Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Wewe ni mbrazil, umewaangusha wabrazil wenzako, jana ilikuwa Simba day, siku ambayo tulipaswa kuona wachezaji wapya bila kujali matokeo, haukuwa mchezo wa ushindani kusema unatafuta points au kufuzu
Ningekuwa mm ningekushauri uanze hivi
1. Hussein Abel
2. David Kameta Duchu
3. Israel Mwenda
4. Hussein Kazi
5. Che Malone Ukuta wa Yericko
6. Abdallah Hamis
7. Kramo
8. Fabrice Ngoma
9. Shaaban Chilunda
10. Esomba Onana
11. Luious Micquisone
Baadae aingie Mosses Phiri, Peter Banda na huyo mtoto wako umpendae sana Dennis Kibu.
Mpira ni mchezo wa wazi na tunaufuatlia na kuupenda ndio maana watu wamekubali uwezo wa Che Malone, Fabrice na Onana kwa sababu wameona shughuli waliyofanya.
We endelea tu kuleta ujeuri.
Ningekuwa mm ningekushauri uanze hivi
1. Hussein Abel
2. David Kameta Duchu
3. Israel Mwenda
4. Hussein Kazi
5. Che Malone Ukuta wa Yericko
6. Abdallah Hamis
7. Kramo
8. Fabrice Ngoma
9. Shaaban Chilunda
10. Esomba Onana
11. Luious Micquisone
Baadae aingie Mosses Phiri, Peter Banda na huyo mtoto wako umpendae sana Dennis Kibu.
Mpira ni mchezo wa wazi na tunaufuatlia na kuupenda ndio maana watu wamekubali uwezo wa Che Malone, Fabrice na Onana kwa sababu wameona shughuli waliyofanya.
We endelea tu kuleta ujeuri.