PSEUDOPODIA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2020
- 392
- 798
Sub ya Chama ni very technical, baada ya kuusoma mchezo na kuona ni ngumu kuwafunga Mbeya City kupitia katikati, akaona ni bora aimarishe Wings, Magoli yapatikane kupitia pembeni. Akaingiza watu wenye kasi pembeni, kisha akamtoa chama ambaye yeye saido kiuhalisia walikuwa wanafanya kazi inayofanana.
Technical sub kama ile Mgunda hawezi fanya kwa kuogopa mashabiki, Kocha mwenye mbinu huwa ana react mapema baada ya kumsoma mpinzani. Sio mikocha yetu dakika 60 wachezaji wanacheza style hiyohiyo na kocha wala ha react. Huyu mzungu angekwepo toka mwanzo tusingefungwa wala ku draw draw kizembe.
Kongole kwa Mzungu, wachezaji wakielewa mfumo wake Simba itakuwa moja ya timu tishio sana kwa wapinzani.
Technical sub kama ile Mgunda hawezi fanya kwa kuogopa mashabiki, Kocha mwenye mbinu huwa ana react mapema baada ya kumsoma mpinzani. Sio mikocha yetu dakika 60 wachezaji wanacheza style hiyohiyo na kocha wala ha react. Huyu mzungu angekwepo toka mwanzo tusingefungwa wala ku draw draw kizembe.
Kongole kwa Mzungu, wachezaji wakielewa mfumo wake Simba itakuwa moja ya timu tishio sana kwa wapinzani.