Mzungu ndiye aliye komesha biashara ya utumwa baada ya sisi kuuzans wenyewe kwa wenyewe.Mzungu hajawahi kumpenda au kuipenda Africa kutoka moyoni. Lazima ujiulize mara mbili mbili. Strings attached hapo. Aids with conditions. Siyo bure, tena mbaya zaidi. History keeps repeating it self, kama Thomas Sankara
Huyu mchagga G Sam anatapatapa maana alijiimanisha kuwa Tototundu ataukwaa urais kirahisi na si ajabu Alimhaidi kuwa angalikuwa msemaji mkuu wa serikaliKuna watu wanalazimisha kubakia relevant, si mfungue tu sasa kuna haja gani ya kututangazia kila siku ?
Ukiitwa mwendawazimu utasema unetukanwaAsante sana rafiki yetu mpendwa mzungu, Bob Amsterdam.
Nani kama wewe baba?
Kwa akina Van PersieUholanzi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nadhani na wao walijua fika kwamba ruzuku hawatapewa na yamkini walijiandaa kukabiliana na haliHakuna aliyekukataza kumtumia Muzungu au yoyote yule maadamu una fedha za kumlipa, huo ni uamuzi wenu, lkn fedha zetu za ruzuku sasa Mbowe, Tundu &Co. la kihalifu hawapati hata shilingi ngoja tuone wataende mbali kiasi gani na hizi drama bila ya hela, ...
Huko watakuwa wameridhika na hayo mauaji.Na hakuna aliyepeleka malalamiko ICC.Kwa hapa kwetu huu mwaka naona kizungu-zungu tu kwa kweli.Sijawahi kuona nchi yetu ikishupaliwa hivi.Watu wanaokufa Rwanda, Butundi, Congo DRC, Congo Brazavile, Sudan n.k ni wengi kuliko Tanzania na hakuna aliyefungwa na ICC
Wewe sema tu. Mdomo mali yako, ujue tumeikuta dunia na tutaischa. Kwanini watu wasitende haki kisha waishì kwa amani?Robert Amsterdam anatapatapa.
Basi sawa, ila we bado mtoto kuna vitu hujuiIcc list is on its way!! Stay tuned
Bado kidogo tuu Atajua hajuiBasi sawa, ila we bado mtoto kuna vitu hujui
Jamaa wanabana kila upande, huku EU, Pompeo, Bunge la Ulaya, Amnesty, CCM kazi wanayo.
Hakuna kinatakachotokea!!!Ni shahidi gani atajitolea kwenda huko,tumeona kilichotokea Kenya.La pili ni kuwa tunaonekana kufanya vibaya kwa kuwa haikuwa kawaida yetu kuvuruga kwa kiasi hiki lakini kuna nchi zimevuruga chaguzi mara kumi ya nchi yetu na bado zinadunda.Baada ya gwiji la sheria la kimataifa ndugu Robert Amsterdam kufanikiwa kuishawishi idara ya mambo ya nje ya Umoja wa Ulaya kuijadili Tanzania dhidi ya ukiukwaji wa haki za binadamu na hatimaye kusubiri hatua rasmi za kinidhamu kuchukuliwa, sasa Robert amethibitisha rasmi kuwa jumatatu anaenda ICC kufungua mashitaka dhidi ya uhalifu wa binadamu nchini Tanzania.
Kwa mujibu wa kanuni za ICC, endapo mashitaka yatafunguliwa basi Tanzania itahitajika kupeleka utetezi wake na kisha pande zote mbili kujadiliwa kwa kina.
Sasa mataifa mbalimbali yanaendelea kuchukua hatua dhidi ya Tanzania baada ya ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu na uhuru kipindi cha uchaguzi mkuu wa mwaka 2020.
Walitaka tuandamane watuue wanywe damu yetu. Wazungu wataandamana kwa niaba yetu, wanakata misaada, wanasitisha ARV za bure, ndipo Magufuli atapojifunza kuheshimu haki za binadamu kitu ambacho Marais wenzie waliopita walikifanya bila shuruti.CCM wana polisi, sisi wananchi tuna wazungu.
Ngoma droo!
Mku kwani wahisani wanavyosaidia nchi mbalimbali huwa wanafaidika nini.Huyu Mzungu yeye ananufaika vipi na hizi kesi? Ni kwamba anatuonea huruma Watanzania!? Au ana Agenda yake ya siri?
Si mlimtamtafuta mbunge aliye ingia bungeni kwa hisani ya mtu wa Chato, Halima Mdee mlisema analysis vikao anachelewesha maendeleo. Sasa mnamtaja wa nini tena?CDM pelekeni majina ya viti maalum bungeni,, acheni ubinafsi. Halima Mdee,m/kiti BAWACHA (T) unakwama wapi mrembo..