Robert Amsterdam athibitisha kufungua mashitaka ya uhalifu dhidi ya binadamu kwa Tanzania ndani ya ICC jumatatu

Hata mwenyewe hajui alishindaje kwakweli. Inawezekena akawa afisa kipenyo
Mpeni ushirikiano,awakilishe wananchi wa jimbo lake bungeni... BAWACHA ni jeshi kubwa,mikutano yao huwa inatetemesha watawala,wako tayari kwa lolote kutetea utu na usawa..mifano unayo. Wapelekeni bungeni wakati mengine yakiendelea,
 
Mpeni ushirikiano,awakilishe wananchi wa jimbo lake bungeni... BAWACHA ni jeshi kubwa,mikutano yao huwa inatetemesha watawala,wako tayari kwa lolote kutetea utu na usawa..mifano unayo. Wapelekeni bungeni wakati mengine yakiendelea,
 
Barabarani Hamkuuingia Nyinyi na Amsterdam wenu Chaliiiiiiiiiiiiiii Nano alikuambia kupeleka mashitaka Mahakamani inakatazwa😂🤣😂🤣😂🤣😂🤣😂🤣🤣 Hata Joti anaweza Pelekaaa
 
Barabarani Hamkuuingia Nyinyi na Amsterdam wenu Chaliiiiiiiiiiiiiii Nano alikuambia kupeleka mashitaka Mahakamani inakatazwa😂🤣😂🤣😂🤣😂🤣😂🤣🤣 Hata Joti anaweza Pelekaaa
Mnanyolewa kwa style nyingine kali zaidi
 
Naona kama wanawachelewesha vile.Sijui mimacho atamwakilisha dokta wa korosho na "ze , ze" zake?
 
Mwanasheria wa Lissu huyo na ni kampuni hio sio Mtu Binafsi, Yupo kazini hapo yani kalipwa na Sijui Lissu hela katoa wapi

Lissu Mtu wa ajabu sana
Mijitu mingine mijinga kweli.Yalijiandaa kupora haki za watu kwa kutunga sheria za kibaguzi (kuzuia watu kulinda kura,kutopewa wakala nakala za matokeo,kuruhusu wana ccm kusimamia uchaguzi,n.k), kuita watendaji wa kata Ikulu kuwalisha yamini,kuminya wapinzani kujitangaza ,kuandaa mahakama kusikiliza kesi za uchaguzi kama zile za Kisutu.Walifikiri wenzao wana akili fupi kama za polepole na bashiru na jiwe wao.

Hakuna kesi itakayofunguliwa hapa ni kuleee ili mkateseke na muonje suluba kama mnavyowafanyia wengine kwenye kangaroo courts za feleshi na biswalo.
 
Jamaa wanabana kila upande, huku EU, Pompeo, Bunge la Ulaya, Amnesty, CCM kazi wanayo.
Huoni aibu kumtaja Pompeo, nchi yake imeua maelfu ya watu Somalia, Iraq, Afghanistan, Syria, Vietnam, Korea, na Ulaya Mashariki na mpaka leo huyo Amsterdam hawezi hata kuota kutamka kuishitaki USA huko The Hague! Hivi umekaa na kujiuliza nchi ambayo imeua, inaua, na itaua maelfu kwa nini yenyewe isishtakiwe huko The Hague? Hebu nipe jibu kwa nini USA haiwajibiki kwenye hii mahakama. Kazi kushabikia tu.
 
Mbona Marekani pamoja na ukiukaji wote wa haki za mino
watu,wakiwemo weusi ndani ya Marekani na duniani kote kwa ujumla hajaipeleka ICC.Huyu katumwa na mabeberu kui-destabilize Tanzania kwa sababu ya msimamo wake dhabiti mabeberu.Ni opportunist tu huyu,anapaswa kupuuzwa.After all ICC imekosa credibility kwa kuwa imeshindwa kutetea haki za watu duniani note kama Palestrina,Yemen Syria na minorities sehemu mbali mbali duniani.
 
Mzee ICC sio Kisutu. Jiandaeni tu
ICC ni Kisutu tu,tena inawezekana ni less than Kisutu,hamna lolote,mbona wamewashindwa Marekani na Israel,halafu these two countries are not even members.Wawa-prosecute hao kwanza ndio Tanzania ifuata.

Ni mahakama gani ambayo ina lenga nchi za Kiafrika tu.After all tuliingia kwa hiari,wakileta za kuleta tunajitoa.Bensouda your hands off Tanzania please.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…