Roadlife

Enhee namimi dukuduku langu ni kwa wale wanaotupaga foil walizomaliza kulia chips, mkiwaona waambieni wasiwe wanaweka pilipili nyingi!.
 
#Roadlife. Tuikemee vikali tabia ya baadhi ya madereva na hasa wa malori ya kunywa juice au soda halafu hawamalizii kisha kutupa hizo chupa zikiwa na juice au soda ndani yake,hii tabia si nzuri hata kidogo (D2t)

@BRAZA CHOGO @Tumwesige senior
Bora hao soda ikibaki ngedere watakunywa wapo wanaokojoa kwenye chupa hizo na kuzitupa nje na mikojo, mbaya inakuja pale magari yanapishana na moja likaikanyaga hiyo chupa kama hujafunga kioo au uko kwa miguu basi utarukiwa na hiyo mikojo yote
 
Kama masihara lakini kuna jambo lakuzingatia sana hapa. Maana kuna watoto wadogo wanaoweza kuokata na kunywa bila kujua vimechanganywa nini. Kuna watumiaji bara bara wengine ambao wanaweza kupata ajali kisa hizo chupa bara barani.

Haya mambo yakemewe kweli wandugu hata magari ya abiria unakuta abiria yeye anatupa tu vitu nje bila kuzingatia usalama wa watumiaji wengine wa bara bara.
 
Bora hao soda ikibaki ngedere watakunywa wapo wanaokojoa kwenye chupa hizo na kuzitupa nje na mikojo, mbaya inakuja pale magari yanapishana na moja likaikanyaga hiyo chupa kama hujafunga kioo au uko kwa miguu basi utarukiwa na hiyo mikojo yote
Iyo chupa yenyewe umeiona mkuu lakini πŸ˜…πŸ˜…
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…