Mhh sio mnacheza na brains zetu..?Wiki hii upepo umenipitia walahi.
Nashukuru Sana Mkûu.
Kutajwa tajwa hasa na Watu usiowajua kwamba wanapenda Kile unachokifanya inafurahisha Sana walahi. Siô Siri kupongezwa inaraha Sana😀😀
Umenifurahisha Hapo uliposema napenda Wanawake Wazuri. Mkûu Wanawake Wazuri ni tulizo la Moyo na Àkili. Waliumbwa kwaajili yetu hivyo huo siô udhaifu😊😊
Mwisho, narudia tenà Ahsante sana
labda dudikoff yule michael mwingine ni UPINDE haipendezi kumfananisha mwenzio na UPINDEHiki ndicho kipande chako baada ya kurekebisha alama za uandishi:
Kwa muda sasa, najaribu kumchunguza kijana huyu anaye fahamika kama Robert Herieli almaarufu Mtibeli.
Kupitia maneno yake na tabia zake humu mtandaoni (sijajua offline), anafanana wazi kabisa na Michael Scofield. Kwa nini? Binafsi naona kijana ana uwezo mkubwa mno wa kiakili (kupitia maneno yake).
Michael Scofield, halikadhalika, hasa katika uhusika wa movie ya Prison Break, ana akili nyingi sana. Namfananisha na huyu kijana copyright.
Halikadhalika, namlinganisha na Michael Dudikoff, yule mwigizaji wa American Ninja, kwa ujasiri na kutopendelea. Kupitia maandiko yake, nimeona kijana huyu ni upanga ukatao kuwili—hana upendeleo. Sijajua offline yupo vipi.
Namlinganisha na Rais wa Urusi, Vladimir Putin, kwa ubabe wake na misimamo yake humu ndani.
Sijajua offline yupoje, ila itapendeza sana ikiwa offline pia atakuwa hivi.
LAKINI,
Huyu kijana kupitia maandiko yake, anaonekana ana udhaifu sehemu moja, eneo ambalo ni muhimu mno... Ana udhaifu mkubwa sana kwa wanawake wazuri. Hii si nzuri sana kwake; anaweza kurekebisha akiona inafaa.
Kijana anaonekana hana kauli kwa wanawake wazuri, ingawa akiwa jukwaani huonekana ana kauli na strict mno, ila anaonesha akishaongeleshwa tu basi akili inaruka kabisa. Udhaifu mkubwa mno...
All in all, tuna vijana wachache wa mfano huu, na wish siku moja apewe tuzo/udaktari wa heshima. Hii ni tunu, tuitunze.
Michael Scofield asifiwe kwa uigizaji wake, wa kusifiwa kwa akili ni mtunzi wa prison break. Sasa Scofield yeye anatembea na maelekezo tu unawezaje kumsifia akili hapo!Hiki ndicho kipande chako baada ya kurekebisha alama za uandishi:
Kwa muda sasa, najaribu kumchunguza kijana huyu anaye fahamika kama Robert Herieli almaarufu Mtibeli.
Kupitia maneno yake na tabia zake humu mtandaoni (sijajua offline), anafanana wazi kabisa na Michael Scofield. Kwa nini? Binafsi naona kijana ana uwezo mkubwa mno wa kiakili (kupitia maneno yake).
Michael Scofield, halikadhalika, hasa katika uhusika wa movie ya Prison Break, ana akili nyingi sana. Namfananisha na huyu kijana copyright.
Halikadhalika, namlinganisha na Michael Dudikoff, yule mwigizaji wa American Ninja, kwa ujasiri na kutopendelea. Kupitia maandiko yake, nimeona kijana huyu ni upanga ukatao kuwili—hana upendeleo. Sijajua offline yupo vipi.
Namlinganisha na Rais wa Urusi, Vladimir Putin, kwa ubabe wake na misimamo yake humu ndani.
Sijajua offline yupoje, ila itapendeza sana ikiwa offline pia atakuwa hivi.
LAKINI,
Huyu kijana kupitia maandiko yake, anaonekana ana udhaifu sehemu moja, eneo ambalo ni muhimu mno... Ana udhaifu mkubwa sana kwa wanawake wazuri. Hii si nzuri sana kwake; anaweza kurekebisha akiona inafaa.
Kijana anaonekana hana kauli kwa wanawake wazuri, ingawa akiwa jukwaani huonekana ana kauli na strict mno, ila anaonesha akishaongeleshwa tu basi akili inaruka kabisa. Udhaifu mkubwa mno...
All in all, tuna vijana wachache wa mfano huu, na wish siku moja apewe tuzo/udaktari wa heshima. Hii ni tunu, tuitunze.
Mhh sio mnacheza na brains zetu..?
Kuandika kipaji sio kila mtu anacho. Wewe unacho. Acha nipumzike sasa.Mimi Naamini hata ninyi mnaweza kuandika haya ninayoandika semà siô Hobby Yenu.
Kuna mahojiano flani alifanyiwa akakiri...Hata yulee hakua GAY, ilikua kiki ya kuhamasisha [emoji304].
Wazungu Wajanjaa mnooo. Lol
Unatumia IDs yako nyingine kuji promote. Huwa inasaidia nini hii tabia?
Mtu wa maana kabisa TAIKONI wa Fasihi.
Naambiwa ninajipa Promo hapa
Tajiri me nakukubali sana, afu kuna kitu ninahisi kuhusu wapareNaambiwa ninajipa Promo hapa
Ana mchango Gani katika jamii maandikobyake yanafundisha Nini?Hiki ndicho kipande chako baada ya kurekebisha alama za uandishi:
Kwa muda sasa, najaribu kumchunguza kijana huyu anaye fahamika kama Robert Herieli almaarufu Mtibeli.
Kupitia maneno yake na tabia zake humu mtandaoni (sijajua offline), anafanana wazi kabisa na Michael Scofield. Kwa nini? Binafsi naona kijana ana uwezo mkubwa mno wa kiakili (kupitia maneno yake).
Michael Scofield, halikadhalika, hasa katika uhusika wa movie ya Prison Break, ana akili nyingi sana. Namfananisha na huyu kijana copyright.
Halikadhalika, namlinganisha na Michael Dudikoff, yule mwigizaji wa American Ninja, kwa ujasiri na kutopendelea. Kupitia maandiko yake, nimeona kijana huyu ni upanga ukatao kuwili—hana upendeleo. Sijajua offline yupo vipi.
Namlinganisha na Rais wa Urusi, Vladimir Putin, kwa ubabe wake na misimamo yake humu ndani.
Sijajua offline yupoje, ila itapendeza sana ikiwa offline pia atakuwa hivi.
LAKINI,
Huyu kijana kupitia maandiko yake, anaonekana ana udhaifu sehemu moja, eneo ambalo ni muhimu mno... Ana udhaifu mkubwa sana kwa wanawake wazuri. Hii si nzuri sana kwake; anaweza kurekebisha akiona inafaa.
Kijana anaonekana hana kauli kwa wanawake wazuri, ingawa akiwa jukwaani huonekana ana kauli na strict mno, ila anaonesha akishaongeleshwa tu basi akili inaruka kabisa. Udhaifu mkubwa mno...
All in all, tuna vijana wachache wa mfano huu, na wish siku moja apewe tuzo/udaktari wa heshima. Hii ni tunu, tuitunze.
Tajiri me nakukubali sana, afu kuna kitu ninahisi kuhusu wapare
Wengi wamebarikiwa kipaji cha uandishi
Nina amini uwezo wako mkubwa sana kwenye fasihi....haupo kwenye level za kujipa promo ,nondo zako humu ni promo tosha ,zinaenda zenyewe.