Robertinho: Kwangu Simba ni bingwa msimu huu

RATIBA YA MVUA.

Tunapenda kuwatangazia kuanzia leo itasimama kidogo mpaka tena siku ya Finali ya Kombe la Shirikisho la Azam (ASFC).

Tunaomba radhi kwa usumbufu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kumbe simba wakimfunga yanga ni mafanikio kweli simba vilaza karibuni mjekuona fainali .
 
Walikaa kikao cha kuifunga yanga walifanikiwa. Angalia hawana kaja na ubingwa hawa ila wanaona kupiga keleke ndiyo mtaji wamepata.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…