Mtepetallah
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 230
- 131
duuu yaani ni bonge la story
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwendelezo ndo ttz nimegundua tinaonjeshwa ili tikanunue not so bad!duuu yaani ni bonge la story
Atengeneze Whatsapp Group kwakweli.maana wengine hatuwezi kuvifikia hivyo vitabuKisiwa cha Madagascar uliahidi kuileta mwanzo hadi mwisho ila ulipoikatisha na kudai cjui mtunzi kagoma cjui nini kiukweli nilikosa Imani sana na lengo nadhani ni kutuonjesha huku ili tukanunue kitabu, nadhani ungekuwa mkweli tu ukaongea na mtunzi mkatengeneza WhatsApp group kukawa na kiingilio flan watu wakasoma Riwaya mwanzo hadi mwisho kuliko kuwa mnatutia hamu na story zinakosa mwendelezo naAmini hata hii haitafika,ASB njema
Naunga mkono hoja.mimi mwenyewe mpenzi sana Wa hadithi.urahisi wangu kunifikia ni kwenye wassap tuAtengeneze Whatsapp Group kwakweli.maana wengine hatuwezi kuvifikia hivyo vitabu
bora tulipie kwa whatsapp
Naomba nikujulishe sie mimi niliyeleta hadithi ya kisiwa cha Madagascar. Tafuta huo uzi angalia nani ndiye alianzisha hiyo stori na utagundua sio mimi. Pili naomba ujue hata mimi adithi ikikatishwa naumia sana kwa alosto kama mtu yeyote yule. Naomba pia nikujuze hata hii hadithi ninayoileta humu naileta kwa ruhusa za mwandishi mwenyewe. Tatu, nahisi sio vibaya kama mwandishi akijitangaza kwa kukupa baadhi ya script ili uvutiwe ukanunue kitabu. Kuna siku aliwahi kunijibu "kazi yangu sio kufurahisha wasomaji wa bure mitandaoni bali kazi yangu ni kutunga adithi nzuri ili niuze vitabu. Naishi kwa kuuza vitabu" mwisho wa kunukuu. Pia alisema haamini saaana kuuza kwa whatsapp kwani watu wanatabia ya kutumiana na kuna wengine wanachapisha kabisa story ya mtu. Nahisi nimeeleweka. Hata hii story mnapata kwa hisani ya mtunzi kuwa niwapostie.Kisiwa cha Madagascar uliahidi kuileta mwanzo hadi mwisho ila ulipoikatisha na kudai cjui mtunzi kagoma cjui nini kiukweli nilikosa Imani sana na lengo nadhani ni kutuonjesha huku ili tukanunue kitabu, nadhani ungekuwa mkweli tu ukaongea na mtunzi mkatengeneza WhatsApp group kukawa na kiingilio flan watu wakasoma Riwaya mwanzo hadi mwisho kuliko kuwa mnatutia hamu na story zinakosa mwendelezo naAmini hata hii haitafika,ASB njema
[emoji39] [emoji39] [emoji39]Nimeongezea mzigo
Nimeongezea mzigo
[emoji39] [emoji39] [emoji39]
[emoji39] [emoji39] [emoji39]
Nambie mdogo wnguDear
Nambie mdogo wngu
Kwann ucpende na wakati ww ni mdogo wnguHahaaa sipendi kuitwa hivyo na mwanamke..
Kwann ucpende na wakati ww ni mdogo wngu