CAPO DELGADO
JF-Expert Member
- Aug 31, 2020
- 8,542
- 18,340
Kila siku tunawaambia acheni kuleta wachezaji mizigo.
Timu inatakiwa ifanye mabadiriko makubwa mno ya kimfumo na kiuendeshaji.
Viongozi wanapaswa wajiuzuru
Na wachezaji waondoshwe.
Waajiri mkurigenzi wa ufundi ahusike moja kwa moja usajili.
1. Mohamed Ottara.
2. Joash Onyango.
3. Ismail Sawadogo.
4.Peter Banda.
5. Pape Sackho.
6.Agustine Okrah.
Wachezaji wazawa wa kuachwa
1. John Boko.
2. Jonas Mkude.
3. Gadiel Michael.
4. Nassor Kapama.
5. Habib Kyombo.
6. Steph Mwanuke
Nafasi muhimu za kujaza.
1. Golikipa nambari mbili.
2. Beki wa kushoto.
3. Mabeki wa kati .
4. Kiungo mkabaji 6 na 8.
5. Mshambuliaji wa kigeni futi sita.
6. Winga wa kushoto.
Zingatieni sana vimo vya wachezaji walau 6 feet.
Bora kusajili wachezaji wachache kuliko kuwa na rundo la wachezaji mizigo.
Mohamed Dewji. Kama umeenda kwenye ngumi baki huko huko huku kwenye mspira waachie wengine kumekushinda.
Try again.
Mangungou
Bodi ya wakurugenzi.
Timu inatakiwa ifanye mabadiriko makubwa mno ya kimfumo na kiuendeshaji.
Viongozi wanapaswa wajiuzuru
Na wachezaji waondoshwe.
Waajiri mkurigenzi wa ufundi ahusike moja kwa moja usajili.
1. Mohamed Ottara.
2. Joash Onyango.
3. Ismail Sawadogo.
4.Peter Banda.
5. Pape Sackho.
6.Agustine Okrah.
Wachezaji wazawa wa kuachwa
1. John Boko.
2. Jonas Mkude.
3. Gadiel Michael.
4. Nassor Kapama.
5. Habib Kyombo.
6. Steph Mwanuke
Nafasi muhimu za kujaza.
1. Golikipa nambari mbili.
2. Beki wa kushoto.
3. Mabeki wa kati .
4. Kiungo mkabaji 6 na 8.
5. Mshambuliaji wa kigeni futi sita.
6. Winga wa kushoto.
Zingatieni sana vimo vya wachezaji walau 6 feet.
Bora kusajili wachezaji wachache kuliko kuwa na rundo la wachezaji mizigo.
Mohamed Dewji. Kama umeenda kwenye ngumi baki huko huko huku kwenye mspira waachie wengine kumekushinda.
Try again.
Mangungou
Bodi ya wakurugenzi.