Robo Fainali ya Klabu Bingwa Afrika: Simba SC na TP Mazembe zatoka sare uwanja wa Taifa - Dar es Salaam

Hahaa iyo dua imenifanya nicheke mkuu apo kwene kipengele cha "Japo wakongo wametusaidia na vumbi lao"
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wenzenu Mamelody Sundowns wanaongozq 2-0 vs All Ahly na sasa ni half time.


Nyie mko Nyumbani matokeo ni bila bila na bado mmekoswa goli za kutosha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wenzenu Mamelody Sundowns wanaongozq 2-0 vs All Ahly na sasa ni half time.
Nyie mko Nyumbani matokeo ni bila bila na bado mmekoswa goli za kutosha.
Kwani ni Kanuni kwamba Mamelody wakifunga nao Simba ni Lazima wafunge?
 
Wenzenu Mamelody Sundowns wanaongozq 2-0 vs All Ahly na sasa ni half time.
Nyie mko Nyumbani matokeo ni bila bila na bado mmekoswa goli za kutosha.
Kwani ni Kanuni kwamba Mamelody wakifunga nao Simba ni Lazima wafunge?
 
Wenzenu Mamelody Sundowns wanaongozq 2-0 vs All Ahly na sasa ni half time. Nyie mko Nyumbani matokeo ni bila bila na bado mmekoswa goli za kutosha.
Kuna vilabu bingwa nane bora hadi sasa Afrika, sijui imekuwaje useme Mamelodi Sundowns ndio wenzetu. Mwisho utasema Ndanda na Lipuli ni wenzetu
 
Kuna vilabu bingwa nane bora hadi sasa Afrika, sijui imekuwaje useme Mamelodi Sundowns ndio wenzetu. Mwisho utasema Ndanda na Lipuli ni wenzetu
Mbona kama unapaniki...?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…