Kesi ya uzushi kisa kikampuni chake cha Compass kunyimwa tenda za magumashi, sasa anadanga tu mjini,na rafiki yake yule wa Zanzibar uwakili wake umebaki wa kumshauri baba yake tu.Hahahahahahahahah! Bahati mbaya mnatupaGA updates za kufaili kesi lakini updates za kinachoendelea baada ya hapo hamtuambii. Mkumbushe Maria Tsehai atutaarifu kesi yake naye imefikia wapi! Ahahahahahah!!!
Hii ni habari mbaya sana pale mtaa wa saba!! aibu yao yaja...malipo huwa ni hapa hapa duniani...Hii ni tweet alioiandika siku ya jana:
Nothing can remedy the suffering of the Tanzanian people who were injured or killed or arrested during the recent election. I want to thank Utibe Ntekim and our team for their excellent work. We filed today at the ICC!! More to come!!
Nyingine ni hii ikihusiana na hiyo ya hapo juu:
All of our work on Tanzania is dedicated to the incredible heroism of Tundu Lissu!! His is an example for the ages! When Tanzania is free it shall have TL as its rightful leader!
Tuliza kalio sasa dunia inasukuma dawa sindano itakatikiaHii ni mara ya ngapi sasa ana file? Maana alishasema siku nyingi tu kuwa alisha file ICC. Hata Fatuma Karume alishasema ame file. Maria Sarungi naye kisha file. Waendelee ku file. Sisi ni sovereign country, haiwezi kushitakiwa na vigaragosi vya aina ya Fatuma Karume na vishoga vya aina ya Amsterdam na huyo mkimbizi. Amerika, China na nchi nyingi tu za ulaya si wanachama wa hiyo ICC. Sisi tuko huko at our plessure only, wakati wo wote tukipenda tunajitoa kama Kenya ilivyofanya walipoleta vigisu vigisu kumhusu rais wao Uhuru Kenyata.
Hehee, sky bhanaUtasema yote lakini baada ya uchaguzi wa 2020 siasa za Tanzania zitabadilika na uhuru wa watu kumchagua kiongozi wanaempenda utakuja.
Wewe vipi wewe?Utasema yote lakini baada ya uchaguzi wa 2020 siasa za Tanzania zitabadilika na uhuru wa watu kumchagua kiongozi wanaempenda utakuja.
Heri ya mwaka mpyaWewe vipi wewe?