JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Baada ya Simba kupoteza kwa magolo 3-0 dhidi ya Raja Casablanca, hivi ndivyo Kocha wa Simba, Roberto Oliveira Robertinho alivyosema:
“Nafikiri timu yangu imecheza vizuri lakini ilitakiw akucheza kwa umakini zaidi ya ilivyokuwa, ndivyo mchezo wa soka ulivyo, Raja wamekuwa wazuri kuliko sisi.
“Tunatakiwa kusahau kuhusu mchezo huu na kuelekeza mawazo yetu katika mchezo ujao.
“Nilipotea wachezaji kadhaa kutokana na kuwa majeruhi kama Saido na Baleke ambao wote walihtaji kuwa na utayari mzuri kabla ya mchezo wa leo.
“Nilipokuja hapa sikupata muda wa kuiandaa timu mwanzoni mwa msimu, nimekutana na mazingira ya mechi mechi kila muda, nahitaji muda wa kuwaandaa kifiziki na kimbinu.
“Tulipata nafasi kadhaa hatukutumia vizuri, wenzetu wamepata nafasi wametumia vizuri.”
“Nafikiri timu yangu imecheza vizuri lakini ilitakiw akucheza kwa umakini zaidi ya ilivyokuwa, ndivyo mchezo wa soka ulivyo, Raja wamekuwa wazuri kuliko sisi.
“Tunatakiwa kusahau kuhusu mchezo huu na kuelekeza mawazo yetu katika mchezo ujao.
“Nilipotea wachezaji kadhaa kutokana na kuwa majeruhi kama Saido na Baleke ambao wote walihtaji kuwa na utayari mzuri kabla ya mchezo wa leo.
“Nilipokuja hapa sikupata muda wa kuiandaa timu mwanzoni mwa msimu, nimekutana na mazingira ya mechi mechi kila muda, nahitaji muda wa kuwaandaa kifiziki na kimbinu.
“Tulipata nafasi kadhaa hatukutumia vizuri, wenzetu wamepata nafasi wametumia vizuri.”