Robert Kidiaba aukwaa ubunge Congo

Robert Kidiaba aukwaa ubunge Congo

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Taarifa zinaonyesha kwamba Golikipa wa zamani wa Timu ya Taifa ya DRC na TP Mazembe Robert Kidiaba amechaguliwa kuwa mbunge nchini humo katika uchaguzi uliofanyika hivi karibuni .

FB_IMG_1547119504257.jpg


Taarifa zaidi zitakuja punde
 
Itabidii na sisi 2020 tujaribu kuchagua wabunge wanamichezo watakaojitosa maana wasanii tuliowachagua wametosha.
 
Back
Top Bottom