Robo Fainali ya Klabu Bingwa Afrika: Simba SC na TP Mazembe zatoka sare uwanja wa Taifa - Dar es Salaam

Gor mahia kapigwa goli 2 nyumbani kwake. Huyu kupita ni bahati nasibu, hivyo basi mpaka muda huu tuna zaidi ya 90% ya TZ kuingiza timu 4 mwakani kwenye michuano ya afrika
 
Sio mbaya ndugu kikubwa uzima upo.

Hahahaaa. Ngoja wana nguvu moja waje hapo uone watakavyopovuka. πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… mie nasubiria Lubumbashi tu hapa.
Mmh !! Binamu kwa Avatar yako mpya ..Zlazims Wana SSC wafike fainali!!!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…