DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
upo sahihi kabisa .
mtibeli kijana mdogo mwenye pesa nyingi.
mtibeli kijana mdogo mwenye pesa nyingi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ninajua mkuu.Unaelewa maana ya uthibitisho wa jambo lakini?
yah nilifika epsode ya 64Yes,wewe nimfuatiliaji mzuri
Kazia hapo hapo thibitishaNinajua mkuu.
Mkuu kuna vitabu nilikua nakutumia pm sijui why ilikua inafeli ?🤔upo sahihi kabisa .
mtibeli kijana mdogo mwenye pesa nyingi.
Mkuu kuna vitabu nilikua nakutumia pm sijui why ilikua inafeli ?🤔
Sawa mkuuNitumie tena PM mkuu -ntashukuru Sana 🤝
Sawa mkuu
Mkuu ni rahisi sana kuthibitisha uwepo wa mungu japo najua hutokubali kama ilivyo ada yenu atheistKazia hapo hapo thibitisha
Thibitisha, umejuaje sitokubali wakati haujathibisha?Mkuu ni rahisi sana kuthibitisha uwepo wa mungu japo najua hutokubali kama ilivyo ada yenu atheist
Hiki ndicho kipande chako baada ya kurekebisha alama za uandishi:
Kwa muda sasa, najaribu kumchunguza kijana huyu anaye fahamika kama Robert Herieli almaarufu Mtibeli.
Kupitia maneno yake na tabia zake humu mtandaoni (sijajua offline), anafanana wazi kabisa na Michael Scofield. Kwa nini? Binafsi naona kijana ana uwezo mkubwa mno wa kiakili (kupitia maneno yake).
Michael Scofield, halikadhalika, hasa katika uhusika wa movie ya Prison Break, ana akili nyingi sana. Namfananisha na huyu kijana copyright.
Halikadhalika, namlinganisha na Michael Dudikoff, yule mwigizaji wa American Ninja, kwa ujasiri na kutopendelea. Kupitia maandiko yake, nimeona kijana huyu ni upanga ukatao kuwili—hana upendeleo. Sijajua offline yupo vipi.
Namlinganisha na Rais wa Urusi, Vladimir Putin, kwa ubabe wake na misimamo yake humu ndani.
Sijajua offline yupoje, ila itapendeza sana ikiwa offline pia atakuwa hivi.
LAKINI,
Huyu kijana kupitia maandiko yake, anaonekana ana udhaifu sehemu moja, eneo ambalo ni muhimu mno... Ana udhaifu mkubwa sana kwa wanawake wazuri. Hii si nzuri sana kwake; anaweza kurekebisha akiona inafaa.
Kijana anaonekana hana kauli kwa wanawake wazuri, ingawa akiwa jukwaani huonekana ana kauli na strict mno, ila anaonesha akishaongeleshwa tu basi akili inaruka kabisa. Udhaifu mkubwa mno...
All in all, tuna vijana wachache wa mfano huu, na wish siku moja apewe tuzo/udaktari wa heshima. Hii ni tunu, tuitunze.
Robert Heriel Mtibeli ni kijana smart sana katikati ya kundi kubwa la sisi vijana tunaowaza ngono na kubeti muda wote, hongera kwake.
Hapana binafsi siwezi kuandika jambo nina vitu vingi navijua napenda kila mtu ajue hasa humu, ila nakosa fursa hii kwa sababu ya kushindwa kuandika tu🤔Mimi Naamini hata ninyi mnaweza kuandika haya ninayoandika semà siô Hobby Yenu.
Hata yulee hakua GAY, ilikua kiki ya kuhamasisha [emoji304].Wentworth Miller ndio gay. Michael Scofield hakuwa gay.
Unasemaaaa!!!Hiki ndicho kipande chako baada ya kurekebisha alama za uandishi:
Kwa muda sasa, najaribu kumchunguza kijana huyu anaye fahamika kama Robert Herieli almaarufu Mtibeli.
Kupitia maneno yake na tabia zake humu mtandaoni (sijajua offline), anafanana wazi kabisa na Michael Scofield. Kwa nini? Binafsi naona kijana ana uwezo mkubwa mno wa kiakili (kupitia maneno yake).
Michael Scofield, halikadhalika, hasa katika uhusika wa movie ya Prison Break, ana akili nyingi sana. Namfananisha na huyu kijana copyright.
Halikadhalika, namlinganisha na Michael Dudikoff, yule mwigizaji wa American Ninja, kwa ujasiri na kutopendelea. Kupitia maandiko yake, nimeona kijana huyu ni upanga ukatao kuwili—hana upendeleo. Sijajua offline yupo vipi.
Namlinganisha na Rais wa Urusi, Vladimir Putin, kwa ubabe wake na misimamo yake humu ndani.
Sijajua offline yupoje, ila itapendeza sana ikiwa offline pia atakuwa hivi.
LAKINI,
Huyu kijana kupitia maandiko yake, anaonekana ana udhaifu sehemu moja, eneo ambalo ni muhimu mno... Ana udhaifu mkubwa sana kwa wanawake wazuri. Hii si nzuri sana kwake; anaweza kurekebisha akiona inafaa.
Kijana anaonekana hana kauli kwa wanawake wazuri, ingawa akiwa jukwaani huonekana ana kauli na strict mno, ila anaonesha akishaongeleshwa tu basi akili inaruka kabisa. Udhaifu mkubwa mno...
All in all, tuna vijana wachache wa mfano huu, na wish siku moja apewe tuzo/udaktari wa heshima. Hii ni tunu, tuitunze.
Hii stori nilisikia kwa rapa lily nax sijui kama ni kwelHata yulee hakua GAY, ilikua kiki ya kuhamasisha [emoji304].
Wazungu Wajanjaa mnooo. Lol
Acha weee…Wiki hii upepo umenipitia walahi.
Nashukuru Sana Mkûu.
Kutajwa tajwa hasa na Watu usiowajua kwamba wanapenda Kile unachokifanya inafurahisha Sana walahi. Siô Siri kupongezwa inaraha Sana😀😀
Umenifurahisha Hapo uliposema napenda Wanawake Wazuri. Mkûu Wanawake Wazuri ni tulizo la Moyo na Àkili. Waliumbwa kwaajili yetu hivyo huo siô udhaifu😊😊
Mwisho, narudia tenà Ahsante sana