PAGAN
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 12,181
- 20,148
Hivi uwa inakuaje mtu una mahela hivo hafu unabaka. Au masherti ya waganga?
Kwasababu ya pesa na fame zao hawezi kukubali neno "NO". Wamezoea kupata kila kitu wanachotaka ndio maana hawakubali kukataliwa, inabidi wachukue kwa nguvu.