permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 11,682
- 14,241
5 x 2Lakini ni jambo la kujiuliza pia. Kama aliyemfunga Simba magoli 5 kapigwa 5 huko Africa kusini je Simba wangekuwa na kapu na magoli kiasi gani dhidi ya mamelod?
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23]
Usijidanganye na mpira was Africa ulivyo Simba kule hapati baoMatokeo ya kutoruhusu bao huwa si mabaya kihivyo, kwani kule watakuwa wakihofu kila bao la Simba, maana litawapa mlima
Thubutu..Mamelod walivyochukua hili kombe..walimpiga Al Ahly home and awayUsishangae mwarabu akapindua meza kibabe huko Misri
Ndo huo huoNdio huu mpira umekuja huku Chalinze ukaangua nazi zangu mkuu?
Mamelod sanduns 5-0 AlhalyUnapofikia ligi ya mabingwa wa Afrika, kuanzia makundi wote ni magwiji. Watu walidhani ni sawa na kucheza na Ndanda
Wapi nimesema mamelody ni wenzenu , au ndio akili za kutoka sareKuna vilabu bingwa nane bora hadi sasa Afrika, sijui imekuwaje useme Mamelodi Sundowns ndio wenzetu. Mwisho utasema Ndanda na Lipuli ni wenzetu
Haikuwa lengo lao, aliwaonea vidagaa kwa kuwabugiza migoli mitano leo akakutana na papa nae kakipata cha mtema kuni.Al Ahl wameliaibisha kundi D,wamekula 5
Penati ile haikutakiwa ipigwe na bocco kutokana na mchezo alivyocheza Leo. Amekosa magori mengi ya wazi hivyo tayari alikua Na stress nyingi aliyepaswa kupiga penati ni Okwi kwasababu ndiyo alikua ameingia kwa uwanja akiwa hana stress.
Kwenye michuano ya namna hii haitakiwi uwe na stress ukiwa na stress hupati matokeo chanya.
Nawaombea simba kila la kheri kwenye mchezo ujao
Sent using Jamii Forums mobile app
Mpira haupo hivyo bwana mdogo, huenda Simba angemfunga huyo SundownLakini ni jambo la kujiuliza pia. Kama aliyemfunga Simba magoli 5 kapigwa 5 huko Africa kusini je Simba wangekuwa na kapu na magoli kiasi gani dhidi ya mamelod?
Sent using Jamii Forums mobile app