DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,983
- 11,857
Baada ya kushiriki mazoezi na timu kwa miezi kadhaa ,Kocha mkuu wa Simba SC aomba kiungo fundi HASSAN DILUNGA aongezwe katka kikosi chake kwa ajili ya msimu ujao wa NBC PL na mashindano mengine.
Kocha huyo anaamini kuwa kwa kiwango chake anaweza kumfaa kutimiza malengo yake kwa msimu ujao ukizingatia ni mchezaji wa ndani
Kocha huyo anaamini kuwa kwa kiwango chake anaweza kumfaa kutimiza malengo yake kwa msimu ujao ukizingatia ni mchezaji wa ndani