Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uswahili umekujaaa.pyeeeeeeeHivi kuna tunzo inatolewa kwa anayewahi kutoa uzi......??
😆😆Hivi kuna tunzo inatolewa kwa anayewahi kutoa uzi......??
Nimeshangaa sana aisee halafu mjomba kaandika vineno viwiliHivi kuna tunzo inatolewa kwa anayewahi kutoa uzi......??
Jinsi ulichoandika tu wewe hauitakii mema simbaSimba ilizoea kuwaonea Waarabu, haya sasa tumepewa mtu mweusi mwenzetu.
Ndio tutajua Ligi gani bora kati ya Tanzani au South. Naitakia mema Simba imtoe Kaiza
Habari imejitosheleza.😀😀Nimeshangaa sana aisee halafu mjomba kaandika vineno viwili
Hapana kijana.....nimeuliza kwa wema tu wala si kwa ubaya.......sisi wengine tunaitegemea Jf kama pahala sahihi kwa kupatia habari mbali mbali za uhakika.......Uswahili umekujaaa.pyeeeeeee
Wadau hii nikweli au nichai ya motoAlafu tukipita tunakutana na mshindi kati ya
Al alhy vs mamelod
Ok jokes tu mwanangu. Ndo maskani yetu hiii. Vp lakin tunatoboa simba au ww yanga nna wasi wasi maaanaHapana kijana.....nimeuliza kwa wema tu wala si kwa ubaya.......sisi wengine tunaitegemea Jf kama pahala sahihi kwa kupatia habari mbali mbali za uhakika.......
Jamaa ungetulia tu ungeandika vizuri. Kwanza jina la team ya pili hujalitendea haki kwa kuanza na herufi ndogo na pia kulikosea jina lenyewe.Uswahili umekujaaa.pyeeeeeee
Nusu fainal simba ikifanikiwa inakutana na mshindi kati ya hao giant wawili, nilikuwa live broWadau hii nikweli au nichai ya moto
Ohooo,ndio tumedondokea hapo.Naomba sana tusikutane na kaizer chief
Asante mwalimuJamaa ungetulia tu ungeandika vizuri. Kwanza jina la team ya pili hujalitendea haki kwa kuanza na herufi ndogo na pia kulikosea jina lenyewe.
Ulipaswa kuandika 'Kaizer Chiefs' na sio kaizer chief.