Robertinho bado hajui anatafuta nini

Mi sina neno maana yote mmeongea. Sina Imani na falsafa ya Robertinho kwenye mashindano makubwa tangia tutolewe kwa penalty robo fainali iliyopita kwa uzembe mdogo tu.
 
Eti "....ikitokea Simba akachukua Ngao siku hiyo,..."

Kirahisi tu mbele ya timu iliyokamilika kila idara kama Yanga!! Ok, let us wait and see. Siyo mbali, ni kesho jioni.
 
Eti "....ikitokea Simba akachukua Ngao siku hiyo,..."
Kirahisi tu mbele ya timu iliyokamilika kila idara kama Yanga!! Ok, let us wait and see. Siyo mbali, ni kesho jioni.
Tena mbele ya washambuliaji hatari Ngushi na Mzinze!
 
Nina WASIWASI na uongozi WA Simba kwenye UFUNDI.

Ninawasiwasi na VIONGOZI WA Club ya Simba.

Pia Nina WASIWASI mkubwa sana NA Robertinho.

Simba wanachukulia poa SUPER CUP.
B5 WANAZICHEZEA HOVYO HOVYO.
Basi simba iwaachie yanga wakacheze super cup badala yao., huenda yanga akafika fainali kama alivyofanya kwenye kombe la losers. Simba na hili mkaliangalie
 
Kimeo pale simbaa ni Try Again akifuata yule Mangungo then Kajura. Hawa ni wapigaji bin wapigaji
 
Kocha ni mzee atakua na shida ya kumbukumbu yule yani mpira ukianza anasahau kama kuna sub...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…