na pasipo damu ya mtu mmoja tu duniani kupatikana basi hayaweze kufunguka na wala njia ya kuelekea kwenye mapango hayo haito weza kufunguka.”
Kauli ya Josephine ikamfanya raisi Mtenzi kukaa vizuri kwenye kiti chake kwani ugumu wa jambo hilo ana anza kuuona mapema sana.
“Ni damu ya nani huyo na huyo mtu ana patikana wapi?”
Mzee Mbogo aliuliza huku akiwa na shahuku ya kuhitaji kufahamu.


“Ni mimi. Damu yangu ndio ina uwezo wa kufungua njia ya kueleaka kwenye mapango hayo na mlango wa kuingilia kwenye mapango hayo.”
“Basi kumbe upo, una weza kutupeleka tukaona au una semajae muheshimiwa raisi?”
Mrs the Brain alizungumza huku akiwa na shahuku kubwa iliyo changanyikana na furaha.
“Ni kweli Josephine tupeleke ili tukaone hiyo hadhina na kama tuta fanya maamuzi ya kuwakatalia Wamarekani katika ujenzi wao basi niwakatalie nikiwa na uhakika.”
“Muheshimiwa raisi nina kuomba uweze kuniamini. Hadhina ipo, fanya maamuzi ya kuwaondoa kwanza Wamarekani kwa maana hapa tulipo tu wana tusikiliza na kila jambo ulilo zungumza ndani ya ofisi yako wanalo na endapo tukaenda sasa hivi basi watatufwata nyuma na hawato ona hasara ya kutuua tukiwa ndani ya mapango hayo na ikawa njia rahisi ya wao kuchukua hadhina hiyo yote”
Maneno ya Josephine yaka wastua sana raisi Mtenzi na washauri wake kiasi cha kuwafanya waanze kutazamana huku raisi Mtenzi akiwahisi washauri wake hao mmoja wapo ata kuwa ni msaliti na ana fanya kazi na Wamarekani.


ITAENDELEA


Haya sasa, nani ni msaliti na ana penyeza mazungumzo hayo kwa Wamarekani na endapo akifahamika ni nini atafanywa? Usikose sehemu ya 143.
 
SIN 143


Muandishi…………………………………………….EDDAZARIA G.MSULWA(G.Authour)


Age ……………………………………………………18+


Simu………………………………………………… 0657072588(whatsapp) au 0768516188






ILIPOISHIA


“Basi kumbe upo, una weza kutupeleka tukaona au una semajae muheshimiwa raisi?”
Mrs the Brain alizungumza huku akiwa na shahuku kubwa iliyo changanyikana na furaha.
“Ni kweli Josephine tupeleke ili tukaone hiyo hadhina na kama tuta fanya maamuzi ya kuwakatalia Wamarekani katika ujenzi wao basi niwakatalie nikiwa na uhakika.”
“Muheshimiwa raisi nina kuomba uweze kuniamini. Hadhina ipo, fanya maamuzi ya kuwaondoa kwanza Wamarekani kwa maana hapa tulipo tu wana tusikiliza na kila jambo ulilo zungumza ndani ya ofisi yako wanalo na endapo tukaenda sasa hivi basi watatufwata nyuma na hawato ona hasara ya kutuua tukiwa ndani ya mapango hayo na ikawa njia rahisi ya wao kuchukua hadhina hiyo yote”
Maneno ya Josephine yaka wastua sana raisi Mtenzi na washauri wake kiasi cha kuwafanya waanze kutazamana huku raisi Mtenzi akiwahisi washauri wake hao mmoja wapo ata kuwa ni msaliti na ana fanya kazi na Wamarekani.





ENDELEA


“Ni nani mwenye kifaa cha kurekodi sauti?”
Raisi Mtenzi alizungumza huku akiwatazama mzee Mbogo na mr the Brain.
“Sio wao”


Josephine alisimama na kusogelea moja ya ua pambo lililopo ofisini hapo. Akalichunguza kwa sekunde kadhaa kisha akatoa moja ya jani ambalo kwa mtazama wa kawaida una weza kuliona ni jani ila lime tengenezwa kitaalamu na lime wekewa vinasa sauti ambavyo kila kitu kinacho endelea ndani ya ofisi ya raisi kina sikika. Raisi Mtenzi, mzee Mbogo na mr the Brain wote wakajawa na mshangao. Josephine akaweka kidole kimoja mdomoni mwake akiashiria kwamba wasizungumze chochote. Josephine akawaomba raisi Mtenzi na washauri wake kutoka ndani hapo na wakatii huku wakiliacha uwa hilo ndani ya ofisi hiyo.
“Lile ndio ua linalo rekodi mazungumzo na yana wafikia wanajeshi wa Marekani”
“Ni nani aliye liweka?”
Raisi Mtenzi aliuliza ila akakosa jibu hili kwa maana ofisi yake kipindi alipo kuwa ana umwa ilikuwa chini ya makamu wake wa raisi ambaye kwa sasa ni marehemu.
“Muheshimiwa ina bidi kufanya jambo juu ya hili swala kwa maana Wamarekani walipo fikia hapa ni pabaya sana"
Mr the Brain alizungumza na kumfanya raisi Mtenzi kutafakari kwa sekunde kadhaa.


“Nina mpigia balozi wao kuja hapa”
“Hiyo haito kuwa solution muheshimiwa.”


Mzee Mbogo alishauri.
“Sasa tufanyaje?”


“Jambo la kufanya hapa muheshimiwa ni kujaribu kutengeneza mtego wa kuwakamata hao wana tufwatilia kwa maana tuna weza kuhisi Wamarekani kumbe ndani yake kuta kuwa na watu wenye lengo la kutupeleleza”
“Sasa mpango gani tufanye?”
“Muheshimiwa, kama hoto jali nina kuomba hili swala tumshirikishe rafiki yangu Magreth”
“Kwa nini Magreth?”
“Moja ni professional kwenye mambo ya upiganaji ana uwezo mkubwa na huyo ndio mtu wa pekee aliye weza kupambana na wanajeshi wako pamoja na walinzi wako wambao wame pata mafunzo ya hali ya juu ila akafanikiwa kuwamudu na kukutoa pale Muhimbili”
Josephine alimpigia debe rafiki yake huyo ili mradi kuhakikisha kwamba hamuachi Magreth kwenye kila eneo ambalo ana kuwepo yeye.
“Wageni walio ambatana na huyu binti wapo wapi?”
Raisi Mtenzi alimuuliza mmoja wa walinzi wake.
“Wapo chumba cha kupumzikia”
“Muite Magreth”
“Sawa mkuu”
Mlinzi huyo akaondoka na kuwaacha raisi Mtenzi na washauri wake nje ya ofisi yake.
“Kuna clip ambayo ulitolewa pale hospitalini muheshimiwa. Una taka kuniambia kwamba binti huyo ndio aliye fanya mambo hayo yote?”
Mzee Mbogo alizungumza huku akimtazam Josephine usoni mwake.
“Hembu niione hiyo clip”
Mzee Mbogo akaiweka clip hiyo kwenye simu yake na kumuonyesha raisi Mtenzi. Raisi Mtenzi akamshuhudia jinsi Magreth aliye valia nguo za kinesi, akipambana na wanajeshi pamoja na walinzi wake.
“Ndio huyo ni Magreth”
Josephine alizungumza huku naye akiitazama clip hiyo ya video kwa maana yupo karibu na raisi Mtenzi. Magreth akafika eneo hilo huku akiwa ameongozana na mlinzi huyo aliye agizwa kwenda kumchukua.


“Mage una fahamu hii”
Raisi Mtenzi alizungumza huku akimkabidhi Magreth simu hiyo. Magreth akastuka kidogo mara baada ya kuona hivyo clip kwa maana anyae onekana hapo ni yeye pamoja na Juma ambaye yeye hakuwa mpambanaji. Magreth akamtazama Josephine na kumumkuta akiwa amejawa na tabasamu pana sana usoni mwake ambalo kidogo likamtoa wasiwasi.


“Ndio muheshimiwa ni mimi”
“Nime lindwa na walinzi wengi sana ila sijawahi kumuona mwenye uwezo wa kupambana kama uwezo wako”
“Nina shukuru muheshimiwa”
“Sasa acha niende kwenye poiti tuliyo kuitia hapa. Wamarekani katika moja ya ua la pambo katik ofisi yanug wame weza kutehe kinasa sauti ambacho kila tulicho kizungumza ndani hapo waa kisikia. Sasa tuna hitaji kutengeneza mtego wa kuwafanya waweze kuingia kwenye kumi na nane zetu ili hata baadae mahusiano yetu na wao yana kwenda kuharibika basi tuweze kuwa na kidhibitisho kwamba chanzo kikuwa ni wao kutupeleleza kwa kutege kinasa sauti ndani ya ofisi ya raisi”
“Sawa muheshimiwa raisi nimekuelewa. Je ungependa tutengeneze mtego gani?”
“Kwa ujuzi wangu. Wamarekani ni watu wajanja sana muheshimiwa raisi, ninacho kiona ni tutumie nafasi ya huyu binti kukubali kutupeleka kwenye hilo eneo ambalo kuna hadhina kisha huyu msichana aweze kutupatia back up.”
Mr the Brain alizungumza na kuwafanya watu wotte kumtazama raisi Mtenzo.


“Hilo wazo ni zuri sana, ila lina uhatari ndani yake”
“Ni kweli muheshimiwa ila hatuna jinsi. Huyu msichana si yupo vizuri kwenye mambo ya kupambana”
“Ndio”
Muheshimiwa nita kwenda na huyu Josephine ila nita ondoka hapa na msafara wako alafu huyu Magreth ata tupatia back up”
“Josephine una weza kulifanya hili?”
“Ndio muheshimiwa”
“Magreth?”
“Ndio ila nina omba niweze kurudi nyumbani nikachukua vifaa vyangu ili niweze kuifanya hiyo kazi”
“Sawa una dakika hamsini”
“Nashukuru muheshimiwa”
Magreth akaelekea alipo Juma na wakaondoka wote na kuanza kurudi nyumbani.


“Mkuu mbona kama una wasiwasi?”
Juma alimuuliza Magreth huku akimtazama jinsi alivyo jawa na mawazo.


“Kuna kazi moja ya hatari nime pewa kuifanya hiyo kidogo ina nipa wasiwasi”
“Kazi gani?”
“Wamarekani wana ihitaji ile hadhina ambayo Josephine ana waambia. Sasa wame tega kinasa sauti ofisi kwa raisi hivyo mipango na kila kitu cha raisi kina sikika upande wa pili wa Wamarekani. Hivyo tuna hitaji kuwakamata wahusika na mimi ndio nime wepa jukumu hilo”
“Mmmm mkuu mbona kama hilo jambo ni zito sana?”
“Ni kweli ni zito ila ndio hivyo nita fanyaje best”
“Sasa mkuu kumbuka kitu alicho kizungumza Josephine kuhusiana na maono yake. Isije hii ikawa ndio safari”
Juma alizungumza kwa sauti ya upole na kuzidi kumtia wasiwasi Josephine, hata kama ni jasiri kiasi gani ila linapo kuja swala la kufa na una tambua kwamba una siku chache za kuishi duniani basi hata ujasiri huwa una potea kabisa. Magreth akashusha pumzi nyingi kwa maana hatambui ni kitu gani kina kwenda kutokea katika kazi hiyo. Wakafika nyumbani na Magreth akaanza kujiandaa haraka haraka. Alipo hakikisha kwamba yupo tayari, akatoka chumbani kwake huku akiwa amebaba begi la mgoni pamoja na upanga mrefu ambao ana utumia.
“Uta linda nyumba sawa Juma”
Magreth alizungumza huku funguo yake ya pikipiki ikia mkononi mwake.”
“Sawa ila kuwa makini sana bosi. Tambua kuna watu nyuma tuna kutegemea”
Juma alizungumza kwa sauti ya upole huku akimtazama Magreth usoni mwake.


“Usijali, niombee nirudi salama”
“Sawa nakuombea”
“Hakikisha umfungulii mtu yoyote geti hadi upate udhibitisho kama ni sisi”
“Sawa mkuu usijali katika hilo”
“Haya”
Wakatoka nje, Magreth akapanda pikipiki yake huku akimtazama Juma aliye simama getini huku akimsubiri bosi wake huyo atoke ili afunge geti. Magreth akavaa helment ngumu ya pikipiki hiyo kisha akaondoka eneo hilo. Akafika kwenye moja ya sheli na kujaza mafunta tenki nzima ya pikipiki hiyo na kuelekea ikulu. Kutokana ana kitambulisho na raisi ame amua kumpitisha kama mtendaji wake wa serikali akaruhusiwa kuingia na silaha zake.
“Hei ume rudi”
Josephine alizungumza huku akiwa na furaha moyoni mwake.
“Yaa ni nini kinacho endelea hapa”
Josephine akafungua moja ya ofisi na kumuona mzee Mbogo akifanyiwa makeup iliyo mpelekea kufanana na raisi Mtenzi.
“Kwa nini ana fanyiwa makeup”
Magreth alumuuliza Josephine huku akifunga mlango wa chumba hicho.
“Raisi hawezi kwenda kwenye hilo eneo, ndio maana huyu mzee ana pigwa makeup itakayo mfananisha na raisi Mtenzi”
“Ila Josephine niambie kitu kimoja nielewe”
“Niambie”
“Nita kufa kwenye hii kazi au?”
Josephine akashusha pumzi huku akimtazama Magreth usoni mwake ambaye ana onekana kujana na woga.
“Huwezi kufa, nina muomba Mungu aweze kutuepushia kifo sisi sote”
“Mwenzi kusema kweli nina ogopa kuifanya kila kitu. Yaani nina fanya kwa sababu ya heshima yangu kwa raisi. Ila ingekuwa sio hivyo sasa hivi ninge kuwa nipo nyumbani nime lala”
“Usijali nime muomba Mungu juu ya hili na nina imani kwamba ata jibu maombi yetu”
“Raisi ana wahitaji”
Mlinzi wa raisi Mtenzi alizungumza na wakaanza kumfwata na kuingia ofisini kwake. Wakawakuta walitaalamu wa mambo ya maswaliano wakiwa wamesha andaa kila kinasa sauti kwa ajili ya kazi hiyo.


“Hivi ni vinasa sauti ambavyo muna kuwa muna vitumia kuwasiliana na sisi”
Jamaa mmoja alizungumza huku akiwakabidhi Josephine na Magreth vinasa sauti hivyo vidogo vya kuvaa masikioni.


“Mage hilo panga ni la nini?”
Raisi Mtenzi aliuliza huku akiwa amejawa na mshangao usoni mwake.
“Ni kwa ajili ya kujilinda muheshimiwa”
“Sawa muwe makini”
“Tuna shukuru muheshimiwa raisi. Hicho kinasa sauti chao kipo wapi?”
Kijama mmoja akamuonyesha Magreth jani la ua hilo la plastiki(urembo) jinsi lilvyo tengenezwa vizuri.


“Kwa hiyo hapa wana tusikia?”
“Hapana tukizima hichi kikata sauti chetu basi hawato weza kutusikia”
“Zimeni alafu raisi na Josephine muzungumze kwamba muna kwenda”
“Tumesha fanya hivyo”
Raisi Mtenzi alijibu.


“Ahaa sawa. Eneo ni wapi?”
Magreth aliuliza huku akimtazama raisi Mtenzi usoni mwake.
“Ni hapo Posta kwenye zile gorofa nyingi zilizo anguka.”


“Basi muta nikuta hapo. Muonekano wangu ni huu hapa”
Josephine akamkabidhi raisi Mtenzi picha ya jinsi atakavyo kuwa amevalia.
“Haya mavazi ni yako?”
“Ndio ninayo ndani ya begi hapa”
“Ssawa niwatakie kazi nje”
Magreth akaagana na raisi Mtenzi pamoja na Josephine kisha akaondoka eneo hilo, haikumchukau muda mrefu kufika eneo la karibu la majengo hayo yaliyo haribiwa kwa milipuko. Akaificha pikipi yake neo ambalo sio rahisi kwa mtu kuweza kumuona. Akabadilisha nguo zake na kuvaa nguo hiyo ambayo ina uwezo wa kuto kuingiza risasi. Akakoki bastola yake, akahesabu silaha zake zilizo kaa mfumo wa nyota zimapato kumi na mbili kisha akaziweka vizuri. Kisu chake kikali ambacho kime jikunja kidogo mbele na kime unganishwa na mnyororo mrefu, akauzugushia vizuri kionini mwake. Uzuri wa macho yaliyo tengenezwa kwenye nguo yake hiyo yana uwezo wa kuona vizuri kwenye kigi hivyo haikumpa shida kuligagua eneo hilo. Hazikupita dakika ishiri akaanza kusikia ving’ora vya gari za raisi. Magreth akasimama kwenye moja ya gorofa ambayo zipo tano, akashuhudia gari hizi jinsi zinavyo simama eneo la karibu na gorofa hilo. Akashuhudia jinsi walinzi wa raisi wanavyo shuka kwenye gari hiyo huku wakiambatana na Josephine aliye valiashwa jaketi la kuzuia risasi. Wakaanza kutembea kuelekea ndani ya moja ya gorofa kabla hata hawajafika mlipuko mkubwa ukatokea kwenye gorofa hilo na kusababisha walinzi walio kuwa wametangulia mbali kurushwa mbali huku, mzee Mbogo ambaye ana fanania na raisi Mtenzi akimrukia Josephine na kumziba asiweze kuudhurika na vipande hivyo vya mlipuko. Milio ya risasi ikaanza kurindima kuelekea zilipo gar hizo za msafara wa raisi na kumfanya magreth achanganikiwe na asijue ni wapi aanze kushambulia watu hao ambao wanaonekana wame dhamiria kabisa kumua raisi na kila mmoja aliye fika eneo hilo.


***


Zuma akafika katika mtaa anao ishi Magreth. Akaitazama picha ya nyumba ya Magreth iliyopo kwenye simu yake na akafanikiwa kuiona nyumba hiyo. Akaanza kutembea kuelekea getini huku akiwa amejiandaa vizuri kwa mashambulizi ya aina yote. Akafika getini na kutazama kamera zilizo fungwa eneo hilo. Akaminya kitufe cha kengele huku akisubiria majibu ya kufunguliwa geti hilo. Alipo ona kimya kwa dakika moja, akatoa plasta ngumu na kuibandika kwenye kitufe hicho na kusababisha kengele hiyo kuendelea kujiminya kwa nguvu na kumbuguzi Juma ambaye amekaa sebleni akitazama filamu.


‘Au wame pata matatizo hivyo wana kimbizwa’


Juma alijishauri huku akisimama, akafungua pazi na kuchungulia nje. Akashushusha pumzi taratibu kisha akatoka sebleni hapo.
“Nani”
Juma aliuliza huku akielekea kwenye geti dogo. Zuma akaichomoa bastola yake aliyo kuwa ame funga kiwambo cha kuzuia sauti huku akiamini kwamba huyo anaye uliza ni mlinzi wa nyimba hiyo kwani kwa taarifa alizo nazo ni kwamba nyumba hiyo wana ishi wanawake tu.


“Nani?”
Juma aliuliza kwa msisitizo huku akifungua kitasa cha ndani cha geti hilo. Kitendo cha kufungua geti dogo akakutana uso kwa uso na bomba ya bastola ya Zuma na kumfanya astuke sana na kuanza kurudi nyima huku akitetemeka kwa woga.


“Magreth na Josephine wapo wapi?”
Zuma aliuliza kwa msisitizo huku akimtazama Juma aliye kaa kifua wazi.
“Ha….h….a…ha…wa…po”
Juma alijibu kwa kigugumizi. Zuma hakuwa na huruma yoyote kwa Juma akafyatua risai iliyo mpiga Juma kwenye paji lake la uso na kutokea usogoni na akaanguka mzima mzima na eneo hilo likaanza kutapakaa damu na Zuma akaelekea ndani ya nyumba hiyo kuhakikisha kwamba ana wapata Josephine na Magreth ambao amepewa jukumu la kuwaua na Evans Shika.


ITAENDELEA


Haya sasa, maisha ya kijana asiye na hatia na wala asiye kuwa ana fahamu ni kitu gani kinakwenda kumpata, yamekatishwa galfa kama mshumaa unao zima. Ita kuwaje ikiwa Josephine na Magreth wapo kwenye misuko suko ya kushambuliwa? Usikose sehemu ya 144.
 
Typing error nyingi aisee unajitahid lakini jifunze kuandika vizur
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…