Robson de Souza ''Robinho'' ahukumiwa miaka 9 jela kwa kosa la ubakaji

Robson de Souza ''Robinho'' ahukumiwa miaka 9 jela kwa kosa la ubakaji

Kanungila Karim

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2016
Posts
20,743
Reaction score
25,564
Aliyekuwa mshambuliaji nyota wa vilabu vya AC Milan, Real Madrid na timu ya taifa ya Brazil Robinho, amehukumiwa kufungwa miaka 9 jela na mahakama ya rufaa ya nchini Italia, baada ya kukutwa na kosa la ubakaji wa binti mdogo alilolifanya miaka 7 iliyopoita nchini humo.
ROBINHO%20WEB.jpg
Robinho na rafiki yake Ricardo Falco wameripotiwa kumbaka binti huyo raia wa Albania aiishie nchini Italia kwenye kumbi ya starehe wakati binti huyo akiwa anasheherekea mfanano wa siku yake ya kuzaliwa kwa kutimiza miaka 23 mwaka 2013.

Wakili wa binti huyo Jaccopo Gnochi amesema '' hukumu hiyo ni mfano kwa wengine juu ya kulinda utu wa mwanake na kuonesha ni jinsi gani mfumo wa sheria unavyofanyakazi''.

Robinho anakumbukwa na wafuatiliaji wengi wa soka ulimwenguni kwa kuwa na uwezo wake mkubwa wa kuuchezea mpira, kuwatoka walinzi kwa chenga kali na kufunga mabao yakuvutia akiwa na vilabu vya AC Milan, Real Madrid, Man city na timu ya taifa ya Brazil miaka ya 2008-13.

---------
Brazilian footballer Robinho had a nine-year jail sentence for rape upheld by an Italian court on Thursday.

The 36-year-old had been appealing against a conviction he was handed in 2017 for attacking a 23-year-old Albanian woman in a Milan nightclub four years earlier.

Judges ruled that the sentence against Robinho, real name Robson De Souza, and friend Ricardo Falco, 35, should stand.

It comes after a Brazilian newspaper revealed the contents of wiretapped phone conversations the footballer had with friends after the charges were first brought, including one in which he attempts to laugh off the accusations.

'I'm laughing because I don't care,' Robinho could be heard saying. 'The woman was completely drunk. She doesn't even know what happened.'

Judges in Italy have upheld a nine-year sentence for rape against Brazilian footballer Robinho for raping an Albanian woman in a Milanese nightclub in 2013

The charges date back to 2013, when Robinho was aged 28 and playing in Serie A for AC Milan.

On the night of January 22 the footballer and a group of at least six people, including his wife, had been drinking in the Sio Café nightclub in the city.

It was there that they met the Albanian woman, who was celebrating her brithday with some of her friends.

At some point during the evening Robinho walked his wife back home before rejoining his friends in the club, where they began drinking with the woman.

The woman says Robinho, who was due to celebrate his own brithday three days later, and his friends forced her to drink until she was nearly unconscious.

It was then that they took her into a private dressing room where Robinho and Falco sexually assaulted her while the other four men watched.

Robinho and Falco then 'shared' the woman with the other four men, Italian media reported at the time.

The sportsman was arrested and questioned over the allegations in 2014. He admitted having oral sex with the woman, but claimed it was consensual.

After questioning, police wiretapped Robinho's phones and recorded conversations where he bragged about the attack with his friends.

Robinho has repeatedly denied the charges, claiming the sex was consensual and that his only regret is being unfathful to wife Vivian (pictured together)

During the investigation, four of Robinho's friends who were allegedly involved in the attack but have never been identified left the country for Brazil.

The same year Robinho left Italy to return to play for his boyhood club Santos, and Falco also left the country.

The pair were tried in absentia in November 2017 and found guilty of rape, with judges handing down a nine-year sentence.

Speaking during the sentencing hearing, the judges made it plain that 'contempt' for the victim shown in wiretapped phonecalls was an aggravating factor.

'Particularly negative emphasis must be given to the tone and expressions used in commenting on the events, describing the girl with humiliating epithets and often in crude and contemptious terms,' they said.

'The defendents even laughed several times at the event, thus highlighting an absolute contempt for the condition of the victim, who was exposed to repeated humiliations, as well as acts of sexual violence through particularly invasive abuses.'

The pair have also been ordered to jointly pay the woman damages of $73,000.

At the time of the attack the 28-year-old Robinho was playing in Serie A for AC Milan (pictured), but returned to Brazil before the charges were brought to court

Robinho has the right to again appeal the sentence within 90 days.

The footballer came through the academy at Brazilian club Santos where he was often compared to Pele as one of the top prospects they had produced.

He played at Real Madrid and Manchester City before a loan stint at Milan between 2013 and 2014, and was also capped for his country.

After the allegations against him emerged in Italy he went back to Brazil and also spent time playing in Turkey.

Earlier this year he transferred back to Santos where he was due to see out his career playing for minimum wage.

But Santos was forced to scrap the contract amid outcry over the rape case, with a major sponsor dropping its support of the club.

In an interview shortly after the club tore up his contract, Robinho continued to deny the rape charge - saying that his only regret about the night is that he was unfaithful to his wife, Vivian.

Asked about the pressure that had caused Santos to tear up his contract, he replied: 'Unfortunately there is this feminist movement.'

 
Aliyekuwa mshambuliaji nyota wa vilabu vya AC Milan, Real Madrid na timu ya taifa ya Brazil Robinho, amehukumiwa kufungwa miaka 9 jela na mahakama ya rufaa ya nchini Italia, baada ya kukutwa na kosa la ubakaji wa binti mdogo alilolifanya miaka 7 iliyopoita nchini humo.
ROBINHO%20WEB.jpg

Robinho na rafiki yake Ricardo Falco wameripotiwa kumbaka binti huyo raia wa Albania aiishie nchini Italia kwenye kumbi ya starehe wakati binti huyo akiwa anasheherekea mfanano wa siku yake ya kuzaliwa kwa kutimiza miaka 23 mwaka 2013.

Wakili wa binti huyo Jaccopo Gnochi amesema '' hukumu hiyo ni mfano kwa wengine juu ya kulinda utu wa mwanake na kuonesha ni jinsi gani mfumo wa sheria unavyofanyakazi''.

Robinho anakumbukwa na wafuatiliaji wengi wa soka ulimwenguni kwa kuwa na uwezo wake mkubwa wa kuuchezea mpira, kuwatoka walinzi kwa chenga kali na kufunga mabao yakuvutia akiwa na vilabu vya AC Milan, Real Madrid, Man city na timu ya taifa ya Brazil miaka ya 2008-13.

---------
Brazilian footballer Robinho had a nine-year jail sentence for rape upheld by an Italian court on Thursday.

The 36-year-old had been appealing against a conviction he was handed in 2017 for attacking a 23-year-old Albanian woman in a Milan nightclub four years earlier.

Judges ruled that the sentence against Robinho, real name Robson De Souza, and friend Ricardo Falco, 35, should stand.

It comes after a Brazilian newspaper revealed the contents of wiretapped phone conversations the footballer had with friends after the charges were first brought, including one in which he attempts to laugh off the accusations.

'I'm laughing because I don't care,' Robinho could be heard saying. 'The woman was completely drunk. She doesn't even know what happened.'

Judges in Italy have upheld a nine-year sentence for rape against Brazilian footballer Robinho for raping an Albanian woman in a Milanese nightclub in 2013

The charges date back to 2013, when Robinho was aged 28 and playing in Serie A for AC Milan.

On the night of January 22 the footballer and a group of at least six people, including his wife, had been drinking in the Sio Café nightclub in the city.

It was there that they met the Albanian woman, who was celebrating her brithday with some of her friends.

At some point during the evening Robinho walked his wife back home before rejoining his friends in the club, where they began drinking with the woman.

The woman says Robinho, who was due to celebrate his own brithday three days later, and his friends forced her to drink until she was nearly unconscious.

It was then that they took her into a private dressing room where Robinho and Falco sexually assaulted her while the other four men watched.

Robinho and Falco then 'shared' the woman with the other four men, Italian media reported at the time.

The sportsman was arrested and questioned over the allegations in 2014. He admitted having oral sex with the woman, but claimed it was consensual.

After questioning, police wiretapped Robinho's phones and recorded conversations where he bragged about the attack with his friends.

Robinho has repeatedly denied the charges, claiming the sex was consensual and that his only regret is being unfathful to wife Vivian (pictured together)

During the investigation, four of Robinho's friends who were allegedly involved in the attack but have never been identified left the country for Brazil.

The same year Robinho left Italy to return to play for his boyhood club Santos, and Falco also left the country.

The pair were tried in absentia in November 2017 and found guilty of rape, with judges handing down a nine-year sentence.

Speaking during the sentencing hearing, the judges made it plain that 'contempt' for the victim shown in wiretapped phonecalls was an aggravating factor.

'Particularly negative emphasis must be given to the tone and expressions used in commenting on the events, describing the girl with humiliating epithets and often in crude and contemptious terms,' they said.

'The defendents even laughed several times at the event, thus highlighting an absolute contempt for the condition of the victim, who was exposed to repeated humiliations, as well as acts of sexual violence through particularly invasive abuses.'

The pair have also been ordered to jointly pay the woman damages of $73,000.

At the time of the attack the 28-year-old Robinho was playing in Serie A for AC Milan (pictured), but returned to Brazil before the charges were brought to court

Robinho has the right to again appeal the sentence within 90 days.

The footballer came through the academy at Brazilian club Santos where he was often compared to Pele as one of the top prospects they had produced.

He played at Real Madrid and Manchester City before a loan stint at Milan between 2013 and 2014, and was also capped for his country.

After the allegations against him emerged in Italy he went back to Brazil and also spent time playing in Turkey.

Earlier this year he transferred back to Santos where he was due to see out his career playing for minimum wage.

But Santos was forced to scrap the contract amid outcry over the rape case, with a major sponsor dropping its support of the club.

In an interview shortly after the club tore up his contract, Robinho continued to deny the rape charge - saying that his only regret about the night is that he was unfaithful to his wife, Vivian.

Asked about the pressure that had caused Santos to tear up his contract, he replied: 'Unfortunately there is this feminist movement.'

Too much of false rape accusations against big names now days.

Nina uhakika kwa zaidi ya 70% hiyo incident ilikuwa ni consensual sex iliyofanyika kwenye mazingira ya ulevi.

Hizi tuhuma za ubakaji za uongo dhidi ya masuperstar zimekuwa nyingi Sana siku hizi... Na ukichunguza unakuta hakuna solid evidence zaidi ya simulizi/maneno tu ya mlalamikaji.

Mbaya zaidi hili mtuhumiwa aweze kujinasua kwenye case yeye ndio anabeba mzigo wa kuthibitisha kuwa tuhuma hazina ukweli, vinginevyo ina kula kwake.

Tumeona kwa Neymar jinsi alivyoponea chupu chupu kuharibiwa career yake na yule mwanadada mwana mitindo Trinid kwa tuhuma hizi hizi za uongo, yaani bila ya yeye kuweka zile conversation hadharini zilizoonesha kuwa tayari walikuwa wamekubaliana na akamlipia kabisa na flight kumfuata Paris, leo hii Neymar angekuwa anatumikia kifungo au analima viazi huko kwao Brazil.

Same happened kwa Cristiano Ronaldo, mwanadada Mayeroga alikutana na Cristiano club wakakubaliana mpaka dau kabisa, wamefika chumbani demu anazingua, akatoa mzigo kishingo upande.. miaka nane baadae anakuja kusema eti alibakwa na hapo ilikuwa ni baada ya kumu-approach Cristiano ampe mkwanja mwingine na Cristiano kutosa.

Ukifuatilia namna hizi rape Cases zinavyokuwa handled siku hizi inaghadhabisha Sana.. kuna uonevu mwingi sana unafanyika dhidi ya wanaume.

Yaani mwanamke anaweza akakutuhumu umembaka na baadae ikaja kuthibitika sio kweli, na hachukuliwi hatua yoyote wakati huo tayari anakuwa amekuharibia reputation yako.

In our today gynocentric world, anytime a man is accused of rape is guilty until proven Innocent, while in other crimes including murder we are all Innocent until proven guilty.

Sent from my M100 using JamiiForums mobile app
 
Mpuuzi wahed afungwe tu kwasababu ni mpuuzi,wewe mihela yote ameshindwa kutafuta mtoto wa kihalfcast agonge ngozi mpaka abake? Si angetafuta PIMP akampa msaada?
 
Kama amekutwa na hatia ni kweli KABAKA.
Kwa taarifa yako ni kwamba, hiki ulichokisema hapo kuwa angetafuta PIMP wa kumuunganishia kwa half-caste ndio mastaa wengi huwa wanakifanya.

Star Kama star huwa hatongozi mwanamke directly Bali wapambe wake ndio wanafanya hiyo kazi, yeye analetewa tu mzigo tayari ukiwa umshalainishwa kwa mihela kazi yake ni kutia tu.

Sema Sasa kinachotokeaga, ni kwamba hao Malaya huwa wanakuja kuwageuka hao mastaa baadae kwa kuwafanyia blackmailing.

Mara nyingi wanakuwaga wanataka pesa au kuendeleza mahusiano na mastaa hao. Wakikataliwa ndio wanafanya hizo intimidation.

Na intimidation yenyewe ndio kama hii kumtuhuma kwamba alimbaka ilihali wote walikubaliana kabisa. Na mwanaume akikaza ndio kama hivyo anajitokeza hadharani huku analia kwamba alibakwa na fulani na kila mtu anamuamini.

Au inaweza isiwe hivyo akafanya ngono kwa hiari yake mwenyewe lakini kwenye mazingira ya ulevi, lakini bado akilalamika anaonekana kweli kabakwa.

Cristiano Ronaldo alimlipa Mayeroga kwa miaka tisa mfululizo siku yule kahaba alipositishiwa mpunga ndio akajitokeza hadharini eti alibakwa.

Haya mambo hayako Kama medias zinavyowaaminisha.

Sent from my M100 using JamiiForums mobile app
 
Hivi uwa inakuaje mtu una mahela hivo hafu unabaka. Au masherti ya waganga?
 
Back
Top Bottom