Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
Wadau Karibuni katika mechi hii ya marudiano (Second Leg- CAF CHAMPIONS LEAGUE) kati ya TP Mazembe ambao wako nyumbani wakiwakaribisha Simba SC ya Tanzania katika uwanja wa Stade TP Mazembe ulio katika viunga vya Jiji la Lubumbashi DRC
Yote yanayojiri katika mtanange huu wa kukata na shoka utayapata hapa kuanzia saa 10 jioni kwa saa za Afrika Mashariki
Kuwa nami kwa 'Live updates' kuanzia Dakika 0 hadi 90
TP Mazembe anahitaji ushindi wa aina yoyote ili aweze kufuzu hatua inayofuata huku Simba anahitaji sare ya magoli au ushindi ili apite kwa advantage ya away goal, ila wakimaliza 90 minutes bila kufungana, mpira utakwenda extra time,
Mechi ya raundi ya kwanza iliyochezwa Dar es salaam April 06/2019 timu hizi zilitoshana nguvu kwa kutoka sare tasa (0-0)
Je Simba itapindua Matokeo? au TP Mazembe itasonga mbele? Tusubiri dakika 90 za mtanange huu zitatoa majibu...
☆Vikosi vya timu zote vitakavyoanza vitawekwa hapa .
TP MAZEMBE XI:-
Starting 11 : GBOHOUO – ISSAMA, MONDEKO, CHONGO, OCHAYA – MIKA, SINKALA – MPUTU – ELIA, MULEKA, KALABA
Bench : MOUNKORO, MASENGO, KASUSULA, KOUAME, LIKONZA, SISSOKO, KABANGU
SIMBA STARTING XI:-
1. Manula A.
2. Coulibaly Z.
3. Mo Hussein
4. Nyoni E.
5. Juuko M.
6. Kotei J.
7. Mzamiru Y.
8. Mkude J.
9. Bocco J.
10. Niyonzima H.
11. Okwi E.
☆Kwa Wenye TV mnaweza kuangalia kupitia DSTV channel ya Supersport 9 na Azam TV kupitia channel ya ZBC 2..* Mwenye Link ya kustream live anaweza kuweka pia
☆ Rais wa DR Congo, Mhe. Felix Tshisekedi leo atakuwepo uwanjani (Stade TP Mazembe) kuangalia mchezo huu wa marudiano
☆ Updates
- Timu zimeshaingia uwanjani na wanasalimiana pale
- Uwanjani mashabiki wamejaa sana
Dk.0' Mpira umeshaanza hapa
Goooooal Dk 1 kwenda ya 2 Simba anapata goal kupitia Okwi
Dk 5 TP mazembe wanashambulia hapa lakin Aishi Manula anaokoa
Dk 8 bado mpira haujatulia..ni piga nikupige
kona kwa Tp mazembe
Dk 11 Mo Hussein anapata kadi ya njano
Dk 15 TP wanashambulia goli la Simba lakini wanazuiwa
Joseph Ochaya wa Mazembe anapiga shuti kali linaenda nje pale
Dakika ya 21 Mazembe wanapata Kona...James kotei anatolewa nje
Goooooaaal Tp Mazembe wanapata goli la kusawazisha kupitia kwa Chongo Kabase
Dk 24 TP mazembe wanachangamka hapa kuongeza goli lingine
DK 31 Rainford Kalaba anacheza faulo...inapigwa kuelekea Mazembe
Dk 35 TP mazembe wanafanya shambulizi hatari pale lakini Aishi manula na mabeki wanaokoa..
Dk 37 Goooooaal Tp mazembe wanapata la pili kupitia Meshack Elia
Dk 42 TP mazembe wanafanya shambulizi kali hapa linagonga mwamba inakuwa kona
Dk 44 TP Mazembe 2 Simba 1 mpira unatoka nje hapa TP mazembe wanautoa wakti huohuo dakika 1 imeongezwa kuelekea mapumziko
Mapumziko TP Mazembe 2 Simba 1
-----------------------------------------------------------------------------
Kipindi cha pili kimeanza
Kagere Medie ameingia ametoka Muzamiru Yasin
Dk 46 Timu zote zinashambuliana kwa kasi sana...
TP Mazembe wanapata kona inaokolewa
Dk 49 Simba wanazembea hapa TP mazembe wanaingia golini..namna gani pale bado...inapigwa kule Simba wanazubaaa...gooal lakin inakataliwa inakuwa offside
Chama Clotus anaingia Jurko Murshid nje
Dk 52 Rainford Kalaba anajaribu pale Aishi manula anaitoa nje inakuwa kona
Dk 55 TP mazembe Meshack Elia anawekwa chini baada ya faulo ya Kotei James
Dk 58 TP mazembe wanapata kona ( TPM 2 SSC 1)
Dk 62' Goooooooaaal TP mazembe wanapata goal la 3 kupitia Trezor Mputu
Dk 64 Simba wamefunguka nao TP Mazembe wamefunguka
Dk 67 Matokeo ni TPM 3 SSC 1
Dk 70 Simba wanapata kona...Niyonzima anapiga kona ndeeeeeeefu inatoka nje kule namna gani
Rashid Juma wa simba ndani, Okwi E. nje
Dk 71 Kadi ya njano kwa Erasto Nyoni.. Faulu kwenda Simba TP mazembe wanapata inapigwa inaenda nje
Dk 72 Gooooooooal TP MAZEMBE WANAPATA GOAL la 4 linalofungwa na Jackson Muleka
DK 74 KRISTIAN KOFI NDANI KALABA NJE
DK 78 TP mazembe wanashambulia lango la Simba ila wanakosa
Dk 79 John Bocco anamchezea faulu beki Kelvin Mundeko
Dk 84 TP MAZEMBE SUB TREZOR MPUTU GLODY LIKONZA NDANI
DK 88 Simba wanapanga mashambulizi hapa lakini yanazuiwa na TPM
Dk 89 Offside Simba wanazidi kwa TPM
DAKIKA 3 ZA NYONGEZA KUMALIZA MCHEZO
Dk 90+1 TP mazembe wanacheza kwa kupoteza muda wakati huo Simba wanaonekana kuchangamka
Dk 90+3 Mpira inakuwa gooal kick Kipa wa Mazembe anapiga mbele wananziana pale kati na mpira umeishaaaaa
MPIRA UMEKWISHA KUTOKA DIMBA LA STADE TP MAZEMBE---- TP MAZEMBE 4 SIMBA 1
SIMBA ANAAGA MASHINDANO HAYA YA LIGI YA MABINGWA KATIKA HATUA HII YA ROBO FAINALI HUKU TP MAZEMBE AKITANGULIA NUSU FAINALI YA CAF CHAMPIONS LEAGUE
Ahsanteni kwa kuwa nami...Pamoja sana
Yote yanayojiri katika mtanange huu wa kukata na shoka utayapata hapa kuanzia saa 10 jioni kwa saa za Afrika Mashariki
Kuwa nami kwa 'Live updates' kuanzia Dakika 0 hadi 90
TP Mazembe anahitaji ushindi wa aina yoyote ili aweze kufuzu hatua inayofuata huku Simba anahitaji sare ya magoli au ushindi ili apite kwa advantage ya away goal, ila wakimaliza 90 minutes bila kufungana, mpira utakwenda extra time,
Mechi ya raundi ya kwanza iliyochezwa Dar es salaam April 06/2019 timu hizi zilitoshana nguvu kwa kutoka sare tasa (0-0)
Je Simba itapindua Matokeo? au TP Mazembe itasonga mbele? Tusubiri dakika 90 za mtanange huu zitatoa majibu...
☆Vikosi vya timu zote vitakavyoanza vitawekwa hapa .
TP MAZEMBE XI:-
Starting 11 : GBOHOUO – ISSAMA, MONDEKO, CHONGO, OCHAYA – MIKA, SINKALA – MPUTU – ELIA, MULEKA, KALABA
Bench : MOUNKORO, MASENGO, KASUSULA, KOUAME, LIKONZA, SISSOKO, KABANGU
SIMBA STARTING XI:-
1. Manula A.
2. Coulibaly Z.
3. Mo Hussein
4. Nyoni E.
5. Juuko M.
6. Kotei J.
7. Mzamiru Y.
8. Mkude J.
9. Bocco J.
10. Niyonzima H.
11. Okwi E.
☆Kwa Wenye TV mnaweza kuangalia kupitia DSTV channel ya Supersport 9 na Azam TV kupitia channel ya ZBC 2..* Mwenye Link ya kustream live anaweza kuweka pia
☆ Rais wa DR Congo, Mhe. Felix Tshisekedi leo atakuwepo uwanjani (Stade TP Mazembe) kuangalia mchezo huu wa marudiano
☆ Updates
- Timu zimeshaingia uwanjani na wanasalimiana pale
- Uwanjani mashabiki wamejaa sana
Dk.0' Mpira umeshaanza hapa
Goooooal Dk 1 kwenda ya 2 Simba anapata goal kupitia Okwi
Dk 5 TP mazembe wanashambulia hapa lakin Aishi Manula anaokoa
Dk 8 bado mpira haujatulia..ni piga nikupige
kona kwa Tp mazembe
Dk 11 Mo Hussein anapata kadi ya njano
Dk 15 TP wanashambulia goli la Simba lakini wanazuiwa
Joseph Ochaya wa Mazembe anapiga shuti kali linaenda nje pale
Dakika ya 21 Mazembe wanapata Kona...James kotei anatolewa nje
Goooooaaal Tp Mazembe wanapata goli la kusawazisha kupitia kwa Chongo Kabase
Dk 24 TP mazembe wanachangamka hapa kuongeza goli lingine
DK 31 Rainford Kalaba anacheza faulo...inapigwa kuelekea Mazembe
Dk 35 TP mazembe wanafanya shambulizi hatari pale lakini Aishi manula na mabeki wanaokoa..
Dk 37 Goooooaal Tp mazembe wanapata la pili kupitia Meshack Elia
Dk 42 TP mazembe wanafanya shambulizi kali hapa linagonga mwamba inakuwa kona
Dk 44 TP Mazembe 2 Simba 1 mpira unatoka nje hapa TP mazembe wanautoa wakti huohuo dakika 1 imeongezwa kuelekea mapumziko
Mapumziko TP Mazembe 2 Simba 1
-----------------------------------------------------------------------------
Kipindi cha pili kimeanza
Kagere Medie ameingia ametoka Muzamiru Yasin
Dk 46 Timu zote zinashambuliana kwa kasi sana...
TP Mazembe wanapata kona inaokolewa
Dk 49 Simba wanazembea hapa TP mazembe wanaingia golini..namna gani pale bado...inapigwa kule Simba wanazubaaa...gooal lakin inakataliwa inakuwa offside
Chama Clotus anaingia Jurko Murshid nje
Dk 52 Rainford Kalaba anajaribu pale Aishi manula anaitoa nje inakuwa kona
Dk 55 TP mazembe Meshack Elia anawekwa chini baada ya faulo ya Kotei James
Dk 58 TP mazembe wanapata kona ( TPM 2 SSC 1)
Dk 62' Goooooooaaal TP mazembe wanapata goal la 3 kupitia Trezor Mputu
Dk 64 Simba wamefunguka nao TP Mazembe wamefunguka
Dk 67 Matokeo ni TPM 3 SSC 1
Dk 70 Simba wanapata kona...Niyonzima anapiga kona ndeeeeeeefu inatoka nje kule namna gani
Rashid Juma wa simba ndani, Okwi E. nje
Dk 71 Kadi ya njano kwa Erasto Nyoni.. Faulu kwenda Simba TP mazembe wanapata inapigwa inaenda nje
Dk 72 Gooooooooal TP MAZEMBE WANAPATA GOAL la 4 linalofungwa na Jackson Muleka
DK 74 KRISTIAN KOFI NDANI KALABA NJE
DK 78 TP mazembe wanashambulia lango la Simba ila wanakosa
Dk 79 John Bocco anamchezea faulu beki Kelvin Mundeko
Dk 84 TP MAZEMBE SUB TREZOR MPUTU GLODY LIKONZA NDANI
DK 88 Simba wanapanga mashambulizi hapa lakini yanazuiwa na TPM
Dk 89 Offside Simba wanazidi kwa TPM
DAKIKA 3 ZA NYONGEZA KUMALIZA MCHEZO
Dk 90+1 TP mazembe wanacheza kwa kupoteza muda wakati huo Simba wanaonekana kuchangamka
Dk 90+3 Mpira inakuwa gooal kick Kipa wa Mazembe anapiga mbele wananziana pale kati na mpira umeishaaaaa
MPIRA UMEKWISHA KUTOKA DIMBA LA STADE TP MAZEMBE---- TP MAZEMBE 4 SIMBA 1
SIMBA ANAAGA MASHINDANO HAYA YA LIGI YA MABINGWA KATIKA HATUA HII YA ROBO FAINALI HUKU TP MAZEMBE AKITANGULIA NUSU FAINALI YA CAF CHAMPIONS LEAGUE
Ahsanteni kwa kuwa nami...Pamoja sana