Alionekana kutokueleweka na ikapelekea mashabiki kuutaka uongozi umfungashie virago.
Tofauti na matarajio ya wengi kocha Robertinho amefanikiwa kuibadiri Simba SC kutoka kucheza possessive football na kucheza tactical & direct football.
Hii imeifanya Simba SC kuwa hatari sana katika eneo la mbele.
Ongezea