Robert Amsterdam: We filed today at ICC!! More to come

Robert Amsterdam: We filed today at ICC!! More to come

Hahahahahahahahah! Bahati mbaya mnatupaGA updates za kufaili kesi lakini updates za kinachoendelea baada ya hapo hamtuambii. Mkumbushe Maria Tsehai atutaarifu kesi yake naye imefikia wapi! Ahahahahahah!!!
Kesi ya uzushi kisa kikampuni chake cha Compass kunyimwa tenda za magumashi, sasa anadanga tu mjini,na rafiki yake yule wa Zanzibar uwakili wake umebaki wa kumshauri baba yake tu.
 
Hii ni tweet alioiandika siku ya jana:

Nothing can remedy the suffering of the Tanzanian people who were injured or killed or arrested during the recent election. I want to thank Utibe Ntekim and our team for their excellent work. We filed today at the ICC!! More to come!!

Nyingine ni hii ikihusiana na hiyo ya hapo juu:

All of our work on Tanzania is dedicated to the incredible heroism of Tundu Lissu!! His is an example for the ages! When Tanzania is free it shall have TL as its rightful leader!
Hii ni habari mbaya sana pale mtaa wa saba!! aibu yao yaja...malipo huwa ni hapa hapa duniani...
 
Tuliza
Hii ni mara ya ngapi sasa ana file? Maana alishasema siku nyingi tu kuwa alisha file ICC. Hata Fatuma Karume alishasema ame file. Maria Sarungi naye kisha file. Waendelee ku file. Sisi ni sovereign country, haiwezi kushitakiwa na vigaragosi vya aina ya Fatuma Karume na vishoga vya aina ya Amsterdam na huyo mkimbizi. Amerika, China na nchi nyingi tu za ulaya si wanachama wa hiyo ICC. Sisi tuko huko at our plessure only, wakati wo wote tukipenda tunajitoa kama Kenya ilivyofanya walipoleta vigisu vigisu kumhusu rais wao Uhuru Kenyata.
Tuliza kalio sasa dunia inasukuma dawa sindano itakatikia
 
Back
Top Bottom