ngumbuke
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 495
- 527
Habari wanajamvi!
Nakumbuka mwishoni mwa miaka ya 80, nilibahatika kusoma riwaya moja ikijulikana kwa jina la PETE. Nahisi ni riwaya ya kimkondo wa Kifalsafa.
Ninachokumbuka kwa haraka ni kuwa riwaya hii ilimuhusu kijana mmoja mcha Mungu hivi aliyeamua kuoa kinyume na matarajio yake.
Naomba nisaidiwe namna ya kuipata kutoka kwa yeyote anayeijua riwaya hii ya Kifalsafa.
Nakumbuka mwishoni mwa miaka ya 80, nilibahatika kusoma riwaya moja ikijulikana kwa jina la PETE. Nahisi ni riwaya ya kimkondo wa Kifalsafa.
Ninachokumbuka kwa haraka ni kuwa riwaya hii ilimuhusu kijana mmoja mcha Mungu hivi aliyeamua kuoa kinyume na matarajio yake.
Naomba nisaidiwe namna ya kuipata kutoka kwa yeyote anayeijua riwaya hii ya Kifalsafa.