Hivi uwa inakuaje mtu una mahela hivo hafu unabaka. Au masherti ya waganga?
Binti mdogo wa miaka 23, tena alikuwa kwenye ukumbi wa starehe!!!
Akaunt ya raia wa kigen ikishakua mpunga mrefu watu hutafuta namna ya kuzipunguza ili zisitoke nje ya nchi..huu mchezo wamekua wakifanyiwa masupastaa wengi na njia rahis ya kuwapata ni kuwaunganisha na wanawake bila wao kujua kua hii ni planned..
Huu mchezo kila superstaa atafanyiwa tu ili kuchukua pesa zake..
Refer..michael jackson,rkelly,c.ronaldo,robinho etc