dudunyama
Member
- Jan 25, 2017
- 36
- 37
Habari Wadau.
Kwanza nitoe pongezi nzito kwa Simba SC na Tanzania kwa ujumla kufuatia kufuzu hatua ya robo fainali Africa Champions League, maana hatua hii inaitangaza Club na Taifa.
Kumalizika kwa hatua ya Makundi kunaonesha kuwa Simba ndio yenye uwiano mdogo zaidi wa idadi ya magoli ya kufunga na kufungwa(-7) kati ya timu zote katika hatua hiyo(hata zile ambazo hazijafuzu).
Kuna haja ya kutathimini upande wa ulinzi hasa katika mechi za nje. Sawa takwimu zinaonesha timu nyingi zimepoteza mechi za nje lakini issue ni idadi ya magoli ambayo unafungwa.
Hili ni muhimu kulitazama kuelekea mechi za robo fainali maana kama unapigwa goli nyingi nje ile hali uwezo wa kushinda mechi za ndani ni mdogo hama kwa goli chache hiyo ni hatari katika hatua hii.Hivyo ni vyema kutafuta njia bora za ulinzi katika hatua hii.
Wadau mlio na chochote juu ya nini kifanyike karibuni sana kuchangia bila kujali itikadi za timu zetu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza nitoe pongezi nzito kwa Simba SC na Tanzania kwa ujumla kufuatia kufuzu hatua ya robo fainali Africa Champions League, maana hatua hii inaitangaza Club na Taifa.
Kumalizika kwa hatua ya Makundi kunaonesha kuwa Simba ndio yenye uwiano mdogo zaidi wa idadi ya magoli ya kufunga na kufungwa(-7) kati ya timu zote katika hatua hiyo(hata zile ambazo hazijafuzu).
Kuna haja ya kutathimini upande wa ulinzi hasa katika mechi za nje. Sawa takwimu zinaonesha timu nyingi zimepoteza mechi za nje lakini issue ni idadi ya magoli ambayo unafungwa.
Hili ni muhimu kulitazama kuelekea mechi za robo fainali maana kama unapigwa goli nyingi nje ile hali uwezo wa kushinda mechi za ndani ni mdogo hama kwa goli chache hiyo ni hatari katika hatua hii.Hivyo ni vyema kutafuta njia bora za ulinzi katika hatua hii.
Wadau mlio na chochote juu ya nini kifanyike karibuni sana kuchangia bila kujali itikadi za timu zetu.
Sent using Jamii Forums mobile app