Profesa wa Maliasili
JF-Expert Member
- Feb 10, 2018
- 632
- 1,910
Wote hao wanamkubali T bag, uzuri au ubaya wa t bag ni kuwa hana adui wa kudumu na hana rafiki wa kudumu yeye urafiki unakuja kwenye mchongo tuu na ukikaa vibaya anakutapeli mchongo wenyewe ikitiki