Hii ni mara ya ngapi sasa ana file? Maana alishasema siku nyingi tu kuwa alisha file ICC. Hata Fatuma Karume alishasema ame file. Maria Sarungi naye kisha file. Waendelee ku file. Sisi ni sovereign country, haiwezi kushitakiwa na vigaragosi vya aina ya Fatuma Karume na vishoga vya aina ya Amsterdam na huyo mkimbizi. Amerika, China na nchi nyingi tu za ulaya si wanachama wa hiyo ICC. Sisi tuko huko at our plessure only, wakati wo wote tukipenda tunajitoa kama Kenya ilivyofanya walipoleta vigisu vigisu kumhusu rais wao Uhuru Kenyata.